Let me give thanx to my brother Sky This is more than a tv,ukweli ni kwamba Dunia inahitaji content nzuri kama hizi Napata kila kitu bapa SNS ur my family since day 1 Fix You it's my favourite proggram 😊🙌🔥🔥
@mosesmkumbukwa9920
2 жыл бұрын
Heeh we jamaa upo hadi uku mzee 😂
@Mcsceo
2 жыл бұрын
@@mosesmkumbukwa9920 Huku ni uwanja wa Madini so lazima Tupate madini mkuu
@ahz6907
Жыл бұрын
@@mosesmkumbukwa9920kachepuka....
@beatricefrankngalubutu1448
2 жыл бұрын
Tangu kipindi kianze show ni nzurii lkn hii dada irine umeuwaa ni hatar sana kila nilichokua nataman kusikia kipo tena kwa maelezo mepesi yanaelewekaaa safiiii sanaaa......sns to the world 💃💣💣💥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
Napenda sana hiki kipindi kwasababu, dada anauliza maswali nyeti sana
@dullabenz5343
2 жыл бұрын
Lilian Mwasha mara hii ameku mentor toka aje kwa show yako umekua vizuri zaidi.
@kemmymugele350
2 жыл бұрын
Huyu baba ni 🔥mrudishe huyu baba kwa mara nyingine tafadhali tunahitaji kujifunza zaidi.
@echolude
Жыл бұрын
Man, this man just captured what i've been grappling with but not quite making sense. Thank you Irene and Deo! (listening from the states)
@djwifivevo
Жыл бұрын
Nipo hapa kutoka Tik Tok.... napenda sana mawaidha yanayodhihirishwa kwenye hiki kipindi.
@aminanamoyo83
2 жыл бұрын
Asante, please mlete tena bado tunamhitaji 😉😁🇨🇭🇹🇿❤
@hadiadaoman1981
2 жыл бұрын
Waaho nice kipind naenjoy balaa na sns nice content 👏❤
@shamimhayat7637
Жыл бұрын
Irene leo kweli umeleta mtu mwenye experience hasa
@zainabuabdulahi5012
9 ай бұрын
Yaaani kizazi hichi ni kweli kuna mama's boy wengi ambao wapo sahii na mahusiano yanapata vurugu juu hatuna uelewe wa kuishi na wanaume kama hawa, lakini chamsingi ni wazazi pia waelemishe jinsi ya kulea watoto wao. Kudekezwa kumezidi
@smay9
9 ай бұрын
Big up my brother, Mungu wa Mbinguni akubariki mno, thanks for updating us
@nuriyatihgeorgekhan6042
Жыл бұрын
Napenda saana jinsi ulivyo hasa puwa yako na macho yako pia
@loycep7785
2 жыл бұрын
Asante sana Pastor kwa mafundisho mazuri ya mahusiano kumjua mwanaume sasa kazi kwetu na Mungu atusaidie
@IreneSantu-fd7kb
6 ай бұрын
Mh! Nimepona jamani asante sana Pastor🥰
@ladyt1471
2 жыл бұрын
Pastor nakubaliana na wewe kabisa wanaume wanapenda sifa sana hawapendi kushindwa lkn kitu kimoja nimeona kwao wanaheshimiana wao kwa wao sio kama sisi wanawake
@geofreymahally7115
2 жыл бұрын
I really enjoy de xhow
@mussanchimani4839
2 жыл бұрын
Kweli Kabisa Walimu Niwengi
@annamnyari7127
2 жыл бұрын
Nakubaliana na pastor kabisa kwamba misingi ya maisha kwa mtu yeyote yule inajengwa ndani ya miaka (4-13) kwa maisha ya baadae utakayo ishi.
