Mtu kama huyu kumsikia analia njaa ni ngumu sana.maana anatumia akili aliyobarikiwa na Mungu kuigeuza kuwa fursa.
@mercypeter162
Жыл бұрын
Nchi hii kuna vijana wabunifu sana. MUNGU abariki kazi ya mikono yenu
@user-rv7zt6tj3d
Жыл бұрын
Kwa tz ni ubunifu mpya ila kwa nje ni kawaida tu honger yake kuleta ubunifu huo tz,
@langrishuruma2858
Жыл бұрын
Big up my classmate!! Kazi nzuri
@homeandaway2811
Жыл бұрын
Safiiii sana, ila wamekosea kuweka picha ya mzungu, kwani hakuna za watu weusi
@user-tq2rk8jw3s
Жыл бұрын
Apo pia umenena
@bless.2559
Жыл бұрын
Gari ni nyeusi ikiwekwa picha nyeusi utaonaje mkuu, Ni wazo lake
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
@@bless.2559 kuwa muelewa wangeweka picha ya mtu mweusi ishu unatuwekea picha ya mzungu unanyoa waafrika
@yahayaallytv2852
Жыл бұрын
Vijana wanajitahidi sana
@abdull_hafidh
Жыл бұрын
Kakosea kuweka picha ya mzungu toa hiyo weka mtu mweusi unapofanya hivo unawafanya wazungu wawe bora zaid kuliko sisi wenyewe
@hamzarehani9264
Жыл бұрын
We jamaa una matatizo Makubwa mnoooo ya akili😂😂😂
@user-vh2rl6lu9p
Жыл бұрын
Good creativity
@Michoarbah
Жыл бұрын
Nomaa sana
@luganomwaigomole7441
Жыл бұрын
Great ideas
@mageuzirichard8417
Жыл бұрын
Halafu sio vijana bhna watu wazima tu wanajua nn chakufanya maana Wapo mjini mawazo nimengi
@muzlishcareen3568
Жыл бұрын
Nimegundua nna kibarua cha kutafuta pesa
@exitingmomentsmovie2815
Жыл бұрын
Bonge la idea bro na hongera sana. Ila tupunguze uongo tukija kwenye media 70M yawezekana unayo na zaidi ila kwa hilo jet saloon umetudanganya.
@IssaKigwanya-ik6gd
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Watu wenye hasira ndio nyie
@HadijaZabroni-pu1lt
Жыл бұрын
Basi nawewe fanya tuone ukweri wako vijana tafuteni pesa makasiliko sio ishi hahaha ata ni mimi ningemsema eeeee siyangu😂😂😂😂
@rahimtz_04
Жыл бұрын
Big creativity but I believe wote mliocomment humu hamna anayeweza kunyolea hiyo bei,ilikuwa haina hata ya millardayo kupost maana no one hapa kwa waliocomment wataweza kurequest ,wapostie watu wa masaki#ga
@bornifacecharles2
Жыл бұрын
kaka nikweli kabisaaaaa
@nancyg8664
Жыл бұрын
Jamaa anajipatia hela jaman duh,inabidi usiivamie tu sehem za huduma ya kunyoa bila kujua bei utaaibika mchana kweupe🤣🤣🤣🤣🤣
@filbertmollel7713
Жыл бұрын
Siyo gari na mm ndo mfanyakazi wa jet
@massabanestory1624
Жыл бұрын
Go go go jet
@danniedannie4476
Жыл бұрын
Bonge la idea hongera sana broo
@fabiansemba-eh2qf
Жыл бұрын
Bless
@Josh_1194
Жыл бұрын
Safi sana hii ndo ubunifu tunataka
@kelvinbaraka4610
Жыл бұрын
Big up xan broo
@mathanikibuti6676
Жыл бұрын
Mmmh wewe ulivyo kuwa #palmvillage uli request alafu saivi una muuliza Boss jinsi ya kuwa pata 😂😂😂😂 ila kwakuwa ni Entavuuu haina noma🙌🙌🙌
@adrianosutta2813
Жыл бұрын
hasa si anauliza kwa niaba ya watu wengine
@evaakyoo3009
Жыл бұрын
Kumyoa tuu mshahara wa MTU anaye Lea watoto na anasomesha na anajenga ninyi niwabinifu sawa lakini bei zenu Zaki wehu
@mrs2899
Жыл бұрын
Experience kwanza 😂 huna hela kanyoe salon 😂😂 anajaribu biashara idea yake 👍
@fahadfaraj6474
Жыл бұрын
Nenda kanyolewe na wembe chini ya mtu usilalamikie vitu usivyonauwezo navyo vingine vikupite waachie wenye kuweza sio kila kitu utamani, ni sawasawa uanze kusema mbona Benzi na v8 bei sana , nunua baiskeli
@mathanikibuti6676
Жыл бұрын
Mkija kivule na barabara yetu hiiii tuta gombana mtanipunyuaaaa 🙌🙌🙌🙌
@samsed-media9911
Жыл бұрын
Hahaha kivule shulee
@princeisack4345
Жыл бұрын
😂MBONDOLE!
