Hawajamaaa ni dhahabu iliyo potea mambo flanitu yaliwachangaya wkaptubukia sehemu mbaya ila hivivicha ninoma sana yani zaidi ya nomaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@kassimabussa6583
2 ай бұрын
Kweli kabisa umeongea hawajaa nidhahabu
@maulidi8479
2 ай бұрын
Tufanye kampeni jamaa warudi sokoni
@HamzaMpilla
2 ай бұрын
Mziki wa bongo umejaa majungu chuki na roho mbaya
@amanimwinuka1400
2 ай бұрын
Ni era na yao imeshapita, muziki mzuri ila technology haitaki hyo toa Ngoma piga promo ikihit hata kama ni siku 3 poa
@abubkrxyz-bh3252
2 ай бұрын
Muko vizuri tunahitaji show zenu every weekend
@Mtamaduni14
Ай бұрын
This song hits deep when u loose your loved one
@AllyYunus
2 ай бұрын
Daah nimekumbuka mbali sana kuna kipindi unaweza ukatamani dunia irudi nyuma kidogo daah 😢😢😢😢😢😢
@Boniphaceshayo5
2 ай бұрын
Nikweli kabisa
@Pendaelimaleko-n1c
Ай бұрын
Daaaaa! huu ndo ulikuwa mziki jamani kwa kipindi hiki huwezi kupata nyimbo kama hii ina mafundisho maonyo yaan kifupi huu ndo usanii utunzi mzuri big up daz nundaz
@NyamtigaIbrahim
2 ай бұрын
Yaaani Mtoto Diamond Wa 2000 Ndio Kaja Kutuharibia Mziki Wetu Tulikuwa Tunapata Madini Ya Kutosha R.I.P Mziki Wetu Wa Dhahabu 😢😢
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@dafrosamonko8254
2 ай бұрын
Upo sahihi
@jilalamaligisa4854
2 ай бұрын
Jamaa umeongea ukweli sana, yaani huyo uliyemtaja ni maarufu lakini "maarufu nothing", hakuna nyimbo yenye ujumbe unaoweza kuigusa jamii, ametupotezea kabisa muziki wetu, sijui atakumbukwa kwa lipi, hivi unaweza kuweka ushetani kama ule wa kwenye wakawaka akiwa na rick ross jamii ikatazama? ovyo kabisa, ovyo sana
@simonwenceslaus3745
2 ай бұрын
acha roho mbaya kaka we uliekuwepo wakati huo VP sasa umri wako upoje ukilia ivo basi jua life is dynamic also music is changing
@leopoldmujaki6120
Ай бұрын
umeona e yaan nimesikiliza kibao hiki mpaka machozi yamenitoka jamaa walikuwa na maono kwenye muziki waoo sasa hivi shetani yupo kazini diamond kashaaribu kazi hawa jamaa warudi kazini
@barakajoash4228
2 ай бұрын
Dunia ya kisasa Ina mambo mengi yakushangaza. Vizazi vilivyofanya mambo mazuri vinafukiwa na hakuna anae jali kuviinua wala kuvizungumzia wala kuvisaidia af vinaibuka vizazi ambavyo havina msaada wowote kwa jamii , vinapewa nafasi kubwa huku vinawapotosha watu. Jesus is king
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@MandoliiMoshi
Ай бұрын
amen
@richardrobert2203
Ай бұрын
Mhuuuuu
@richardrobert2203
Ай бұрын
Nani awainue kama wewe TU mtoa Comment ndo muinuaji no.1 unasema watu hawataki kuwainua,, sasa ulitaka Nan ndo aje awainue
@luganomwaigomole7441
2 ай бұрын
Hiyo setting ya muziki inazingua..jamaa wametisha sana
@saxannjo6173
2 ай бұрын
WASANII HALISI,,,,, achana na hizi PIMBI za siku hizi...... YOUR LEGACY WILL LAST 4REVER LEGENDS
@mwamakaassely2260
2 ай бұрын
Walikuwa wasanii haswaa. Mibange tu na kuridhika mapema
@suleymanisalum2361
2 ай бұрын
Kaaamaaandaaa my favourite song 😢
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comments.....
