Did you see the MGANGA🔥😱 kzitem.info/news/bejne/raFqmJiApZ97nY4
@jacklinemuthoni4344
Жыл бұрын
Nitumiye number ya huyu mungaga
@BettyPetty-cn3tb
Жыл бұрын
Pl umejichaganya wallai mbona usiamini mungu.. mbona unaagusha mke wako navenye uwa anaomba,,,then utaambiwa mambo na uyu mgaga mengi tu Tena yakutisha
@carolwaithaka2223
Жыл бұрын
@@honestproductreviews5182Si umesikia si yeye amemtafuta sa atakosa kuchukua show ju ya mnganga
@princessshaz7859
Жыл бұрын
Pl i know you as a prayer man why are you involve in this why????.
@lidacall3896
Жыл бұрын
Brighton please weka life yako private my brother from kisii acha kuanika vile Mungu amekubariki sio wengi wanafurahia please ambia Angie b to stop kuonyeshana maendeleo yenu ushago
@trizertamoo247
Жыл бұрын
Yesu yesu yesu yesu your the best option. Your my everything my strength 😢😢😢
@selinamusita4450
Жыл бұрын
Sema tu hajawai rogwa
@janenyambura9010
Жыл бұрын
Pl wacha mambo na uganga ,mungu ndio mganga wa kweli, walai atataka pesa pesa mingi mkose kitawalamba, uganga ni wa muda lakini mungu ni wa milele.
@jemilahfaith1060
Жыл бұрын
Nakubaliana nawe kabisa, wamrudie mungu
@brendahkukunda8445
Жыл бұрын
The Bible says that those who kill spirits are there and those who heal those spirits are also there
@selinamusita4450
Жыл бұрын
Bora wamesaidika
@Themiss760
Жыл бұрын
Aliona boyfriend wa Aniitah akila nyasi, kitawaramba sawasawa
@janenyambura9010
Жыл бұрын
@@selinamusita4450 sijakataa but ni ya muda tu,mganga atakuambia ata kitu akuna to confuse ur mind useme ni ukweli but yeye ni pesa tu anataka,fay sai ataenda tena kutafuta mauchawi ingine
@stanleywaita
Жыл бұрын
Even acting deserves some creativity... Pure conmanship
@dianachelagat8443
Жыл бұрын
I better wait upon the LORD,, even if it will take long,, still i will stand with HIM
@naliakafatuma9870
Жыл бұрын
Ameeeen Hallelujah ameeeen in GOD we trust in JESUS name ameeeen be blessed my dear shalom
@dianachelagat8443
Жыл бұрын
I can urge people not to rush into witchcraft,, it has consciousness,,,,
@susanomao4226
Жыл бұрын
Ameen
@maureenotieno8222
Жыл бұрын
AMEEEEN God will fight for me forever
@shanizmoraa5851
11 ай бұрын
Mbona akapotea bila sisi kuonyeshwa😂😂😂
@choosen.one-2
Жыл бұрын
Mumechoka na Mungu..ni mganga sasa...Amelaaniwa amtegemeaye binadamu..Trust in God no matter bad or good..be patient...ahadi zake ni kweli...Keep praying..ya wanadamu ni ya mda...
@SarahMwania
Жыл бұрын
Even those pastors you a talking about are human beings and some of them are very dimonic
@choosen.one-2
Жыл бұрын
Understand when I say..usitegemee mwanadamu..it can be pastor or mganga..pray ..belive in your self and Give God time to answere
@carolynesongore1948
Жыл бұрын
Wameona maombi itachukua Muda,ndio maana wameenda hiyo njia.Mimi na Mungu wangu hataachana.mombi ndio njia.
@gracekitema-cq3gv
Жыл бұрын
Hawa wote wamelaaniwa
@Shamza401
Жыл бұрын
The so called mganga anawamanipulate.i pray God awafungue macho
@fridahkarimi5510
Жыл бұрын
Psalm 91,eti unasema mganga ni mwokozi wenu??? Kufunguliwa nyota???this is jumping from frying pan and jumping to the fire. Huyu kijana huwa anatembea pamoja na Brighton alikuwa anaomba na leo anaenda kwa mganga? Why your faith has drifted away??? Hata mmevaa smart kuliko mganga. Brighton stay away from these people trusting uganga,this will open a door for demons to have ascess you. Kila mtu ako na watu wasio mpenda ni kawaida even the Bible God says he make a table in front of our enemies so God is aware we have enemies but atawashughulikia mwenyewe. No weapon formed against you will prosper. Brighton Brighton stay away from huyu kijana anaamini uganga please because of God judgement and wrath of God against idol worshipers.
