Pole kwa kupitia mtihani ndani ya family.yawe yuko pamoja nawe.asante kwa somo naomba umlete tena nimepata kitu Sana hapa umenipata kwenye fetha.
@reisezone4574
4 ай бұрын
kaelezea safi vizuri sana sasa aalikwe siku ingine aje aelezee tu kuhusu uwekezaji tu
@mathiasmwakibuja1728
4 ай бұрын
Nimepata elimu sahihi kabisa... Kuna sehemu kubwa nimejikomboa
@Udindigwa
4 ай бұрын
Yupo Vizuri Sana
@eliacmaginya3429
4 ай бұрын
Uko sahihi kabsa bro hyo inatutokea wengi sana ukiwa hujapata pesa unakuwa na mipango madhubuti lakin ukiipata unaanza kutoka nje ya mstari na ndipo mmbo yanaanza kuvurugika.
@dayana5513story
4 ай бұрын
Dawa ya madeni chukia madeni,mimi nashukuru Mungu nalizika nilichonacho ukiwa na tamaaa na vitu ambavyo uwezi kuvimiliki kopa fanya kitu Ambacho kinamuzunguko unakuta mtu anakopa kununua sm,ubarikiwe bro
@pamelabomani6648
4 ай бұрын
asante sana, nimeongeza maarifa zaidi na ufahamu
@neemamgeni5758
4 ай бұрын
Kaka nimekuelewa sana na nadhani hii mada leo ilikuwa yangu.naamini siwezi baki nilivyo kwa somo hili
@goldiegranted5501
4 ай бұрын
Mr madeni solver 🏆✊🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@dinakyoma5977
4 ай бұрын
What a session ! Bless you @irenekamugisha ... hongera kwa moyo wa ujasiri na ushujaa Thanks Denis...nimekufollow and fowarded the link kwa wanangu
@irenekamugisha
4 ай бұрын
Thank you
@user-lo6rw3ic7v
4 ай бұрын
Pesa ni roho na inataka ulinzi.ni kweli kabisaaaa
@ayubumbaras776
4 ай бұрын
Nimepata nguvu Sana na kujiamini
@virendavictoria5174
4 ай бұрын
Dada Irene tuletee watu wa money market funds kama UTT waje watuelezee junsi ya kuinvest kwao
@irenekamugisha
4 ай бұрын
Noted noted
@MariamGundula
4 ай бұрын
Natamani niongee naye anipe elime zaidi
@seiphomary834
4 ай бұрын
Mm nataka kujua hati fungan vizur kwa mfano umeweka ya miaka 15 harafu umeweka milion 50 hyo bond unaweza pewa sh ngap kupitia million 50 #
@user-ql8fi7ox1v
4 ай бұрын
Nimekusikiliza lakini dah pole na msiba 😢
@user-lo6rw3ic7v
4 ай бұрын
Yaani kama umejua situation yangu.niitakutafuta soon
Пікірлер: 23