Inaumiza kuona Palestina wanauliwa na Israel kwasababu ya matakwa binafsi ya nchi baadhi za Ulaya,na Marekani ni tatizo ambalo linaumiza saana Israel kapewa eneo na halidhiki
@mamilooutukufu3516
3 ай бұрын
Soma biblia itakuambia kila kitu
@omariadidja5600
3 ай бұрын
@@mamilooutukufu3516kwahiyo biblia imesema Israël iuwe watu 😢na kama ndio aliye andika biblia ni kweli Mungu kampa amri binadamu wafe tena watoto wadogo 😢binamu mnaroho mbaya mno
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
3 ай бұрын
@@mamilooutukufu3516Acha ujinga wew
@josephissa4406
3 ай бұрын
Sawa mwana wa israel
@Bahati47
3 ай бұрын
Kwahiyo bibilia ndio inaruhusu mauwaji ?@@mamilooutukufu3516
@mohammedmfamau43
3 ай бұрын
Same story as zanzibar ni muingereza ndie alieyaponza mataifa km haya ambayo yalikua ni member ktk U.N ambayo yalipotezwa kw makusudi na mfano ya haya na kw kiasi flani pia tusikwepe sana kuwa haya mambo pia yanakwenda kiimani.yaani hawa watu ni weupe tu lkn roho zao ni nyeusi zaidi ya kiza .
@mohamedaley5632
3 ай бұрын
Free free Palestine ❤
@user-gb5vz6wm2q
3 ай бұрын
SNS is the best youtube channel in Tanzania,Nawafuatilia sana kutoka hapa 🇬🇧
@asyajey3479
3 ай бұрын
Henry mwinuka yuko vizuri
@kulindwazakaria9741
3 ай бұрын
Hii maada ni tete sana bado haijajitosheleza tunaomba iwe na part2 awepo Thabith Mlangi, Dj Sma na huyo kijana wangu hapo pamoja na mwanasheia. Hapo kazi itamalizika
@GraceMashinga-be9wb
3 ай бұрын
Kabisa thabit mlangi anatakiwa sana siku Moja moja
@francomwacha2262
3 ай бұрын
Asee bando langu lote nawakabithini sns kazi nzuri sky
@reginamayuto1357
3 ай бұрын
Men mupo vizuri sana ❤ tuna wakubali zaidi kutoka Danmark 🇩🇰
@petrokayanda5361
3 ай бұрын
Hiki kipindi kinanipa marifa sana love the GPS
@bilonlestar7378
3 ай бұрын
Nabii Mussa ndio katangulia kabla ya Daudi na Suleimani. Na kiongozi ambao Allaah amemchagua ni Taluti (Sauli). Baada ya kufariki Taluti ndio Daudi akachukua nafasi ya ufalme. Rejea kwenye Quran Surat al-Baqara Aaya 246 - 251
@djsma255
3 ай бұрын
Asante
@bobramaso825
3 ай бұрын
2:246 - Hukuwaona watukufu katika Wana wa Israili baada ya Musa, walipo mwambia Nabii wao: Tuwekee mfalme ili tupigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu? Akasema: Je, haielekei ikiwa mtaandikiwa vita kuwa msipigane? Wakasema: Itakuwaje tusipigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na hali tumetolewa majumbani kwetu na watoto wetu? Lakini walipo andikiwa kupigana waligeuka, isipo kuwa wachache miongoni mwao. Na Mwenyezi Mungu anawajua madhaalimu.
@bobramaso825
3 ай бұрын
2:248 - Na Nabii wao akawaambia: Alama ya ufalme wake ni kukuleteeni lile sanduku ambalo mna ndani yake kituliza nyoyo zenu, kitokacho kwa Mola wenu Mlezi, na mna mabaki ya waliyo yaacha kina Musa na kina Harun, wanalichukua Malaika. Bila shaka katika hayo zimo dalili kwenu ikiwa nyinyi mnaamini.
