Hapo ndug utajiri wa Messi na Ronaldo ni utajiri wa kupambana wao binafisi katika soka maana hata historia zao na familia zao hawakuwa matajiri,ila huyo jamaa utajiri alionao ni wa familia tu maan umesema hata mshahara wake wa soka ulikuwa mdogo sna kwahiyo Bado Ronaldo na Messi watabaki kuwa matajiri tu katika maisha ya soka
@satwanthoogan6429
Жыл бұрын
Ndo kwanza leo,nimjue huyo dogo!😱👍🏻😊
@user-ft2cu8co5k
Жыл бұрын
Sasa hata kama hela karisi lakini ni zake au za kwenu na hapo jastin shed hajataja tuzo kataja mafanikio ya pesa tyu mbona wabongo mna wivu hadi kwa watu msio wajuwa
@coolbz133
Жыл бұрын
Huyo utajiri wake ni wa familiar sio wa mpira muelewe hilo ashawahi kushinda tuzo gani player bora wa ulimwengu
@enockjoel2429
Жыл бұрын
Kwan wameongelea mchezaj mweny hela nyng ztokanazo na mpira?? Ama mchezaj tajiri zaid kwan ameongelea tuzo?? Halafu mbona kuelewa ni kitu chepes tuafanye mamb kua magum
@coolbz133
Жыл бұрын
Messi na Ronaldo hawakuzaliwa kwa utajiri pesa yao ni jasho lao nikweli huyo dogo ni mchezaji ila hategemei pesa ya football tayari kwao hela ipo kwahivo huwezi kumueka na wenye kupigania hela huyo ball acheza ni kama hobby yake.
@enockjoel2429
Жыл бұрын
Ni kweli sijakataa me nilikua tu nakuweka sawa uelewe kinachoongelewa maana ni kama ulimbeza msimuliaji wakat yeye hakuongelea kiwango cha mchezaji wala chanzo cha mapato ila tu mtu anayecheza mpira na ana pesa mingi kuliko tunaowajua
@richardmagasa4900
Жыл бұрын
Unafeli hapo,,,ishu ni utajiri sio zilitafutwa na nani,Mfano Mo anaesifiwa kwa utajiri Tz amezikuta zipo na akaendeleza tu
@princegerard4704
Жыл бұрын
@@enockjoel2429 Ni sawa Umshindanishe Mo Dewji & Bhakhresa ni mambo mawili tofauti 😂😂😂
@Aysha_ally
Жыл бұрын
😂😂😂😂wamwanzoooooo leo like zinihusuuuu😂😂😂😂
@samwelingasa1638
Жыл бұрын
Ningependa uweke makala William granham
@user-po1cq9so9h
7 ай бұрын
Yeah huyo ndie mchezaji tajiri duniani kuliko wote
@user-po1cq9so9h
7 ай бұрын
Mfalme tajiri duniani sie huyo mfalme wa Saudi ndie Mfalme tajiri duniani na ndie anaelipwa mshahara mkubwa duniani
@KasminaCreation
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana😎
@aminatanzanya7475
Жыл бұрын
EPL mbona sijawh muon au mbovu wa macho au huy pesa yeye anachot huwez linganish na Messi vs Ronaldo
@liberatusjackson5045
Жыл бұрын
Mwenye hera ndoo mwenyekula ki2 ata anaweza kknyanganya hata mkeo
@zaraally2295
Жыл бұрын
Naomba namba zake huyo mtoto wa 15 nataka tuongee jambo😊🤣🤣🤣🤣
@elijahchegere4974
Жыл бұрын
Njoo getoni kwangu utamuona
@suleimanbadru819
Жыл бұрын
Sasa unatuambia anatumia magari ya kifahari lkn pia unasema anaishi maisha ya kawaida sasa tushike lipi
@jacksonhaggai6771
Жыл бұрын
😂😂😂 aiseee
@feisalfarsy6562
Жыл бұрын
Shika unalona linakipaumbele ktk akili yako
@JELSONMAUKI
Ай бұрын
Hahahahaha hacha tu ww waandishi wetu umiza kichwa 😅😅😅😅😅😅
@babudingi-gd7pz
Жыл бұрын
Pesa za urisi izo bwana mesi ronado uwanjani mzee
@eliuskamwelwe1018
Жыл бұрын
Huyo karisi Mali Ronaldo na Messi wamesotea pesa zao wao wenyewe
@UtufyoPangachini-ru3yg
Жыл бұрын
😂nawewe lisi kama kulisi kama kulisi ni rahisi
@kajalamaganga1913
Жыл бұрын
Sasa mnalinganishaje mtu kazaliwa kwenye hela nawatu wanaojitafutia😞
@genius-3
Жыл бұрын
Safi🎉
@arafatyhussein
Жыл бұрын
❤
@nasibuahmedy2438
Жыл бұрын
SASA TWENDE KAZIIIIII
@othumanomari1589
Жыл бұрын
Sasamtu katokea blue nay unashangaa nini
@user-il8ir1uj3y
Жыл бұрын
Tumekuelewa ila utajiri wake ni WA kulithi
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
👊👍✌️.
@nawafbawazir8065
Жыл бұрын
First
@vailetheanyambilile9749
Жыл бұрын
😂😂😂😂Zakwake kalisi wengine wame pambana wenyewe
@elvisernest3280
Жыл бұрын
Atakama ila si zake
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
MSICHANGANYE HAPO,,,KUNA ZAKO,,KUNA ZA BABA,,ZILE ZAKO NDO ZIKUPAMBANISHE NA WATU.
@BONGOFASTA
Жыл бұрын
Hizo ni zake sio za baba, licha ya kuwa karithi izo ni zake. Kila mtu ana njia yake ya kupata utajiri, wengine wanarithi na maisha yanaenda.
@mohammedkidody5618
Жыл бұрын
Alaf ilo Leicester umekosea kulitamka kk😂
@BONGOFASTA
Жыл бұрын
Lugha za watu ndugu yangu.Nitakua makini next time.
Пікірлер: 50