Gb,64mwamba kwerkwer nakupenda sana cheupe cheupe mwamba nataman cku tuonane unatusemea sana Simba yetu ispotee
@user-dt5wf8rx4k
14 күн бұрын
Jamani mimi mwana yanga huyu yuko sahii mangungu anataka kuuwa mpira wa Tanzania adi bus la rimu kanunua mkumbukeni hayat magufuli alimkataa umbunge aliona si kiongozi bora.ila tatizo wanachama wa simba wana njaa.
@kakorejrboyz6447
14 күн бұрын
MANGUNGU ANAIMALIZA SIMBA KABISA WANACHAMA WA SIMBA KUWENI MAKINI HUYU JAMAA ANAICHAFUA SIMBA MPAKA IRUDI KWENYE MSTARI MIAKA ITAPITA
GB, na wanaume tu, lakini upewe maua yako unasema ya ukweli.❤
@halidimgonza5945
14 күн бұрын
umeongea vyema Gb64 ila kw ISSA mwana wa Maryam (yesu) kwa iman yetu waislamu hakufa, hio kusema kafa msalaban ni iman za kikafiri. SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
@romanambelle6356
14 күн бұрын
Ulivyo Tahira mambo ya Yesu yanakuhusu nn kwa nn usimwongolee hyo mood wa kiislaam usiwashwe. Mambo ya mpira na Imani ya watu Inakukaje mshenzi
@halidimgonza5945
14 күн бұрын
@@romanambelle6356 cjaisema iman ya mtu mie nmemkumbusha muumin mwenzngu asije ingia kwnye ukafir pas n kutarajia, na ww Mungu akusameh 7bu hujui utendalo c lazima unielew leo lkn siku ikifika utakumbuka maneno yng
@Mteza-oc8zd
14 күн бұрын
Mangungu kirus atolewe yy
@RBMBAKARI-bv6wn
12 күн бұрын
Kwa point hizi mangungu hafai huyu jamaa ametufungua sana .mo bado anahitajika sana simba
@joanitamligo6321
14 күн бұрын
Kwa kweli GB huwa unaongea ukweli kwanini kiongozi asiachii wengi wenye uchungu na team huu ni mpango waviogozi baadhi waioipenda team wanataka kuipoteza kwenye ramani ya mpira kabisa haiwezekani miaka 3 mfululizo imepoteza kila kitu harafu watu wameganda tu kama team yakwao
@dicksonbenard1741
14 күн бұрын
Yan mangungu atoke kabisa tumemchoka
@user-ps2om3fg8x
14 күн бұрын
Mangungu ata ubunge alifukuzwa kwao kisini"" kama angekuwa kweli mwana Simba kwa makelele yote Aya anayopigiwa angeshaachia ngazi lakini mangungu ana jambo lake"" amekula ela ya mdogo wa gsm ili ampe Simba, sasa Kanoa anaona ka mbwai, mbwai tu
@saidishaban8528
14 күн бұрын
Nakubali mkali
@user-gb2pl3ln9m
14 күн бұрын
hapana GB mangungu atoke tu
@user-nm8ym6iq7n
14 күн бұрын
Team walimwachia Ahmed Ally akawa anahangaika nayo
@Eagt971
14 күн бұрын
Hicho kiingereza🙌🙌
@lukamkongwi9234
13 күн бұрын
SIMBA NGUVU MOJA
@jumamashaka7784
14 күн бұрын
Niko na ww kaka mkubwa mkubwa mangungu atupishe
@DanielKagoma
14 күн бұрын
Mangungu nakuomba sana ebu tuna omba utuachie Tim yetu unapo kwenda si pazuri tuachie mo tu Mimi nakushauri vizuri Kama mtoto wangu usiharibu Tim yetu
Simba hatuwezi kumwachia mtu na Simba hatu hami ila Hawa viongo wata toka tuu Simba nguvu moja
@mussai.sillas3796
13 күн бұрын
GB64 tofautisha basi udhamini na utangazaji wa biashara. Unaongea sanaa. GSM aidhamini yanga tu. Hao wengine anatangaza biashara zake kwenye jezi. Mo iliidhamini Namungo husemi.
