Content-wise, Fidq and Lord ni wanoma 🔥🔥. Fidq kagusia maisha ya kuhustle mtaani ambayo yana majungu na chuki na bado inahitajika kupambana kwa nguvu ile ile. Lord Eyez…kaua sana, kwa kuzungumzia siasa na maisha ya mtaani, akakebehi tabia ya uchawa, akazungumzia namna nchi za magharibi zinaingilia maswala ya kitaifa
@swagaton-ke
Ай бұрын
Wapi like za Mex Cortez hapa young lunya hafiki this dude is at another level ukiacha khaligraph Jones this is the next big east Africa kwa hip hop 💥💥💥
@HamisiHamisi-xo2uo
Ай бұрын
Sasa kwani lazima muweke ubishani hapa au ndio lazima ili mtu umuone mkali umtaje lunya
@andrewmorgan9969
29 күн бұрын
Young lunya wa nin tena hizi level😅
@nsangalufujoel5242
28 күн бұрын
KJ hamuwezi Mex mzee, jamaa ni shida
@IvanKihwelo
28 күн бұрын
Mnafananisha Sana adi mnaharibu game ya hip hop bongo sio lazima kufananisha ndo awe rapper mkali Kama rapper mkali we support kazi zake mna wasema wakali amuwa support Ila mnao sema ma rapper wabovu ndo wan mashabiki wengi
@user-bm4ln5jc6j
28 күн бұрын
😂@@andrewmorgan9969
@StarGwanta
Ай бұрын
Mex yupo kwenye top 5 ya Fd na amefanya naye kaz 🔥🔥🔥🔥🙌🙌 gonga like kwa mex
@mikemawala5175
25 күн бұрын
Nmeona watu wengi hapa wame comment katika mtazamo wa ku judge nani kamfunika mwingine.. Ila kiuhalisia wale ni watu watatu tofauti na kila mmoja ana mtindo wake wa ku deliver ujumbe wake na kila mmoja ana heshima na mchango katika tasnia nzima ya hiphop.. Nadhani tungezingatia katika message zaidi. Wote wangekuwa na style moja sidhani kama wimbo ungekuwa mtamu. Hiphop haiko kimasindano nanhata wao walipowaza kufanya wimbo wa pamoja siamini mioyoni mwao walikuwa na hisia za kufunikana bali LOVE, UNITY AND RESPECT. Fid na Lord washafanya ngoma nyingi pamoja na upendo umedumishwa. Tubakie kwenye hivyo vitu vitatu nlivovitaja hapo juu... Blessings 🙏🙏
@paulerick6141
29 күн бұрын
Nimependa Mawazo ya Lord eyez - focusing on current country situations - most def 💯💯
@Jukwaa-7
28 күн бұрын
Kabisa
@Nyangembinde
5 күн бұрын
Cortez you got magnificent talent. Style ya viwango vya juu sana . Keep it up 👍
@adolfmathew9698
Ай бұрын
Nako 2 nako. Fid q. Mex kitu moja Kali sana imetoka hakuna mambo ya nani kakalisha wote wametisha 🔥🔥
@mpjozzegalvanize4926
Ай бұрын
Chemistry ya Ngosha na Eyez bado ni sunami
@user-rk1xw1ed3t
28 күн бұрын
Yeah man! Nakubaliana na wewe
@Kombs-cr2mj
24 күн бұрын
So finally big brotherz gave this boy a gig. Respecr
@malimanyanja562
27 күн бұрын
Lord kafanya vizuri,kwenye froo akuna alicho andika kipya ningefurahi sana apo mwisho angekaa msukuma mjanja aisee
@Azizi_Texeas
Ай бұрын
Real hip hop is not on the radio, this is hip hop itself, sir
@kijokombao5345
10 күн бұрын
Oya Lord eyes ameamua kuua kabisa🙌🏽
@joshuadaniel8382
Ай бұрын
Kaka mkubwa umetupiga sijui ki hispaniola🙌🏻🔥🔥🔥🔥fiidq mtu mbaya kabisa🐐👏🏻🫂
@DavalsonMarlony
26 күн бұрын
lordy iziiiii wouhf ni 🔥🔥🔥
@erqmusic5973
13 күн бұрын
For real Man 👞 ❤
@silamnyama1642
3 күн бұрын
Wametisha sana hawa wana.sion mahind sare sare
@bensonkariuki5843
26 күн бұрын
Fid q the only best raper in Kenya🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Loismo
Ай бұрын
🔥🔥🔥 #MexCortez kama alitaka kukalisha WAKULUNGWA #Simba #Terror ⚡️🔥⚡️✊🏿
@johnrichard5482
29 күн бұрын
Niishie kusema "HAPPY BIRTHDAY TO YOU #FID_Q BIG UP ✊✊✊ Kwa Washereheshaji #MEXCORTEZ & #LORD_EYEZ 🎤🎵💣🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
"You win some, you lose some hivo ndivo uendaga, na sio kila ninacho kilenga nina nia ya kukipata..🔥🇰🇪
@darhustler
29 күн бұрын
Kila napotaka comment nahisi is not enough lakini kwa hii its enough. UCHAWA UMEKUA RASMI BRO!!! Shouts to mex cortez ila mbuzi ni mzee baba ngosha.
