Waandaji wakipindi Mungu awape maisha maisha marefu
@abdibilali4186
2 жыл бұрын
Mama pole Sana unaongea huku unatetemeka na pressure just ni jinsi gani umeumia daaaaaa pole Sana mama Mungu atakulipa kwa uliyo yapitia
@EsterBernardoVumo
Жыл бұрын
Jina La Bwana YESU Libarikiwe Mungu Wetu Ni Mema
@susannesusie3217
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Sad story uyo mtoto amtunze mamaake ampoze machungu mamake Nampenda saana Mama yangu Mungu amtunze Mama yangu ukiangalia video kama hizi inaongeza mapenzi kwa mama
@justicedamaru3016
2 жыл бұрын
Nyie machozi yananitoka
@yassintaibrahim24
2 жыл бұрын
Saana Yani
@dorahmwambemba9032
2 жыл бұрын
Jamani msituuimize tunawaumiza watoto😭😭😭 wifi Kwa mdomo huo mama asingefiti kwenu
@nicolauswandao8988
2 жыл бұрын
Shangazi acha chuki maana ww ni baba. Nampenda sana shangazi yangu maana hata mimi nimelelewa na shangazi. MUHIMU "SHANGAZI NI BABA" Msamehe mama anuari
@auntdorah9141
2 жыл бұрын
😭😭😭 Mungu ambariki sana huyo mama na watoto wake waliokaa nae baada ya kaka yake kufariki mpk kujifungua.. Ni vgm kukubali kuishi na binti wa watu mjamzito usiyemjua! Nendeni na mama mkamuone ikiwezekana kuonesha japo moyo wa shukrani, na hata huyo mzee Anuari alikutoa pagumu sana. Yote kwa yote ashukuriwe Mungu hukupata wazo la kuitoa mimba, mabinti wengi kwa mapito hayo wangetoa tuu, Anuar mama yako hana makosa ...hakukutupa aliteseka ki mwili na kisaikolojia...utakua umesikiliza upande mmoja, msikilize na mama sasa
@jafarmlawa9627
Жыл бұрын
Asa kumbe ulimtupa!Acha kulia
@latifakalunga
Жыл бұрын
Umetuliza kwakweli
@happymau2809
Жыл бұрын
Nafurahi sana kufatilia kipind hiki..shida nazidiwa na machozi jmn naumia
@estherokombo1086
2 жыл бұрын
Daaah hii imenitowa machozi mm jamani🇰🇪
@hadijamshimbula7616
2 жыл бұрын
Daah leo nimemkumbuka marehemu mamangu. Rip mom
@efrahfarahahmed8960
2 жыл бұрын
😭😭😭 Mama ni mama tu
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Pole sana
@aishafrancis7714
Жыл бұрын
😢😢😢😢😢
@rwamboking.3253
2 жыл бұрын
Allah awajaalie kina mama wote wanaotelekezwa na waume zao
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Pole sana mama, kwnn hy mjomba alikupiga alitakaje sasa na wkt kwk kakufukuza, mama unaongea kwa uchungu hadi unatetemeka
@sifangwira90
2 жыл бұрын
Nimelia sana hii story imenikumbusha mbali sana,haya yalinitokea nikamwacha mtoto wa miezi 7,ila mungu alinifungulia milango nikamchukua mwanangu baada ya mwaka,namuomba Anwar amsikilize mama yake shida hua zinatenganisha watu,huyu mama alimuacha mtoto Ili akue labda angekaa nae kwa magumu angekufa
@gulfomanbb2119
2 жыл бұрын
2napitia magum sana wkt mwingin ata unaona bola uishi mwenywe2 mm pia nimekosana nae lkn nashukulu nilienda muachia mama yngu kamlea kwa shd mpk ss nipo nnchi za kiarabu wana2umiza mno wanaume
@sabraabdilnasir8826
2 жыл бұрын
Sasa watuwengine hawajui maisha tunayopitia wao alhamdulilah hawajapata changamoto washukuru ila hakuna mama anaetaka kukaa mbali na mwanawe ila ugumu wa maisha jamani wazee wanyonge hawana uwezo unamtowa mwanao kwa uchungu huku ukilia
@shifaaal-baity4503
2 ай бұрын
@@gulfomanbb2119 baadhi ya wanaume wabaya mno na wanawake wengine pia wabaya sana
@gracemgeni721
Ай бұрын
Huyu mama naye.....