@skeetergodwins2576
2 жыл бұрын
Duh! Nimemkubali huyu jamaa. Yuko vizuri
@peptalk_by_kriss6237
Жыл бұрын
Na kama mwanaume hajafunguka moyo wake (Kuwa Vulnerable) GivingUp control, Bado hajakupendaa🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@LacksonTungaraza
2 жыл бұрын
This's a masterpiece advise
@padilijamesmikomangwa519
Жыл бұрын
He is conflating, lying, missing and pandering so many things. He thinks promiscuousness and ambitious men make MEN. Big lie. Identity is what makes men, men love sex, money and power is a coat we have to wear to move through life. This dude doesn't know what he is saying.
@ahz6907
Жыл бұрын
@@padilijamesmikomangwa519welcome to the stage...we are eager to listen ur thoughts😊
@nyarkamrumbeayoma6886
2 жыл бұрын
Hv na Tanzania tuna ma saikolojisti wazuri sana 👍🏽
@OnlyRuky
2 жыл бұрын
Yupo sahihi 💯
@yusrasalum
2 жыл бұрын
Mada mzuri 🥰
@eyabdimaha3698
2 жыл бұрын
Asante nimejifunza
@sheilaally9490
2 жыл бұрын
Wanahitaji ku heal inner child yao
@zuhuralugenge6649
2 жыл бұрын
Nimejifunza vitu vipya san leo
@anneotieno1037
2 жыл бұрын
Hongera Irene. Kipindi kuzuri sana. Naweza pataje hicho kitabu?
@irenekamugisha
2 жыл бұрын
Thanks dear! Kitabu anakiuza mwandishi, mwisho ametaja namna anavyopatikana
@upendowakwelinaamani1060
2 жыл бұрын
Tunaomba umlete kila wiki yaani huyu ni gwiji wa mafundisho ya mahusiano kiboko ya tiba anatufaa sana wana sns
@magrethmhando5966
2 жыл бұрын
Woooh this was worth watching and listening 🤗🤗
@edithmende1975
2 жыл бұрын
Mawe siyo ya kawaida kweli hili ni darasaa
@apansiandossa4801
2 жыл бұрын
Unaitendea haki taaluma na kipaji chako Irene, hongera sana
@lovvy854
2 жыл бұрын
Kabisa👌👌✌️
@prisca4612
9 ай бұрын
Wow! Amazing 👏👏👏
@mariej6962
2 жыл бұрын
This was good. I left a guy simply because hakuwa mtu wa kusimama kivyake. Kila mazungumzo yanayohusu plans zake lazima family member atajwe humo, sijui mama, sijui kaka, ebo!. Nikasema kama ni kupenda nahitaji kukupenda wewe siyo ndugu zako, nikaona nitakosana na ukoo wake mzima.
@willykaovela5485
2 жыл бұрын
hahaha ww ni manka
@DetriciaPamba
Жыл бұрын
Daah, ilishawahi nikuta hii. Hatari sana😅
@johwilly8723
Жыл бұрын
Pastor ametufunua sana, kweli anaijua sana psychology
@thebroski9763
2 жыл бұрын
Genius 📌
@aminakassim831
9 ай бұрын
Daaaaaah nimezijua siriii
@salomekombo215
2 жыл бұрын
Asnte dada irene tuomba mlete tena pastor ana mambo matamu asiee nimepata kitu kizito big up broh🤝
@anandemungure2500
2 жыл бұрын
Ama kweli friji haigandishi@ Irene♥️😘
@anandemungure2500
2 жыл бұрын
Nakuelewa sana pastor.
