Huyo hakuwa Kiongozi ni Kibaka..ila na wewe pamoja kuwa ni Msomi umekubali kupewa Barua ya Makabidhiano ya Ofisi bila jina lako.. Wewe huitwi GB 64 wewe ni Shaibu HEGA😂..hiyo Barua ni Batili. Ok wizi unaanzia kwenye Matawi Viongozi wa ma Tawi ni wezi pia.. Angalizo kuwa makini na JABIRI hanaga Msimamo ni hoya hoya
@brucardkomba616
3 ай бұрын
Yuko vizuri, apunguze pombe kali,
@MayleenDonaldharris
3 ай бұрын
Gb 64 manasimba mwenzangu safi sana unachokifanya kweli mashabi tuna umia sana
@MohamediMbega
3 ай бұрын
Anaweza kumtuma mi simuamini hata kidogo uyo ngungu
Пікірлер: 7