@nellykerubo64
Жыл бұрын
Indeed
@cyprineanunda8358
Жыл бұрын
Aki watu wa mtandao mnanishangaza saana mara tafuta ooh mara apo amjafanya poa mara ooh pia nyinyi mnaudhi saana
@mumblessed001
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂hehe wanadamu ukifanya hivi ooh ukikosaa kufanya ooh better kunyamaza
@trizertamoo247
Жыл бұрын
Kwani hakuna mganga Ako smart 😂😂😂😂😂😂wachafu 😂😂😂😂shindwe mapepo ya jagwani 😂😂😂😂kwa yesu Kuna Raha ....yesu wewe ni Kila kitu kwangu ❤❤❤❤ your my strength my hope ❤❤❤
@winfrendkaninibenedeta8963
Жыл бұрын
Ukiona nyumba zao waaaaah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🏠
@tituskiptoo1664
Жыл бұрын
Because they can benefit from Uganga money
@hamidaabdul6004
Жыл бұрын
It's a shame that young people have decided to take this direction 😕 why not trust in God
@carolynesongore1948
Жыл бұрын
🙆♀️🙆♀️wueh.tunaelekea wapi?seriously
@jacklinerudisi5116
Жыл бұрын
Very true... Aki mungu shuka utuokoe jamani, youth wameekusahau jamani
@Bosy-c7r
Жыл бұрын
@@jacklinerudisi5116God is not coming as soon as we think😢😢😢
@jacintamuiruri9507
Жыл бұрын
Haki
@misheckmwangi1805
Жыл бұрын
Dr sio mbaya nguvu amepewa na mungu
@theellenas5467
Жыл бұрын
Wapendwa just depend upon the LORD only, hizi nguvu za giza haziwatasaidia
@gracekuria9444
Жыл бұрын
Hakuna siku giza na giza imeshidana aki heri mgeenda kwa maombi aki😢😢😢
@evalinemwelu
Жыл бұрын
Kabisaa....
@CarolineMutiso-rb3lx
Жыл бұрын
Hii ni uongo
@elizabethmusimbi432
Жыл бұрын
Kumbuka dawa ya moto ni moto
@maggieshi690
Жыл бұрын
Ingekua ni Giza na giza Churchill hangefaulu huyu ni kurogoa wenye wamerogwa dawa ya moto ni moto
@mangeraalbert7982
Жыл бұрын
Enda wewe
@Janejj-k3c
4 ай бұрын
Tunaishi kwa neema ya Mungu akii thanks God of the gift of life i love you and i need you always usiniache Mungu ata seconde moja sitaweza
@josephinekagoi5805
Жыл бұрын
I kneel every hour pleading with God for my babies. Always shield them. At the Calvary, Jesus died, may the sprinkles of Christ's blood always protect my babies. Show us the way, guide our children the righteous ways
@LilianKahaso-em1ek
Жыл бұрын
Pl Sasa umeanza kupotea walai 😢 please Rudi Kwa Mungu Giza na Giza haviwrzi shindana weka Nuru kwenye Giza hata fay aokoke kama Shaniz ningefurahi Sana ak please please and please mrudie Mungu
@teresakemunto2039
Жыл бұрын
That man has no power anatafuta peza plz don't trust on him,just have Faith in God 🙏🙏
@wendie954
Жыл бұрын
Fair is no more 😂😂😂😂
@estherwambui8847
Жыл бұрын
Very young souls..what a pity..mungu nisaidie kukuamini forever surely...tunaelekea wapy.
@everlineodiri3283
Жыл бұрын
Brighton tafuteni Mungu, uachane na hii Mambo mmeanza,..
