GEAH HABIBU, DA HUU WA CLOUDS FM WAFANYA JAMBO KUBWA NAMBUNGE MABULA| NI ZAIDI YA UPENDO
GEAH HABIBU NA DA HUU WA CLOUDS FM WALIVYOKIWASHA KWENYE BIRTHDAY YA MBUNGE MABULA
Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe Dkt Angeline Mabula amesherehekea siku yake ya kuzaliwa pamoja na watoto yatima na waishio katika mazingira magumu katika kituo cha kulelea watoto hao kinachofahamika kwa jina la FONERISCO kilichopo katika kata ya Ilemela wilayani Ilemela.
Katika hafla hiyo ambayo imehudhuriwa na wageni mbalimbali kutoka miongoni mwao ni watangazaji wa Clouds FM Geah HABIBU pamoja na Husna Abdul (Dahuu) ambao wamempongeza Mbunge huyo kwa kuwajali watoto yatima.
#birthday #party #trending #mwanza #yanga #simba #nbcpremierleague
Негізгі бет GEAH HABIBU, DA HUU WA CLOUDS FM WAFANYA JAMBO KUBWA NAMBUNGE MABULA| NI ZAIDI YA UPENDO
Пікірлер