@bobramaso825
3 ай бұрын
2:249 - Basi Taluti alipo ondoka na majeshi alisema: Mwenyezi Mungu atakujaribuni kwa mto. Atakaye kunywa humo si pamoja nami, na asiye kunywa atakuwa pamoja nami: ila atakaye teka kiasi ya kitanga cha mkono wake. Lakini walikunywa humo isipo kuwa wachache tu miongoni mwao. Alipo vuka mto yeye na wale walio amini pamoja naye, walisema: Leo hatumwezi Jaluti (Goliati) na majeshi yake. Wakasema wale wenye yakini ya kukutana na Mwenyezi Mungu: Makundi mangapi madogo yameshinda makundi makubwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu yu pamoja na wenye kusubiri.
@bobramaso825
3 ай бұрын
2:250 - Na walipo toka kupambana na Jaluti na majeshi yake walisema: Mola wetu Mlezi! Tumiminie subira, na isimamishe imara miguu yetu, na utusaidie tuwashinde watu Makafiri--
@fatmabukuku5384
3 ай бұрын
Hongera sana sns kwa kutuletea geopolitics nafurahi sana kupata wachambuzi wa nyumbani maana huku tulipo tunapata wachambuzi wa magharibi tu.
@user-ew4qf9ud4v
3 ай бұрын
Wapi?
@devothasimbi6495
3 ай бұрын
Ukishajua eneo?@@user-ew4qf9ud4v
@Eng2460
3 ай бұрын
GPS🔥🔥
@Emanuelfrankasei
2 ай бұрын
Hongera sana kaka tupo pamoja kufatilia
@niyonkuruasman
3 ай бұрын
Nice story today
@raphaelgeorge517
Ай бұрын
Henry Mwinuka kachambua vzuri sana kwa facts na akiwa neutral big up Mr Henry
@mohammedmfamau43
3 ай бұрын
Exacly sma
@2KGrapher
3 ай бұрын
What an amazing content 💥🇹🇿
@byoseasolokoci7257
3 ай бұрын
Bwana ndiye aliye mpa Ibrahim, Isaac na Yakobo nchi ya kanani.
@JosephatJohn-rv8cp
3 ай бұрын
Umetafsiri vzrrrr xnnnn kk ila marekebixho kdg Kwa pendekezo ni vzr sana mkajianda kabla ya kutupa historia ilikutoa histori pasipo kukoxeakosea Ila historia ni nzrrr Asante xnnn
@jeremiajohaziel4927
20 күн бұрын
Mwinuka uko vizuri sana
@salunhokhan0386
3 ай бұрын
Mtafute sheikh Imran nadhar Hussein ana taarifa nyingi sana kuhusu escatology.
@diamondkaigili1291
3 ай бұрын
ni kweli wayahudi walihusika kuuwawa kwa Yesu, na baada ya hapo wanatumikia adhabu isiyonamwisho
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
Dj. Smaa apo ndo umefanya conclusion ya kwamba uwo mgogoro hautaisha mpaka mwisho wa dunia...ayo ni maneno ya mungu na mtume Muhammad s.w...kwaiyo dj smaa apo tupo pamoja
@LastdayJesu4153
3 ай бұрын
Uko sahihi mpk khihama😢
@ibnhamduun3173
3 ай бұрын
Quran gani iliyosema hivyo?? Au hadithi gani? Au umezungumza tu? Katika hadithi sahihi mayahudi watapigwa na waislamu katika vita ya mwisho mpak jiwe mti utakuwa unamuita muislamu na kumwambia huyu hapa yahudi njoo umuuwe. Somen dini yenu waislamu mwisho mwema na nusura ni ya waislamu hata kama sio leo wala kesho, kubwa rejeeni katika dini yenu, haya matatizo yote ni kwa sabba tunamuasi alietuumba.
@bobramaso825
3 ай бұрын
3:65 - Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii? 3:66 - Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui. 3:67 - Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina. 3:68 - Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa Waumini. 3:69 - Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui. 3:70 - Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia? 3:71 - Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?
