Amina ..........ila pastor naomba uniombee napitia changamoto ngumu katika imani na maisha
@jolemerci2155
11 ай бұрын
Nakupendaga baba nikikusikia natabasamu sana
@fatemajohn3195
11 ай бұрын
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa somo zuri 🙏🙏
@mercianamanda
Жыл бұрын
Pr wewe ni mchungaji muhimu sana katika maisha yangu, mengi nimejifunza kwako, mungu akupe maisha mema katika utumishi wako.
@JacklineMoti
Жыл бұрын
Bwana awe pamoja nawe siku zote mchungaji na akutumie kama Chombo ili tupate kmujua saidi kpitia wewe jina la Bwana ribarikiwe saaaana.🙏🙏
@Benjamin-d1h1n
11 ай бұрын
ubarikiwe muchungaji Niko congo
@raissanyarukundo5808
11 ай бұрын
Ubarikiwe sana mutumishi wa mungu uwa unanijengasana kiimani
@MaombiJofre-k8m
11 ай бұрын
Amen Barikiwa sana David Mmbaga
@rodahadhiambo3637
11 ай бұрын
Ubarikiwe sana pastor , tunajifunza Kila siku, Mungu aendele kukubariki na kukupa afya njema . I have grown so much
@marymtweve5646
11 ай бұрын
Mungu akubariki Sana.
@edinahmasea1603
Жыл бұрын
Asante sana pastor tumebarikiwa na kila wakati Mungu na akuneemeshe zaidi. Amen Lord Amen
@anifasimon6335
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe nakuomba uniombee pastor mmbaga mm ninapitia wakati mgumu sana nilijichanga ya na mambo ya Dunia nikameza vidonge sasa vinanipa shida Sina aman kabsa niombee mungu aniepusha na hatari yoyote Niko dodoma
@WideSharingTV
Жыл бұрын
Na Mungu aweze kukuponya siku hii takatifu
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Pole saaana. Mungu akutendee muujiza
@dottothomas
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Mungu akubariki mchungaji umetoa ujumbe mzito sana umenigusa sana binafsi
@agnessosa6508
11 ай бұрын
Mungu baba mwenye uwezo, uliyemuokoa Paulo sikikia kilio cha mwanao, umfungue mfanye huru in the mighty name of Jesus
@shaniachanceline2751
Жыл бұрын
Amen, mubarikiwe Sana! napenda somo hili ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Joycependopendo-dv2tb
Жыл бұрын
Amen 🙏 pastor mungu akuzidishee hakima na kibalii hicho cha mafundisho mazuri ubarikiwe
@MildredShinali
Жыл бұрын
Ubarikiwe Kwa neno Kwa hakika unatueleza ukweli nabarikiwa sana jinsi unavyo tufunza somo
@AmaniIkomoelo
2 ай бұрын
Kuhusu swali la mama Naomba ufafanuzi kuhusu andiko hili mchungaji Warumi 14 14 Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake, lakini kwake yeye akionaye kitu kuwa najisi, kwake huyo kitu kile ni najisi.
@agnessosa6508
11 ай бұрын
How can I know my talent, iam confused
@ChrisCikuruBahaya
7 ай бұрын
Asante mchungaji kwa somo, sasa mutu angaliya aje kama ana talanta? Na kuna tofauti gani kwa karama na talanta ??
@PeterHaule-p9u
Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu.
@NyamariFaith-qu1jm
Жыл бұрын
Mungu anisaidie nimtolee kwa kazi yake in Jesus name 🙏. Asante kwa neno naomba nijue talanta yangu mungu niitumikie
@agnessosa6508
11 ай бұрын
MIMI PIA
@kabalizasekanabomarko6063
Жыл бұрын
Barikiwa sana baba. Hata mimi kabisa nimwimbaji mkubwa sana na mwenye kupiga ngoma. Ila kwa leo si imbi na sipigi ngoma. Ila juzi nimeenda kanisani kwa yangu ya kwanza kwenda kwenye iyo kabisa. Nimekaa mahubiri yakapita mazuri sana. Wakati olifika waimbaji waimbe, nimesimama nafadi yangu na kulomba ile ngoma. Nimesikiya furaha sana ndani yangu na kumwambia Mungu nomba baba karama yangu nitumikiye tena.
@gloriamasaka7635
Жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri ya kutusaidia katika safari hii
@SabatoChazz
Жыл бұрын
Aminaa
@toshalulinda1493
Жыл бұрын
Amen
@purity134
Жыл бұрын
Thanks pastor for powerful sermon
@Patience763
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏pastor nilianza kufatuatilia mafundisho yako lkn kwa kweli mafundisho yanajenga basi naomba kuoka tena maana baada ya hili fundisho juu pia mimi nilikua kwa category ya hii fungu badala ya somo zima
@margaretwanjiru9096
Жыл бұрын
Barikiwa sana kwa mafundisho yenye baraka
@zirhumanafiston116
Жыл бұрын
Amina 🇨🇩
@bossladyjv3828
Жыл бұрын
Ameeeen
@rhinakiza
Жыл бұрын
Amen 🙏🏼 🙏🏼
@josephyona7450
Жыл бұрын
Barikiwa pr
@fridayuda9577
Жыл бұрын
Ee mwenyezi Mungu, tusaidie kuyapokea mafundisho yako kupitia Mtumishi wako, nasi tupate kuinuliwa kiimani, ili nasi tukatumike sawasawa na Mapenzi yako.
@UshindiKakuru
Жыл бұрын
Amena 🇨🇩
@DuncanJohn-bw4wn
Жыл бұрын
Very powerful message for all people
@brunomirambi8792
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 KUKU MWENYE KIDERI 😂😂😂😂😂
@mbiutv
Жыл бұрын
Ameeeen 🙏
@ibrahjoel7283
11 ай бұрын
Hapo kwenye vyakula,,, vipi kuhusu yesu aliposema kimwingiacho mtu si najis Bali kimtokacho??
@mamalaozphilemonmtawali.8467
Жыл бұрын
Happy Sabbath.
@fatnaisdory574
11 ай бұрын
Natamani sana kukutana na huyu pastor David Mbaga nina mambo ya kushare nae Au mtu wake wa karibu ili nimpe ujumbee huu kabla sijaondoka duniani
@JenethMdee
11 ай бұрын
Kunamtu anataka kushare anawe
@rehemamwendo8789
Жыл бұрын
🙏
@josephinemagut8060
Жыл бұрын
Very good preachings. Thanks so much pastor mmbaga. I'm requesting for your number please. Thank you.
Пікірлер: 54