@naomichui8867
Жыл бұрын
Hope wameskia juu hii ATA ni ujinga wanafuatana nayo hapa
@candydolly7726
Жыл бұрын
LORD JESUS IS THE HAMMER OF THE WICKED WITCHES FOREVER.
@shiksjustin
Жыл бұрын
PL tafta pastor achana na waganga
@carolynesongore1948
Жыл бұрын
Na yule Pst.Peter alienda wapi?
@janeopondo8184
Жыл бұрын
Uchawi it's really i can't judge anything but let's hope for the best for all of you
@paulinemuita7978
Жыл бұрын
Wah! Kuna true pastors pl.lets focus kwa Mungu tuachane na waganga
@Rose-hy3kc
Жыл бұрын
Waaaat so its really happening Kuna wachawi Mungu kumbuka watoto wako uchawi ushindwe kwa jina la Yesu...
@esteleem1792
Жыл бұрын
afadhali kumgonja mungu, ata kama itachukua muda, baraka zake hazina lawama
@elizabethnafunamakhanu8064
Жыл бұрын
Mganga wa boxer aleko ako poa pia
@Joannekesa-cc2ib
Жыл бұрын
This awesome I like it Bora mkimaliza pia mzidi kuomba
@Tecysony
Жыл бұрын
Alaaah kumbe mabawa ya kuku ni nguvu😂😂😂😂😂😂😂
@nicolecole4226
Жыл бұрын
Kitu chochote hata tawi inaenza kua na nguvu
@euniceoyule423
Жыл бұрын
Huez elewa ogopa kitui😂
@MESHACKMUTISYA-vf3np
Жыл бұрын
The truth be told, Giza na Giza hawashindani. Heri maombi ya real bana
@christinenzilani5273
Жыл бұрын
Fans this is real acting .hao vijana wote nawajua vizuri sana.huyu ni mganga ni wa uongo kabisa.huyu jamaa anaishi karibu na plot ya muje. Hapa pipeline karibu na quickmart ya pipeline ata ako short guy wanashidaga hapa chini kwa plot yetu mahali kunauzwa maji.nawaonaga tu nikiwa kwa plot .
@Shamza401
Жыл бұрын
Ata anakaa tu
@lucylucy6476
Жыл бұрын
Ngai
@shikusteve
Жыл бұрын
Pl utajua haujui sasa heri mgeenda maombi nyinyi mtajua kuna Mungu kitawaramba sana hamtambui Mungu pl umesahau uko n family okey endelea
@MilkaKabura-xf2fg
Жыл бұрын
The only man I know anaweza solve issues kama is ni mungu mungu wa juuu binguni mwenye aliuba izi mapepo
@RachaelMwende-v2u
Жыл бұрын
God,mmeona Mungu hana nguvu jameni,mtupu sana ,Mungu ndiye mwenye nguvu zote,
@naliakafatuma9870
Жыл бұрын
Please put your trust in GOD please nothing impossible to him amtegemeaye mwanadamu amelaaniwa MUNGU ndiye mwesa wa yote katika Jina La YESU KRISTO aliye BWANA na MWOKOZI wetu ameeeen BABA yetu wa mbinguni awe Nanyi nyote awatawale awaongose vyema kulingana na mapenzi yake mema yatimize hapa duniani na kama huko mbinguni ameeeen
@KinlightNaututu
Жыл бұрын
But some times inakubidii
@GeorgyDzidzye
10 ай бұрын
Dactari mungu akuzidishie I do apriciate yu
@minbroderfarguzzarhitaditt2365
Жыл бұрын
Brighton Thee PL. Mme amua mwende kwa mganga 🤔. Damu ya Yesu iliyo mwangika ina weza mambo yote! You could have gone to the Rock of ages
@bahatiabc4291
Жыл бұрын
Mganga ako sawa ye harogi anasaidia Debby kwa pastor pia tutafika
@CarolineWavinya-w6k
Жыл бұрын
Uyu mganga ako sawa
@Juliet-q7l
Жыл бұрын
Is it really true story about faith ama ni uwongo hozi
@Jessicabrown187
Жыл бұрын
Sasa Giza na Giza zinaweza saidiana kweli...lost generation I wish mngejua the power of blood of Jesus
@kristianadamcelshow2109
Жыл бұрын
JESUS IS ALWAYS MY STRENGTH AND MY PILLAR 🙏🙏❤❤
