Tunashukuru sana kaka kumpigania kijana wetu kila mara maana hata kocha ni binadamu kujisahau ni lazima huenda atamfikiria
@barakamusapolekidoti957
9 күн бұрын
Friji bovu upo sawa hata mimi nashangaa akiingia uwanjani anafanya kazi zuri
@ambitiousholyspirit395
9 күн бұрын
Chasambi acheze
@LinjeDc
4 күн бұрын
Siyo kupangiwa kocha...ampange chasambi mashabiki wengi tunamkubali wala haihitaji ukocha
@Mpakauseme
10 күн бұрын
Pengine hampendi
@AlcherausMalinzi
9 күн бұрын
Kwa hiyo Chasambi ndo pekee achezi?
@RahmaKhalfani-qp3vc
9 күн бұрын
Chasambi kama anamakosa asamehewe nimchezaji mzuri apewe nafas ya kuchezaji
@ambitiousholyspirit395
9 күн бұрын
Fadlu tunaomba ampange chasambi acheze abadlishane na Mutale.
@RahmaKhalfani-qp3vc
9 күн бұрын
Huyu kocha asituletee mambo ya Robertny atuwekee chasambi
@muridundhikri
9 күн бұрын
Hakuna haja ya kufurahia mafanikio ya simba kama mtu kama chasambi...watu wengi watakua upande wake
@MohdNguli
9 күн бұрын
Kocha anataka matokeo km chasambi anafanya vizur uwanjan na anaweza kumpa matokeo sidhan km kocha angemweka nje
@AbdallahOnga
4 күн бұрын
Kocha anamuangalia mchezaji mazoezini chasambi ajitume mazoezini achani ushamba wa kumpangia kocha kikosi maana naona mnamtaja balua karabaka chasambi na kibu wanne nafasi ni mbili tu tuwe na subira
@godfreyselomba9378
7 күн бұрын
Kifupi faida ya Matola hatuioni yeye anapaswa ampe ushauri mwenzake asiwe kama Benchikha niliwai kuongea na watu wamenikataa Makocha wanakosa ushauri sahihi mchezaji amecheza hakupi matokeo zaidi ya mechi tatu unampa nafasi tena hapana mpe mwingine ili ampe changamoto
@SabangaOnline-uf3rl
10 күн бұрын
tunaomba mutuulizie kwanini chasambi na wachezaji wengine hawachezi?
@JumabJumamkuula
9 күн бұрын
Mimi ni shabiki wa Simba lakini lau ningekua mchezaji kamwe nisingekubali kusajiliwa na Simba kamwe
@boscoShama
9 күн бұрын
We mbwa
@JohnTendwa-gn1nl
9 күн бұрын
Huu ni uchochezi, hivi kocha mnamhitaji aienge kikosi kwa mashindano wakati huo huo m nahitaji awachezeshe wachezaji wote, mechi zenyewe ngapi? Mbona Alli Salim hapangwi?
@anithawidambe7543
10 күн бұрын
WANDISHI WA HABARI ULIZENI KWA KOCHA KWANN WACHEZAJI NGINE HAWACHEZI?CY CHASAMBI TUU KUNA WACHEZAJI WENGI TUU HAWACHEZI PALE SIMBA ANAUWA VIPAJI VYA WACHEZAJI
@AgnessMussa-jb4gn
10 күн бұрын
Kwahiyo wewe nikocha mwachenikocha afanye kazi yake
@gavanankanabo8358
9 күн бұрын
Hawa jamaa ni makocha au wachambuzi tu
@brunomchalla4439
10 күн бұрын
ACHENI SUMU YA KUMUINGILIA KOCHA. MPIRA HAUENDESHWI KISIASA BALI KITAALAMU. KAMBI YA MAZOEZI NDIO KIPIMO CHA MAANDALIZI YA MECHI NA SIO KUKARIRI MAJINA .
@LinjeDc
4 күн бұрын
Kocha aangalie clip za chasambi mechi alizocheza
@LinjeDc
4 күн бұрын
Kocha amempanga lini au mara ngapi chasambi, ...kocha ampange chasambi. Chasambi ameajiriwa afanye kazi, kama hafiti asipoteze kipaji cha chasambi
@anithawidambe7543
10 күн бұрын
TATIZO LA KOCHA WA SIMBA AMEWAKARIRI WALEWALE WACHEZAJI. ANGEKUWA ANAWABADILISHA ILI KILA MCHEZAJI ASIUWE KIPAJI CHAK. KOCHA WAPE NAFASI WACHEZAJI. NA NYIE WANDISHI WA HABARI C MMUULIZE KOCHA KWANN HAO WACHEZAJI HAWACHEZI?
@brunomchalla4439
10 күн бұрын
Mmeanza !!!!! Nyinyi ndio mnakariri majina ya wachezaji na kuingiza ile sumu ya kumuingilia Kocha. Si suala la nani hapangwi na nani angepangwa. Ni mipango kutokana na kambi ya mazoezi kulingana na juhudi za kila mchezaji. Muacheni Kocha atekeleze ujuzi wake bila kuingiliwa.
Пікірлер: 26