@samkatondo9464
25 күн бұрын
Real classic. ! Tanzania 🇹🇿 to the world. Swahili nations...
@saidseyyid1750
29 күн бұрын
1: mex Cortez 2: fid q 3: lord eyez 🔥
@emanuelkisanga3429
22 күн бұрын
vice versa is true...lord ndo kakimbiza....achana na kuangalia kingereza angalia content mzee, lord katema mistari ya kiharakati sana very deep.....hyo mex anabwabwaja tu...nothing significant there.
@saidseyyid1750
22 күн бұрын
@@emanuelkisanga3429 hicho kingereza ndicho chenye huelewi na mex Cortez ameongea bars tupu so ni muhimu kujua lugha zote mbili
@IssaMoh-yn2zi
29 күн бұрын
Masterpiece....🔥🔥🔥 1. Mex 2. Fid 3. Lody Eyez
@kaisijamaldini2358
Ай бұрын
Tulimisi sana hizi.mambo.big up mex cortez
@MartinPatrick-g6c
Ай бұрын
Master ni master tuu fid q the pachi line zako ni zamoto broh
@chungalumo863
27 күн бұрын
There is something missing in this song and that's King Kong "Chid chichiii..." Mtoto wa Ilala. Ngoma imesima mazee
@shaburnbarkar5902
27 күн бұрын
Wana hawali madawa kama chichi chid Benz hapo ni +vibes 2
@SuleimanMasankala
6 күн бұрын
Sahihi anahitajika humu
@Msela-bi_tozzy.
Ай бұрын
Pesa haibadili mikono tu inabadili natabia✌✌
@nassoSchneiderlin
Ай бұрын
ILA WANANGU LEO MMENIFURAHISHA 🎉🎉NGOSHAAAAAAAA
@hagailema5366
Ай бұрын
Pastor Tony na maono yaliyojaa maujuzi/ Na si ndo zetu kuwakilisha na siyo jana au juzi/ 🔥🔥
@emmanuelsamson5158
26 күн бұрын
Fid and King Eyez..... I'm sorry to mention that, Kijana Mex kawapania sana humu. The good thing about his verse amerap vizuri Kiswahili kuliko Kiingereza acha na wordplays amefanya mwishoni... The guy is good nazidi kuona Hip Hop ipo mikono salama. Best line "Nikijitoa ufahamu usiombe ninyanyuke".
@emanuelkisanga3429
25 күн бұрын
Hajaongea issues
@makejaffar8119
Ай бұрын
Deeeeeng!!! Wueh Geniuses met now its massacre in our brains 🧠🧠 Mex man!!!🙄🙄🙄🙄🙄 My boyfrend Lod Ize🤣🤣🤣💪🥰🥰 Babaa Fareed we love you From Kenya💪🥰🥰🥰
@godblessmichael8173
22 күн бұрын
Mtaani watuWanalala kimanati chumba na choo😂😂😂 Izzy lord eyes,Terro
@DavidEdward-vd8cj
22 күн бұрын
Mwamba hua yuko vizur
@dakeeog585
25 күн бұрын
Oya LORD EYEZ kafanya huu wimbo niurudie huyu CORTEZ ni mzuri ila hata yeye hajui anachana kuhusu Nini HIP HOP is real Life na vyote kaviimba LORD
@chesterbrand6723
Ай бұрын
Sacramental criss crisswell the price of change pusha aliye waza kujinyonga kisha avuteeee ngosha on the prime ...... Tanzania inaangamia machawa waanzushe mutaala... Real definition of hip hop chimbo . .....