@FayNirrah
Жыл бұрын
😂😂😂 oligooooooossss fireeeeeee 🕊️🤣😂
@nellyjohn580
Жыл бұрын
Congr🎉 kwa mwenye ameleta mganga
@LeahShantel
Жыл бұрын
God is my everything siamini uchawi mm
@Shamza401
Жыл бұрын
Instead mtafute yesu mnajichanganya kwa wachawi.may God open your eyes IJN
@felistusmweni2582
Жыл бұрын
Uuui.. Jamani Ray unasema pia we ugagwe🤔🤔🤔🤔🤔🤔Jesus is My savior. Forever
@euphrasiaikhungu5681
Жыл бұрын
Sasa hizi ni gani 😮😮😮Sasa pl umejiletea dipration waaah,,,
@musaliaeugene7975
Жыл бұрын
Kwani bro mbona hamuezi kuita man of God mnaleta mganga mchawi atatibu aje mchawi mwenzake
@esthernelima4413
11 ай бұрын
Hata pia unikinginge imefanya nicheke😂😂😂😂😂 ak pole
@mablenanzala254
Жыл бұрын
Njoo kenya ujionee mashetani live
@theellenas5467
Жыл бұрын
Mwokozi ni YESU pekee
@metrineanyango3704
Жыл бұрын
😂churchill unaambia mganga afunguwe nyota yako!!aki plzzz rem uyu mganga mmoja aliiumbwa na mwenyez mungu,
@jshsghehd9628
Жыл бұрын
Yesu ndiye mweza yote ....naamini mungu izi hapana
@MoniqueJoya3595
Жыл бұрын
Amini Yesu izi ni vitu ndogo na mganga hawez zaidia ataendelea kuwangaisha ili mmtafute...hamtaaamini matokeo
@Lilian-gk1ce
Жыл бұрын
Pl wachana na hizi uchawi ona sasa ameanza kukudanganya ety kuna mwanamke hakutakii mabaya 😂😂😂na hayuko kenya ama n team strong 😂😂😂😂
@ivydavine
Жыл бұрын
Waaahh mganga from kenya joined 😂
@winniegasheri2137
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂Heri wangekimbilia mungu coz hata Hao waganga wameumbwa na mungu
@jxcalljcntareey8111
Жыл бұрын
😅😅😅😅😂
@ivydavine
Жыл бұрын
@@winniegasheri2137 wewe hata ukiangalia huyo ni mganga ama ni msee tu Hawa wa nduthi??
@achiengtruphena4255
Жыл бұрын
Kuna watu wanasema huku Mungu tu lakini vitu wanafanya 😂😂😂😂 anyway mungu leo mungu kesho mungu milele 🙏🙏
@carolinemutisya2674
Жыл бұрын
😂😂💯anyway who I'm to judge😂💔✌
@sonniemsooh7613
Жыл бұрын
Brighton and Ray mchunge hii uchawi isiwaback fire 🔥😢kama calvo,,,, better kwa upande wa Mungu 🥺
@SimiyuNdunge
Жыл бұрын
Kwanza ray anasema ye ni mwokozi wao
@sonniemsooh7613
Жыл бұрын
@@SimiyuNdunge imagine kusahau God
@EstherWangare-nd9oc
7 ай бұрын
Yesu christo pekee ndie ngao yangu na wokovu wangu
@marthamueni8509
Жыл бұрын
Pl don't be stressed by this man just believe in God
@gracekitema-cq3gv
Жыл бұрын
Hii ni ufala wanafanya hapa akuna uchawi uwekwa wazi
@EstherWangare-nd9oc
7 ай бұрын
Vijana someni hiz coments,watu wanaambia mrudie Mungu juu mganga na mchawi ni kitu kimoja.Mungu pekee ndie anaokoa
@ruthwittmann3392
Жыл бұрын
Hei Briton ,Naomba Number
@winniemwesh6778
Жыл бұрын
Kwani hakuna mganga anakuwaga smart amerarukiwa ,kwa yesu kuna raha na amani
@mercyondisa7513
Жыл бұрын
😂😂And they ask alot of money. Sijafurahia Hii mambo ya mganga coz they have conneced themselves to it
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Ahaaaaaa🇹🇿
@likwiloagnesagu2252
Жыл бұрын
Please pl trust in God Acha stori mingi remember tuko in end times many will be deceived
@zipporahkirigwy6783
Жыл бұрын
USHAWI uko but haushindi nguvu za Mungu.
