Ukistajabu ya Mussa utayaona ya Filauni, hyu jamaa kuyakubali ya wananchi.
@mosesmulashani5124
10 күн бұрын
Geoff suala la yanga kutolewa na wahabeshi ni ndoto. Amka brother!
@dismanManota
7 күн бұрын
Na bado
@mrrockboy9508
10 күн бұрын
We jimalize kesho tukusahishe wewe mchambuzi wa mchongo
@vaxminja9053
10 күн бұрын
Geofrey haelewi namna ya kuongeza points, Yanga akishinda leo anaongeza points
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
10 күн бұрын
Yanga wamesema simba hawajasema africa
@swedijr2686
10 күн бұрын
Kumi bora ni uhakika b'se Kuna msimu mmoja katika ile mitano points zinatolewa ili ziingie points za msimu mpya pia Kuna wenye points nyingi ambao msimu huu hawashiliki haya mashindano sasa yanga akiingia makundi break kuanzia nusu tutaambiana hapa
Пікірлер: 8