@gwaphamayemba5708
Жыл бұрын
Kwamakonde 😂
@ElizabethMwasi-og
Жыл бұрын
mkiwa na pesa laki 1 sio kitu kwny kunyoa acheni kulala mika cutting master ananyoa kwa elf 35 na kuendlea bd hujaweka nauli km umetokea mbali so kwangu mm naona ni bei ya kawaida
@johnmichaellukindo21
Жыл бұрын
Jamani kunyolewa laki moja dola 45! Huko ulaya kunyolewa dola 10!
@filbertmollel7713
Жыл бұрын
Kwa hiyo laki Moja wapata full pakeg
@greysonmsigwa5741
Жыл бұрын
South Africa zipo Hadi salon kunyoa Dola 200 kwahyo hapo hakuna Cha ajabu
@Princewaweru
Жыл бұрын
Hongeren
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Duh😘hongera sana
@kelvinmaxiOfficial
Жыл бұрын
Gari ikitikisika unapunyuliwa
@sekitauniquedesigns8813
Жыл бұрын
Aliyekwambia wanakunyoa ikiwa inatembea nani?😅
@Maconcepty
Жыл бұрын
😅
@user-tq2rk8jw3s
Жыл бұрын
😂😂😂
@filbertmollel7713
Жыл бұрын
Hapana hunyolewi likiwa linatem bea
@hamidmweusiii35
Жыл бұрын
Kumamamaee kunyoa tu laki Moja wakt kinyozi wangu apa nampa elf2 au buku jero
@frankmushi8892
Жыл бұрын
Atariii
@fredrickmatiku7783
Жыл бұрын
Ideas nzuri ila gharama watu wa kipato cha chini hawezi kulipa 60k au 100k kunyoa labda mawaziri wabuunge wafanyabiashara mafisadiiiii watanyoa hapo
@HamidKhamis-lt8ep
Жыл бұрын
Hawa Wanyamwez wanaweza kufika Zanzibar?
@malongadeussimba2289
Жыл бұрын
Hongera sanaa
@venturebown6983
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥💥💥
@walternkya3985
Жыл бұрын
Baada ya jamaa kusikia Bei kakunja sura kweli au ofisi ndo inalipa😅 (jokes)
@edinachami4318
Жыл бұрын
Mkija mosh usk kuninyoa ni sh mgap
@godwincharlesgodwincharles3845
Жыл бұрын
Kinyoz awe fund kweli alinde brad
@victormariki2319
Жыл бұрын
Shida sio idea watu idea nying watu wamekufa nazo ziko makaburini tatiz la watu wengi ni mitaji we unafikir asingekua na hiyo Hela ya ku design Hilo gari na hiyo garama ya million 80 Tatizo ni mitaji sio Idea watu wengi sana wa ideab
@sammoney1466
Жыл бұрын
Ilitakiwa umuelewe kwanza, namaanisha hakuna mtoto anayezaliwa na kuanza kutembea, alianza chini, na usikute alianza na saluni ya kuajiliwa, baadae kafungua yake, kisha kafungua matawi ndipo Kawaza ilo, ko apo shida sio mitaji shida ni ukipatacho kidogo unakitumiaje kikufikishe kwenye vikubwa
@lupacrisamayc518
Жыл бұрын
That's my goal after 1year from now
@abiboseleman1649
Жыл бұрын
hv mnajua bilionea nyinyi
@abuu-bakarshaaban6246
Жыл бұрын
Subirini mutekwe tu
@hamidmweusiii35
Жыл бұрын
Laki mja Kwa kunyoa tu jmn hanipaty ingekuwa ukmalz kunyoa unatomba kbsa au kufira kbsa watanipata lakn kunyoa tu jmn AH
@gooleserviceyoutubescandar3450
Жыл бұрын
Kazinzuri.