@evainnocent9520
2 жыл бұрын
Daaaa! Nimelia mnoo ila Baba ndio aliesababisha hayo uyo shangaz nae anaongea tu ila kosa la kaka yake
@aminaam281
2 жыл бұрын
Kabisa my
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Anamtetea udugu wake
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Hongera pia shangazi kwa kumlea hadi kukua Mungu akubariki ila mawifi daah
@dicksonkilupa2258
Күн бұрын
SHANGAZI ACHA LAWAMA KAKA YAKO NDO ALISABABISA HAYO MADHIRA.
@nadhifajuma6485
2 жыл бұрын
Wallah imeniliza mno sina la kusema clouds nawapendaaaa woootee
@abdibilali4186
2 жыл бұрын
Kila sifa njema ni za Mwenyeezi Mungu Alie wapa afya na maarifa ya kuwakutanisha watu na hi yote ni mipango yako Allah Aqbar Mungu ni Mkubwa , hakuna atakae kufa mpaka mapenzi ya Mungu yatimie.
@feykimaro4615
2 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiii 😭😭😭😭😭 inatia uchungu jamaniii 😭😭😭😭😭
@margrethrhobi3973
Ай бұрын
KUZAA SIO KAZI' KAZI NI KULEA! HONGERA SANA SHANGAZI. HII NDIO MAANA HALISI YA ULE WIMBO KWAMBA NI BORA KUMPENDA MUNGU KULIKO MZAZI! MAANA MAMA ANAWEZA KUKUZAA NA KUKUTUPA!
@mdzainb3722
2 жыл бұрын
Wanawake tunapitia magumu sana imeniuma sana😭😭😭
@hassansadiki217
2 жыл бұрын
Pole sana, Hilo, janaume halina hofu ya mungu,kwa Lina kataa damu yake,
@khadijakhalfan2922
2 жыл бұрын
Mashaalah ❤️🙏 mungu Ni mwema
@rebeccarebeccachristine3182
2 жыл бұрын
Maskini wa maman tuheshimike 😭😭😭
@JerusaMkuyu-pw1zo
7 ай бұрын
Anuary Mungu akuongezeee
@swaiseif2989
2 жыл бұрын
Khaa nimelia Sana wallahi 🙌 mpka macho kuvimba 😭😭😭😭
@agnesisimon3154
2 жыл бұрын
Pole nimelia Sana pole mwanamke mwenzangu
@robbyman6213
2 жыл бұрын
Mungu Awatie Nguvu
@sabihahamadi2287
2 жыл бұрын
Jamani mungu hashindwi da geya na jopu lako lote mungu awabariki
@wemakalama6458
2 жыл бұрын
Jamani nimelia mwenyeezi mungu awatangulie kwa kweli
@sunnamickdady5383
2 жыл бұрын
Miezi3🙌🙌🙌🙌
@roseodipo9868
Жыл бұрын
Pole shangazi umefanya sehemu yako. Imetosha
@dkmhamilawa
Ай бұрын
Shangazi ulijitahidi kumsitiri kakavyako lakini usimlaumu wf yako mwamke menzako. Hongera ka malezi. Anuar wewe ni mwanaume chunga matendo kama ya babako. Utamuumiza mzazi mwenzio
@zakiaferuz4561
2 жыл бұрын
Alhamdulillah 🤲 mwenyeezi mungu mwema hakika machozi yamenitoka jamani😭
@legarecephas5935
2 жыл бұрын
Umuunganishe na ndugu gani wakati walikataa kukusaidia kulea
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Ukiangalia huyo shangazi alivyo tuu mama kapitia magumu kwa hyo familia ya mume3
@happyngonyani7065
2 жыл бұрын
Hongera kwa kumpata mama ila usimsahau Aunt
@HalimaHalima-id2cb
2 жыл бұрын
Clouds hongereni sana nawapenda 😭😭😭
@bintmrisho3526
Жыл бұрын
Uyu shangazi lengo lake anuari amkatae mama ake au 😢mi sijamuelewa
@ashurabihongo1498
2 жыл бұрын
Allah awalipe inshaallah nimelia sana
