Namwona Magufuli kwa mbaliii akitabasamu jmn yule mzee jmn dahhhh alikuwa mtu wa pekee sijawahi kuona china ya hii jua. Apumzike kwa amani. Amen.
@samsonmweta5040
Ай бұрын
Mungu ni mwema, tuliobaki duniani tunashuhudia uthubutu wake Rip Mr president
@Hussein-gx4qu
Ай бұрын
Hongera hayati magufuri
@ramadhanramadhan3698
Ай бұрын
Hongera TRC, Kazi njema sana, hakika mmezikonga roho za watanzania, kongole pia kwa upangaji wa bei ambazo wanyonge wanazimudu, jitahidini sana kudhibiti mifumo ili mapato yasivuje, jizatitini sana ktk ulinzi na usalama kwani huo ni mradi mkakati. Mungu atutangulie ktk majukumu yetu.
@Worldunite
Ай бұрын
JPM oyeee, rip hayati JPM
@AliBakar-sx7lu
Ай бұрын
A sleeping lion is now slowly walking. Hongera mama samia ila kuwa makini na hao majizi wa fedha za umma
@jacksonelieza160
Ай бұрын
Asante jpm
@webirowasira7920
Ай бұрын
MBONA HAMTOI UPDATE ZA LOCATION NYINGINE AU UJENZI UMESIMAMA?? Singida to mwanza or Kigoma
@NassoroHaji-i8k
Ай бұрын
Maashaallah very fantastic TANZANIA one Allah bless My country
@desiderichuwa263
Ай бұрын
Shida kubwa ya mashirika ya serikali ni: WILL YOU MAINTAIN THE STANDARDS 😅
@yustomwaisomania2587
Ай бұрын
RIP JPM 😭😭
@alfredkalaba1614
Ай бұрын
JPM na Samia wamewatendea Haki Watanzania analolianzisha mtangulizi inabidi anayekuja akamilishe....imekaa vizuri sanaaa!!!! Maendeleo ni ya Watanzania woteee!!!
@Kabwela776
Ай бұрын
Kituo cha Morogoro cha SGR kiwekwe lami ni mavumbi kutoka stesheni ya SGR Hadi barabarani hivi hamuoni hilo ???
@joelulomi5753
Ай бұрын
Kituo cha Morogoro ni aibu! These people ate not serious.
@salumabdallah2990
Ай бұрын
Hizi treni naziona mbali sana naaamini treni ya mizigo ndio italeta maendeleo zaidi sana
@tanzcanmediatv4473
Ай бұрын
Open access wameuaa itatufanya uchumi ukue na barabara zitakuwa nzuri
@fredducaunt
Ай бұрын
Kituo cha Moro lami iwekwe sasa watu wanatoka stesheni wanalishwa vumbi kwenye pikipiki hadi barabarani tunaamka kesho yake na mafua makali
@Kabwela776
Ай бұрын
Mngetafuta waandishi wa habari warushe malalamiko Hadi uonekane huo uozo ndio wataweka lami, ni maajabu sana mkuu wa mkoa amepita hiyo barabara Na ameona ila hamna kitu Na wala hawazungumzii hilo vumbi
@brightonshakila6406
Ай бұрын
Vumbi kuu
@hassshoban8206
Ай бұрын
Muweke train kila baada ya masaa mawili. 😊
@FlyingWings-x8h
Ай бұрын
Wanaweka kulingana na idadi ya abiria
@hassshoban8206
Ай бұрын
@@FlyingWings-x8h Abiria wengi wameachwa mkuu 😊
@Mercy-rb2sf
Ай бұрын
Bado TRAIN ya kwenda kaskazini ni muhimu sana pia na kumalizia bwawa la umeme la Mwl.NYERERE
@MrLanga85
Ай бұрын
The best news this year so far
@chumaramadhani.7581
8 күн бұрын
Kuna lugha inayojengeka hivi sawa ya kuita Treni ya kisasa au mwendo kasi kuitwa SGR, ni vyema Sasa tukatafuta jina sahihi la Treni hiyo badala ya kuitwa SGR, Kwa kuwa, kwa ufahamu wangu mdogo SGR ni njia ya hiyo inamopita na siyo jina la hiyo treini. Maana ile zamani nayo ingeitwa Mettergarge. Tuwafunze watoto wetu lugha sahihi ya hiyo Treini. Ni mtazamo wangu binafsi huu.
