Nimependa leo umejibu kiukubwa na siyo yale majibu utumbo hongera na mungu akupe zaidi kipaji
@malietamaliet
2 күн бұрын
uwe unajibu hivi ila sio majibu yakitoto utafika mbali sana lastborn wa mama ukitaka kurudi yanga kuja upambane ndo maisha yako achana na wanaokujaza
@arafatmbaruku8927
11 сағат бұрын
Hawez kurudi utopolo hyo miaka mia
@halimasawa611
2 күн бұрын
Siku zote mtto kwa mzazi haku...fei ❤yanga n nyumban njoo wala usione haya wala usijipe mawazo....wanayanga wengi wetu tunakupenda sana ....yan iyo siku ukirud wallah nitafurah sana juu we n mchezaj wangu pendwa❤
@LauMagwaja
Күн бұрын
Achen unafik utopolo umeona ajafel ndio mnamtqman 😂😂😂😂
@halimasawa611
Күн бұрын
@@LauMagwaja hisia zako izo za kijinga usifikirie kila mtu ana hakili km zako
@KasimChaula
2 күн бұрын
Mashabiki wa yanga ni wanafiki mno huyu fei mlisema anamloga azizi k ndo 7bu azizi kutofanya vzr Leo mnasema tunakupenda Rudi Mara fei ana gundu duuuh wabongo tuacheni roho mbaya
@Carolina-sm5zt
Күн бұрын
Mashabiki ndivyo tulivyo huoni hata wachezaji tunavyo wabeza pindi wasipo fanya vizuri huwa tunasahau yote inabidi tubadilike
@stevensosipita
12 сағат бұрын
IKIWA YEYE BINAFSI KAAMUA KURUDI YANGA NA UONGOZI UMEKUBALIANA NAE SISI MASHABIKI TUNANGUVU GANI YAKUPINGA?NA UNAFIKI WETU UKO WAPI?KUWA NA AKILI BWEGE WEWE
@sabriysoudy5623
2 күн бұрын
Umeongea vzuri sana, very professional
@pacomezouzoua9175
2 күн бұрын
Zanzibar finest🎉
@BernadethaFundi
2 күн бұрын
Fei.we❤❤welcome.
@Carolina-sm5zt
Күн бұрын
Fei ni mwanetu haya mengine yote yanapita mana sisi Binadamu huwa tunataka mazuri tu na si mabaya Mungu akulinde Mwanetu
@FatmaSalm-jn4xu
2 күн бұрын
Mdogo wangu fei pambana mungu atakupa hitaji la moyo wako❤ nakupenda sana
@Realngwangwa
2 күн бұрын
❤❤
@simonlukiko2850
2 күн бұрын
FEI RUDI NYUMBANI MDOGO WANGU KUMENOGA KAKA
@LauMagwaja
Күн бұрын
Utopolo 😂😂😂 bado mjasema
@rogersiddy
20 сағат бұрын
Aje kufanya nini wewe acha mnafiki abaki huko huko Yanga wanakula ugali na sukali aendelee kula ramba ramba na mikate tu😡😡😡😡
@abubakarysaid2772
20 сағат бұрын
Arudi nyumban kwake fala huyo@@rogersiddy
@hasanimkamba8377
2 күн бұрын
Kalibu sana dogo yanga ipo tu
@AllyNakopa
10 сағат бұрын
Fei mpira ni kazi karibu nyumbani
@user-rr7du8om1z
2 күн бұрын
Hii ndy maan ya wznzibar tofaut na nchi nyengne
@renatusngeleka6059
Күн бұрын
Msimu ujao atacheza Njano na Kijani tunzeni ujumbe huu na atakuwa mchezaji wa ndani anae lipwa fedha nyingi
@haidarysalehe9056
Күн бұрын
IPO SIKU FEI utarud YANGA man NI home
@mussakilo4916
2 күн бұрын
Mimi natamani urudi yanga au simba utaenda mbali lakini huko dahh nakuombea mungu ufike mbali
@AloziaKanyungu
2 күн бұрын
Fei kaongea vizuri lakini hata mwandishi umeiva
@braystuskibassa3842
Күн бұрын
Hapo Azam kumbe upo kama kivuli tu ndo hujitumi mpuuzi kweli
@josephlambo2433
Күн бұрын
Rudi yanga
@othmantv2654
2 күн бұрын
Fei rudi yanga...wananchi bado tunakupenda😢
@AhmadaHassan-gy5uj
Күн бұрын
Aje kula ugali na sukari? Sema unampenda sio tunakupenda
@LauMagwaja
Күн бұрын
Utopolo bado mjasema 😂😂😂
@loitengia4217
2 күн бұрын
Ukirudi yanga tunakuisha ugali na mchanga😅
@ReiphanLusungu
Күн бұрын
😂😂😂😂apo umeenda mbali sana
@eliathomas8446
Күн бұрын
Kumbe kuna saa unatumia akili😂😂
@ajibchinguwile6127
11 сағат бұрын
Fei toto hafai kurudi yanga tena .Atafute kwa kwenda sio yanga Ni kichefuchefu huyo
@ArnoldRwegasira-hp9gt
2 күн бұрын
Mtangazaji ndio huyu Sasa anauliza maswali mpaka unapenda
@JumaJuma-g5e
Күн бұрын
Ubwela. Hamuna. Maana. Bhannaa
@attiliokasuga1764
2 күн бұрын
Huyu ni fala tu! Anafikiri wote ni watoto kama anavyoitwa yy. Ishia mbali na Yanga bwege we!
