Iyo bia Serengeti lager ya Chapombe haiishi tangu wanzo wa Episode paka sasa 😂😂
@starmbumba
5 ай бұрын
Wakwanza mm leo star mbumba from star brand🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Dudahfelix
5 ай бұрын
Kicheche unapiga ,kazi safi mbwa wewe😂😂, Kenya tunaipenda kazi yako safi haina dosari❤❤❤🇰🇪🇰🇪
@LovelyArcade-wr4dl
3 ай бұрын
Me pia 😂
@Raihanfirdausimohammad
4 ай бұрын
Mimi naipenda ya family ya mze ki cheche kwa jambo moja tu hata kama ni wakorofi lakini wana omoja wana pendana lakini kubwa zaidi wana musikiliza baba yao nahilo ndilo jambo kubwa katika familia
@saidkizulwa5614
5 ай бұрын
Mpe sana nafas manyanya ana ki2 ukimtoa zaid atafika mbali #kicheche
@shafirukhassimu
5 ай бұрын
Anayemkubali kijana msomi agonge like kama zote
@user-ig9mi5gb1w
5 ай бұрын
Nawapenda paka bac 2 jamani naombeni likes,5. 2 alafu nawatakia Ramadhan Kareem kwa waeslamu wote ,mcsahau kulike
@user-zc1qh6ti2p
5 ай бұрын
Omba omba like group
@MohammedJaxksonlee
5 ай бұрын
Kwenda huko hupat like😂
@user-vc7fg4ns2d
5 ай бұрын
Kwaajil ya ramadhn kareem bc nakupa like zangu
@GriphineJonesGriphine
5 ай бұрын
Leo mm wa kwanza tokea Kenya wapi zangu likes kicheche family ❤❤❤❤❤❤❤🎉
@user-zc1qh6ti2p
5 ай бұрын
Mkenya omba omba like group
@GriphineJonesGriphine
5 ай бұрын
@@user-zc1qh6ti2p shombotola
@happinessshirima7166
4 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@happinessshirima7166
4 ай бұрын
Hahhha
@GriphineJonesGriphine
3 ай бұрын
@@happinessshirima7166 Nawe pia uko huku
@monysanga7516
5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Mwendelezo jaman mtuwahishie Mambo ni 🔥
@GermainNyembo
5 ай бұрын
Munipe namimi lake kwaku sapoti congo kama resort tunavyo uwawa 😂😂😂😂
@priscillahsirya6544
5 ай бұрын
Mzeee kichechee huyo familia ya kicheche iyo.... hawafanani tabia ndomana kumbe kilamtoto anawake maamaaa💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jazminewatanzi1854
5 ай бұрын
Mke wa Mze kicheche jamani atanivunja mbavu😂😂😂😂😂😂na familia yake kwa ujumla😂😂
@maylucson001
5 ай бұрын
Kipini 😂😂😂😂😂😂😂😂
@DeusJohn-ek3ch
5 ай бұрын
Kicheche ikiisha hii endeleza pesa na matatizo ile move ni nzuri sana please kicheche ukifanya iv utakuwa umefanya vzr 🙏🙏🙏
@user-xb7wi3lc9b
5 ай бұрын
jaman Kwan Ile iliishia wap?