@godfreyhaule8331
Жыл бұрын
🔥🔥🔥 ni atali
@thierrytiti886
2 жыл бұрын
Sukambi mtetezi wa wanaume 🤗
@salmamohamed1769
Жыл бұрын
Mamaz boy inaumiza sana
@jamilamanariyojamila1487
2 жыл бұрын
Jamani 👂👌🙌❤❤
@omarmahirizi-km8dc
Жыл бұрын
Weeee huyu ni moto sana
@queenmunuo5269
2 жыл бұрын
Dada Irene nimependa kipindi naomba unisaidie kupata hicho kitabu pls
@Mcsceo
2 жыл бұрын
Here We are again..😊
@rahelkiula1988
2 жыл бұрын
Nakipataje kitabu hicho Irene
@Glorie711
Жыл бұрын
Nawapenda sana kwa mafunzo yenu mazuri ❤❤❤
@obreydenzel7643
2 жыл бұрын
Worth hearing
@judithsalvatory2892
2 жыл бұрын
Hongera sana wewe dada
@chocolatevivian830
2 жыл бұрын
Uwueeeh nmepata kitu apo thanks pastor
@neemamarko176
2 жыл бұрын
Ndio maana uchawa upo kwa wanaume sio wanawake
@kingboss25
Жыл бұрын
Samahani, Je huduma Ya Kisaikolojia kutoka kwa huyu pastor inapatikana wapi Nina Uhitaji sana wa Hio Tiba 🙏
@thelonewolf4429
2 жыл бұрын
Kipindi kipo poa sana
@aminmohammed4249
2 жыл бұрын
How do i get the books from this gentleman?
@hashawacompany7362
2 жыл бұрын
NI FIRE
@abdoulkarimnibigira8643
2 жыл бұрын
Shukran saaana.
@omarmahirizi-km8dc
Жыл бұрын
Kaka deo hapo kwa wanaume ni kweli hawawi sawa na hili nimewai kuliona maskani na wanavyo ongea
@sabinaluyego4408
2 жыл бұрын
Upo sahihi sana
@christinenibampa2675
Жыл бұрын
Ila kasema kweli
@tumainichanya3268
11 ай бұрын
Haya Iren nikionaga mambo yako basi huwa napenda kukuheshimu Kwa kutulia ili nifundishike au nifixiwe
@paschalmkude7844
Жыл бұрын
Aisee alicho ongea mwalimu nimemuelewa sana yaani natamani niwe kama yeye
@KagemuloKashumba
10 ай бұрын
Na enjoy life tu...hili darasa napata mia😂😂😂
@happynescostat7420
2 жыл бұрын
Inawezekana ni kweli la kumbuka aliemsaidia ata Kama wameachana,
@officialcandleboy6923
2 жыл бұрын
Sns toka nimeanza kuwafatilia Leo mmenikosha kbs, halio yasema yote yamesha nitokea tayari
@mariamabdulazizi7987
2 жыл бұрын
Anayo ongoa huyu pastor ni kweli kabisa, my ex husband alikua na insecurities na alikua muiga Sana kuniona nikifanikiwa
@roseliku531
2 жыл бұрын
Party 2 plz jamani daaa yani vitu vizito na vya maana
@salmamohamed1769
Жыл бұрын
Yaani mumenitachi hapo kwenye over protected
@hamisamulokozi4627
2 жыл бұрын
Good kipindi
@christinenibampa2675
Жыл бұрын
Ndomana ma chawa Wana win 😅
@angelmsacky5067
2 жыл бұрын
Ni kwel🙌
@mnyampaa_kisasa
6 ай бұрын
Hamna kitu, kila mwanamk atamjua mwanaum wake kivyake kwa aina na mazingira yake…hao wengi ma mentor sijui washaur ndo wa kwanza ndoa zak kuvunjika….😂😂
@mwanatz5980
2 жыл бұрын
Kweli kabisa 😍😍😍
@alsam4881
2 жыл бұрын
Ni kipindi kizuri kinaelimisha sana, Na naomba muongelee kuhusu wanawake wenye sauti kwa waume zao na kuwa control, na pia mke anakuwa na power kwa mume wake hadi anamtenganisha mume na ndugu zake .
@zaqiamhando6522
2 жыл бұрын
Nime fixsika🙌❤
@judithmwambe4767
Жыл бұрын
Mshauri mimi naomba msaada wa mawasiliano yako ili unishauri.
