Bunge la Seneti linasikiliza kwa siku ya pili hoja ya kumtimua gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu. Waititu ambaye amekuwa akijitetea mbele ya seneti anasisitiza kwamba alitimuliwa na bunge la Kiambu kwa njia isiyo haki kwani hatua hiyo ilichochewa kisiasa. Waititu anaamini kuwa bunge la seneti litazingatia haki baada ya kusikiliza hoja zake.
Негізгі бет Gavana wa Kiambu ajitetea mbele ya seneti baada ya kutimuliwa
Пікірлер: 18