Hii ndio maana alisi ya jasiri akubaliki kwao hii movie ingechezwa ulaya ingetikisa dunia🎉 congrat my brother ur made it🎉 and keep going🧠
@official.alainpatrick
4 ай бұрын
yaani tanzania nzima baada ya kanumba nilikuwa sijawai kusukia ama kuona mtu anayeweza kutunga story nzuri yenye kuvutia kama huyu jama pia wasani wake wako vizuri kwa kweli nimependezwa saana love from Australia for more nitawajulisha kwa zawaidi kuu ahsante❤
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Asante ubarikiwe ❤️❤️🙏🏾
@Humanity21216
4 ай бұрын
Jamani tukiwa wawazi kabisa hii series ya BABA OLIVIA ni nzuri sana 🔥
@zotto_boy
3 ай бұрын
Olivia bonge la actress , 💥💥💥🥂💥 God amsimamie industry isimvuruge mbeleni🥂🥂🥂🥂💪
@msbeckie4693
3 ай бұрын
The chemistry between father and daughter is beyond acting❤
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Absolutely ❤️
@southpole1378
4 ай бұрын
wacongo tunawasapoti sana tuu nivile tu amjui gabo zigamba mad respect
@henrymwakajumba
4 ай бұрын
Asante sana ❤️🙏🏾🙏🏾
@CharoJohnson
4 ай бұрын
Olivia mamaaa nakupenda walah❤❤❤❤❤ muheshimu sana dady❤
@FaudhiaSwalehe-tp9ox
4 ай бұрын
Olivia shujaa nipeni laik zangu japo nimechelewa
@JamaliAbass-pd3nq
4 ай бұрын
Hivi Siwezi Uziwa hii move nimalize kuangalia,,,,Hii best movie mwaka huu
@RamadhaniKitala-gx6wc
4 ай бұрын
Olivia honger ni mjasiriamali wa kesho inshallah 🎉🎉
@VexMaizoOfficial
4 ай бұрын
🧭🤳 like zangu tafadhali jamani walau kumi maana sijawahi hata pata like. From Mozambique 🇲🇿
🧭🤳 tunaongea baadhi Tena sana, kuliko wa kenya. shida ipo kwenu maana mna tutupa sana, amtu jali, ni jirani tumepakana tu mto wa Rovuma.
@RehemaIssa-ii6kr
4 ай бұрын
Nampenda sana Olivia jamani asa akiongea dah nafulai sana
@AlbertJr-u8q
3 ай бұрын
Viazi kwenye kuuza ilibidii awe na chakufungia kama gazeti au mfuko, pia asishike kwa mkono atumie uma kumpa mtu.kuzingatia Usafi wa mikono.
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Amejufunza hapo! Asante 🙏🏾🙏🏾
@ukhtymwana40
4 ай бұрын
Sinime sahau kama leo Ijumaa lakini wa 18 team strong nawakilisha Oman 🎉🎉🎉
@omarhussein-iq7yg
4 ай бұрын
Nawakilisha 974 🇶🇦
@NeemaNixon
4 ай бұрын
Tupo pamoja mpka hubz zituuue team hamam😂😂😂
@omarhussein-iq7yg
4 ай бұрын
🤣🤣🤣mafi mushkil
@MiriamShani
4 ай бұрын
Mpk ni mefeel happy tuko pamoja
@ukhtymwana40
4 ай бұрын
@@MiriamShani karibu saham nipo
@ZuwenaAbdulla
4 ай бұрын
Aisee nimekaa nikajua km mm wa kwnza oman team tunawakilisha
@innovalentino9887
3 ай бұрын
Very touching episode hapo kwenye mama yupo wapi na background inaumiza kifala sana🥲🥲, i feel it. Gabo Zigamba you know what you doing bruh keep it burning may our almighty guides you Kaka.
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤️❤️
@omarhussein-iq7yg
4 ай бұрын
Kama tunavyoeka subra hadi tumeletewa episode ya 6 ya tamthilia yetu nzuri yenye mafunzo mazuri...basi naomba sote tuwe na subra vile vile kwenye maombi yetu kutaka kujibiwa..nawatakia siku njema na ndugu waislamu ijumaa karim inshallah❤🙏
@JohnKirumbi
3 ай бұрын
Sawa sawa
@ashatwaha6886
3 ай бұрын
Inshaallah
@malichanda3146
4 ай бұрын
Hii movie nzuri sana aise hongereni sana❤❤❤❤
@elishabrand9625
4 ай бұрын
Gonga like za kutosha na kama mnataka iwe inaachiwa kila siku ,gonga like za kutosha Hapa
@timebakar
4 ай бұрын
Kwanwew ndounaiachia
@elishabrand9625
4 ай бұрын
@@timebakar kama hauniamini Basi wewe waalike watu wa like za kutosha hapo
@SaraQueen-tm5dr
2 ай бұрын
We ndo director
@muksinarchard6496
4 ай бұрын
Hii movie Kali Sana siku zote Gabo ni mwamba Sana 🔥
@MrTwoRocks
3 ай бұрын
Background ya music iko juu kiasi wakat Olivia na Gabo wakiongea. But for sure i do appreciate watching this❤much love
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Thank youu!