@ZachariaMwita-bu7rw
14 күн бұрын
Huyu jamaa ana akili sana
@williamgeorge-hd2tn
14 күн бұрын
Yaani huu uzalendo ungehamia kwa taifa nchi ingebadilika sanaa
@agreusavery284
14 күн бұрын
Fanya wewe mkuu inatosha
@williamgeorge-hd2tn
13 күн бұрын
@@agreusavery284 0000%
@williamgeorge-hd2tn
13 күн бұрын
@@abdallahmkodo 00000%
@user-ip5mw5xv7o
11 күн бұрын
Tuko pamoja mku simba nguvu mojaaaa
@user-lr2ff5mp5t
14 күн бұрын
Bro nakulew sn mwenyezi MUNGU akupe maish marefu ıshallh
@frankmwinuka6298
13 күн бұрын
Good
@maryjkiosa3380
14 күн бұрын
Mangungu tupishe
@IsackMahenga
14 күн бұрын
Sema ukweli
@user-wc6dl8kp9p
14 күн бұрын
Upo Sahihi Gb
@user-wc6dl8kp9p
14 күн бұрын
Gb64 pasua yote watuachie Mo wetu Jumamosi kawape Fact bila woga kwanza Mangungu alikuwa pan Africa huyu Mangungu ni Nyuma mwiko kwanza Mangungu atwambie Bus la Simba lipo wapi.
@SangaryaMasero-kc3br
14 күн бұрын
Sisi mangungu ATUMTAKI atoke ameshindwa kila kitu Sasa wanataka kutudanganya tena na sisi atudanganyiki kabisa.
@benjjlifetechnologie435
14 күн бұрын
Gb nakupa dada yangu bureee angalau uwe shemeji
@meshackthomas1341
14 күн бұрын
Kwa hali hi. Simba itakua Bora liende. Hakuna kitu. Mo hawezi kufanya kazi. namajungu. Hivi. ataharibu. Biashara zake. But anatumia busara tu. Kuondo kijanja😂😂😂😂
@rahimmarions5712
13 күн бұрын
Ukitazama kwa makini hii issue kuna watu nyuma ya hao wajamaa wanaitaka Simba so wanaleta chikochoko moo asepe simba ili waweze kuingia..hao kina ngunju boy wapo kwa maslahi ya hao jamaa na ndio maana wamekomaa tu hawataki kujiudhuru
@ALBERTNyemba-uk3fr
14 күн бұрын
Kwishaaaaaaaaaaa 😂😂😂😂mo wetu.
@emmanuelisack4879
14 күн бұрын
Jamaa anaongea kweli
@user-ih9xy5vd5d
12 күн бұрын
Hakuna mpira jinga hili mpaka leo linaamini mprira wa miaka ya 90 wa kuuza mechi, simba kafungwa na yanga kwa sababu ya uwezo na si ujinga huu
@zephaniajaphet730
14 күн бұрын
Tutatema BigG kwa karanga za kuonjeshwa.
@KihangoIsmail-qn2uh
13 күн бұрын
Gb 64 mimi nakupongeza huyu mangungu ni mtu wa ajabu sana kama ulishindwa siasa mpira hautauweza nakushauri bora ukalime korosho
@GamanielKatani-nw8ll
14 күн бұрын
Nimekukubali hasa la manura hata asiye Jua mpira manura kuwa kipa wengi tuliongea kipa yupo nje muda alafu awe kipa hao waliujumu timu watoke watoke watoke tu
@user-hu4el2rx2u
14 күн бұрын
Huyu mangungu tumsome albadir kitu kidogo tu Mimi baba yangu anasoma Tena hatasoma bule sababu yeye pia Simba alafu tutamuona
Asa Akina Bocco Si Walikuja bure au chizi huyu Jamaa
@wahidabakar
13 күн бұрын
GB hongera umeongea point
@user-yh3dv2bl7u
14 күн бұрын
Gb64nakuelewa sana haho viongoz wetu mamluki watoke
@abdallahmkodo
13 күн бұрын
Kweli kabisa upo sahihi GB 64
@prospertv7
14 күн бұрын
🎉🎉🎉
@HABIBHASSAN-wf5mr
14 күн бұрын
GOLI ALIZOFUNGWA MANULA HAKUNA KIPA YOYOTE ANAYEWEZA KUOKOA HAYO MAGOLI ..GOLI LIPI LA KUMLAUMU MANULA ? SIMBA NYINYI MNAPOTEA SIMBA MPOTEZENI MANULA LAKINI MPAKA SASA TZ AINA KIPA KAMA MANULA...TIMU 9 ZIMEPIGWA GOLI 5 NA YANGA MWAKA HUU NA SIMBA AKIWEMO....