@BowowWoo
3 ай бұрын
Kutoka Congo DR nakufata sana
@yohanakashinje1548
3 ай бұрын
GPS inatufumbua bongo zetu ❤
@MathewNathan-yb2bz
3 ай бұрын
Ugomvi wa waisrael na wapalestina uko kwenye vitabu vya Mungu hususani Biblia.Biblia imeandika kila kitu kuhusu vita hivyo.Nyie pigeni kelele tu ila ni mpango wa Mungu mwenyewe.
@user-dg7wf6fg2j
3 ай бұрын
❤ SNS family move ya mose inaitwaje
@woah.africa99
3 ай бұрын
Hao wayahudi gani hao mbwa ibrahim ni mwarabu na hapo hawataishi kwa raha milele kwa nn wasitafute ardhi ulaya waje kuwaua wapalestina
@bobramaso825
3 ай бұрын
NI KWELI IBRAHIM NA MAYAHUD WALA HAWANA UHUSIANO,IBRAHIM KAFARIKI MIAKA MINGI NDIPO UYAHUDI UKAJA,HALAFU WANAMFANANISHAJE IBRAHIM NA UYAHUD,WANATUNGA TU
@bobramaso825
3 ай бұрын
QURAN 3 3:65 - Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnabishana juu ya Ibrahim, na hali Taurati na Injili hazikuteremshwa ila baada yake? Basi hamzingatii? 3:66 - Angalieni! Nyinyi mlibishana katika yale mliyo yajua. Mbona sasa mnabishana katika yale msiyo yajua? Na Mwenyezi Mungu ndiye ajuaye, na nyinyi hamjui. 3:67 - Ibrahim hakuwa Yahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu Muislamu, wala hakuwa katika washirikina. 3:68 - Watu wanao mkaribia zaidi Ibrahim ni wale walio mfuata yeye na Nabii huyu na walio amini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wa Waumini. 3:69 - Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui. 3:70 - Enyi Watu wa Kitabu! Mbona mnazikataa Ishara za Mwenyezi Mungu ilhali nyinyi mnashuhudia? 3:71 - Enyi Watu wa Kitabu! Mbona kweli mnaivisha uwongo, na kweli mnaificha na hali mnajua?
@FrankKashamakula-xb1pc
Ай бұрын
Suleiman & David walitawala wapi sasa tuanzie apo 😂
@dorahbenard1837
3 ай бұрын
Mm na dj sma ❤. 🤗🤗
@RaphaelHhari
24 күн бұрын
huu mgogoro ni swali la kiimani si la kisiasa kwa hiyo hakuna suluhisho la kisiasa kwa sababu hakuna binadamu anayeweza batilisha swala la Mungu
@onesmoKimaro
3 ай бұрын
Moses ni wa zamani sana kuliko king David na king Solomon
@khalfanmlala5093
3 ай бұрын
Nakuelewa sana
@godrickbategeki
3 ай бұрын
Ally Masubi kuwa proffessional bro utafika mbali....... jitahid kuwa na subira ya usikivu pale mwenzako anapozungumza
@thefactbook...1607
3 ай бұрын
I never talk mwingne anapoongea isitoshe huwa napenda waanze wenzangu nimalize huo ndo mfumo wangu fuatilia.
@lodricophd728
3 ай бұрын
Fact and logic ✋🏼🤚🏼
@inogelapixels
3 ай бұрын
GPS is the best Heritage
@YaredMtiko
3 ай бұрын
Hujui chochote, Israel huwezi kuitambua bila kuijua biblia takatifu
@faizG254
3 ай бұрын
Wee umedanganywa.You're brainwashed
@Siasia209
3 ай бұрын
Tunawapenda wote Djsma, Henry na Aliy masubi shukrn kwa elim mnayotupa
@ayshasaid1547
3 ай бұрын
Free free Palestinian ❤
@samiraali1632
3 ай бұрын
From the river to the sea falestine will be free ❤
@salmaabdu5011
3 ай бұрын
Hwawa mayahudi washalaniwa na mungu token wakati wa mitume
@user-ew4qf9ud4v
3 ай бұрын
Aliyewalaani ni mungu sio MUNGU wa Israeli
@michaelmisana650
3 ай бұрын
Acha udin wew
@mwajumabinwa604
3 ай бұрын
DJ sam alishaga visema ila sisi kuelewa nishinda 😂😂😂😂
@brianbaltazar6198
3 ай бұрын
Uchambuzi mzuri sana SNS ni bonge la platform...