@AbelFrancis-ww7cb
2 ай бұрын
😢😢😢😢😢nimemukumbuka mushikaji
@Peterchipemba
Ай бұрын
Aiseee ivi vichwa noma saana,,,we acha tu,,yakale ni dhahabu,,masong yakwer,,mziki wa kuelimisha,,kuburudisha na kuliwaza,, nimeipenda sana iyo,,
@emmanuelbenson6149
2 ай бұрын
Feroooz kwenye chorus ni balaa
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@dansonmketi4827
Ай бұрын
Sasa hizi ndio zilikuwa nyimbo halisi zenye ufanisi wa uhalisia wa kipekee,,sio hizi za leo mapenzi toka alfajiri mpaka jioni
@HarunaAlbert
Ай бұрын
Kila nikiusikiliza wimbo huu lazima chozi lidondoke
@Pendaelimaleko-n1c
Ай бұрын
Cheki ata maandalizi yao spika zinazoonekana steg ya kawaida kabisa wasani kama diamond wenye mafanikio harmonize na wengine jaribuni kuuinua tena huu mziki wa zamani pamoja na wasanii wake japo nao wajione wanadthamani kama wao
@MultiBarberry
2 ай бұрын
Huu wimbo wanikumbusha tarehe 26/08/2002 tukutoa mwili wa marehemu Mamangu mortury kupeleka mazikoni. Legendary
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@ukhtymamy5423
2 ай бұрын
Nami ndio tarehe hiyo hiyo mwaka na mwezi Sawa na huo ndio mmangu alifariki na alikuwa akiipenda Sana hii nyimbo
@ibrahimkigomba9686
2 ай бұрын
Pole Sana bro
@ibrahimkigomba9686
2 ай бұрын
@@ukhtymamy5423pole Sana dada
@HolelaJohn
Ай бұрын
Pole sana
@rajabrukonge580
2 ай бұрын
Sijawahi kuona wimbo uliowahi kuhit kama huu. Hakuna cha mond wala nani. Hii nifunga kaz
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@simonwenceslaus3745
2 ай бұрын
Nashindwa kupnga mawazo yako ila fikilia vzr
@mitsumilton
2 ай бұрын
Men this song got me tears dropping, these were the days when music was still music big up daz nundaz I hope this will make you come back again
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comments....
@Jeff_Tz
2 ай бұрын
Sure brother ❤
@jovinsagana3345
2 ай бұрын
Mungu ni mwema sana
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@profs.a5412
2 ай бұрын
Ila mpumbavu alie tuletea mziki wa kusifia matoka na ufundi wa mabinti vitandani alitukosea saana. Tz tulikuwa na mziki mzuri saana.....ukisikiliza nyimbo za zamani then ukasikiliza na Sasa unaweza ukaandamana kupinga mizik ya kishenz ya Sasa hivi...wimbo mzima mtu anasifia matako na mapaja ya mwanamke😂
@AbediKaluse
2 ай бұрын
Watoto wa simu 2000 kaen mbalii Watoto wadogooo😂😂😂😂😂
@Jeff_Tz
2 ай бұрын
Yaan hata Lyrics hawaelewi hao hapo watoto wa 2000
@asasiame500
2 ай бұрын
Kweli wakae pembeni
@felixngaiza3078
Ай бұрын
Wanastahili shows nyingine nyingi, waliohudhuria waliburudika na kujifunza mengi pia, waliokua wadogo enzi hizo ata ukisikiliza vizuri tena enagundua hawa "mafundi"
@BlessingsJosephMsofe
2 ай бұрын
Hivi hawa watoto wa 2000 kweli wanaelewa au ndo wanasikiliza tu sauti zilivyo nyooka❤❤ Hembu kaeni chini wakubwa wainjoi mziki wao😂😂😂❤❤
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@enockmwantyala281
Ай бұрын
Kataa ukubali mziki ulikuwa kipindi hiko...the real vipaji
@mariamfritsi4943
Ай бұрын
Imba ule wa starehe pia .
@drisakamwakitalima1937
2 ай бұрын
Aiseee hawa watu tuwape heshima saana.
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@markomwakipesile9018
2 ай бұрын
Ferooz na Daz Baba/Daz Mwalimu ni hatari tuliokuwa form one wakati Ngoma hii inahit gonga like hapa
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@dominamabebe6691
2 ай бұрын
Namimi nilikuwa form one na kumbuka huu kwenye msiba wa marehemu bibi yangu kizaa baba wakati nasoma kowak girl's,keep resting bibi
@MbarakaSuleman
2 ай бұрын
Nirikua ra kwanza
@officialmanji4438
2 ай бұрын
Noma sana
@darlenesalum3667
Ай бұрын
@@MbarakaSulemanduh wewe Kama mimi darasa la kwanza
@juliusabubakar2203
2 ай бұрын
The good vibes about these legendary is the vocalist itself is pure and perfect they maintain the same voices they used to record this song,I just love it 😀 ❤️ 😍 🙌 ,true legends never die big up, bro ❤️ 🙌 and thank you so much for remained me of my youth 🙏 ❤️.