@MAGOHABENEDICTOTv
2 күн бұрын
Kuwa muungwana bro! 😂
@SADICKITHOMAS
2 күн бұрын
Samatta akili zake ziliangalia mita mia nane cz aliona hili soka la bongo lingemfelisha
@rashidalihamad7228
20 сағат бұрын
Ila wewe Mzee unaoneka umezeeka hata mawazo, chuki hazikusaidii na yeye kwa Kila mwezi anatengeneza zaidi ya milioni 20. Sawa wewe hangaika na chuki zako😂
@rashidikhassim8125
2 күн бұрын
Yani hapo umejibu kinyangindo safi
@isakajacob3758
2 күн бұрын
Kuhusu swali la kirejea yanga au simba... Kijana ataenda yanga tu maana kajilanyaga kweli kujibu😂😂 ni sawa na mtoto kutaka kula wali Kwa watu anajichatua kula kumbe anatamani
@HumphreyMapunda
9 сағат бұрын
Kuna sms humu za uto wanajikomba Kwa fei Hadi sibu
@mgallason...5686
Күн бұрын
Hii nchi ngumu sana
@KhamisHamad-v7f
2 күн бұрын
Come back home guy we love you so much
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
2 күн бұрын
Home ipi chief ....???
@ajibchinguwile6127
11 сағат бұрын
akirudi yanga huyo atasababisha mgawanyiko kwani huyo alikuwa anasababisha Azizi K kukalia benchi sana Enzi za Nabi likuwa ni hatari sana kuua kipaji cha Azizi ki Hafai huyo
@siliviasimon7970
9 сағат бұрын
😮
@user-jj3tq1rh4p
Күн бұрын
umeanza kuwa na upeo wa kukua na anae kushauri aendelee kukupa darasa
@jumashedafa
2 күн бұрын
Rudi yanga si dhani aliyekishair nan kwenda Azam ila pesa ulizofikiria hapo ni chache mno kama ungekuw mvumilivu kwa kichache ukaupiga mwingi kimataifa huend ungeend kupga pesa nyingi nje ya Tanzania mf; morocco, misri, tunisi n.k ila kwa Azam hiyo dah! Umejichimbia shimo kuonekan kimataifa ni ngumu..Kama ikishindikan yanga nenda ata simba tu kwa faida ya kupga mpunga nje wa kutosha na kuja kusaidia Taifa
Mchezaji gani asietaka kucheza yanga ilivoyamoto na yenye malengo makubwa? Hata watu mwenye akili huwa anaweka malengo na mtu mwenye blight future,siyo kila siku unarepeat pale pale huo ni ulemavu wa akili
@KevinPhilberth
2 күн бұрын
Nakubar saan kaka,,
@FestusmartinBaharia
2 күн бұрын
Cna maxhaka na kiwango cheke Rudi nyumbani
@waltermshanga4559
2 күн бұрын
Fei bado anaipenda yanga atarud huyu inshaallah
@CostantiniSabini
2 күн бұрын
Karibu unyamani
@susumantalanta8505
9 сағат бұрын
Na nyie watangazaji sometimes mnakuwa kama mafala, we mtu alishanukuliws akisema rais hapokei simu zake na hawezi rudi yanga hadi rais aondoke we bado unamuuliza kama hawako au wako vzr
@shabanimbega40
2 күн бұрын
Wewe nenda huko Yanga hutarudi tena. Baki Azam au nenda timu nyingine
@rizikiabdalla2501
Күн бұрын
Ok kumbe yanga ni ya baba ako na ww ndioo unae amu nani aje nani asije au
@robertphilip385
2 күн бұрын
We mtoto Rudi yanga utimize malengo Yako ya mafanikio Dunia ikuone
@shukurumgaya5950
18 сағат бұрын
Rudi hom
@ramadhanilukongo255
2 күн бұрын
TUSEME KWA PAMOJA ""AZAM BINGWA""
@saidmakamo8764
2 күн бұрын
Paka mama yko cc tunasema tunamhitaji kama anakubali kosa lake atuombe radhi tu.