@charleskuyeko4400
3 ай бұрын
Henry yuko sahihi zaidi kuliko wote waliotangulia kuzungumza.
@evodiusbahegwa6557
3 ай бұрын
Ally ni wa Ukweli sana,He knows what he is talking, Sma talks what he knows
@kingpunzy194
3 ай бұрын
Wazungu Warasilimali (Capitalists) ndio waharibifu wa dunia. Wayahudi, Wakristo na Waislamu hii jamii huiwezi kuitenganisha. Ilishawahi ishi pamoja katika kivuli cha uislamu. Kuanzia zama za serikali ya Mtume Muhammad (s.a.w) hadi dola ya mwisho ya Ottoman. Wayahudi na Wakristo wenye elimu wanajua hili.
@husseinhemedi9314
3 ай бұрын
Israel Haina nguvu yoyote bila ya mataifa ya magharib
@fredlugome7952
3 ай бұрын
Sio kwel
@HusseinSaguti-sj9nh
3 ай бұрын
Ndio walioianzisha nandio wanaoilinda Wt wezi wa ardh ya waarbu
@aishaarusha894
3 ай бұрын
@@fredlugome7952wewe nawe aya basi izrael wanaowana wanaume na wanaume soon nyau atakuja kukuoa
@MODEKAI
3 ай бұрын
Ni ukweli kaka.Kwenye bajeti ya America Israel Huwa inapewa hela na vifaa vya kivita
@HusseinSaguti-sj9nh
3 ай бұрын
@@MODEKAI nchi yakwanza kwkupewa pesa nyng na marekan Ni israel ya pili ni misri Majesh ya nchi izo ndio yanayongoza Misri paliwai tawaliwa na wayahud mshenzi farao Ndio mana hawaelewek
@abdullahmapesa
Ай бұрын
❤❤❤
@shabanihugo8332
3 ай бұрын
Hapo leo hauko sawa
@user-fr3yx7ot9v
3 ай бұрын
Tatizo hapa wote wayahudi na waarabu walimkataa Yesu. Waarabu wana nia ya kuangamiza wazayuni na wazayuni wanataka kuangamiza waarabu. So is not easy to change their mindset. It doesn't matter if Palestine will be nation, the ideology of cleansing Israel that's problem.
@bakaribakari8972
3 ай бұрын
Waarabu hawajamkataa yesu kwenye Quran katajwa sana tu
@HamzaMakobanice
3 ай бұрын
Dj sma nakukubali cn ila mnge mtafuta dokta sulle kidogo anajitahid cn katk history
@HamzaMakobanice
3 ай бұрын
Kama unamkubali masubi nataka like
@user-ed1cf9nq5w
3 ай бұрын
Sule yuko bize kuwashawishi watu watumie majini kuwaletea pesa
@user-km4kb3xj3y
3 ай бұрын
Respect
@dudumankidume3046
3 ай бұрын
@@user-km4kb3xj3yShida
@koudrashabani1912
3 ай бұрын
Tunashukuru Saana Inshallah Palestine watapata Haki Zao
@user-op5gz7vj6w
3 ай бұрын
Aliii anamadin mengi adi anatokaaa injee ya keeey.
@julienmozartalinoti3527
3 ай бұрын
Honestly huwa napenda sana uchambuzi wa dj sma, ila Ally Kisubi Kama huwa a fit kwenye aya mambo. Ma dini anayo ila Kama huwa anatafuta maneno anapokuwa naongea
@ndotoyakolsl7217
3 ай бұрын
Wao wenyewe Palestine wanataka nini? Do they want two states solution
@charleskuyeko4400
3 ай бұрын
Yesu aliuawa na Warumi.