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@victorfocus6942
2 ай бұрын
I remember the love song of my late mother dah rip my mumy
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@MandoliiMoshi
Ай бұрын
nyie machali munasema arusha kuwa iko juu kiliko bongo asee njoo bongo mupone kichaa arusha haiwezi ifikia bongo miaka mia bobgo n kisima cha burudani mataifa yote tunakutana hapa na wajanja wote tuko hapa
@agnesshaurimoyo9532
Ай бұрын
Hawa jamaa ni dhahabu kweli ya Tanzania viongozi wanaopenda mziki wawainue Tena jamani Hawa jamaa wanaweza mziki maisha tu yamewapoteza.
@misangasaidih8764
2 ай бұрын
Huo ndio mziki bila kuwaza pesaaa! Ujumbe tuu
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@filbertivo1988
Ай бұрын
Yani kifupi n kati ya nyimbo chache ambazo zinaishi mpaka leo na itaishi milele,, kfup wakat inatokaa hii nyimbo nlkua ninamiak9
@festopaul7549
2 ай бұрын
Hawa jamaa muziki wanaudai waliumiza sana vichwa ...ila saiv watu wanajiimbia tu na hela wanapata daah😢😢kweli Kila jambo na wakati
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@allidehunter3223
Ай бұрын
Nyimbo inaixh na itaendelea kuixhiii mauzui yake ni mazuriii-
@eddyedduu6912
2 ай бұрын
Kama uko hapa Kenya na ID yako inaanza 32 Kaa kando. Mtoto mdogo
@Shokolokobango9385
2 ай бұрын
Walikua waniimbia mimi tangu nikiwa mdogo naenda shule nimebeba fagio na kidumu cha maji ss hamna tena anaeimba kwa ajili yetu ila wanaimba kwa ajili ya pesa
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@benjaminiwanjara2950
2 ай бұрын
Hakika
@MartineNdenga
2 ай бұрын
Daha hinyimboo inanikumbusha shule ya msingi karuta.kigoma hiyo.
Nyimbo inaishi miaka mpaka dahali siyo sasa hv wanatuimbia mitusi tu
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comments....
@jengadaudi-oe9wq
2 ай бұрын
Midia zimeuwalibu mziki wetu utaskia m b doggy ana nyimbo kumzidi diamond
@imaramc6802
Ай бұрын
Sichoki kuwasikiliza hawa jamaa
@maryamtanzania9743
Ай бұрын
Huu wimbo nakukumbuka kuna tajiri mmoja kijijini alikuwa anapendwa na watu sana alikuwa aliwasaidia na wala hakuwa na kiburi watu baada wamuombee dua lakini kila sehemu tulikuwa tukipita kwenye redio ni huu wimbo dahhh mda ukishapita umepita hairudi nyuma
@FucianeBulemo-nd4wc
2 ай бұрын
Same mind and same age ,big up to daz nundaz
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comments....
@expeliusnicholaus3139
Ай бұрын
Sauti ya dhahabu, ferooz
@RichardCharo-zx3sy
Ай бұрын
Sound engineer afungwe jela kabisaaa
@mzeekadimatv7654
Ай бұрын
Hawa Kama si watu basi ni binadamu!
@Boniphaceshayo5
2 ай бұрын
Nimeuona solo tanki
@sonnyr1899
2 ай бұрын
Hizo ndio nyimbo sio hivi vikomasava
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@Kingstonbagamoyo
2 ай бұрын
Tanzaniano,nundaziano,,,,aksantum sana,
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@frapper9726
Ай бұрын
Nomasan
@sebastiankatalle2732
2 ай бұрын
SASA HIVI UTOPOLO TUU CJUI " KOMASAVA" NDO NINI HUJAKAA VIZURI" CHAPATI" UNAAMKA UNAPIGWA NA " SESEMA" MAVI YA MJUSI
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the Comment...
@YamunguJumanne-gb2ng
2 ай бұрын
Selikani Inafaa Muwaangalie Hawa jamaa Tusije kuwakumbuka Wakati Wametoweka
@WinifridayusuphAngel
2 ай бұрын
Nyimbo hii mpewe tunzo nyinyi ya utunzi Bora.myaka yote inaishi
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment ..