@davinanafula6611
Жыл бұрын
@@jadee.302ati apewe nyota 😂😂😂😂
@davinanafula6611
Жыл бұрын
@karenmakandi1047 sn 🤣🤣🤣 maoni
@evelynejemeli4975
Жыл бұрын
Kwa yesu kuna raha tupu😊😊
@everlynenandwa2301
Жыл бұрын
Mambo ya kupatana na mtu hapa mjini na mnapendana haki watu wajihadhari dunia imeharibika
@mariakemmie5114
Жыл бұрын
Brighton mbona mnabelief in witchcraft just look for a pastor
@kipyeqonchepkwony177
4 ай бұрын
Brighton munitafutie huyo dakitari please
@FelixOchieng-ue6cn
4 ай бұрын
Hapa ni wapi
@dollypassy
Жыл бұрын
Pl Pl Pl nimekuita mara ngapi.Gideon alianzisha mutindo poa sana ya kwenda Kwa pastor Eziekiel na mambo ilikuwa imeanza kuwa sawa saa mumebadilisha mukondo mumeanza kwenda Kwa uganga na Mungu hapendi cahanganya.Hizo pesa munaaribia Kwa muganga mbona hamugeenda Kwa mchungaji
@sherinekegehi7209
Жыл бұрын
Mganga hajigangi,watu wa levyne mko wapi🤣🤣
@annahlivingstone7834
Жыл бұрын
😂😂😂
@maryandesh151
Жыл бұрын
Ambia daktari afungue kanisa..ataenda mbali coz watu wanataka miujiza
@LydiaLydia-iw6qt
Жыл бұрын
Maaaaa hapana makenzi wa pili noooooo
@manasra7044
Жыл бұрын
Naomba no. Ya mganga please
@tiarareigns8547
Жыл бұрын
Huyu msichana anakaa tu shetani hio sura 🥹🥹🥹🥹🥹 alale gu forever 🥹🥹🥹🥹
@RaelJepleting-dz7eg
Жыл бұрын
Waa kanairo majabu wakamba wamejitokesa
@trizertamoo247
Жыл бұрын
Giza Giza Giza Giza shindwe pepo riswa😂😂😂uwongo uwongo uwongo 😂😂😂😂mapepo ya jagwani 😂😂😂😂 Jehovah God your high higher than this ❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Achana shetani na shetani wakipata a watamaluza ndeni mavueni kwa pastor ezekekiel hyo dio mtajua😊
@sallyanointed01
Жыл бұрын
Mmejaribu but next jaribu adi ikae real😂😂😂😂😂
@metrinenasimiyu-nv2kf
Жыл бұрын
Mbona hamkuleta pastor adi mkaleta mganga kitawaramba wote pl umeanza kuboo kwa Channel yako
@willyswilliamson5708
10 ай бұрын
Mwokozi wenu???
@nellykarimi436
Жыл бұрын
Hii ni editing kudisappear gani 🤣🤣🤣🤣🤣 endeleeni kubebwa ka matumbo ya fote😂😂😂
@metrinenasimiyu-nv2kf
Жыл бұрын
Msijifanye hamuoni vile churchil ameduwaaa😂😂😂😂😂pl kama chenye daktari anasema ni ukweli ama uongo c uonge tu mbona unaduwaaa
@jacklinemurithi
Жыл бұрын
Mumeeka tumaini kwa mganga surely pl ata kama maisha imekua ngumu aje? Heri kwa mungu cku zote.kama mlishinda ya Calvo ata ii mngeshinda tu
@eyuvetkake3805
Жыл бұрын
Saidia Debby plz
@metrineanyango3704
Жыл бұрын
😂😂😂eee mungu,,niongeze nikutumikiye ww jehova ww ndiye mganga na mwamba wangu,,jueni awa waganga n business wanafanya,,enyway all in all thenks 2 mganga.
Пікірлер: 703