@hafidhyakoub8369
3 ай бұрын
Wa Israel ni watoto wa yakoub wapo makabila kumi na Yusuf ndio mdogo wao
@JamuhuriIsaya
3 ай бұрын
DJ smaa unajitahidi lakini soma vzr torati ya Musa ndani ya baibo
@thejacktatoo2136
3 ай бұрын
Atali sana
@raymrash
3 ай бұрын
Uispania kama wako serious na swala la Palestina na Israel kuishi pamoja, yakiwa mataifa mawili tofauti...inabidi na wao walipe uhuru jimbo la Cataluna
@allahisone6386
3 ай бұрын
HHHH Ndiooo_🤦🏿♀️
@user-ed1cf9nq5w
3 ай бұрын
Anayetaka vita iendelee mashariki ya kati sio Israel bali ni Marekani ana maslahi yake mashariki ya kati
@MiriamAbdallah
3 ай бұрын
Yale mafuta na gas Iko pale gaza
@francisjoseph1074
3 ай бұрын
Kwenye hii mada mgemtafuta bishop ngonyani the geneous, wote wako vizur kitechnologia ILA Kwa historia bado Sana , kumbuka parestina imekua taifa mwaka 135 after Christo baada ya Kaiser Adrian kuwauwa wayahudi na kubomoa mji na hekaru na kubadili jina la izrael na kuita parestina na mji WA Jerusalem akauita hariya kapitarena , kabla ya hapo parestina haikuepo na lengo la kufanya hivyo kaisari Adrian alitaka kuifuta kabisa izrael
@thefactbook...1607
3 ай бұрын
Bro kama umesikiliza vzuri historia iliyotolewa.cha kwanza ni summary kwasababu kama ikimalizwa yote ingeongelewa masaa hata ma5 lakini kiufupi waisraeli kuondolewa na kuchambuliwa na wafalme mbali mbali imeongelewa lbda tu haujuasikiliza kwa umakini ila pia unalolisema ni jambo muhimu.pia ila ambayo hayajasemwa ni mengi zaidi kifupi hii ilikuwa ni summary
@fauziaalmaamry8360
3 ай бұрын
Takbir
@Tanzaniatribune
3 ай бұрын
Bahati mbaya sana huyu jamaa hajui historia.
@allahisone6386
3 ай бұрын
Naniii HUYOOOO?
@godfreysudi7264
3 ай бұрын
Haya tuambie ww unaye juwa historia
@kabhikachambala3392
3 ай бұрын
Kuna changamoto ya ufafanuzi ktk hoja zao. Wanakosana mnyororo wa hoja kwa maana ya kuunganisha nukta
@ZainabJolie
3 ай бұрын
Sijarizika , napenda dj sma aongee ila mnampa nafasi chache sana. Pls tunaomba nexf time awe peke yake yuonfoe kiu , huyo ally mi simuelewi
@thefactbook...1607
3 ай бұрын
Kila mtu ananafasi yake ya kuongea kwa muda anaotaka na wakati anaohitaji.hamna anaempangia mwingine aongee sikiliza unaetaka kumsikia zainabu.