@hamidsoud2436
2 жыл бұрын
Mashaalah kaka mwijaku leo amepoa
@hadijahadija6129
2 жыл бұрын
Wallahi nimelia sanaaa😭😭😭
@yassintaibrahim24
2 жыл бұрын
Yani Acha Tuu 🤔🤔🤔😭😭😭
@raphaelsikumbi5517
2 жыл бұрын
Nimejisikia vibaya sana kutokana na hii story na nimejifunza vitu vingi sana ki ukweli sisi wanaume tunawakosea sana wanawake nimeumia sana nawapongeza sana ninyi watangazaji hii ni elimu kubwa sana kwetu
@hopesesilius6104
2 жыл бұрын
Ur right kk
@yassintaibrahim24
2 жыл бұрын
Uko Sahihi Kabisa Kakaangu Yani Kuna Muda Tunaumizwa Saana Na Baadhi Ya Wanaume Na Waotaabika Ni Watoto😭😭😭
@mamertarweyemamu3438
Жыл бұрын
Pole sana
@roseodipo9868
Жыл бұрын
Bwanaeee mama ni mama tu ata iweje.❤❤
@rehemakanyere4188
Ай бұрын
Kbsaaaa
@hassinaalharthi5984
2 жыл бұрын
Pole saana mama mungu akusaidie
@dafrosamsonge2007
2 жыл бұрын
Raha Sana kukutana na mama nmelia Kwa furaha
@aishaally6602
2 жыл бұрын
Poleni na watangazaji naona mko katika hali ngumu inauma sana
@fatmaallyabdul1732
Ай бұрын
Kuna mahali ukiwaza unapitia magumu lakini ukisikiliza ya wengine utaona afadhali ya kwako....😢😮
@rehemaothman2200
2 жыл бұрын
Nimejikuta nalia 😭😭😭😭😭
@enockmaige8936
Ай бұрын
Leo nimemkumbuka marehemu mwl Agatha Shigongo mama yangu mzazi rest in peace my mom😢😢😢😢
@giftpamelagiftpamela4494
2 жыл бұрын
Mungu wambinguni amubariki sana 🙏🏼🙏🏼
@keifatuke99
2 жыл бұрын
Story kama hii inahitaji muda why did you call her?
@kidawakindamba2434
2 жыл бұрын
Dh pole sana
@kelvintembo734
2 жыл бұрын
Nimelia sana jaman 😭😭😭😭😭😢😢
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Pole sana mama
@roseshonyera9929
6 ай бұрын
Hongera Shangazi japo unadukuduku ila kaka yako ndo chanzo
@mamajaphety1624
2 жыл бұрын
Nampenda sana mwanangu jamani tena sana sintamwacha kamwe labda nife jamani
@aishafrancis7714
Жыл бұрын
Kweli kbs my
@zuenasaidy7916
2 жыл бұрын
Hongereni kipindi kizuri
@hanifatanzania7258
2 жыл бұрын
Subuhanallah polesana mama inauma jamani basitu
@dkmhamilawa
Ай бұрын
Clouds mbarikiwe
@kiri5807
2 жыл бұрын
Huyu kijana katiwa sumu kwao anaamini km mamaake kamtupa tu hajui kuwa alikuwa na sababu yakumsave yeye uhai wake .
@glorymutalemwa296
2 жыл бұрын
Nimelia sanaaa
@user-uk4ll3su3g
Ай бұрын
Shangazi hayaoni Makosa ya kaka yake😢
@yascodesimple
2 жыл бұрын
CLOUDS MEDIA GROUP LEO TENA JOSEPH KUSAGA💪🏾💪🏾
@halimakimis2731
2 жыл бұрын
Jaman😭😭😭😭😭😭
@nadinnmugisha5168
2 жыл бұрын
Naliya sana namaneno kijana anamwambiya mamayake 😭😭😭😭😭from 🇧🇮🇧🇮
@Sensiahairgrowthsolution
2 жыл бұрын
Bora kaongea hajawa mnafki
@user-uc1re1oo4e
Жыл бұрын
ndioooo duh nimelia dah bc tyu😢😢😢
@lizelizabeth6467
2 жыл бұрын
Dear God mkumbuke kila mama apitiaye magumu I can't hold my tears 😭 😭 😭 😭 😭 😭
@jafarmlawa9627
Жыл бұрын
Hamja mtendea haki shangzi jamani!
