Wa tatu leo from USA ukipata baba km huyu unaweza kimbia nyumba na kutokomea kusikojulikana 😂😂😂🙌🙌🙌
@baimarrajahbuayan6237
Жыл бұрын
Mwanamke ajielew tu manayanyaso. Yote bado. Yumo
@tanfredmichael1777
11 ай бұрын
Daaa nimependa msimamo wa baba wa Stella. Amesimama vema kwenye nafasi yake kama baba.👏👏👏
@manurambonaamimu7480
Жыл бұрын
Wa Kwanza Jamani From Burundi Gonga Like zang hapa!! FAMILY MATTER.
@irakozeshamimu1929
Жыл бұрын
Jama ni tuongezeni nyingine From Burundi
@edumay7422
Жыл бұрын
Nice movie. Mahali kwingine punguza background music. It gets louder than the conversation itself. Watching from 🇺🇸. Mafunzo mazuri
@salmahelly2203
Жыл бұрын
😭😭😭😭nyiiiee ilinikutaaa acheenii
@user-rc6mq1np3l
Жыл бұрын
Watching from Saudi ndio tunasema ukiolewa wachana na X
@christianedward4249
Жыл бұрын
Utaachana nae Kama utalizia kuolewa mwenyewe Kama ulilazimixhwa itakua ngumu
@aishalove4599
Жыл бұрын
Nimafunzo kbs nimeyipenda sana🥰🥰🥰🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇦🇪
@ranboyyaliy
Жыл бұрын
Brother nime kuelewa san mv zako ziko pw sana mungu akujaliye maisha mema
@DenlovemkilyahMkilyah-fp7ve
11 ай бұрын
Kuna scene mnatudanganya, mtoto Kasema hakuna kingine, bado mnalazimisha kuwa alitaka kumbaka mtoto, alafu Mama wa mzazi nae Hana hisia za kutosha. Cha kushangaza huyo stella anatoka out na yule aliyezaa nae hapo sijakuelewa mwandishi
@JumaRubeni
3 ай бұрын
Mzee uko sahihi safi kabisa una musimamo sn ungekuwa kalibu ningeoa kwako🙏
@RamaMwacharo-qn1og
11 ай бұрын
Aky ninzuri sana vp hakuna party2 ❤❤❤❤
@linetymmboga7271
Жыл бұрын
Nice movie nme enjoy sana🥰 Sasa imesha ama Kuna pt 2
@allyliobite4307
Жыл бұрын
Hila UYU baba dah n wachache saana wahivi au nguvu yapesa?
@SteveneKamara
9 ай бұрын
Baba Stella hongela sana mzee, una fanya vizuri sana Nakukubali sana mzee
Baba stellar ww Ni mzazi kweli nimekuinamishia👊👊👊👊👊👊
@roqayaro9439
Жыл бұрын
Kazi nzuli tupeni namba 1 tujue
@walterwhite782
Жыл бұрын
sauti haisikiki vizuri 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@melvinisandakebaya
Жыл бұрын
The film is so interesting go ahead
@HawaHussein-hq1lj
9 ай бұрын
Hongera san baba mzazi wa Stella kwa msimamo wako ❤❤❤❤😂😂😂
@catherinescott9113
Жыл бұрын
Ukiwa na pesa hata heshima inashuka😭😭
@juliethzefania3824
9 ай бұрын
Sebastian yuko sawa tena funzo kubwa sana
@elizabethmtabale-wt7bd
Жыл бұрын
Wao ongereni san
@LilianWabomba
4 ай бұрын
Watching from Kenya ukiwa in marriage mambo na X ajana nayo
@baimarrajahbuayan6237
Жыл бұрын
Dunia njia Mlali., pesaa ni. Vitu vya mapito broooo
@happyjoseph6959
11 ай бұрын
Ila hawa wanawake wenye watoto ndo wanao sababisha na wengine tusiolewe
@JudithWilliam-te2kz
2 ай бұрын
filamu nzur
@ramaaman4020
Жыл бұрын
Sasa mbona Mzee wa motosana harakaharaka hatamtuhajajulikana vizuri na mamamkwe😂😂😭😭
@user-bd9lm9dk3k
22 күн бұрын
Nimeipend iyo🎉❤
@hannan2793
11 ай бұрын
Pesa mbaya😢
@naomiraphael4830
11 ай бұрын
Haya maisha yapo lakini apo nimafunzo tu ivi huyo mwanamke anae ruhusu machozi ya mwanake mwenzie. Siku yake itafika hizo nimbio za kijiti nikupokezana
@MerrySaidi-gu6so
Жыл бұрын
Movie nzur
@SteveneKamara
9 ай бұрын
Na washukuru sana 🙏 movie 🎥 Iko vizuri ila Sebastian Punguza zalau Kwa maskini, Umaskini Sio ugonjwa.