@hassanpashua
3 ай бұрын
Hakuna taifa linaitwa Israel katika ramani ya Dunia
@fredlugome7952
3 ай бұрын
We ndo umesema
@raymrash
3 ай бұрын
Sasa kama halipo acheni kusema Israel inaua watoto ... maana taifa halipo 😂😂😂😂
@hassanpashua
3 ай бұрын
@@raymrash tunaanglia history na hawatashinda ata wafanye nn kina netanyau
@raymrash
3 ай бұрын
@@hassanpashua kama hawapo kwenye ramani ya dunia kama usemavyo swala la ushindi au kushindwa halipo
@user-ki9wu6no3d
3 ай бұрын
Wew hujaangalia Google map Vizur hem I zoom ndo utaelewa Kuwa Haipo au ipo
@MkhayaSogadari
3 ай бұрын
Skhay nakufadiliya Sana asa dj sma nikiwa southa Africa druben sori ya pale sthan na izirael mtalam apo na dj sam sababu vita iyo nisthoriya ipo kwekitabu cha wa isilam Kwan mwesho wa Dunia cha ithakuwa izirail naomba sikumoja mbene alionge uwa anaficha sababu ataki ubaguzi wa dini
@charlesassey5642
3 ай бұрын
Wasimuliaji bado hawaijui historia vizuria vizuri , I think it'd better mkasoma in detail then mkaja na clear history, this must start from 635 BC , unless mnaonyesha bado wachanga kwenye story ya relationship btn Palestina and Israel
@Eng2460
3 ай бұрын
ndio maana wamesema wao sio kwamba wanajua kila kitu hata sisi watazamaji tunaweza kutoa maoni yetu
@sultanbakary4292
3 ай бұрын
Acha chuki toa history Yako ww
@klmhardware2993
3 ай бұрын
Ukisoma biblia baada ya gharika, Nuhu alikunywa divai akalewa Hamu kijana mdogo wa Nuhu akamchungulia baba yake kwahiyo akalaaniwa akaambiwa atakuwa mtumwa wa ndugu zake hamu ndio baba wa kanaan.NUHU alikuwa na watoto wa tatu SHEM, HAM na YAFETH, ukisoma mtiririko wa vizazi Uzao wa SHEM ndiko alikotoka ABRAHAM.
Farsafa za kutenganisha dini na maisha (Secularism) ni mbaya sana. Na ndio fikra za kimisha zilizotufikisha hpa Dj Sma. Zaman maisha yalikuwa yameunganishwa moja kwa moja na Uungu. Then wakaja watu wa maslahi (mabepar) wakasema Mungu asihusike kwenye Serikali. Kwa sisi Waislamu Dini yetu inamahusiano moja kwa moja na Serikali. Hivi ndio ilivyokuwa katika zama za utawala wa dola ya kiislamu. Kuanzia kwa Mtume hadi dola ya mwisho ya Kiislamu, Dola ya Ki Othuman (Ottoman). Sasa Wamagharibi wameharibu dunia kwa kuleta fikra zao chafu za kukataa muumba ndani ya serikali, na ndio chanzo cha michafuko mingi katika serikali nyingi hivi leo.
@mtimti3912
3 ай бұрын
Matendo 2:5 Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu watauwa, watu wa kila taifa chini ya mbingu.
@elibarikimollel7149
3 ай бұрын
Ùyahudi ulikuepo na ufalme wake ndio mana waligawanyika wayahudi waliomkataa Yesu kuwa Masihi,wakamsulubu. Wayahudi waliomkubali Yesu wapo,na waliomkataa wapo. Na waislamu na wakristo walitokana na Ibrahimu na Hajir(mjakazi) kumzàa Ishmael,kisha Ibrahimu na Sara(mkewe)kumzaa Isaka, Isaka akawazaa Yacobo na Esau wajukuu wa Ibrahim. Wapalestina walihamia zama za Wayahudi kupelekwa utumwani Misiri.... wakati huo Waingereza wakawaleta maJuzz kutawala Israel ili kuwang'oa wapalestina kutoka nchi za waarabu. Waarabu sasa(sio waislam)ndio wanataka utaifa wa Palestina
@technicalgearboxenginebysc1360
3 ай бұрын
Kajambe hujui lolote mnakalilishwa tu na makanisa ya michongo
@LastdayJesu4153
3 ай бұрын
Tech ni mbishi hatari
@woah.africa99
3 ай бұрын
Hao mayahudi ni bada ya ibrahim jiulize ibrahim walitoka irag na sara kwenda phalestin inamanisha palikua na watu hapo ujue
@GHARIBSAIDKHALFAN
2 ай бұрын
Sababu waisrali hawa wa sasa sio wenyewee
@kilogreekachananawatuwasio4054
3 ай бұрын
Alafu yeye Israel ndio kachukua Arzi ya palestrina Alafu Ataki kutambua palestrina taifa 😢MPAKA MAHAKAMA ICC WAMETENGENEZA KUWASHITAKI VIONGOZI WA AFRICA TU😢😢😢
@woah.africa99
3 ай бұрын
Wazaonist wana roho mbaya sana eti papa kasema sio wao alikuako wakati huo wakati mandiko iliwalaani
@ridhiwankanjoe2078
3 ай бұрын
Mimi naona alio sababisha hayo matatizo ni mwingereza na anaesababisha mgogoro huo kuendelea ni marekani na washirika wake kama marekani akiacha tabia zake za kuchochea migogoro dunia itakuwa na amani na hiyo two state solution inaweza fanikiwa.