@ScolasticaMtonga
3 ай бұрын
Sauti ya olivia naipenda😊
@monarose6091
4 ай бұрын
Napenda baba Olivia anavyo ishi na mwanawe in shaa Allah mwenyez mungu anijali mume atakae ishi na watoto wake kama ivi
@MwanamkasiBakari-pb2gw
3 ай бұрын
Amiin thuma Amiin
@hajisalym7651
3 ай бұрын
Nakubali
@KindaKindaki-u1q
3 ай бұрын
Kila kipande muwe mnaweka namba ili tuvielewe
@brianmalea789
3 ай бұрын
❤
@TOMMPANTHER
2 ай бұрын
HI
@AnnoyedCheese-qg6is
4 ай бұрын
Kazi nzuri sanaa kutoka kwa gabo
@AsiaSharif-nt5sy
4 ай бұрын
Best ever filamu mr gabo ur the number one actor in tz for real
@farajangenzi4303
2 ай бұрын
Baraka zimfikie mwanamke mzaa chema alomzaa olivia she is very bright ❤
@malichanda3146
4 ай бұрын
Familia ya Luca wananichekesha sana wanajazana kwa baba olivia😂😂😂😂
@dotoomary6889
4 ай бұрын
Olivia anajua sana ana kitu atafika mbal
@NewtonOskar
3 ай бұрын
Tatizo sapot ndugu sawa sawa na jamila saiv tumemsahau
@MarthaAlly-y7s
4 ай бұрын
Kazi nzuri sana gabo inanoga na huyó mwanao raha sana
@RamaDenge
4 ай бұрын
Naa yulee dude mchoyoo Sanaa yeye kagaiwa chakulaa tenaa wenziwe hata kuwagaiya ndizii Moja kashindwaa
@mamasalhat
3 ай бұрын
😂
@alkhudhertarek976
3 ай бұрын
😂😂😂ndo kwanza ujuwe leo
@MwanatumuJumaa-rj4fg
3 ай бұрын
Yule bahili hata wa fadhila
@DofaMweya-lu9zm
3 ай бұрын
ndio ushangae,hata kutoa ndizi moja ampe olivia😢😢kyaa
@radhianuhu1974
2 ай бұрын
😂😂 ndo waja walivo
@malcelalihawa6034
3 ай бұрын
Babaangu kipenzi, baba bora sanaaaa maisha yangu yana mengi kukuelezea wewe...endelea kupumzika pema peponi❤️
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
RIP, ❤️❤️❤️
@aishaomar2287
4 ай бұрын
Baba Olivia na meanao mwanikosha😂😂 ati alikua kipofu haoni,alijuaje wauza viazi,pengine alinusa😅 🙌...bwana Luca nae na jamaa zake yani wamekula hadi kuenda shamba nibasi,khaaa! 🤣🤣🤣 mwatuburudisha na mafunzo juu Gabo na team Mungu Awaongoze
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
😅😅👍🏽👍🏽👍🏽🙏🏾🙏🏾
@zenamwasekaga7460
4 ай бұрын
Olivia nampenda sana❤ ila Lucas na Katarina akili hawana😂😂😂
@hemedynamkwanga2928
4 ай бұрын
Hiv like mnazoziomba munazifanyia nn nipen bac na mim
@SUZANASUZANA-ku3jk
4 ай бұрын
Team strong apa uko p
@carloswekesa254
2 ай бұрын
A big fan from Kenya. You are one of the best actors that I have known for so long.
@SalumuZomba-xb5bz
4 ай бұрын
Wow my lovely movie❤❤❤
@mauriciocristianomardes6295
4 ай бұрын
Hi familia ya luka jamani hiiiii 😂😂😂😂 Gonga like basi jamani, from Mozambique ❤
@VexMaizoOfficial
3 ай бұрын
🧭🤳 😂😂😂🇲🇿 imefanyaj kwani??
@Twilumba
4 ай бұрын
Namm nataman nimlee mtot wangu kama baba Olivia 🎉
@aishaomar2287
4 ай бұрын
Ni kuamua tu bila kujichanganya
@EzekielKitambo
2 ай бұрын
Napenda sana jinsi hizi family mbili znavyoishi💐💐
@NaftaelyCylus
3 ай бұрын
Niliishi maisha ya olivia na babaake kasoro tu jinsia yangu daah kweli movi imechezwa.
