😂😂😂hamchelewi matusi kwa viongozi wenu tar 8 sio mbali😂😂😂
@marialumbanga
Ай бұрын
Nyinyi mbona mlikosa penarty😂😂😂
@fabiandanford3572
Ай бұрын
@@marialumbanga mimi mwananchi wao sowanatuambia tumebebwa tutaona tar 8 wakat nawao walipewa jana penat na wakakosa
@neemamwijage
Ай бұрын
@@fabiandanford3572ndio tulikosa kama Aziz k alivokosaga
@neemamwijage
Ай бұрын
Wewe unayejiita god yanga kwanza hilo jina la god hacha kulifanya jina la kihuni ebu tumia mdomo wako vizuri hacha kutukana watoto wa watu mpunbavu sana ww mpira usikufanye kutukana wachezaji kwanza hao unaowatukana unasubiri wazeeke ili uwasajili shenz kabisa
@AmosPaul-k1c
Ай бұрын
Wewe kaka huogopi una timu ya kuifunga yanga
@YahayaBakari-hf5yk
Ай бұрын
Makasiloko ya nn mara Simba mara aishi manula vichaa fc
@user-zz4lz3jb9w
Ай бұрын
midomo tu goli lenyewe kwa taaabu dakika za mwishoooo za jiooooni nyooo
@YahayaBakari-hf5yk
Ай бұрын
Machura kazi mnayo tarehe 8
@JosephPallangyo-fd9kq
Ай бұрын
Daaa mmependez na vijora vyen mi nikajua kuna shereh kumbe ni mpira
@keraryobhoke7879
Ай бұрын
Mbona mmebebwa jamani
@JohnJoseph-qq7ow
Ай бұрын
Nyie mnabebwa na refa hamna timu hapo ni msaada wa refa kwa kwenda mbele
@thobiasmwambeta6990
Ай бұрын
GOD YANGU HAJUI MPIRA HAO UNAO WAPONDA NDIO WATATUPIA TARE NANE
@user-zz4lz3jb9w
Ай бұрын
yaan nyie na simba tuu hao wamewakondesha muda mfupi tuu
@fransiscomlolere9658
Ай бұрын
Mbona Makasiriko,Hlf hamuongelei Team yenu Yanga,Simba hapo inaingiaje.
@user-fe6bf3td2q
Ай бұрын
kagoli ka penaty kamewarudisha munkali mnaimba nini sasa
@musamagulu2023
Ай бұрын
@@user-fe6bf3td2q Striker wenu si alipewa penalty kilichotokea?
@user-zz4lz3jb9w
Ай бұрын
Red.arrows kiboko yenu kumbe
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
Ай бұрын
kijasho cha meno kimewatoka😂
@user-il6rm7cj1g
Ай бұрын
Mutauponza tar8 maana hakuna kubwa wahuni wakubwa
@user-zz4lz3jb9w
Ай бұрын
kwanza kocha kawabeba pili mshuluru penat mmekitana na kimbung hidaya nyooo
@jumaissa1209
Ай бұрын
kwani ligi
@TeklaOlomi
Ай бұрын
Kama red arrows wamewasumbua simba hii yanga akipigwa chache 4
@MkaliZuberi-rt3gb
Ай бұрын
We una timu mi kama kocha wa simba tarehe 8 nakupangia kikos cha mtu 2 kamara na mutale wanawatosha mkapimwe umli
@musamagulu2023
Ай бұрын
@@MkaliZuberi-rt3gb Mtawatimua wote hao kwa kigezo cha kuuza mechi ngoja mvua inyeshe tuone panapovuja
@franccoz94
Ай бұрын
Bila kubebwa sku ilikua inaharibikaa
@musamagulu2023
Ай бұрын
@@franccoz94 ni kweli ngoja tukakupakate wewe tarehe 8 na kukupelekea Moto ndo utajua kuna Bonanza na Mechi
@zungukessy7127
Ай бұрын
Mmmmmmmmmmmm
@camilomassao8971
Ай бұрын
Huna lolote tu, shoti ya sola hiyo.
@user-zz4lz3jb9w
Ай бұрын
Leo mbona mlokwama bila penat nyoko nyiee
@musamagulu2023
Ай бұрын
@@user-zz4lz3jb9w Rudi darasan kafundishwe kuandika kwanza ndo uje
@jonaschediel1973
Ай бұрын
Ongeleeni tamasha lenuu mjifunze kuwapa team yenu na mambo yenu airtime
@VedasElly
Ай бұрын
Usitupangie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-zz4lz3jb9w
Ай бұрын
Ss mtatufunga si bado tunatengeneza timu yetu
@amanizavala
Ай бұрын
Utopolo hamna timu nyie
@GiftJames-y2z
Ай бұрын
Philipo mpango kakuambia kwamba kainjoi 😂😂 jua umedanganywa brother yaan mpli baada ya kucheza mnabutua t Kama Mnacheza mabao 😢😢😢
@@musamagulu2023 nani alibebwa wewe? Simba siku zote anawinda! Bila penalty kitumbua kilishaingia mchanga, amini au usiamini. Yanga bila misaada hawawezi kabisa. Vuta taswira kidogo tu ya ubingwa wa ligi mmechukua yanga zilikuwa bahasha zinatembea, unashangaa simba akienda kucheza dodoma eti mkuu wa mkoa anaweka dau la mamilion dodoma jiji akishinda apewe, wakija utopolo haweki dau lolote, hiyo iliichafua sana uto. Hamuiwezi simba nyie.Nyie mlifikiri red arrows ni kaizer chiefs waliopoteza mwelekeo? Muda haudanganyi tusubirie tarehe 8, tuombe uzima tu. Refa tu awe fair.
@EliabuChatanda
Ай бұрын
Haha walipo kuwa kwetu walisemaje kwani bado na mtaimba siku hivyoo mzimie hahaha 😂
Пікірлер: 44