@samsonpopat1474
14 күн бұрын
Huyu mangungu ni kirusi hatakiwi kabisa mashabiki hawamtaki kabisa
@johndavid-rg3yl
14 күн бұрын
Bro we bak real ivyo ivyo maana kuna watu kama wewe tulikuwa tunawaeshimu sana lakin msimu huu wamejishusha value zao wao wenyewe kwa kurubuniwa na viongoz ivyo nakuomba usibadilike team ikifanya vizuri sifia wakizingua we sema ukwel wako tu .
@mafikrahamza-lm4yp
13 күн бұрын
Usikate tamaa,simba nguvu moja
@stanslausmteme8455
12 күн бұрын
Huna akili fly Emirates inadhamini timu ngapi?! Msomi
@shabanimkavu3404
5 күн бұрын
Nikweli Simba hii du
@SafariBaraka
14 күн бұрын
Kwel mangungu atoke
@user-qy2me3yv9j
13 күн бұрын
Mangungu ondoka kabla mashabiki hatujavamia kwako hata kwa makofi utatoka
@castrocastro9615
14 күн бұрын
Halafu GB kila siku unakosea jina la Chemalon. Haitwi Shondo ni Fond😂😂😂
@winfridajebras-zd2fq
14 күн бұрын
Ningekua nauwezo GB64 ningekupa timu weww ni mwamba kwelkwel waambie bado hajasikia
@KarimuHamisi-sj9fd
14 күн бұрын
Kwel mangungu aachie timu yetu
@GibsonManji
13 күн бұрын
We jamaa ni mkweli sana tunakuombea sana.
@EliabuChatanda
14 күн бұрын
Yani hapo lazima ache tim siyo ombi
@LinusSirayo
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂❤ 23:18
@PaulMasolwa-ir4fp
13 күн бұрын
Atoke huyo
@mtakatifubony5525
14 күн бұрын
Mangungu ondoka hatukitakiii tuachie simba yetu
@mwanangusana
14 күн бұрын
😂😂😂 we c ndo ulikuwa mstari wa mbele kwenda viboko uwanjan ....kuwatandika wale waliokuwa against na viongoz 😂😂😂 .....
@deusdeditmshinga4742
14 күн бұрын
Sio huyu umemfanisha
@mwanangusana
14 күн бұрын
@@deusdeditmshinga4742 ni yeye huyo , mzaramoo bonge, pass milioni , kisugu ao team mapambio
@saidbakari2408
14 күн бұрын
@@mwanangusana huyu hayupo kwenye kundi la wakina mzaramo maana huyu walimuweka police kwaajili ya Simba huyu jeshi la mtu mmoja na nimeongezeka upande wake tuko jeshi la mtu mbili sasa daadeki
@mwanangusana
13 күн бұрын
@@saidbakari2408 huyu mtu kabadilika juzi juzi tu hapo .... Alikuwa member wa kundi la mapambio.. mpk muamala wa kutoka kwa katibu ulipositishwa ndo akageuka ... Huu ni ulimwengu wa utandawaz Kila kitu kipo naked tuu 🤣😹
@barakamartine2452
9 күн бұрын
Huyu jamaa IQ yake ni kubwa
@user-qi2lt5ts2n
14 күн бұрын
atoke bana mangungu nd nan?
