Amen soo powerful courageous ND inspiring message God bless you pastor am soo blessed
@meilleurkitoko7487
2 жыл бұрын
Asante sana mutumishi wa Mungu nime farijiwa na neno hili na subiri matokeyo Amen👏
@enockkennedy6665
2 жыл бұрын
thank you pastor mmbaga am enock Kennedy from Kenya Nairobi I really watch your preaching atleast every week. be blessed with your message it really uplifts my faith
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Blessings to you
@phoibekoshuma1935
3 ай бұрын
NAAMINI NIMEPONA
@perisbosibori8524
3 жыл бұрын
This is a sermon of a year and over ago but it has touched me greatly. Be blessed so much pastor.
@kelvinpaul7062
4 жыл бұрын
Mungu anakutumia kwa viwango vya juu sana pastor kutubariki BWANA akutie nguvu uendelee na kazi hii njema amen🙏
@judithcherono2595
5 жыл бұрын
Amina Mafundisho matamu,na nmewashukuru kwa kumkumbuka Rais kwa maombi na naamin mungu atatenda barikiwa.
@tabiamwamahonje9731
3 жыл бұрын
Barikiwa sana Pr Mbaga. Neema ya Bwana idumu kuwa pamoja nawe ukidumu kutubariki na zaidi ya hapo Tukutane Mbinguni Bwana arudipo
@angelavincenti5321
4 жыл бұрын
Ameen ninabarikiwa kwamafundishu mazul MUNGU akubark mtumish
@queenessiekenya6869
4 жыл бұрын
Asante Sana kwa mahubiri am blessed 🙏🙏🙏
@abigaelmwadena2262
26 күн бұрын
Asnte Mungu wangu kwako hakuna kuchelew wwe uMungu wa kila wakati namini n mm kupitia mahubiri hya umenisikia kilio changu zidi kutenda saw n mapenzi yko O Yesuu🎉😢
@eustina0
Жыл бұрын
Mungu atabaki kuwa Mungu azidi kukupa nguvu na uzimaa tele aminaa🙏🙏🙏🙏
@byamasumakali2139
Жыл бұрын
Asante sana Mungu akuzidishiye nguvu mtumishi wa Mungu
@magrethmkira6250
5 жыл бұрын
Amen Hakika tunabarikiwa Mungu akuinue zaid kwajil ya utukuf wa jina lake
@emmanuelmbwambo6571
3 жыл бұрын
Haijalishi Ni miaka miwili iliyopita,mimi MUNGU MUUMBA wa MBINGU na ARDHI ameniona na kunibariki leo,Nimeuona mkono wa MUNGU kana kwamba huduma hii iliwekwa akiba kwa ajili yangu familia ndugu jamaa na marafikl ikiwa Ni pamoja na majirani wanaonizunguka AMEN.
@dorcaskahindo8632
2 жыл бұрын
Mchungaji,wakati umeomba nimejisikia kama nimejibiwa kwa hitaji langu, Mungu akuongezeye kwa kile unacho.dorcas toka Congo,una upako wa Mungu kabisa
@jamiejames6100
3 жыл бұрын
What a powerful message 👏
@bonifacebeatrice8077
5 жыл бұрын
Amina Mungu anisaidie kuishi maisha ya Toba ya kweli Daima.Mch.David Mmbaga Mungu akuongezee Nguvu%.
@jamesmwai515
Жыл бұрын
Pastor you have been blessing to me
@felixsegetse9951
5 жыл бұрын
Bwana Mungu Awabariki zaidi na zaidi katika Huduma Aliyokukabidhi, japo nipo Bujumbura ipo siku katika imani tutaonana ana kwa ana.
@mercynyanchoka6283
3 жыл бұрын
.. Nimeinuliwa na maubiri haya, mungu akubariki mchungaji
@rhinakiza
4 жыл бұрын
Amina sana Mungu akuinuwe zaidi🙏🙏🙏
@chibugamedia7313
3 жыл бұрын
😢😢😭😭 najiona mdhambi sana eeeeh Mungu nisaidie
@selfaakinyi7824
5 жыл бұрын
Nikweli ni kwa neema ya mungu mimikuwa hai hadi Leo, nimengi na machafu nilioyafanya .naamini mungu amenisamehe yote ndio mana Niko hai,Asante jehovah nitakuabudu daima, nijaze Roho wako mtakatifu,Amen
@eustina837
Жыл бұрын
Aminaa barikiw pr Mungu akutie nguvu
@condradanyoni6556
5 ай бұрын
Asante Yesu maana yote yanatoka kwako
@ngendahayongenasamuel2903
5 жыл бұрын
Unavyompenda Paulo ndivyo nimpendavyo zaidi, hata niliamini hakuna anayenizidi kumpenda. Barikiwa sana mchungaji.