@IssacNtacho
3 ай бұрын
Wapelestina watoke tu, mwenye aridh asha rudi ,hilo swala ni la Mungu aliyehai, siyo huyo mungu wenu mnao mtegemea
@ARNOLDKARISA-fs3ht
3 ай бұрын
Palestine lazima ikuwe free
@alimjaka3563
3 ай бұрын
Naomba niweke sawa kidogo, Kati ya Nabii Mussa na Nabii Daudi, Mussa ndo alitangulia then ndio Daudi (David) akafatilia. Ukisoma Qur-an kama ambavo Sma alisema kuwa Jews waliomba wapewe kiongozi ili awaongoze katika vita, moja ya ishara waliopewa kuhusu huyo kiongozi ni kuwa atakuja na sanduku [ambalo ndo hilo tabook] ambalo limebeba mabaki kutoka kwa Mussa na Haroun.
@alimjaka3563
3 ай бұрын
ambao huyo Kiongozi aliitwa Talut [ambae wakristo wanamwita Mfalme Saul] baada ya Daudi kumpiga Jalut [Goliat] yeye ndio akapewa ufalme.
@johnmutemi4950
3 ай бұрын
Musa alikua mbele sana kabla ya David na Solomon
@emanuelmwihambi7994
3 ай бұрын
Ali masubi yupo sahii
@woah.africa99
3 ай бұрын
Sasa hao wazaonist kwa nn wasilipze kisasi kwa mjerumani anaua wapaletina waliwaua wana roho mbaya
@martinnkuba6683
3 ай бұрын
Lipia jina sahihi kati ya wayahudi au mayahudi, hapo mlipo tayari mnaonyesha Kuna chuki ya matamshi ya majina,
@youssefsanje8743
3 ай бұрын
Mayahudi ni watu waliolaaniwa na kugeuzwa kuwa manyani Kwa kufru zao na sabab ya wao kukosa ardhi ni laana iyochapwa juu ya nyuso zao tangu zama za nabii musa.Wayahudi ndio walimuua Yesu wakisaidiwa na Roma na ndiyo maana wayahudi hawamuamini yesu
@ronniemalima6325
3 ай бұрын
ISRAEL haina laana yoyote mnajidanaganya Tu .Hamna aliyeilaani Israel akaweza kamuulize Balam,ISRAEL hailaaniki na hamna mtu,mganga,mchawi au kimungu mfu anayeweza ilani ISRAEL , Aliyebarikiwa na YAHWEH halaaniki .Hizo story mnazofundishwa sijui wamelaaniwa ni matango pori.