@flinchclassic1531
2 ай бұрын
Ferooz sauti yake balaaa
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@EmmanuelMazoya-y9t
2 ай бұрын
inanikumbusha mbali sana
@halimashaban3858
Ай бұрын
Ila mziki wazamani ulikua na ujumbe kwa jamii saiv matusi tu
@BoterMswahili
4 күн бұрын
Bado kumbe mnaweza kufanya kitu😂
@feliciankazimoto8888
2 ай бұрын
Poor sound
@Am-vo5cu
2 ай бұрын
Ferooz ulipotea huna kitu
@stevewanga957
2 ай бұрын
Hawa jamaa wasiachiliwe bana,....week tu wamechange
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@Deldymachine
Ай бұрын
🎉 merci mon grand 🇨🇩
@enockYohana-jz6sf
2 ай бұрын
watot wa 2000 wamekuja kutualibia mzki kabsa
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@ALLYMATIMBWA-cz3zg
2 ай бұрын
Kweri ila media ndo Zinapoteza zaidi
@thekingdragon8358
2 ай бұрын
nawakubali sana daz nundaz for life♥♥♥♥♥♥♥
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@rahimmarions5712
2 ай бұрын
Sema watoto wa siku hizi wa qmapiano hawaelewi kitu hapo..ila huo kitambo ndio ulikiwa mziki haswa
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@GeofreySenka
2 ай бұрын
Ila vyombo vya corcert ilipasa wawatengenezee vizuri kama bana congo
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@mgobanyapazi7738
2 ай бұрын
Unga umewapoyeza Hawa jamaa Vipaji vya hali ya juu hivi
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@DarajaniZanzibr
2 ай бұрын
Ferooz moto waimbie na ile ya ukwimwi
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@FestoLalata
2 ай бұрын
Mungu awasaidie vijana wetu,wanapotea sana
@darhustler
2 ай бұрын
Amazing night, Daz Baba 🔥🔥🔥
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@yusufumbwene5669
2 ай бұрын
Ukisikia kupeana michongo ndio huku
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@ezrakiduko6135
2 ай бұрын
Hawa jamaa nyota yao inang'aa wakiwa pamoja
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@paulmwacha9870
2 ай бұрын
Daaah kioo cha jamii Ndo hichi sasa Legend 4ver
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@chidi_don
2 ай бұрын
Unajua sana yani huna baya 💯 😢
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comments....
@seifmziray2551
2 ай бұрын
Hapa safi sana
@cristovaotomas6
2 ай бұрын
As lendas nunca morre salut🎉
@victenbunono2419
2 ай бұрын
Elimu kama hii haipo tena toka mwaka 2003, walipo imba my sweet sweet, my number one, watoto wa Tandale!!!
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@georgedaniel4962
2 ай бұрын
Hahahahahahaha😂😂😂😂,wazee wa nyegezi sio!
@MonicaBeni
2 ай бұрын
Hawa jamaa warudishwa kazin
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@tanzaniawomenyouthempowerm267
2 ай бұрын
Napendekeza wapige show kila wkend inayoangukia mwisho wa mwezi
@SaidyAllyAbdallah
2 ай бұрын
Hizi ndo zilikua nyimbo
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@muniramunira401
Ай бұрын
😢😢😢
@Dovimego
Ай бұрын
😢😢
@sulejmandj7582
Ай бұрын
Vizazi pekee ambavyo vitakumbukwa daima ❤✌🏽💪🏽💪🏽
@marandoruzali1946
Ай бұрын
Golden music
@NyamkoKajana
2 ай бұрын
❤
@OswadiGumahamwe-sy6xb
2 ай бұрын
💥💥
@kenedyndunguru9068
2 ай бұрын
🙌🙌
@naimunaimu2312
2 ай бұрын
Watoto WA 2000 tupishen kidogo tukimalza kazi yetu tutawaita😅
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@augustinodaniel5574
2 ай бұрын
Daz nundaz,,,,,respect OG's
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@husseinmussa9471
2 ай бұрын
Kweli soma vyombo vinazingua
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comments....
@radaonlinetv1922
2 ай бұрын
Hawa Jamaa walitisha sana kwenye Mziki wa bongo flver ila Madawa ya kulevya ni hatari sana
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@IsayaSosolo-nx8zk
2 ай бұрын
Teja kumbe bado yupo aache kubuya sembe Huyo!
@matronmkenda3510
2 ай бұрын
Zamu yetu wakubwa kusikiza za wakubwa
@ShomarSalum
2 ай бұрын
Mung akupe nguvu
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment....
@segesesayi104
2 ай бұрын
da ! Hili kundi lilikuwa na watu wa maana sana
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comments....
@manaseyona9260
2 ай бұрын
Mwamba feruz rudi ulingoni Bado unatisha mfalme wanyimbo. Plz rudi
@eliasmmhoja4483
2 ай бұрын
❤
@msowamhokole7714
2 ай бұрын
Misanya bingi rip
@bongopods
2 ай бұрын
Thanks for the comment...
@msowamhokole7714
2 ай бұрын
Mnazima taa muwaibie wata cm zao
@bongopods
2 ай бұрын
😂😂
@shaurimtanda8285
2 ай бұрын
Akil za magoma hiz
@GraceKazi-z8d
2 ай бұрын
@shauri😂😂😂mtanda8285
@nathanmmasi3890
2 ай бұрын
Da Waze mnajuwa ila jitaidini mrudi mzigoni mnanyimbo zakujenga jami.
Пікірлер: 383