@MohammedAli-rh5si
2 жыл бұрын
Na huyo Anwar kalishwa sumu sana kuhusu mama ila ampe nafasi mama yake angesikiza ushauri wa watu angemtupa au angetoa mimba
@mgoledaudi6051
2 жыл бұрын
Jamani 😭😭😭😭😭😭
@mrsferuzi7443
Жыл бұрын
Wallah nimelia 😭😭😭
@monicakayombo4770
Жыл бұрын
Daaah nimelia
@mimahtv2974
Ай бұрын
Jamani nimelia sana😭😭😭
@missmoona4497
2 жыл бұрын
Shangaz ana sumu kwa mtt sijapenda yaliopita si ndwere
@khneesajumaa2052
2 жыл бұрын
Mmmm nani kama mama😢😢😢😢😢😢😢
@aisharamadhani1948
2 жыл бұрын
Dahhh imeniliza mno ,,, anuary anajitambua mungu awape umri mrefu na awape afya njema dahhhhhh,,,, ni wangapi wametelekezwa km anuary
@enockmaige8936
Ай бұрын
Umeiona huyo mama anavoongea kwa uchungu had anatetemeka, uwe unasikiliza story kuanzia mwanzo had mwisho😢😢😢😢
@bahatihthoya8028
4 ай бұрын
So touching😭😭😭😭😭
@khneesajumaa2052
2 жыл бұрын
Da yani nimelia sana 😢😢😢
@naimanaima4715
2 жыл бұрын
Duuh 😢😢
@ashnaom2270
Жыл бұрын
Uyu shangaz mbaya namuona kabisa ilA uyu dada alikua anawakati mgumu sana, wanaume sijui mnani nini ehe
@Niabebewamor413
Ай бұрын
Hakuna mzazi anaependa kuacha mtotot wake Jamani ni maisha tu 😢😢😢😢😢
@Abdul-oc1ul
16 күн бұрын
Wacheni uzinifu nyie wabongo cc wapemba maisha yetu pia magumu tunaowa tunazaliana watoto wengi na hatutelekezwi hata tuwe na miaka 30 tunakuwa na familia zetu nynyi mtoto mmj mnamtupa mnapenda kuishi maisha ya kuiga mda wote starehe na kujipamba hamtaki majukumu bc mczae mnawatesa wanawake na watoto wanahangaika na biashara na watoto migongoni musiishi ka kuiga ishiini maisha halisi oweni mjenge familia kuna uzee
@Abdul-oc1ul
16 күн бұрын
Sharing zenu
@evachuw8092
2 жыл бұрын
Uyo shangazi mmmm
@azizamohamed7692
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭nimelia Sana jamani stori ya huyu mm Mungu ni mwema kwakweli
@pettywilliam4492
2 жыл бұрын
Hongereni sana clauds naona mmechukua staili ya ulaya
@zulfasaeed7445
2 жыл бұрын
Nimelia sana daaah😭😭😭😭😭
@roseodipo9868
Жыл бұрын
Anuary kijana muelewa sana❤❤
@hadedihadedi3595
2 жыл бұрын
Inauma jamn😭😭
@chellynpanja3970
2 жыл бұрын
Hata Baadhi ya wanawake ni wakatili sana mimi wangu kaniachia watoto wawili..mmoja anayenipenda sana kaondoka nae... Sometimes nalia sometimes najipamoyo watakua..na tutaonana..
@beathaeustace2638
2 жыл бұрын
Usijal tunza watoto watakufaa baadae
@chellynpanja3970
2 жыл бұрын
Ni kati ya baraka nayo ipenda sana toka kwa Mungu..naamini wananifaa hata sasa
Пікірлер: 288