@DeusJohn-ek3ch
5 ай бұрын
@@user-xb7wi3lc9b iliishia sehem ya nne. (4) be hajaiendeleza
@bonifacehamis4088
5 ай бұрын
Kabisa kali kuliko zote
@DeusJohn-ek3ch
5 ай бұрын
@@bonifacehamis4088 Akimaliz hii atuletee pesa na matatizo
@user-vb4hq2gr5p
5 ай бұрын
Hiyo ni kwéli
@MuhsinMohamed-jg7gw
5 ай бұрын
Kicheche my day maker❤From kenya'1,2 Ramadhan kareem 2all muslim brothers🥰
@sajouofficiel8978
5 ай бұрын
Nibora mzee kicheche asile lakini azagamuwe🤣🤣🤣🤣 upwiru ni hatari kabisa
@ChenchiKing
5 ай бұрын
Nakubali Xan Team Kicheche Tujuwane Hapa🎉🎉🎉🎉
@user-jw1yz8vq3z
5 ай бұрын
Ooyoooo
@edinarobert6716
5 ай бұрын
Kicheche naomba nafasi ya kazi tafadhali naomba unipokee tafadhali 👏
@salhamrishoi4943
5 ай бұрын
Twende naloooo mzigo huu hapa❤❤❤❤kicheche weye nomaaah😂😂❤🎉🎉
@salhamrishoi4943
5 ай бұрын
Uyo mke mwenza mwengine mzuri mashaa allah uyo mweusi
@Banyikwa-po2mo
5 ай бұрын
Dah kumbe hata ww waona nampenda pia ni mzuri
@user-zf4qh8cd6g
5 ай бұрын
My favorite movie ❤🎉🎉
@Patricelasway
5 ай бұрын
Kazi nzuri 🎉 Kwa muda Na muda wa kutosha Safi sana watu waige mfano wako 🎉
@mayaashassan3918
5 ай бұрын
Bg up sana Team KICHECHE 🎉🎉🎉
@beeyclasikytz8404
5 ай бұрын
Hii ndo kazi nzuri kuliko kazi zote alizowahi kufanya kicheche..... Kila kityu NI very unique madhari , wahusika , lugha yaani kila kityu kipo kwenye creativity kubwa .. MUNGU akujalie uzima pamouja na utimamu wa mwili sambamba na akili uzidi kukuwa Kaka mkubwa ......🙏🙏🙏🙏 Nakuona mbali Sana kaka
@justinemalekano4456
4 ай бұрын
Kibenteni
@user-oe6qe3qh9f
5 ай бұрын
Poa baba nakupata vizuri hapa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@user-px8ew9tg5d
5 ай бұрын
Kicheche is the best comédien tanz.
@NicodemusSimiyu-lg2ny
5 ай бұрын
Kuna mwingine anapenda chapati na mahargweeee😂
@Gujay7
4 ай бұрын
uyu MHA mwenyekit hahahaa anatishaaa sanaa
@azaliasigirukwishaka4540
5 ай бұрын
Mbona mnanisahau jamani like moja na Mimi ni furahi❤❤
Mwenyekiti anaongea kiruga chetu cha Burundi nakupenda sana
@wasomitv8487
5 ай бұрын
Ni muha wa kigoma
@user-jf6jn2nw7l
5 ай бұрын
nani kakudanganya kua kile nikirundi? ile ni lugha ya asiri ya kigoma kile nikiha
@AhishakiyeNeema
5 ай бұрын
@@user-jf6jn2nw7l ni kwl ni kirundi sisi warundi tunaelew Vyenye anaongea100%
@Christopherkulua
5 ай бұрын
Hhhhhhh huyo ni muha Sema tu tukijalibu kufanya utafiti huyo ni mulundi 😅😅😅😅
@EsperanceNzeyimana-wu8ks
5 ай бұрын
@@user-jf6jn2nw7lkiha ni kama kirundi
@magomakabanja480
5 ай бұрын
Mambo ya Kijijini Lazima Kachale Kawepo Kwa Niaba ya Kujikinga Na Wazee na Wabibi Wachawi 😂😂😂
@_Wayiva_mukuta_jean
5 ай бұрын
bravo kwako manyanya kwani umeweka historia, nakupenda kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩
@1stepproduction002
5 ай бұрын
Mazeee Manyanya ameibeba sana hii tamthilia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Msomi feki
@kamote9
5 ай бұрын
#KICHECHE KAZI KALI SANA NDUGU ZANGU SHABIKI YENU KUTOKA DUBAI
@Mkobabababunga
5 ай бұрын
we kicheche kati ya watoto wako akuna ata mmoja wakusema baba mi siwez kukaa kijijini mh... wanalohi ya ujasili or wanataka ww ndo uwaambie we kicheche haujuiiuii....
