Ila mimi nalipa $1500 kwa mweli ila huku kazi ni nyingi saaana kuliko bongo acheni kuwakatisha tamaa vijana , kwa sasa naweza kujenga nyumba nyingi hapo Tanzania, huku unafanya kazi unalipwa kila saa inayoenda kwa Mungu, fanyeni connection na watu wanaoishi huku hutoumia
@timothnakiz-zb4rz
Woooooooow beautiful frida
@marawatv5871
Ilaaa Frida your so beautiful mommy
@murtanseif3539
Bora mumelisema hili watu wengi hawajui wanadhani ukiishi nchi za nje ni rahisi sana kodi ya nyumba ya mwezi mmoja tu tena nyumba ya kawaida ni sawa na kodi ya nyumba ya tz ya mwaka ama miezi 6
@tanzaniacarschannel6975
I like hiyo background ya migos bad bouch
@alikhamis4550
Kwa mwanya wa Frida Amani Mimi naweza kuipia mahari hata kama milioni10. Nakupenda sana Frida
@husseinhussein9971
Sema Frida mzuri sana.
@MashakaEmanuel-eo8vg
Kwan Frida na Milad ni ndugu maan wnafanan sana
@mustafajaku9772
Hey Milard umeongelea kitu khs NMB kuwa huna haja ya kuchange pesa ukiwa nje mm nipo nje napata tabu Sana kwenye makato
@deusntobi6682
Kenya wanashida hiyo upigaji kwenye kubadilisha pesa. Ila kuna maduka ya wasomali hayo uhakika
@IbrahimCharles-sc9vq
Wa kwanza leo naombeni like za kutosha
@funnyboy369
Jaman nataman pia frida awe mmoja wa watangazaji wenu yuko pw Haboi kiukwel na anavocal baraaa...
Пікірлер: 33