Kweli kabisa itakuwa bomba sana tutacheka mbaka basi😂😂😂
@aminakipande5645
4 ай бұрын
Itakua fire😂😂😂
@SophiaJamali-lf1ki
4 ай бұрын
Kwakwel😅
@kaponatz
4 ай бұрын
Joti the best art content comedy top in Tanzania
@BidiiKenga
Ай бұрын
Nacheka nusu kufa nikiwa 🇰🇪 Kenya joti tunakufatilia😂😂 KAZI yako nzuri
@Mariam-fm8vq
4 ай бұрын
Mgeni amekua mwenyeji😂😂😂😂😂kiboga
@annaki318
4 ай бұрын
Da kibogaa 😂😂😂😂😂anampa kichambo mama mkweee😂😂😂😂 live bila chenga ni kitukooo😂😂
@emmanuelmtonyole9958
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@PendaelHagaiMRPH
4 ай бұрын
Joti namkubali sana huyu jamaa anajua sana 🎉❤❤❤ like apa kama unasema ajua mwamba
@GatekaNene
4 ай бұрын
Joti tucezeye ukiwa nyumba ndogo uwe mke mdogo itanoga hatari jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ao munaonaje vipenzi wa Joti 🤙🤙🤙🙌🙌🙌🙌🙌
@championbaraka9081
4 ай бұрын
Kwanza kabisa nimshukuru mama sa100 suluhu hasan
@gosbertmuta5421
4 ай бұрын
Kvp kwamba ndo anaigza
@wasilaahmad7913
Ай бұрын
Hata mimi nimeshangaa😂😂@@gosbertmuta5421
@aminaomary5567
4 ай бұрын
Jot leo umenifurahisha sana na wachezaji wote pamoja mama mkwe nampenda sana. Sasa chuvi nyingi halafu kwa mkwe umechachuka sana❤❤❤😁😁👍👍
@ErickmidoMsodock
4 ай бұрын
Naumia sana 😔😔Sisi tuliochanjwa chanjo ya covid,19 tukiona nyie ambao hamkuchanjwa mko hai 😥😥😥😥😥
@kibasamohamedi8029
4 ай бұрын
Koma nani alikwambia uchanje
@ConsolataMedard
4 ай бұрын
😂😂😂pole wakati Dr Magu anasema tusichome mkamuona mjinga
@amanaoman9690
4 ай бұрын
Kwahiyo ulitaka tufe😂😂
@gosbertmuta5421
4 ай бұрын
😂
@AishaSuleiman-m7h
4 ай бұрын
Pole ila nawew sibd mzm kua na amani fny km umesahau yn lisikuumiz kichwa
@mechne803
Күн бұрын
Kweli kuna wanawake wa aina hii tena wanabahati ya kupata mume wa maana halafu mme ata haoni mapungufu yote ila watu wengine ndo mnakua mnaona kitukooo😂😂😂😂😂😂 kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@zainaabdallah809
2 ай бұрын
Ila joti ni 🔥🔥🔥 aya team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@fabianbrian8256
4 ай бұрын
Haha hahahhah Dah.... Joti nakutambua toka 2005 nlipokua bado Shule,,,, nakukubali Sana much Love from Msa Kenya..... This is more than talent
@meshackaloyce9662
4 ай бұрын
Jott utafika mbinguni ukiwa umechoka sana😂😂
@RehemMaige
3 ай бұрын
Atafika kwa tabu sana😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@tigersboys6382
4 ай бұрын
Always happy to see this comedian
@GabrielSky64
4 ай бұрын
Kiiboga kiboga mpaka naona Aibu Mimi huku😅😅😅😅😂
@QueenCharles-m3k
3 ай бұрын
😂😂😂😢😢😢😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ucheze. vizuri sana nashukuru Mungu akubariki sana na Domi you doing right ▶️👍👍👍▶️▶️▶️▶️👍
@nancyg8664
4 ай бұрын
😂😂et nzi mmewafungulia kwenye banda
@rodgersmwagu239
4 ай бұрын
Babaahh mlewa shewele 🤣🤣🔥🔥🔥💪
@KingCyrus-iw9yx
4 ай бұрын
Interesting how Nishai has 5 personalities and he still maintains a sense of humor +971 🇦🇪🇰🇪 fan base 😂😂
@saidharith5643
4 ай бұрын
Hii ya leo kali brother kipaji unacho keep going 💪 😂😂😂😂
@athumanmgissasimbadamu3316
4 ай бұрын
Joti Uko Fireeeee Kama Simba Ya Mgunda 😀😀😀😀😀😀
@EliaAdamu
4 ай бұрын
Mambo
@samwelishayo2922
4 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@GivenKihaga-j8o
4 ай бұрын
Kazi nzuri hiyo kutoka kwa comedy icon of TANZANIA 🇹🇿🇹🇿
@Officialoredi_mweusi20
4 ай бұрын
Joti TV umenichekesha sana katika video yako hii unajua sana yaani umenipa raha😂
@stephnjesh563
4 ай бұрын
Kiboga is my favourite character. I advocate for more of kiboga in action.