@nicolenabintu2509
2 жыл бұрын
Hapo kwa kapoteza malezi ya wazazi,ya shule na ya marafiki (Background) hapo hapo , yani iyo ndio challenges napitia na ex Bana wawatoto wangu after 22 years ya ndoa,I’m tired 💔😭💔
@lucyemichael7814
2 жыл бұрын
❤
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
Wengine ukiwapush wakisogea ndio hawakujui kabosa kabisa
@joymohat5848
2 жыл бұрын
Yaaani acha tu
@nancykimaro3845
2 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@edmundmkwenda3608
2 жыл бұрын
Namba ya pastor plz
@loicebaraza
2 жыл бұрын
Good job SNS,kazi nzuri Irene ,kudos
@marcodaud1005
2 жыл бұрын
Mchungaji kuna vitu umenigusa mimi nimelelewa na mama wa kambo tangu nikiwa na 3yrs lkn nina shida ya hasira hasa nikiudhiwa na mwanamke
@marcodaud1005
2 жыл бұрын
@@fatmahashimu1487 kwann niwe hivi sasa? Zaman ilikua mwanamke akiniudhi nampiga ila siku hizi nimeacha akinichukiza yaan kumuacha ni kawaida sana na wala sijutii maamuzi yaan naona kawaida kabisaaa
@lesusi7872
2 жыл бұрын
Jmn mrudishe tena tunapata elimu
@neemajohn6142
2 жыл бұрын
Mm nauliza tu miaka ya babu zetu walifundishwa nini?? Cku hizi mala ndoa inafunsishwa, mala kuoga kunafundishwa , tendo la ndoa linafundishwa wao walifundishwaa ?? Mabibi na mababu zetu mungu hakuwaona hayo ?? Vitu alivyoviumba asiwape ufaham wa kuvitumia? Kwmaba hakuwapenda au ama ndio maalifa kuongezeka??
@sharifamohammed9955
2 жыл бұрын
Kwasababu watu wa zamani walikua na maono. Siku hizi watu tunafanya tunajua mambo lakn Hali ya kua hatuna tunalolijua. Na baya zaidihatutali kujifunza. Watu wa zamani walivyokua wanavyoishi ni tofauti na zama zetu. Angalia miji tu ilivyo....ilikua hakuna majengo makubwa lakn angalia Sasa. Ndio ujue kwamba zama ni tofauti na mambo yanabadilika. Mind za zamani is nothing like now. We take things as a joke...hili si suali la kujiuuliza hasaa. Ni suali liko logically
@beatricemunisi7891
2 жыл бұрын
Masifa kabisa hahaha imekwisha hiyo pastor
@gracenizigama695
2 жыл бұрын
❤️❤️
@jacob9benny
Жыл бұрын
kitabu tnakpta vp??
@berthadenis1713
Жыл бұрын
Hicho kitabu nakipataje
@agathamatambula538
2 жыл бұрын
Duh siaminiki🙄🙄
@dayana5513story
2 жыл бұрын
Uyu jamaaa yuko vzuri kwenye kujua vitu vingi kama
@allymasoudi6780
2 жыл бұрын
kipindi kizuri
@anandemungure2500
2 жыл бұрын
Imeisha hiyo🤣🤣🤣
@KagemuloKashumba
10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@njuuhjera9971
2 жыл бұрын
Nilikutana na mwnamme Mama's boy uuuwwwii hata alivyotaftiwa mke sikushtuka walahi zaid nilimuonea huruma huyo mwanamke
@irenekamugisha
2 жыл бұрын
😂😂😂
@gervaswandameno1339
2 жыл бұрын
Hiko kitabu ntakipata wap
@felistermichael6547
Жыл бұрын
Aisee nimecheka na nimejifunza sana kwakweli hiki kipindi kimenibariki mno
Пікірлер: 129