Hope youth wenye tukona simu tunawechezea wazai wetu hizi video....fungulia wazai wenu hizi video b4 tym y kulala
@pemb-y3s
2 сағат бұрын
Tuungane mikono sote kutoka Gen Z's, Millennials na wakenya wapenda nchi yetu. Hawa watu wote tuwaondoe serikalini Mishara tuna wapatia mikubwa bila kufanya kazi ya wananchi ni wizi wizi na safari za nchi za ngambo kuficha pesa zetu. Choo kama hizo wale wametembea nchi za nje hazikubaliwi kutumiwa hata ni mbwa. Projects huwa zinakua lau ched Ruto anachukua zake, zingine governor wanakula na Mps na, mca's, contractors na wezi wengine.
@CHARLESNDOLO-fu3rg
5 сағат бұрын
Cyprine ! I❤ your coverage about Morara! He is Amazing!
@charlesmecha3115
6 сағат бұрын
Comrades this is Wizi Wizi bila kazi and remember kutenga sio kutenda
@jacksonmakau8826
7 сағат бұрын
Crime scene
@omarratibu9709
5 сағат бұрын
Naomba aende kilifi pia tuone kazi ya Governer
@charlesmecha3115
5 сағат бұрын
Wizi Wizi bila kazi; comrades our future depends on the actions we will take against this immoral politicians
@muthonijgatia4350
6 сағат бұрын
Hio ni group moja na ruto kuchagua gachagua ni kurundisha ruto kwa kiti
@williamobaga7460
5 сағат бұрын
Please share the phone numbers also by posting them here.
@Cyprinetv
5 сағат бұрын
Niliisoma but will pin
@fancymercy814
3 сағат бұрын
The guy is a Genius ❤❤
@usiniletee
4 сағат бұрын
Jesus, this is serious
@GoldDiamondJewelsGDJ-mu9hn
Сағат бұрын
We shouldn't sit idly while we watch corrupt politicians make Kenya a hell hole!
@jane-t
4 сағат бұрын
Enyewe Kenya is a crime scene, politicians are milking this country....today was in a bash and people are convinced that Adani is a done deal. Is it true? And what can kenyans do? We need to take charge
@rachaelkeino3624
4 сағат бұрын
Kwani wee umehenda uko na mguu??
@AthumanOsoo
4 сағат бұрын
Real, kenya tumelaniwa
@johnmwangi9231
4 сағат бұрын
Sauti ya mike iko down!
@rachaelkeino3624
4 сағат бұрын
2020 Ruto was no the President. Stop talking nonsence
@JaredChris
3 сағат бұрын
2022 October who was the president, stadium of kericho is crime scene 😢
Пікірлер: 22