G64 Tafadhali mwambie Viongozi walete mchezaji kwenye namba 2. Kuwaamini Kapombe na Israel ni kucheza kamari. Timu imependeza kasoro pale namba 2 ambapo palitufelisha msimu uliopita.
@JosephTibu
3 ай бұрын
GB 64 SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO
Beki namba 2 pale hamuoni simba au mmesahau msimu uliopita yaliyotokea kwa kapombe
@Jumanne-ni5sl
3 ай бұрын
Simba Nguvu mojaa❤❤❤
@ZakariaHemed
3 ай бұрын
❤❤
@YOSHUAMWAMPETA
3 ай бұрын
YANGA mumeipata hiyo ? kumbe ni NSSF TEAM ?
@JohnsoonJohnsoon-pu5tm
3 ай бұрын
Ila simba ya msimu ujao ni simba ya mvp
@AllyPawaga
3 ай бұрын
Mpanzu vip
@MADINAKITEMO
3 ай бұрын
GB nakukubali kimomaaa
@HussainIgayo
3 ай бұрын
Nikweri hawawezi
@IsaacPhilemon-mt7bk
3 ай бұрын
Ila MOOOOO anatisha,ni tajiri kweli na anaipenda SIMBA kutoka moyoni,upewe maua yako popote ulipo,wengi tunakupenda Moooo wetu.
@HussainIgayo
3 ай бұрын
Nabado wats tosha
@RashidKaoneka-bj8mm
3 ай бұрын
Aisee bangi mbaya
@manmanonline6394
3 ай бұрын
IMEENDA HIO NSSF
@YusuphManasi
3 ай бұрын
yanga kumpatachama hawaamini ndomana wamefanya shelehe kajili ya chama t hahaaaa waoga kwel
@mikidadymohammedy7603
3 ай бұрын
Sio uoga tu pia washamba
@manmanonline6394
3 ай бұрын
imeenda hio
@fatmahpoli1528
3 ай бұрын
Hahahahahaa wee jamaa wewe eti baba yupo nyumbani hapapikwi dagaa
@DeusiMorisi
3 ай бұрын
Aliyemharibu baleke ni chama
@HassanDonyoa
3 ай бұрын
Ha ha ha ha ha gb64 unaongea
@faustinemalunde6571
3 ай бұрын
Wachezaji wa NSSF
@faustinemalunde6571
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 64Gb hatari
@cynthiapwani1383
3 ай бұрын
Yani huyu baba kama sio mlevi sina uwakika tena ankunywaga matap tap yale maana anaongea mpaka maick zinavuja mate,na kesho kutwa tu ataufyataa kimyaaaaaa
@eliudmwangoka6036
2 ай бұрын
Kila. Anayeongea sana kalewa we utakuwa chizi
@YOSHUAMWAMPETA
3 ай бұрын
BEKI AKIWA KATILI faulo zitakuwanyingi au?
@AmiryHamza-gs8pp
3 ай бұрын
Bado atujamaliza
@andrewkitema9838
3 ай бұрын
Ila wewe kweli ni tahira taslimu. Yaani bado unawaza habari Aziz Ki.
@mbarakasijaona7638
3 ай бұрын
Tusubir msimu uanza tunaomba uswatishe tena viongozi wako ukatiwa ndani
Пікірлер: 46