Nagwa nakukubali na na husika wako yan wewe wanakuloga kisa Mali tu jaman., mashabik wa nagwa dondosheni like zenu tujuane
@noahchepe8036
5 ай бұрын
😂😂😂team mkojani gonga like hapa.. nguvu hamna ila kwa ndumba ni nomaa
@dullahdimba8423
5 ай бұрын
Leo nimewahi jaman team mkojani tujuane .Apewe maua yake anajua sana.
@lunangabenjamin3121
5 ай бұрын
Mkojani jinga sana kugeuka na kukaba sigara na ikavutwa hazani.wee ni noma kabisa.
@user-yy3kk2ez8y
5 ай бұрын
Du Safi saa kazi nzuri sana mpaka Tanzania yetu inanawili kwa ajili ya kazi yenu nzuri sana nawakubali mno wasanii wetu wa bongo move 🎉🎉 God bless all ❤❤
@InnocentArmadillo-do9vm
5 ай бұрын
Team mkojani movie poa sana good work ngoma nagwa
@user-nt8jm6lr5i
5 ай бұрын
Nakubali mauwa yenu mmpew
@T_BOYOGCODE77CALLBABAPob69ed1b
5 ай бұрын
Wakwanza leo nipeni like zangu from USA 🇺🇸
@rajabjuma1450
5 ай бұрын
Nmewahi cjachelewa Sana please naombeni Like hata tano tu❤❤❤❤❤
Пікірлер: 70