@ebenezermachange-zp4es
Ай бұрын
Sawa kabisa .Glory to God
@beaugosseadam6831
Ай бұрын
Hili lishoga Mwidjaku huwa mnakosa wengine wakuzungumza nao!!!
@filamupictures9349
Ай бұрын
haitwi, huwa anafika mwenyewe, na wanampenda kwasababu jambo akilishika yeye linakuwa maarufu ni mchangamshaji mzuri wa matukio
@temuemanuel4671
Ай бұрын
@@filamupictures9349umemjibu vizuri
@nestorykimario9384
Ай бұрын
usimwite mtu shoga bhana iyo ni wivu mkubwa
@ochu_man7682
Ай бұрын
Mungu anijalie uzima tu, mwaka hauishi huu sijapanda
@michaelmwakalebe83
Ай бұрын
TRAIN HII INGEPENDEZA ZAIDI LANGI ZINGEPAKWA ZA BENDERA YA TANZANIA. IMAGINE THAT - blue , green, black , yellow. Wow! Napendekeza
@NassoroHaji-i8k
Ай бұрын
Upo sahihi kabisa
@EliasCosmas-l3f
Ай бұрын
Ivi ni kwanini kweny shughuri za maendekei Mwanza huwa mnaifanya kuwa ya mwisho sana jaman sio feir kabisa hata update hamtoi
@domtv518
Ай бұрын
Watu tuliochelewa train ikatuacha hakuna reservation
@tanzcanmediatv4473
Ай бұрын
Jpm🎉🎉🎉🎉🎉❤
@h.alshidhani8971
Ай бұрын
Kama Trains zote zimejaa,,, na hii ndio siku ya kwanza..... Tusubiri kuona vipi itakuwa
@philemonmagesa5548
Ай бұрын
Yani ikifika mwanza itakuwa jambo kubwa zaidi
@badrimanu2468
Ай бұрын
Waw Tiongkok/China in Tanzania
@frankmapera67
Ай бұрын
Tunaokaa moro na tunataka kwenda Dodoma utaratibu upoje na nauli je?
@selemankishema5780
Ай бұрын
Yaani toka mwanzo mnaowahoji wapumbavu wapumbavu hebu leteni watu wamaana
@filamupictures9349
Ай бұрын
clip zipo nyingi sana za tukio hili, sio hii tu ungezitazama na nyengine
@askarikanzu1054
Ай бұрын
Una maanisha Kadogosa aliyehojiwa naye ni mpumbavu? Basi wangekuhoji wewe😂😂
@Ranaimuye
Ай бұрын
Zama hizi kipa umbele si mwanzo/mwsho wa usafiri bali shughuli za maendeleo pembezoni (Corridor) mwa huo manzoni mwisho. Ieleweke hivyo.
@ilynpayne7491
Ай бұрын
Safi sana magufuli
@Ranaimuye
Ай бұрын
Huo mradi si wa Magufuli bali kaurdhi. Shahidi - Kikwete.
@bonvivant3704
9 күн бұрын
@@Ranaimuyesasa huyo kikwete mbona hakutekeleza🙄
@deogratiasmagayane1615
Ай бұрын
safi sana
@Robert-p7c1k
Ай бұрын
Mwamba✔️💯%
@fctlinesfactlines2817
Ай бұрын
Muda gani njiani..?
@bilid4128
Ай бұрын
😂😂😂nyumba ndogo kama kichuguu alafu ndani anakaa mtu 😅😅😅
@mvunge7108
Ай бұрын
Hataweza kuendelleza wizi mwingi bila akili
@nyambegamatoro6817
Ай бұрын
Ko abiria 900 ni sawa na mabasi 15 yameongozana , du inafurahisha!!!