@AllyIbrahim-p3b
4 ай бұрын
Gabo anajua anastahili maua yake🎉🎉
@rosemaryrwabibi5908
4 ай бұрын
Yaaan uyu mama tina uwa anasura ya comed kabisa
@FaithJames-r1q
3 ай бұрын
Ni comedian huyo Katarina karatu
@NanzariuAwadhi-jp3qw
3 ай бұрын
😂😂😂
@AdhamAlliy-mg5py
3 ай бұрын
Wew ACHA TU Yan najikuta nacheka tu wameuwA
@munirakhalfan5716
4 ай бұрын
Tupo Omani 🎉🎉tunawaona Tanzania yetu❤❤❤
@CheefIrahim
3 ай бұрын
❤❤❤❤
@JoharSeif
Күн бұрын
❤
@fatumakushonda4277
4 ай бұрын
Olivia nakupenda n babako,mnajua pk mna jua tena ❤🎉
@RehemaShindo-px7gt
3 ай бұрын
KAZI nzuri yenye mafunzo mazuri,,much love from kenya
@bonita329
3 ай бұрын
Wow napenda sana hii series kutoka kwenye nchi yangu Tanzania 🇹🇿❤ Naitizama kutoka germany ☺️🇩🇪 Please fanyeni kidogo ndefu ndefu please 😂
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Asante sana 🙏🏾🙏🏾
@hatangafelix5598
4 ай бұрын
Baba Olivia na Olivia mumeni inspire
@ChristinaDaniel-c4u
3 ай бұрын
Hongeren sana move tam inafundisha inasisimua🎉
@schadracnsengiyumva6525
2 ай бұрын
Huu jama Tanzania yote sijaona Actor zahidi yake.anajuwa kuigiza sana.Love from Burundi 🇧🇮 😍 ❤
@fellybonny5618
4 ай бұрын
Napenda anavyomuita mwanae mama
@aishaomar2287
4 ай бұрын
Very sweet
@-kagerayetubw9jx
4 ай бұрын
😂😂😂jemsi anataka kufanya vya wakubwa kwa Oliva 😂😂
@PierreHeriIlungu-ks1mr
Ай бұрын
Pamoja tena ❤️❤️
@falcom.4149
3 ай бұрын
This is "Rich daddy,poor daddy" ya Tanzania. It's best movie 🍿 ever❤
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Asante Sana 🙏🏾
@agrestaalpha1085
4 ай бұрын
I really need to see Olivia 😅
@gogirl2095
3 ай бұрын
Olivia na babake tunampenda 🇰🇪🇰🇪
@margretnjuguna2949
4 ай бұрын
Kenya watching and love it
@SaidSadiki-c6n
8 күн бұрын
Jamani nampenda baba olivia jinsi anavyomlea mwanae naombeni like zangu hata 1000
@BerithaJohn
4 ай бұрын
Jamani tunaomba episode ziwahi story nzuri sana
@ChristinaDaniel-c4u
3 ай бұрын
Hongeren sana move tamu inasisimua🎉🎉
@bakariluhala7332
4 ай бұрын
Greatest sina cha kusema daaah
@aishajuma6706
4 ай бұрын
Olivia shukuru.babako yuakupenda san
@hassanomar3475
4 ай бұрын
From Bangladesh 🇧🇩
@-kagerayetubw9jx
4 ай бұрын
Nimejisau kuomba like
@katabaroonlinetv9688
4 ай бұрын
😂😂😂tukikupa like unauza au 😂😂😂haya ngoja nikupe like
@-kagerayetubw9jx
4 ай бұрын
@@katabaroonlinetv9688 🤣🤣🤣pokea mauwa yako ⚘️⚘️
@Jahra2023-gm1qp
4 ай бұрын
Baba Olivia umetisha
@RoseMukoshi
4 ай бұрын
From Kenya ❤kibaba jirani aezi achia jirani ndizi
@ZawadiSaidy
4 ай бұрын
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
@sommohd7903
3 ай бұрын
Jiran apenda kudowea Kwa watu sasa kapatkn n biashara 😊
@Maimunasimon
2 ай бұрын
😂😂😂
@chusseboywcb2808
3 ай бұрын
Gabo samahani olivia ni mwanao samahani lakin make mnapenda sana baba na mwana❤🎉
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Hapana ni kazi tu! 🙏🏾👌🏾💪🏾
@AliMkumbukwa
4 ай бұрын
Uzul wa mwafrika anga angavu blue nyeupe Salam nyingi kutoka kahama Tanzania
@ivymwalasa4471
3 ай бұрын
Wa baba wote wangekuwa hivi Amn mtu asingesema nani kam baba😀☺️☺️
@bentechoriginaltv3013
4 ай бұрын
creativity is in you brother