@jamilaathumani5481
3 ай бұрын
Kaka sky hapo haitawezekana taifa mbili kujitegemea ni uongo..apo ni pa parestina mungu mwenyewe ndo amesema ivyo...nandomana alishasema hatapatikana suluu kupatikana ..na hata iweje wapalestina watakuja tena ndo chanzo cha mwisho wa dunia...apo wote tutaenda wooote uko palestina apo ndo picha The End...kwasisi binadamu hatutapata muafaka ..kwaiyo ni impossible..kuelewana vitabu ndo vinasema ivyo
@aliabdallah8456
2 ай бұрын
Israel inaogopa Palastina kuwa Taifa kwa sababu Palestina likiwa Taifa litakuwa na jeshi sikaha na kuwa na uchumi mzuri na pia itakuwa na nguvu nyingi ambazo Israel itashindwa kuwapiga na kuwaones kama hivi sasa wanavyowaua kama kuku bila huruma wakati wapalestina hawana silaha nzuri ila wanauwezo wa vita kuliko Israel hao ni mgambo tu je lingekuwa jeshi ninaimani mashoga wote wa Israel watakuwa na mimba
@adorchmassimba4413
3 ай бұрын
Dunia itaitambua parestin kama Taifa ndani ya Israel je mwenyezi Mungu amelizia Taifa lake ligawanyike liwe mataifa 2 ndani ya nchi 1 ya Israel kama ni kibali kutoka kwa Mungu itawezekana rakini kama sio mapenzi ya Mungu haiwezekani nawakilazimisha kutatokea tukio kubwa sana la kuushangaza ulimwengu
@woah.africa99
3 ай бұрын
Chizi nn ww wakati mmungu aliwalani hao waesrael nakuambia phaletina ilikuako kabla hata ya hao waesrael na waesrael wa leo sio hao wa leo wazungu
@eliamtani2840
3 ай бұрын
ANAANZA MOSES, THEN DAVID, THEN SOLOMON, DJ SMAA UKO SAHIHI, SEMA HUYO JAMAA MWINGINE ANAONEKANA NI MJUAJI SANAAA,
@sadikathumani1003
3 ай бұрын
huyo Aly naona kama amekaririshwa hafanyi reasech anatuhariba atulie kidogo anatuboa sana binafasi
@asrymohd6690
3 ай бұрын
dj Smaaaa mauayko
@javanwatson6675
3 ай бұрын
Mchizi wa kulia hapa anatupiga, Eti Musa alikuja baada ya Daudi? Musa wa kitamboooo sanaa
@amourabubakar474
3 ай бұрын
DJ Ally punguza u pro Israel.. Unaongea kile ulichofanya tafiti basi Fanya tafiti ya kutosha and punguza kukremisha. Waliomuua Jesus ni wayahudi na Dunia nzima ilijua lakini baada ya Holocaust na mambo ya anti semitic ikabafilishwa hii ikatengenezwa propaganda kua ni Warumi ndio waliomuua...
@user-pi5uc3ke3n
3 ай бұрын
Acha uongo ww simulia tu historia zingine habari za kristo kuuwawa hujui usiingize upotoshaji
@kabeza_itech
3 ай бұрын
Ally unajieleza sana mpaka kuna muda unaenda nje ya mada jitahidi kukaa ndani ya mada usitoke sana
@pastorfredmsungu
3 ай бұрын
Hicho kitu kilichopotea kinaitwa “ The Ark of the covenant “ . Sanduku la agano ambalo hili ni tofauti kabisa na zile tablet za amri 10. Hicho kifaa kilipotea wakati Israel imevamiwa na na Dolla ya kibabeli
@FrankKashamakula-xb1pc
Ай бұрын
Swali langu wa Jews kwao ni wapi wa Hebrew kwao ni wapi Yale Makabuli ya Kalne ya 3 yaliopo Jerusalem Yanye Majina yaki Hebrew nani alizika watu pale Temple Mount nani Alijenga King David & Solomon Alitawala watu gani mana King Solomon alikwepo na ushaidi tunaupata Mpk huku Ethiopia
@King_Of_Everything
3 ай бұрын
👍👊✌️.
@jacksonelisha7307
3 ай бұрын
Hicho kitu ni sanduku la agano au covenant box ilitunza manna fimbo ya Haroon na tablet ya ten commandments
@medinaser9712
3 ай бұрын
Hata kama papa kama kasema eayahudi hakumuwa yesu hana mashiko ....kwani wao wenyewe walimwambia mohammed tutakuuwa kama tulivyo muwa yesu
@user-cz7yn8ct5r
3 ай бұрын
Au naweza sema Sanduku la Agano
@ramsonmugisha961
3 ай бұрын
Hiyo Sanduku ilipotea kwa mfalme Salomon, na sio vipande vya amli kumi tu , Kuna hivo vipande na fimbo ya Moses , na vitu vingine ambavyo ni vya maajabu vya kihistolia .
Пікірлер: 292