@petersimon2115
Ай бұрын
Happy Birthday Fid Q,,, Mex kasema ni sawa na pusha aliyetaka ajinyonge hafu avute😂
@dicksongeorge6354
28 күн бұрын
for those who didn't know mex cortez, go and listen to his songs for me these are my favorite songs:barbender 4-6, holy flow, let it burn, barcode vii, god did freestyle, alabama ft nasty c and manimendra this guy is the best rapper for me
@shabanbuchu2130
28 күн бұрын
Lord eyes always brings the best in Fid q
@user-ct6or4ew2t
27 күн бұрын
JAMANI huyu mzee mbuzi ni noma sana more blessings to big bro 👑🙌
@MussaBundala-f5s
3 күн бұрын
Nakubali kaka mkubwa
@RamadhanMwabusila
27 күн бұрын
Enjoy your day bro fid q 🎂
@smilingjackson2923
28 күн бұрын
Mex n Fid did there thing But Lord Aiz killed this shit ✊🏾
@mosesdavid-vm5hk
Ай бұрын
Hahaha manimendra kapita fresh sanaa dadeki mnoma uyu mwamba..🙌🙌🙌🙌🙌🔥
@JoxeOdejr-ou4ds
Ай бұрын
Fid q mnyamaaaaaaaaaa MWANZA MWANZA KUBALI SANA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Mendeslyrics-u8x
29 күн бұрын
Mex aisee tunakuomba ukaze sana upindue huyu mbuzi anatuchefua san mashabk wa hiphop
@emmanueljuma5851
29 күн бұрын
Kaka una jimbo lako mwanza gombea chukua jimbo. GOAT GOAT GOAT the real Mbuzi
@rogerslwitiko3915
27 күн бұрын
Respects to all Hip Hop Elites#Fid Q,Lord Eyez&Mex Cortez 🎉🎉🎉🎉🎉
@kabhikachambala3392
4 күн бұрын
Mex alipania kama Yanga
@MustaphaChimbalanga
Ай бұрын
Lord Eyes 🔥🔥🔥🙌
@eliamushi1678
26 күн бұрын
Sio kila ninachokilenga nina nia ya kukipata..💥
@salehesaidy1423
22 күн бұрын
Ila fid nyie.. hakika ndie baba yao kwa michano..
@EinsteinFromEastern-vh6lo
29 күн бұрын
Aisee huyu Cortez ana njaa kama yule One mwenzake na Nikki 🥶
@CoolJowze
24 күн бұрын
Oya mlikua wapi kuandika na kudondosha goma kama hili nyie wakali ... Gaddam it
@japhsam_simulator
29 күн бұрын
hii ndio real hip truck ss sio hao ndugu zenu sifa nying af wakipewa vennue maiti
@RobertMwamlima-ek9pd
28 күн бұрын
Mex wa duniani🎉
@user-qw3vx3pl2z
Ай бұрын
Mex umetisha ngosha hujawahi kuotea naomba umkuze Mex ni msanii moja mkubwa Sana lkn kama hawajamfahamu
@mosesdavid-vm5hk
Ай бұрын
Hili dundo litakuja pigwa Simba day mwaka ujao😂😂😂🙌
@RapperTyger-vv1vt
Ай бұрын
Kumamamakeee hii beat kapiga Dr dree au niaje 😂😂😂😂 au na mim naangamia kwa kukosa maarifa na taarifa njema kama wesenge wa Tanzania 😂😂😂😂 hiii ni nyoko sana wakuuu
@yombokasonga8161
12 күн бұрын
Hii bit kweli nilevo nyingine kabisa
@SuleimanMasankala
6 күн бұрын
Oyaaaaaaaa beat ya Dunia ya kwanzaaaaa huku kwetu imekuja kama zali na wana wameishinayo kiroho safi ngosha is something else wallahi
@Nyangembinde
5 күн бұрын
Kwa Sasa HipHop ya Bongo heshima apewe Cortez. Acheni kumbania. Najuwa bongo kuna hizo figisu. Cortez uwa hivyo hivyo mpaka wataachia.
