Ruto hafai hata kuongoza kikundi cha ngoma za kienyeji. Mtu katili sana!
@giovannir.restone182
4 сағат бұрын
Inaelekea kulikua na njama chafu dhidi yake, itakua sumu hiyo! Pole sana mzee..uwe makini na hilo jambazi..linaloua wananchi wake! Mungu akulinde.
@MaikoRashku
Сағат бұрын
Ndio mgonjwa aliyekuwa amelazwa huyo ?. Hahaha hahaha hahaha nimecheka mpaka basi
@ThomasAlute
6 сағат бұрын
Huyu Baba mungu akulinde
@dibeazicha-dj5hb
Сағат бұрын
Ukiona mtu anajiretea sana ujue yeye ndo chanzo
@lucymtui8680
7 сағат бұрын
Mtegeemee Mungu , mwanadamu atakulinda Nini?
@CyusaVanessa
7 сағат бұрын
Mungu akulinde 😢Aky huyu mwanaume ni mnyama😊
@Ajijji12
28 минут бұрын
Ndio maana wakenya hawataki ruto
@jabarmalid5393
2 сағат бұрын
iyo kumsaidia kupata uraisi ndo hawataki kuisikia. kausha mzee achana nao. Tafuta nchi ya kwenda.
@mohammedmalik7933
8 сағат бұрын
Waaah.... Nikubaya
@hamzaabdallah8637
8 сағат бұрын
Ruto ni katili na ana roho mbaya sana hafai kuwa kiongozi
@bulumbambokot.v.4035
6 сағат бұрын
1:18 wakenya mmekwisha kurogwa na lugha ya kiingereza! Sasa hivyo mnawaambia wa nani? HACHENI kiherehere. Mpaka lini? Hongeeni kiswahili na mkiboreshe vilevile . Ao ni misaada njo mnataka kutoka kwa wazungu?
@MedardMushobozi
30 минут бұрын
Ni bahati nzuri ama mbaya Rais Ruto hajaongea tukasikia upande wa pili,lkn huyu mtu wa Mulima' anasema yeye ni mtoto wa Mau Mau,sasa anakuwaje mwoga?
@abubakarkarsan31
3 сағат бұрын
ha ha ha rais mwizi naibu mwehu
@MaikoRashku
Сағат бұрын
Afadhali huko Kenya, kwetu iliwahi kutokea Rais chizi mwehu na wakati huo huyo likawa fisadi
@brysonkaale3003
2 сағат бұрын
But let the truth be sayd,Who else withdraw Uhuru Kenyatta security than you!?,who else withdraw Mama Ngina security than you Mr Gachagua.,and do you know that "What goes round also comes round!?
@AbdallaMwagora-sm1rj
7 сағат бұрын
Acha uchochezi.
@zariadunia6328
3 сағат бұрын
Huyu ndo mgonjwa mahututi m?
@KudraWanguvu-em1xw
5 сағат бұрын
huyu ruto alimsumbua sana uhuru lakini hakumtoa katka nafasi ya ummakamo wa rais minadhani mumuangalie vizuri kwani mjipange tu uchaguzi unaokuja aisome no.
@Mazrui22
5 сағат бұрын
Nani mkosa huyu au ruto
@leverimlaki5667
3 сағат бұрын
Ruto is shaming the body of Christ. You can't be a true Christian and treat your brother in Christ this way. God will surely intervene in this matter. The real revengance is of the Lord.
@AbdallaMwagora-sm1rj
7 сағат бұрын
Unapotezea watu muda.silazima 14 na 60 days,siku yoyote kati ya hizo inakubalika.
@benjaminmichael811
6 сағат бұрын
King makers hardly make it to the finish line.
@ThomasAlute
6 сағат бұрын
Nipo Tanzania kwa ubinadamu ruto amefanya kitu kibaya sana ambaye hataweza kusamehewa hata ajifanye mtu wa Dini
Пікірлер: 32