Hii ya Leo kali AISEI.... Mapema sana.... Congratulations 🎊 🎊 🎊 guys, we love you so much because we are learning alot from you guys... Big up guys.... Tuned in from Mombasa Kenya 🇰🇪
@aliomarali8890
9 сағат бұрын
Africa hatuna ujanja yaan kilichobaki ni kufanya ibada ili tukapate pepo tu
@nasseralhatmi1762
9 сағат бұрын
Wengine wanafanya Ibada kanisani ili wakafirane wenyewe kwa wenyewe Kanisani wapate pesa ya kununua Bando na Ugali na Dagaa na Pampas ya kuziba mikundu yao iliooooza 😂😂😂
@raydanfrenk
8 сағат бұрын
@@nasseralhatmi1762 kumbe unapata bando kwa kutatuliwa malinda😂😂 safi sana mbinu😮yako nimependa
@Williamstozzo
12 сағат бұрын
Dj Smaaa unachambua kwa hisia sanaa brother
@mrabdultv8356
10 сағат бұрын
yaani GPS ni noumaa sana alafu imekuwa na wachambuzi woote wazuri wame bobea hongereni sana Bro SKY, DJ Sma,Ally Masubi na Henrly kazi nzuri sana
@yasrimambo439
9 сағат бұрын
Kaka ww eleza usiache jambo wenye kuelewa tunaelewa na tunafuatilia wasioelewa watabaki kutoelewa
@Abuunuwayra
11 сағат бұрын
Leo Gps Yampto Sana Wallahy Ilikuwa Naisubiri Sana Kwa Hamu Na Hamumu
@MtumishiNgowi
13 сағат бұрын
Hongeren sana nawapongeza kwa kutupa habar nzur
@raymrash
8 сағат бұрын
"Nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika."
@zuricakes6817
7 сағат бұрын
Yaas! If you know, you know. Kama hujui huwezi kuelewa
@raymrash
3 сағат бұрын
@@zuricakes6817 😂😂😂✌️
@bindatalent6972
2 сағат бұрын
@@raymrashkaka niambie na mimi nijue hii mstari gani na mimi nikainjoii neema tafadhari😂
@israelmunuo7938
18 минут бұрын
👏👏👏
@Zuhuranadadoita
9 сағат бұрын
😂😂😂😂 Starbucks. KFC. MD donas. Coca-Cola pizza vyote vya Israel
@amanilucy
8 сағат бұрын
Umesahau vingi adidasi,nike ,
@dorcaskarago2876
6 сағат бұрын
Ni nyingi america nzima ni wao tu
@felisteronesmo3091
3 сағат бұрын
Muwaelekezagr na wengine Sasa wafahamu kua asilimia 80 ya Deni la Taifa la Marekani wanaoidai serikali ni kampuni kubwa na watu binafsi wakiyahudi .. ambapo Leo hii mtu anatokea uko kusikojulikana anasema Israel inasaidiwa na Marekani wakati America unayoiona wewe uchumi wake zaidi ya asiliamia 70 unajengwa na myahudi .. Marekani hasaidii anapewa tu maelekezo afanye kitu watakatana kwenye Deni mbele ya safari ndio maana hawezi kuwatelekeza hao ni Maboss zake ambao ndo backbone ya uchumi wake ..
@Useri-bn6ye
8 сағат бұрын
Kuhus bandari Zanzibar usijal kaka smaa Raisi wetu ashaekeza Tayari tunabandari kama 6 mpya zinatengezwa so ucjal
@ReyzDon
12 сағат бұрын
Ali akiwepo huwa uchambuzi unakuwa umekamilika
@catherinekiwelo826
8 сағат бұрын
Sanaaaaa❤
@wazirihilali635
11 сағат бұрын
Hata museven kinyesi chake kinalindwa na kubebwa na intelligence yake. Yeye anatembea na toilet yake anapokua ziarani
@NathanLukambinga
13 сағат бұрын
wa kwanza hapa. naomba likes kwa ajili ya GPS team
@ImanSaid-q4i
13 сағат бұрын
Kachukue Israel wanatoa like kila kona....
@NathanLukambinga
12 сағат бұрын
@@ImanSaid-q4i tayar nishaichukua bado yako
@ImanSaid-q4i
12 сағат бұрын
@@NathanLukambinga kama umepigwa like mbona hujafa?
@NathanLukambinga
12 сағат бұрын
@@ImanSaid-q4inalindwa na comments
@muhammedwakif6216
4 сағат бұрын
Mpaka hapa unaomba like 😢😢😢😅😅😅
@paulvimbamvula9508
8 сағат бұрын
Walipoga ma bomu 8....kweli tone 85 pia boms ni zila za Banker buster bombs ku penatrate chini ya Aridhi meter zaidi 30
@allynyangehassan5121
9 сағат бұрын
Wachambuzi wa sns-gps Sasa munavu juwa urusi wana hizo technology yaku zuwiya ule hu intelligence wakuzidi wa Israel mbona una tisha na sisi ma Africa tuna mukubali murusi kweli kwenye hi style sisi wa fasi wawo tuta tobowa kweli?