@marycephas7302
5 ай бұрын
Safi sana kicheche sehemu ya kuzangamua😂😂😂😂
@Harushanny
5 ай бұрын
Wakumi Leo nimechelewa kidogo 😢 kwahyo mnaninyima likes au😊
@user-zc1qh6ti2p
5 ай бұрын
Omba omba like
@user-vl7ye2xr2r
5 ай бұрын
Unataka za nn
@LyaMohammed-uc4dp
4 ай бұрын
Ukiskia Anaanza Kusema KITAALAM hapo ndo Fizikia Zinaanza na Baiyolojia hhhhh😃😃😃😃😃
@exaverymakoye6026
4 ай бұрын
😂😂
@julyjuly-ik9er
5 ай бұрын
Kazi safi. Much love from 🇰🇪❤️❤️
@user-sz2qp2tg6e
5 ай бұрын
Kicheche mbwa ww unatisha sana twahitaji kumuona uyo binti wa kiha akiwa katika ubola wake na limwanya lake anafulahisha sana akiwa katika ubola wake wa kiha jaman🙈🙈🙈 🙏🏽🙏🏽💖
@cristaezekiel1036
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂Maua anamambo 😂😂😂😂sio kwa kujipodoa huko 😂😂😂😂
@Patiri672
5 ай бұрын
Amagambo nibukebuke muhali 😂😂😂 tutamupeleka kwi soko I Mwandiga
@josephkikoti6907
5 ай бұрын
Si kiganza
@EsperanceNzeyimana-wu8ks
5 ай бұрын
Mwenye Kiti ni mrundi wa kwetu mwandiga ndahakumbuye
@user-pp3vo8rw5j
5 ай бұрын
😂😂😂😂hio imekuwa too much 😭💔😭 mzee kicheche lazima akose kula ila apate mzagamuo
@exaverymakoye6026
4 ай бұрын
😂😂
@rizikisam6481
5 ай бұрын
Huyu msomi nampenda sana 😂😂😂
@nancyg8664
5 ай бұрын
Ata mimi😂😂
@rizikisam6481
5 ай бұрын
@@nancyg8664 😂😂😂
@HAWAMAULIDI-zl5xd
5 ай бұрын
Vai na manyanya 🫶
@Uwamahoro-fefe.15
5 ай бұрын
Hongereni sana kwenu wote,mi simtu wakuomba like hapana ,mi niko hapa kwa kutoa support kwenu wapendwa ,uyu sibo kwanini hasemi jina likosolewe kwa lugha ya nyumbani ni SIBOMANA hapana SIBHOMANA hio H inafuata Nini hapo?kicheche family hongereni
@gogoloveofficial5666
4 ай бұрын
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
@Efootball2028
5 ай бұрын
Asilimia ngapi unampa kicheche kwaii movie 🎉tia like na comment kwenye comment yangu form USA 🇺🇲🇺🇲🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂kwa ugwadu niloupata kwa muda mrefu😂😂😂😂😂 upwiruu sapharing bg up manyanya njoo ndani 😂😂😂😂 mnajifanya kukaza mtakufaa like waloliona hilo
@user-xy1jm9kp2f
5 ай бұрын
Msomi,amazing brother u made it,much love from Kenya 🇰🇪
@Bradleycarlostawai
5 ай бұрын
Familia tamu hii❤❤❤❤
@lazaromwambene4516
5 ай бұрын
Nimemuelewa uyoo jammaa msomi namuelewa sana n❤❤
@kevooelisante
5 ай бұрын
Big up Team kicheche 🎉🎉🎉
@mohammedkidody5618
5 ай бұрын
Kicheche hii kazi kila ikiendelea inakuwa tamu big up kicheche❤❤❤🎉🎉🎉
@rodgersmwagu239
5 ай бұрын
Kinachonisababisha nifatilie hii movie ni yluyu jamaa wa mashairi
@ggfwtgg1652
5 ай бұрын
Munyama nimwingi muzee kicheche na familia yako 😅😅😅love much from Burundi 🇧🇮 ❤❤❤
@DeboraMwaipopo-ef1eq
5 ай бұрын
😂😂upwiruu suffering
@mpingojunior7038
5 ай бұрын
Manyanya nd mwamba😂😂😂
@user-hp7sb4co2j
5 ай бұрын
Mapenz kwenye hiiii movie yamezidi sana,,,,,,
@ramadhanihassani8518
5 ай бұрын
Shidaaa ya kicheche series zake haziimaliziii sijui analewa sifa kazii ni nzuri lakini hamalizi mfano kama ile moja inaitwa Rambalamba kazii nzuri sana sema hajamaliza
@hanifahkhamiss8485
5 ай бұрын
Hicho kipini cha pua demu wa mzee kichche😂😂😂
@user-yo9yj1fw3y
5 ай бұрын
Mambo hovio hovio😂😂
@user-mz5be1xm6s
4 ай бұрын
Nice job mzee kicheche
@JumaAbdul-im2oc
5 ай бұрын
Piga kelele kwa mke mtarajiw wa kicheche nimependa kipini Cha pua😅😅😅
Пікірлер: 1 М.