@dossantoschannel1808
Жыл бұрын
Kunyoa kwa laki 1 😢😢😢😢😢😢
@filbertmollel7713
Жыл бұрын
Yana hiyo laki kna pakeg wazipata siyo kunyoa pekee hapana
@rumdeesonsoa1811
Жыл бұрын
@@filbertmollel7713Amesema kunyoa pekee ni elfu 60 kama uko karibu. Kama uko mbali ni laki 1
@wisperfect5320
Жыл бұрын
Tafuta hela uache uoga😂
@morogorodoll397
Жыл бұрын
Kwetu kunyoa mtoto 500 mkubwa 1000😂😂😂😂 kweri maisha tumetofautiana
@aristidestarimo5543
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@aristidestarimo5543
Жыл бұрын
Uhalisia
@saumusanjiama6991
Жыл бұрын
😂
@ignassindabaha1813
Жыл бұрын
Harafu wananyoa kawaida tu😄😄😄
@adrianosutta2813
Жыл бұрын
Na unatoka fresh tyu, unaenda kuoga nyumbani🤣
@VanShayokviewshoursago
Жыл бұрын
Niliiyon kijitonyama pale
@filbertmollel7713
Жыл бұрын
Yes ndo pacing yake
@erickkyando684
Жыл бұрын
Watanzania hawawez kunyoa kwa laki moja wakat mtaani kunyoa ni 5k tena saloon kali
@robert4g189
Жыл бұрын
wewe huwez
@upendowakwelinaamani1060
Жыл бұрын
Sema ww huna pesa wenzio wanafanya kazi wanapiga pesa na wateja wapo km kawa😂
@mafurumatijo8803
Жыл бұрын
Hiyo huduma peleka Dodoma eneo la wabunge
@adrianosutta2813
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 kwa kweli
@denisntinabo4018
Жыл бұрын
Niadia nzur nilicho kataa kunyoa tu 30,000/= mh!
@GloriousRestorationTV
Жыл бұрын
Wewe ndiwe unaona 30k Hela nyingi ila kwa mtu mwenye pesa Hana muda ni kiasi kidogo sana sana!!!! Kumbuka anatumia mafuta, analipa dereva, kinyozi so ni kawaida tuuu!!!
@rumdeesonsoa1811
Жыл бұрын
30 ni ukiifuata ww mahali ilipo. Ukiagiza ije ni elfu 60 mpk lak na 50
@angelmwaimu3676
Жыл бұрын
Hii imenunuliwa hivyo bwanaaaa
@filbertmollel7713
Жыл бұрын
Hapana imetengenezwa hapa tz na mm ndo mfanya kazi wa hapo so Niko tang gari Lunianza matemgemzo
@hassanbakari4525
Жыл бұрын
APO KWENYE KUMFUATA MTU MORO KUMNYOA ME NISHUSHENI..
@johnmichaellukindo21
Жыл бұрын
Haya mimi wa morogoro eti saloon zimejaa uswahilini,!
@delimachesa5007
Жыл бұрын
Kadhasema ni makubaliano wakikupa bei ukaridhia gari inakuja bro kunawatu kuspend hela kwa izo inshu ni vitu vidogo
@abubakarharuna6712
Жыл бұрын
Armonize alishidwa mgahawa
@prospermmary1388
Жыл бұрын
Nikanyoee kwa 100k nna kichaaa
@chamyfx9377
Жыл бұрын
Kwa hali hiyo huwez panda ndege😂😂😂😂
@nancyg8664
Жыл бұрын
😆🤣🤣🤣bora ndege jaman kuliko kunyoa kwa laki moja 😆😆
@salim02tv24
Жыл бұрын
Kipato kinaendanaa na matumiz kuna watu wanaweza kulipia ... Sema ww una pesa ndo mana una hisiii kichaaaa kunyoa kwa laki
@LoxloxJuma
Жыл бұрын
😂😂😂unanyoa nn
@zakiakusaja8603
Жыл бұрын
Tatizo huna hela ndo maana 😂😂😂😂
@jacklinejacklinejonh6530
Жыл бұрын
Upuuzi eti laki wee nyoeni wenyewe
@MnyamwezMnyamwez-vx1wb
Жыл бұрын
Sasa mafuta ya kukufuata wewe ulipo tu 20 000, mafuta ya kwasha gari na AC wakati wa kunyoa 30 000, kuna engine oil, mipira, service ya gari, ushuru, usishangae kwenye hiyo laki labda kinyozi anapata 20 000. Waache wenye fedha zao watumbue!
@ayububakari9942
Жыл бұрын
M1
@shuk-bofficial1081
Жыл бұрын
This is normal here in USA mume copy ila siyo mbaya
@ramseynicodemus1604
Жыл бұрын
Unaenda USA wakati South Africa huku legends barbershop wanafanya
Пікірлер: 110