@HappyEel-wg4qx
2 күн бұрын
Sema kweli acha unafiki wako
@JelaMakuka
2 күн бұрын
Sisi Kama wanayanga atumtaki uyoo bwege
@AhyadAbubakary
19 сағат бұрын
Ukitaj kua na maendeleo ya soka achana na yanga
@greysonkisinda7390
10 сағат бұрын
Aje simba au sio😂
@AhyadAbubakary
3 сағат бұрын
@@greysonkisinda7390 ndio c mulimzarau
@AhyadAbubakary
3 сағат бұрын
@@greysonkisinda7390 munalipa watu hela ndefu Nina mzarau
@jumanneenos2481
2 күн бұрын
Endelea kupata Raha, ulikosa Raha sasa unapewa Raha
@Muhammedually
2 күн бұрын
Hakuna kitu hapo,abaki hukohuko kwenye urojo
@safarimashimba5080
2 күн бұрын
Mchezaji mkubwa kwenye timu ndogo!😂😂😂
@filbertntibasiga8093
2 күн бұрын
Rudi nyumbani dogo hujaua
@FadigaObet
2 күн бұрын
❤😊😊😅
@SaidAlly-uh4qw
2 күн бұрын
Ugali na sukar😂😂😂
@shafiimdogwa1482
2 күн бұрын
Ona sasa Utakavyo Ongeza Follow Wengi Rudi Nyumban
@TemboMedia
2 күн бұрын
Eti au viuno?😅😅😅
@PauloAlfayo-qi1gn
2 күн бұрын
Fei Leo nimekuelewa kumbe Huwa nakuchukia Bure kumbe watu ndio wAkuzaji rudi nyumbani bwana fei ongera na rais wa yanga una hekima kama injinia nimekusamee mdogo wangu
@Mumewangu
2 күн бұрын
Hamna lolote mulimtukana sana
@neemamwijage
2 күн бұрын
@@Mumewanguyani ningekuwa yeye nisingerudi yanga wakati timu zipo nyingi
@Shadia544
Күн бұрын
Ukirudi yanga namia azam ili nikawe mshabiki wa azam tuu wewe ulisema kuwa yanga ulikuwa ugali na sukari 😂😂😂
@HappyEel-wg4qx
2 күн бұрын
Ww uongo umezidiwa tu maji ya shingo huna chakuonge
@Mawejr2012
2 күн бұрын
Ila Yanga bado ugali na sukari upo
@SaidiYahya-t1c
2 күн бұрын
Feilasufi
@MussaKitaluta
2 күн бұрын
Hapana Baki hukohuko azamu
@ReiphanLusungu
Күн бұрын
Dogo miuno umejitahidi kuonge endelea hivyohivyo maana umetambua kuwa yanga nikubwa kuliko wewe😂😂😂
@AbubaMuhamedAbuba
2 күн бұрын
Siku atakayorudi yanga huyu timu itagawika vipande vipande.huo uzuri wake auoneshe Azam kwa kuchukuwa kombe .mwana kulitafuta
@EduardwarrenPl
2 күн бұрын
Si ndo huyu huyu aliyesema kua Heris akitoka yanga anaweza kuendelea kucheza yanga... Leo anasema hawajawahi kuwa na tofauti
@FatmaSalm-jn4xu
2 күн бұрын
Mbona wapo wengi wanagombana na wanaelewana kwani wewe hujawahi kugombana acha manenoyako
@neemamwijage
2 күн бұрын
Sasa rais wa yanga ashaanza kumpigia simu aliona simba wanataka kumsajili akaanza kupiga simu ili asiende simba 😂😂
@godfreymakau3932
Күн бұрын
Asaivi umekua akili yako inafanyakazi vizuri utafika mbali
Wewe ulidhani bila wewe yanga inakufa eti ugali na sukali rudi sasa hivi ugali na chunga😂😂😂😂😮😮
@AgnesJohn-f1r
2 күн бұрын
Eti mnawasiliana vizuri tu 😂 Azam mwangalieni huyu haeleweki atawauza huyu mnawasiliana kuhusu nini Azam fukuza huyu paka 😂😂😂😂
@ZaidAKissinza
2 күн бұрын
Huyu Fei kama mtazidi kumng'ang'ania atawagharimu, achaneni nae haraka sana, Azam is bigger than Fei. Fullstop.
@erickbenjamini8154
2 күн бұрын
😂😂we ni pando la Yanga, rudi nyumbani Dogo hio Juis haitakusaidia kufika popote.
@saidyussuf-my8ew
2 күн бұрын
Apo poa kuongea na rais wa yanga
@R10_Rajab
2 күн бұрын
Huna tatizo na Raisi leo hii haah wewe si ndie uliesema kuwa akiondoka leo Hersi Yanga wewe utabakia Yanga sio wewe kijana?wewe ni mnafiki kijana na Sahau kuhusu Yanga imeisha hiyo halas
@abdunnurahmedsilim7456
2 күн бұрын
Wewe Yanga si yako na inawezekana kabisa wewe ukawa kolokwinyo...Fei akitaka kurudi nyumbani anarudi tu na muda utaongea...sisi wananchi tunampenda na tunajua kwamba kuna mijitu mibaya ya upande wa pili na wengine walimrubuni...
Пікірлер: 126