@moseskutuku
10 ай бұрын
Wa kwanza jamani 🎉🎉🎉
@user-ms7gp4mj4r
11 ай бұрын
Huu ndo urafiki wa kweli
@mwanamisikadongo8596
Жыл бұрын
Mzee alipetandezewa Na utamu wa PESA 😂😂😂
@janetnasimiyu8646
Жыл бұрын
Ukiolewa unachana na x wako jamani
@user-ch2it3qt5z
8 ай бұрын
Kuoa mwanamk alie zaa na mwanaume mwngn yataka Moyo😂mm kuoa alie zaa ad niakikishe jamaa alikufa na kaburi nmeliona😂😂 alafu kwa nn nioe alie zaa wkt wadada wazur bdo wengiiii😂
@alhajiFashions7563
6 ай бұрын
Movie nimeipenda lakini pale unaposema Wasambaa hatujui mapenzi unakosea kabisa
@user-hp8zm5ty5m
6 ай бұрын
Broo naomba cd
@mwanamisihamisi6594
Жыл бұрын
Sebastian usijida na hizo pes zako Stella pole san
@DanielHassan-gk4bt
10 ай бұрын
Waiting for part 2please
@mwakaathuman5637
Жыл бұрын
Ufukara sio ukilema jamani
@rahmamosa2320
Жыл бұрын
Histori imenigusana mana hawa magumegume nayachukia kweli
@user-sc6fz4cv7l
Жыл бұрын
hakuna mwanaume anaweza vumilia ujinga wa hivi, ni kwenye muvi tu
@fatmaas7046
11 ай бұрын
Movie nzuri lakini sauti ya mziki sana muemnapunguza sauti
@suzanramadhan4231
Жыл бұрын
Movie nzuri sana
@juliethzefania3824
9 ай бұрын
Bado ujasema na utasema
@ukhtyzainab7254
Жыл бұрын
5 from uk
@RamaMwacharo-qn1og
11 ай бұрын
Me nd nangalia leo tesa sai
@lathoucellavyizigiro-jq4wn
Жыл бұрын
Nice movie 👍
@davidkinyanjui9491
Жыл бұрын
Tamu
@emanhokilinda326
Жыл бұрын
Wanaume tutafuteni pesa ili tutunze familia zetu
@70SIXER7
Жыл бұрын
Wa pili nakong'otea toka Pennsylvania,USA, hivi jamani JASONS TV ni wapi ntapata muendelezo wa Siri za Familia, Maisha ya Bongo na Subira? maelekezo tafadhali ,Shukran🙏
@merrymathiass4803
Жыл бұрын
Maisha ya bongo iliishaisha
@70SIXER7
Жыл бұрын
@@merrymathiass4803 Asante Merry nilidhani kutakuwa na muendelezo Du! noma sana!
@merrymathiass4803
Жыл бұрын
Oky
@Mpakauseme
Жыл бұрын
@@merrymathiass4803 🤣🤣
@mwanasitihamisi
Жыл бұрын
Stila dada amka uyo sio mwanaume
@eliadaniel216
Жыл бұрын
Famasiara Nini
@user-qm4sf2nu2w
9 ай бұрын
Safi sana baba stella
@m.mmarckus6298
Жыл бұрын
Seba unanyodo huo utajiri kaaaaaa
@lilyiminza79
Жыл бұрын
Hta kama n doa waja ikae good movie
@MwajumaMapemba
9 ай бұрын
Mh jman wenye ela awa wazaz muangaliege 😢 maana sio kwa dhalau izo
@gracebashange
Жыл бұрын
Mzee unakosea huyo ni babaake
@christaoman8890
Жыл бұрын
Punguzeni muziki kwenye kuekti muvi
@fahadabdi8364
Жыл бұрын
Pesa pesa pesa😂😂😂😂
@christianedward4249
Жыл бұрын
Apo ndounapo mkumbuka ex
@user-yi6xp4my6w
7 ай бұрын
Mzee ako pouwa
@pilisonje8944
Жыл бұрын
Aibu
@halemamoon1782
Жыл бұрын
Ama kweli maskn hawathaminiwi
@DanielLekarka-hi1uv
5 ай бұрын
Ni 😂😢😮❤
@oscarokumu1186
9 ай бұрын
Kuoa mke mwenye mtoto ni.shida tupu
@serahkazungu6029
11 ай бұрын
party 2
@user-pm2cj1xe3z
14 күн бұрын
Part 2 vp
@narkisomalit1187
Жыл бұрын
Paty2ikowapi
@oscarokumu1186
9 ай бұрын
Huyu mwanamke Hana heshima ata kidogo
@elikasayoni9056
Жыл бұрын
Huyu mbwa seba
@mutesisumaya5155
8 ай бұрын
😢❤❤😢
@christianedward4249
Жыл бұрын
Et bola ungemtaman uyu hahahahahahahahahaha
@stelarichard7424
Жыл бұрын
Jmn wajina pole
@elvinakalu6991
Жыл бұрын
Huyu amejawa na roho chafu nakudharau watu kwa kuwa anamali
@deborahchacha2006
Жыл бұрын
Pesa sabuni ya roho
@nislyrafiki7054
6 ай бұрын
Kwakwly haki ya mtu haipotei na ukioa bb alie zaa tayar au alie olewa tayar nkjitakia Maradhi ya moyo
@gladysgesare9549
11 ай бұрын
Naskiza kuyoka kaunya ya🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi likes jamani
@user-hp8zm5ty5m
6 ай бұрын
Naomb cd ipo
@ywydhhd7941
Жыл бұрын
Wewe nawe si ungeleta pisi kali kushinda mke wako ,mjinga sana.
@tabithasalimu3617
Жыл бұрын
Pt 2 plz
@m.mmarckus6298
Жыл бұрын
Gael mbona km kanenepa
@user-hp8zm5ty5m
6 ай бұрын
Part ya pili ipo
@juliethzefania3824
9 ай бұрын
Mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mbaya
@SalomeDaniel-yu2rr
10 ай бұрын
Shida uyo Mama wa Stella Yani amekaa kama zombi Yani hana mchango kwa mtoto wake Yani kwenye huu mchezo ameboa mama gani hajachangamka aliegundua hili adondoshe komenti tujwaane
@user-me1il5rr3m
4 ай бұрын
Yan hap mama ndo angetakiwa awe mkali zaid
@emes602
Жыл бұрын
Mjitahidi saut iwe inasikika mtu anapoongea taratibu
Пікірлер: 101