@FlyingWings-x8h
Ай бұрын
Hiyo chuma inasomba vichwa vya kutosha boss
@modenasayi
Ай бұрын
Mchongoko uko wapi ?
@salumabdallah2990
Ай бұрын
Karibuni hio
@modenasayi
Ай бұрын
@@salumabdallah2990 ndiyo nini hiyo 😅 train za mchongoko zimekuja March hadi leo eti kutest kutest nini sasa
@juliusmagoti5650
Ай бұрын
Cjajua kama mwijaku yuko hapo jama abiria au ni sehemu ya matangazo ya uhamasishaji kibiashara. Nashauri TRC wapate watu wenye heshima ambao wanaweza kutumika kama sehemu ya business promotion. Mwijaku hana Business credibility. Ni msema hovyo tu
@festokemibala5832
Ай бұрын
Umenena, hata hajui kuchagua maneno ya kibiashara! Huwezi kukandia usafiri wa mabasi kwamba huko hawawezi kuona tunnel. Huko ni kuua biashara za wwngine ambazo ndo zimetufikisha hapa. Kuna mabasi vvip choo ndani hivyo wapongezwe nao
@osoromageta3381
Ай бұрын
mwijaku hapitwi
@gideonmwanjila8616
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@CasmirKiwale
Ай бұрын
Si wapande miti huko duh
@nyambegamatoro6817
Ай бұрын
Du, Kanda ya ziwa itafika lini??? Labda2050hivi??
@philemonmagesa5548
Ай бұрын
Namm naona hvyo aisee
@nzigeprofilelives6259
Ай бұрын
Hamjatuambia imetumi muda gani kufika Dom mliosafiri tuabalisheni basi
@festokemibala5832
Ай бұрын
Inafika saa 3.25 asubuhi hivyo kokotoa mwenyeww huo muda
@superdupaproducer4294
Ай бұрын
Iliondoka saa ngapi@@festokemibala5832
@nguruwekikwete1635
Ай бұрын
Kwa ndani train ya mchongoko ni duni kuliko hii ...kuna kosa sehemu
@bekabakari7394
Ай бұрын
Mabehewa ni yale yale Mchongo na sio mchongo Ni engin (machine)
@nguruwekikwete1635
Ай бұрын
@@bekabakari7394 kakudanganya nani hivyo mchongoko ni EMU vina vichwa viwili mbele na nyuma na vina mabehewa yake tofauti kabisa na haya tunayo tumia sasa. Pia mabehewa ya gorofa ya yana vichwa vyake ila kwa yale ya gorofa unaweza kutumia vichwa vya kawaida ila siyo hizi EMU
@vintagemusicgroup9236
Ай бұрын
Huo mkataba wa ushirikiano tunaomba kuuona
@worldtechlab
Ай бұрын
Mchongoko uko wapi mnaboa hata hamjibu watu fyoko
@ernestsinje9700
Ай бұрын
Mchongoko upoo babu wa ukweli speed km200/h
@ernestsinje9700
Ай бұрын
Dodoma masaa matatu na nusu tuu
@worldtechlab
Ай бұрын
@@ernestsinje9700uko wapi mbona hamna safari ya Leo iliyotumia mchongoko na wewe muongo
@festokemibala5832
Ай бұрын
Bado ktk majaribio, tuliza ball pia kauli
@worldtechlab
Ай бұрын
@@festokemibala5832 majaribio Gani yasiyoisha train imekuja tangu march
@jumamabu3650
Ай бұрын
Imetumia muda gani !?
@victormkini2708
Ай бұрын
Muda imekuwa Siri
@festokemibala5832
Ай бұрын
@@victormkini2708wamefika saa 3.25 asb
@zolongOne
Ай бұрын
4
@jamalimussa4928
Ай бұрын
Jitahidi kutotumia ticket xa makaratasi kulinda mapato na mazingira pia,
Пікірлер: 83