@MARYAM808ZING
4 ай бұрын
Kiukweli joti na nahuyu mama mnaendana sana
@leilamateleka4005
4 ай бұрын
Napenda Zito anavyoigiza sura yake inaongea bila kuongea
@sumaadamson214
4 ай бұрын
mkamwana sio kwa kiherehere hicho mweeh😂😂😂 nimecheka sina hamu jot never disappoints
@jacklinegervas
4 ай бұрын
Joti is the best comedian since i was very young 😂😂😂
@digitaltzominda
16 сағат бұрын
Joti my favorite comedian naombane mni subscribe na mm fans wote wa joti
@merrynancesimon1562
4 ай бұрын
Mwanamke Google kila kitu anakijua😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤namnyonyeshaaaaa babuu weeee hatariiiii 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤️🔥❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥💋💋💋💋💋💋❤️❤️❤️❤️
@ericeliud
4 ай бұрын
😂😂😂😂 duh! Ila kiboga kutuvunja mbavu tuu
@RhobinaOmondi-hr2eg
4 ай бұрын
kibgo napenda ukiacct kaaa mwanamke😂😂😂
@sallyraidan6867
4 ай бұрын
Ila Joti ur Good Greatest Comedian Ever.
@alfristricks7515
4 ай бұрын
Duh. Najua Joti unaigiza, ila hii nimejikuta nachukia mimi kana kwamba ni kweli aisee kumbe maigizo. Yaani huyu Mwali ni kero kipeo cha pili, kiherehere wa mjini.
@davidcharles7686
10 күн бұрын
jaman sio kwahio chumvi😂😂😂
@walivyomtausi9929
4 ай бұрын
Yaani uyu aunt yang kabisa anaongeaaa😂😂 kila kitu anaweza yeye😂😂
Jafar Makenz kutoka Mwakijembe Jotty umenichekesha sanaa leo
@Voice_of_Nzega
4 ай бұрын
Chumvi ya kujikadiria tamu sana😂😂😂😂
@chrismuganwa8634
4 ай бұрын
Thank you Mr Joti!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
@vero57
4 ай бұрын
Hii kalii sanaa , kisalakasi , we goggle 😂😂😂😂
@orestsanga6294
4 ай бұрын
Kweli hapo ndoa kifungo😂😂😂
@NuwayraGinger
3 ай бұрын
Joti ni mtu na nusu anajua mpaka anakera😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aminasalim8708
4 ай бұрын
😅😅😅jamn joti anafurahisha alivotaka kuanguka na chakula adi mama mkwe ameshituka anatak kukimbia😅😅😅
@Shadia544
4 ай бұрын
Haya mambo ya GOOGLE 😂😂😂KUNA NINI TENA KIBOGA JAMANIII 😂😂MKWE KANOGA HUO😂😂😂
@perezkive1493
4 ай бұрын
Baab joti...fundi Mashav mengi kwako my fav comedian of ol time❤❤ Ni kucheka tu ,asubuh na mapema
@nancybungei9113
3 күн бұрын
Kiboga 😂😂😂😂
@musasamweli4980
18 күн бұрын
Et nmekubali kuolewa 😂😂😂😂
@saadatmwinyi6685
4 ай бұрын
Huyo mama mungu amzidishie maisha marefu muendelee na Sanaa mnaweza kuliko sana
@casmirmlay3711
4 ай бұрын
Ila joti anaumiza mbavu za watu kwa kweli😅😅😅
@CatherineMsangwa
3 ай бұрын
😅😅😅 mama mkwe katema sumu joti big up nakupenda sana unajua kunivunja mbavu
@rebecatangson3621
4 ай бұрын
😂😂😂😂 Kiboga amechachuka😂😂😂
@black_queen_vibe
4 ай бұрын
Nlivo kua nangoja joti tv basi kwa hamu 🤣🤣🤣🤣🤣
@GatekaNene
4 ай бұрын
Asante san Joti Kiboga kwa kutujali Asante san tunakupenda san 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Kiboga wewe apan kwa kweli unatisha 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@eliudmkumbwa5681
4 ай бұрын
Sjawah pata like ata tano simaanishi nazihitaji😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rosalulacha8310
Ай бұрын
Nimeona umeisha eneza likes 5 nikaona vema isiwe kesi nisikuongezee like yangu kwa kuwa hauitaji likes zaidi ya 5 ulizo lalamikia kuzipata na huku hauziitaji😂😂
Пікірлер: 770