@salimNdendya
4 ай бұрын
Asanteni kwa muvi kali
@OmariAbedi
3 ай бұрын
Mambo mambo nikiwakilisha south africa ❤❤❤
@mohamedsheealom8745
4 ай бұрын
Hatuitendei haki hii channel viwers kibeo lkn likes wanaomaba watazamaji badala kulike hii video wapate haki yao
@NasraKhalphan
3 ай бұрын
Baba Olivia wakati anaongea na mama Tina alikuwa haja chonga ndevu matina alivyo muuzi tu. Baba Olivia alivyo ingia ndani tunaonyeshwa kachonga ndevu jaman daaaah 😄😄😄✍️
@danielchalamila8269
3 ай бұрын
Huu ni mchezo wa kuigiza hauwezi kuwa real kwa Kila kitu. Lakini pia , maandalizi kwa maana ya muda wa kukutana location,kupitiwa kwa Editor, muingiliano wa ratiba za waigizaji. All in all Zigamba kajitahidi sana, pia enjoy mchezo ndugu yangu usiwe serious sana
@HusnaSaid-v5m
4 ай бұрын
Mimi napenda sana kazi za jirani yangu gabozigamba
@ollenshamba
2 ай бұрын
Nzuri sana hii move big up sana Gabo
@DottoDottoMoshi
4 ай бұрын
Jamani hii stori inanifuraisha sana 😂😂🎉🎉
@henrymwakajumba
4 ай бұрын
Asantee ❤️❤️
@anordlaurent8751
4 ай бұрын
Sana
@lissaseif4744
3 ай бұрын
Oliviia anajuua mpk anajuuua ten🎉
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
🥰🥰🔥🔥
@mckibaja9108
2 ай бұрын
Sema Baba Olivia Anapenda kula kwa Jirani
@YoungblackPeople-qf7vx
3 ай бұрын
Kuna move alafu kuna vitukooo hii ni MOVE SASA
@AsfSff-t8d
3 ай бұрын
😂
@NeemaMassawe-t2t
3 ай бұрын
Haswaaa
@ShufaaJohn
Ай бұрын
Jamn Olivia big up mtoto anajua sana ❤❤❤❤❤❤
@JoyNekesa-s4s
4 ай бұрын
mnachelewesha sana jamani
@DanndannosdanielDannos
4 ай бұрын
❤Nawafata baba
@khadijayusuph9316
4 ай бұрын
Mnatunyanyasa bwana mtume hata ep 3 mfululizo jmn😢
@Emmykamba
3 ай бұрын
Niceee brother🎉mwenyez mungu akutangulieee kwa kila hatuaaa,,, ina mafunzoo makubwaaaa mnooo big 🆙🤝
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
Asante sana! ❤️
@fatuma46ramadhan18
4 ай бұрын
Wow nimewahi leo❤❤❤❤
@IsmailKitanzi
2 ай бұрын
Nanyi mnaosema mpo woman ,mozambik nk Ni qatanzania na Kam qatanzania bc kwel kumb mnaifuatilia asaiv Ni kipande Cha sita cndy jamn ,wadau wa baba olivia
@EmillyMilly-up7rh
3 ай бұрын
Nakupenda bure olivia🎉🎉🎉😂😂😂❤❤❤
@spreadlove5300
Ай бұрын
Studi tuwa 😂😂😂 "study tour" hongera babake Olivia ❤
@mwamvuahamis8379
Ай бұрын
Big fan of u gabo zigamba love u olivia big up
@ibrahimkibwana7364
4 ай бұрын
Babu kubwa, tupo pamoja
@HarunaDanielmbanzeofficial
4 ай бұрын
Napenda movie zako bwana baba olivia
@HarunaDanielmbanzeofficial
4 ай бұрын
Tunaomba mwendelezo wa Baba Olivia part8 nakuendelea angalau mtupe part 3 Kwa wiki
@Rahema123
4 ай бұрын
❤🎉Mpo vizuri baba olivia na team yako 🎉🎉penda shana 🌹
Malezi ya upande mmoja yana watesa sana watoto mama akimlea mtoto anamficha mwanae asimjue baba ,Baba nae kadhalika hii sio sawa mtoto anahaki ya kujua mama yuko wapi na Baba yuko wapi
@saidiabdallah7934
4 ай бұрын
Nakubali sana
@Mwanahamisally-kg8ym
4 ай бұрын
Jamani mnakaa sana kutuletea
@Sweetnaah
4 ай бұрын
Napenda maisha ya olivia na baba ake ❤❤
@henrymwakajumba
3 ай бұрын
❤️❤️
@AnnasiaMoses
4 ай бұрын
Jaman ijumaa mbali bwana tufanyen Kila jumatatu😊😊😊😊
Пікірлер: 527