@zedekiahmagwega8044
29 күн бұрын
Happy birthday to you ngosha
@abditech14
26 күн бұрын
Bongo hip-hop ni Yako fid maana hili dude ni nouma🙌🙌
@patrickalfred3680
29 күн бұрын
Fid fid fid.daaaaah.
@fedlob4
28 күн бұрын
🎉 fid q the goat 🐐
@shepherdizotarimo8227
28 күн бұрын
Ngosha 🙌🙌🙌🙌
@khamzdady7977
28 күн бұрын
MZEE 🐐 🔥🔥🔥
@shaibumohamed3124
29 күн бұрын
Lord eyes ni mazishi
@benedictmsami4966
19 күн бұрын
Toa video twende viral
@tumainmasuki7110
27 күн бұрын
Hi Ngoma ni kwere 🔥🔥 Kila mtu kauwa kinyamaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@donaldkiza2493
29 күн бұрын
This one deserved onyly 2 guys Fid q there last guy you added for friendship 😊😊😊
@lwidikoedward8115
26 күн бұрын
“Hata Flat earthers wanani SPHERE”🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 fire bar!
@mrswagz100
26 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 fire bro. Best bar, it flew above many heads
@lwidikoedward8115
26 күн бұрын
@@mrswagz100 NI HATARII.. kuna line ingine ya "Manzi ya Tanga, Afu Na MUHEZA"👑👑 levels ni zingine
@mrswagz100
26 күн бұрын
@@lwidikoedward8115 i feel you 🔥🔥🔥🔥
@Sokomoko13
26 күн бұрын
TUNAOMBA EP NGOSHA
@victorpetermasebo822
29 күн бұрын
From 265🇲🇼🇹🇿 Mex nimkali ,ngosha the don mnyama
@LeonardSinkala-sw4ne
23 күн бұрын
Big brain rapper Q
@chussebreezy
27 күн бұрын
Kubwa sana hii s/o kwa YG
@EinsteinFromEastern-vh6lo
29 күн бұрын
-Tajiri anazikusanya tu Kila siku -Masikini analia hajaona mchana hajaona.usiku mzee mbuzi 🔥
@ismailkhamisamour1481
27 күн бұрын
oyaaaaa!!!!!!...........
@didashi1901
28 күн бұрын
Mimi pia nimebariki ile issue ya kuandaa katiba ya Hip Hop we itengeneze tu
@dakeeog585
25 күн бұрын
Wameuwa
@AlfoncAndreq
Ай бұрын
Honger bro ngoma kal sn,🎉 like zake apa🎉
@pharouqpharaoh5186
29 күн бұрын
The hardest beat ever
@barakamichael1487
28 күн бұрын
THIS IS DOPE
@adamkibunda8166
25 күн бұрын
King lord 🔥
@innocentkimweri2183
29 күн бұрын
Real Hip-Hop
@nevillekalinganevo_2512
Ай бұрын
Bars on bars . Mex came to eat #255totheworld #OldNgoshaBack🔥🔥🔥
@MagaiMagayane
Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥📍🔨Nyundo gongelea kabisa msumali nilimc sana kirabo yako na Mex cotez salute
@muye426jb6
29 күн бұрын
Ngosha the Don
@stonestz8815
29 күн бұрын
Mex ❤
@erickodhiambo6994
5 күн бұрын
Mex 🔥🔥🔥🔥
@jayfarsaga4935
27 күн бұрын
Angeia na vina humu 🔥😁😁
@abditech14
26 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@pepchallanga3626
29 күн бұрын
am here again
@bongohoodzpichaz
29 күн бұрын
Hatarious 🔥
@mosesdavid-vm5hk
Ай бұрын
Mex🙌🔥🔥🔥🔥
@user-cr6px2wk6x
27 күн бұрын
Ngosha the Done!
@fredvikotta2095
24 күн бұрын
Bonge la ngoma….ngosha mkaliiiii na anatishaaaaa
@zabsix
Ай бұрын
Ma grandfather mzee mbuzi, Ngoshàa, Mwanamalundi, kitaalojia,Rais ishi sana professor wa Rap
@ndoxmafia
27 күн бұрын
Kitaaolojia mitaa inaelewa 🙌🙌💥
@chachasagara1985
26 күн бұрын
Combo ya Ngosha na Isaac ni #Full ile laana Cortez ni Matatizoo👑💯💯
Пікірлер: 433