@user-md7sd3hk6l
13 күн бұрын
miyaka yake yote ya ubunge akuna cha maana maji ya tope ata weza kutupa fulaa simba atoke uyoo
@athuman7480
14 күн бұрын
Umepigaje hapo
@feisalmohamed2848
14 күн бұрын
Mechi ya simba na yanga ulifanya mambo ya Nujum ,hebu rudi kwenye Nujum tuone mueleko wenu😂😂😂🖐
@user-md7sd3hk6l
13 күн бұрын
GB una tuka tisha taamaa akuna kushindwa gb nakuomba tuna kutege mea sana usi shindwe kaka nguvu moja
@husseinally6245
14 күн бұрын
gb64 anaongea ukweli mangungu sio kiongozi bora kama una mukumbatia mangungu bac wewe utakuwa matako au chenga
@houmdmajid-ur9dp
14 күн бұрын
Jmn naona ss wanaume wazima tunazinguliwa na mjinga yule 1 kwnn tusimfate tukampiga t kwn tunaogopa nn mshenz yule
@LorynNila
14 күн бұрын
Huyu mi napenda awe kiongozi pale simba
@BarakaIlomo-re9je
14 күн бұрын
GB basi kaka usiseme sana hao viongozi wametufilisi sana hatuna hata buku ya kukutumia kaka na Mimi nitaongozana na wewe cost
@user-pm4ig8us8w
14 күн бұрын
Huyu mwamba mooo ampe yy awe mashairi wabodi
@simonysayi8623
14 күн бұрын
Atokeeeeee
@ArnoldRwegasira-hp9gt
14 күн бұрын
Nafurahi sana nikiona makolo wanateseka😅
@valerianimalya5448
14 күн бұрын
basi liliuzwa tukapanda costar
@mamuwadomu8448
14 күн бұрын
MBONA SIMBA NAYO YANGA IMEIPIGA NJE NDANI GSM ANAWADHAMINI😂😂😂
@salama1113
14 күн бұрын
Umezaliwa 1 na utakufa 1😂😂😂
@faustinemsanguli1055
14 күн бұрын
Mangungu anafir... ni mamluk
@allygoodboytzsdoneintanzan3970
12 күн бұрын
GB64 ww nimwamba broo please nakuomba Ucjebadilika kabisa
Mangungu achana nasimba kitakukuta kitu wanaokujaza watakuponza mupuuzi wew
@mtalemwadenis1500
14 күн бұрын
Nawe Gb umezidi uzwazwa,Mo naye tatizo
@muksinimbaruku1233
13 күн бұрын
Tatzo kivip? Leta hoja
@jumakisena7317
14 күн бұрын
Unauhakika?
@hajiyusuf3837
14 күн бұрын
Achakupoteza muda wako!hatahuyo Babra hawezi kuja kufanya kazi bure atakuja kulipwa mshahara!wewe unakauka mate bureee!!!Think tank.football is a business bro.
@mariamabdallah9847
14 күн бұрын
MANGUMANGU KIRUSI ATOKE
@user-xk5ms3xc7s
14 күн бұрын
Ata mm gb nahama timu
@stanslausmteme8455
12 күн бұрын
Msomi wa simba GB there's no transparency and accountability 😂
@Kuminamoja1995
14 күн бұрын
Kwaiyo simba mzamini ni GSM kwasbb mlipigwa nje ndani😂😂
@monifrank347
14 күн бұрын
Kalale😂
@kashangakuroka997
10 күн бұрын
GSM aliwazamini viongozi Wa Simba ili wachomeshe,msikilize kwa makini ndiomana lawama zinaenda kwa viongozi
@HABIBHASSAN-wf5mr
14 күн бұрын
MO ANA HAKI GANI PALE SIMBA ? SIMBA TEUA UONGOZI WA MUDA KINA MO WAKAE PEMBENI AWANA HAKI YOYOTE KWSSB TRANSFORMETION AIKUFANIKIWA ?
@user-gg2yf3zl3l
14 күн бұрын
KWA KIFUNGU GANI CHA SHERIA AMBACHO UNATUMIA KUMUHUKUMU MO,HALAFU JUENI MO HANA SHIDA NI TAJIRI HASWAA MAKAMPUNI 15 AFRIKA BROOOO HESHIMU MTU ANAYEKOJA KASIMAMA KAMA WEWE HALAFU ANAMKWANJA
@fatmafatu1128
14 күн бұрын
Utarudishwa Rumande wewe na kelele mpira unakupa faida gani
Пікірлер: 140