Tanganyika Tv muko juu sana yaani munatuhuwa na Raha kweli ,nina miaka nyingi tangu nitoke nyumbani kumbe kumesha hendelea kweli, hadi nasikia hamu. Muna nipa wazo lingine sikua nategemea kama BARAKA inaweza kua hivi. BARAKA OYEEE .
@lumanyaenyonyi98
11 ай бұрын
Huyu bwana wa kwanza kuhuliza ao kuhojii anajua kuhongea
@AmisiLulacha
11 ай бұрын
Mbona Baraka inahitwa jiji nilivyoona jiji letu sikuona Gari hata moja
Nafurai sana kuona baraka kabisa ❤❤❤ ila maendeleo ni pole pole, siku moja bitakuwa sawa Kwasababu ya Leo sio kama ya zamani
@djumadjumbe6907
7 ай бұрын
Alaska anatetea kinywaji😅😅😅
@EshimaniMauridi-im8gi
7 ай бұрын
Jama anapenda pombe sana
@suzanne9517
6 ай бұрын
Baraka imeshaendelea kweli
@MarieBitomwa
3 ай бұрын
Ila reson Hein,c'est Mr ,tujenge nyumbani baraka ,je croit bien que wetu wengi wa baraka tomberont sur cette vidéos, tujenge pardon ❤
@fredericmbokobest
6 ай бұрын
Kweli nimejipa muda kufuata maoni mbali mbali ya watu kutokana na hali ya sasa ya kata lilokuwa pendwa zaidi katika jiji la Baraka, na mengi yana ukweli ndani yake, na hilo nikutokana na janga la maji namna lilivyo zuri kata hiyo kwa ukubwa kuliko kata zingine, lakini pale mtu anapo hinua mdomo na kusema kwamba kwa sasa Aebaz ndo imekuwa kata ya mwisho baraka, huo ni uashabiki tu na uzalilishaji tu. Maana mpaka sasa hivi aebaz imo bado kwenye tatu bora
@loveunicorn1252
11 ай бұрын
Baraka ni atari na majengo asante sana kwakutupa image ya baraka tuna enjoy
Пікірлер: 19