@shimwekagwiza2300
5 жыл бұрын
Yani we pastor cjui at nisemeje ila Mungu akubariki sana maana umenitoa mbali sana, somo la tr 19.1 sitakaa nilisahau maishani mwangu, Mungu akuweke zaidi ili uzidi kutuhudumia
@habaritv6364
5 жыл бұрын
Shimwe Kagwiza Amen
@frankfytube4669
5 жыл бұрын
Shimwe Kagwiza zamina
@jaredmayaka2993
2 жыл бұрын
Amen I have been blessed Soo much
@atupakisyekyando890
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu barikiwa Sana
@ericsonsteven4094
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana, na mwenyezi Mungu azidi kuabariki kwa kazi.
@Reginajohnson19884
2 жыл бұрын
Yani Kama mtu alikuwa kupokea Hii siku Aisee umekwisha mengi maana hiyo sehem kweli mungu alikuwako mpaka pastor mwenyewe Unaona alivyojaa roho wa bwana mpaka sauti imebadilika, Aisee napokea haijalishi ya mwaka gani mungu anafanya Kazi bado, utukufu huludi kwa Mungu alie hai hallelujah amen
@eunicenyandiko1389
7 ай бұрын
Hallelujah Amen 🙏 🎉🎉🎉🎉
@ivanfaustin9717
3 жыл бұрын
Amen amen amen naamin nitasimama
@triphonitemba7485
4 жыл бұрын
Yes
@pauloyona829
4 жыл бұрын
Kwakweli nimebarikiwa vyakutosha nahii huduma Mungu akupiganie muchungaji amen.
@Pendomabula
3 жыл бұрын
Pr Mungu akupe maisha marefu yenye kubariki watu.
@rubbenndege4379
5 жыл бұрын
Kiukweli nimebadilika moyo ila matendo bado niombee postar kweli naitaji kubatizwa
@sabrinakenya2353
5 жыл бұрын
Mchungaji barikiwa sana mahubiri yako huwa yananisongesa karibu na Mungu.
@nyachigobobulemo7153
5 жыл бұрын
Amina.Nabarikiwa sana.
@kigulamwambene4164
5 жыл бұрын
Nakushuku mungu kunifundisha masomo haya ombi langu kuu fungua akili zangu kiloho na kimwili nikafulahi pamoja na watakatifu
@judithnjalambaya2450
3 жыл бұрын
Amen
@loycemgonja2634
5 жыл бұрын
Mchungaji unanibariki Bwana akulinde mendelee kutuponya kwa neno
@yvonneamekakaombeniwimbomu8312
5 жыл бұрын
Yesu azidi kuku wezesha mutumishi wa Mungu kazi unayo yifanya ina tupa tumaini na nguvu.
@rachaelndege5641
5 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki umenibariki sana mchungaji hakika nimekutana na yesy
@drostaflorian7970
5 жыл бұрын
Amina napokea katika Jina la YESU
@emmanuelmbwambo6571
3 жыл бұрын
AMINA mchungaji 🙏😎.
@zaitunmeshak4147
5 жыл бұрын
Amen barkiwa sn
@fatomaeid6639
5 жыл бұрын
Mchungaji nikirudi tz lazima nitakutafuta barikiwa sana na akupe nguvu
@habaritv6364
5 жыл бұрын
Fatoma Eid Amen
@pendomarwa1690
5 жыл бұрын
Pasta mbaga huwa ananibariki Sana,Mungu azidi kukutunza
@mbarikiwambarikiwa3988
5 жыл бұрын
Barikiwa sn mtumishi kwa neno ziri.
@alicesidi9601
3 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@laridistrict4710
Жыл бұрын
ubarikiwe HILI SOMO LINGALI LIKO HAI HATA SASA
@ivanfaustin9717
3 жыл бұрын
Ni kwa neema tu2
@bobog9732
5 жыл бұрын
hakika ndani ya Yesu pako raha yaajabu Mchungaji Mungu akupe maisha marefu
Sifa na utukufu vimrudie MUNGU MUUMBA wa mbingu na nchi kwani anakutumia kutufikishia ujumbe wake,ubarikiwe Sana pr
@rahimajuma5306
8 ай бұрын
Amins
@dominikamwajombe5759
5 жыл бұрын
Amina mtumishi
@johnsakai3040
2 жыл бұрын
Mchungaji nina mdogo wangu anaumwa na kiarusi mguu na mkono umepooza anaitwa Monika nahitaji maombi yako
@jonasmnyone4791
3 жыл бұрын
Somo hili limegusa moyowangu na limenipatia uponyaji.
@deborahurassa4339
5 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana sana Mungu akylinde
@samwelsimon9278
4 жыл бұрын
Pastor usiogope kukemea sheria kandamizi na viongozi wanafiki wakilitaja bure jina LA Mungu Kwakuwa watukamahao wamelaaniwa vikali na Yesu.
@violetnyansiaboka2821
5 жыл бұрын
Amina
@fatomaeid6639
5 жыл бұрын
Na Mungu akupe nguvu zaidi
@donaldmwahalende4841
5 жыл бұрын
Mbaga natamani nikuone mbinguni umenibariki Sana nimeptia mengi
@kelvingallo8262
5 жыл бұрын
Barkiwe sana Mchungaji
@frankphilemon9333
5 жыл бұрын
ahsante mjoli
@seenoiirene9639
5 жыл бұрын
Amen!
@christinasenga4412
5 жыл бұрын
Amina pastor
@saidsoudy3140
4 жыл бұрын
Baba mchungaji mahubili yako hayajawahi kuniacha hivi HIV Yesu akutunze baba
@mariamngumbao783
5 жыл бұрын
Mungu ndie mukuu
@roseebenny5437
5 жыл бұрын
Sifa Na utukufu ni wa bwana.sauti iki chini
@georgettetulinabo9428
5 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu
@paulokaiza2900
5 жыл бұрын
Mungu awe nawe daims, akuepshe na vishawishi vya dunia hii, udumu katika kumtumikia yeye tu.
@emmanuelmbwambo6571
3 жыл бұрын
Unaongea na bin Adam mchungaji.
@lightmoshi3131
4 жыл бұрын
👏👏
@phoibekoshuma1935
3 ай бұрын
NIKIKUKATAA KUWA RAFIKI YANGU NI KWAMBA WEWE SI MBAYA ISIPOKUWA HATUPELEKANI
@paulrobert1546
5 жыл бұрын
hakika BWANA anatenda, ✋✋✋
@habaritv6364
5 жыл бұрын
Mungu ni mwema
@neemadaud234
5 жыл бұрын
Asante PR umenitia moyo sana, kuna mambo yananichanganya ila nimeskiliza ujumbe huu nimpatatumaini lingine
@josephineabedi4086
5 жыл бұрын
Mungu akulinde na akuongezeye hekima na ujasiri.
@bayroneboniphace289
3 жыл бұрын
God is love 💖💖💖
@milkerjuma6525
5 жыл бұрын
MUNGU akubariki mchungaji
@sprinathomas8292
4 жыл бұрын
Ninapokuwa najihisi nmeshindwa katika sehem fulan nkisikilza neno la Mungu kutoka kwa pastor mmbaga huwa napata nguvu za kunyanyuka upya na iman inaongezeka, Barkiwa sana mchungaji
@neemadaud234
5 жыл бұрын
PR umenitia moyo sana sana kuna mambo yananitatiza ktk famila yangu, kila mradi unagonga mwamba, ila kwa neno la BWANA ulilosema naanza kuona miujiza yake ikinitembelea. Ila nimetoa machozi sana, nilikuwa nimekata tamaaa, kumbe MUNGU hajaniacha PR zidi kutuombea sana, naomba no. Yako
@habaritv6364
5 жыл бұрын
Neema Daud Amen
@neemadaud234
5 жыл бұрын
PR mbaga hakuna mahubiri niliyowahi kumlilia MUNGU kama Leo, amekutuma kuganga moyo wangu ulioyo na vidonda& maumivu makali
@jeremiahmhangwa3645
5 жыл бұрын
Balikiwa na bwana pt,
@abiuds.b8518
5 жыл бұрын
amen mtumish
@angelakimaro607
5 жыл бұрын
Aminaa,tupone soote kwa jina la yesu
@tumainingonyani3226
5 жыл бұрын
Pr nabarikiwa sana masomo yako ubarikiwe lkn nna swali moja tuu iv kwann Mungu bible inasema hana upendeleoo lakn alimpendelea rusifa na ndio kiburi cha kujiona yeye n bola kuliko malaika wengine kiburi kikainuka juu yakee j? nikwel Mungu hana upendeleoo
@timotheojoel1828
5 жыл бұрын
MUNGU akubaliki mtumxh dah mchungaji nabalikiwaga sanaaa
@brunokamuzora9563
5 жыл бұрын
jaman m2 wa Mungu siku hizi hatukusikii lakin uko vizuri endelea kum2Kia Mungu
@glorymanento2470
4 жыл бұрын
Amen ubarikiwe sana Pr Mungu anaendelea kukutumia
@alicenyaboke4305
4 жыл бұрын
Let God be praise , this teaching is like firefly in our hearts
@grasemugaya5268
4 жыл бұрын
Kweli mchungaji ni kwaneema tu
@nelsonemmanuel8539
5 жыл бұрын
naomba mtu yeyote aliye na mawasiliano yoyote na pastor Mbaga naombeni jamani
@mussasengeka8111
5 жыл бұрын
0768745942 nitafute pastor sina number yako ninashida sana Mtumishi
Пікірлер: 123