@muridundhikri
11 сағат бұрын
Utangulizi ambao haupo kwenye mada msiufanye mkubwa
@annaniasbyarugaba5788
7 сағат бұрын
Hv nyie GPS ndo mlisema Israel itakuwa ngumu sana kumuua hiyo jamaa
@ireneshao7950
4 сағат бұрын
Kama walisema hivyo hawaelewi biblia juu ya Israel
@Brunotarimo10
4 сағат бұрын
@@ireneshao7950 bibilia Gani wewe
@muhammedwakif6216
4 сағат бұрын
@@ireneshao7950Waisrel ndio walomsulubu Yesu Kweli hawa wajui
@michaelthobias9967
3 сағат бұрын
@@muhammedwakif6216yesu pia mwisirael
@fadhilngalanda7520
Сағат бұрын
@@ireneshao7950we kuwa na akili basi biblia ni kitabu cha KIPAGANI kilichoandikwa na mfalme COSTANTINO fuatilia
@AbelCharles-co6qb
6 сағат бұрын
Mefurah kuona dj sma amekubali biblia...utukufu kwan Yesu....❤
@Kachelo96
5 сағат бұрын
DJ smar alisema Israel aiwezi kuichapa ezboraaa aya ajibu Sasa tuone
@evodiusbahegwa6557
3 сағат бұрын
Umeona ee,ndo atujibu
@AGM19697
34 минут бұрын
Dj anahasili ya kiyemen sasa ndio hivyo
@sautisevarino1656
9 сағат бұрын
Dj Smaa,pole sana bila Shaka Itapita tu
@FredMwamgogwa-td6ni
13 сағат бұрын
Muwe mnakubali na uwezo wa Israel
@omysule7118
13 сағат бұрын
Uwezo wa kuuwa ovyo pia una ushabikia
@zebedayokatamaduni9676
13 сағат бұрын
@@omysule7118 Hezbollah wao wanapeleka pipi Israel 🇮🇱?
@MzeeKigogo_
13 сағат бұрын
@@omysule7118Uwezo wa kuuwa magaidi
@AliNassor-qt6fm
13 сағат бұрын
Israel anajitahidi sana ila anatakiwa aizuie Iran kwanza Kisha adili na haya makundi
@abdallahmmary8591
12 сағат бұрын
Ukizungumzia izraeli kuwa ina uwezo nikweli kwanu Marekni ni wao ulaya niwao kwamana iyo netanyahu nkibaraka now kwahili sasa watadhalilika muda kidgo
@NaimaniPalangyo
12 сағат бұрын
Hendry unachambua vizuri
@venancerutta6875
11 сағат бұрын
Mchambuzi uko vizuri Israel teklojia Yao IPO juu watu hawataki kukubali Iran na ulinzi wake wote mpaka anajua kiogoz ismail Israel ni tishio bomu tan 85 kinapenya anatekeleza kusudio lake
@magrethmagonza186
7 сағат бұрын
Muonganishi dots hana la kusema la maana na bado hakosisagi sababu na nimejua kwanini yupo upande huo . Hawo wapi wa.Israel achana nao they blessing from God hameexi hata waonganike wote atawsumbua
@yahayaannu3663
6 сағат бұрын
Sawa wao wamebarikiwa na mungu vp wew 😅😅😅😅
@SamweliJacob-bm2ij
4 сағат бұрын
Una wasifia izarael unakula kwao 😮😮😮
@21899
7 сағат бұрын
Dj smaaa wafundishe wenzio wakizungumza watizame video rekoda kama unavyofanya wewe wachambuzi wazuri ila wanaipa maiki sikio
@MzeeKigogo_
13 сағат бұрын
Dj sma ni muongo. Huyo gaidi Nasra hajawahi kuishinda Israel hata mara moja
@ImanSaid-q4i
12 сағат бұрын
Tangu lini kigogo kikaelewa
@KassimAlly-xp4dz
11 сағат бұрын
Ww ndo gaidi nchi gani ya kiarabu ilouwa nchi nyengine wazungu ndo wauwaji wakubwa duniani
@SwedyMohamed-vt5zm
10 сағат бұрын
Wazungu ndio wauwaji wa watu duniani na ndio wameongoza ukandamizaji unyanyasaji na unyonyaji ktk hii Dunia ikiwemo utumwa,ukoloni ubaguzi wa rangi ikiwe Afrika kusini na Marekani enzi za Akina Martin Luther king Jr.Pia ukoloni mambo Leo na kulazimisha watu kukubali ushoga.Wewe hujui kitu.Nenda ukasome.
@godlovemariki6302
12 сағат бұрын
Uchambuzi mzuri ila tumieni KISWAHILI kamili ili kila mtu aweze kuwaelewa kuna wengine wanabaki njiani
@paulvimbamvula9508
8 сағат бұрын
Wa Israel wana mfumo wa Electonic war fare....wanapiga picha za 3D
@hamadiharuna9974
7 сағат бұрын
Asante kwa uchambuzi ila tumezingirwa kikamilifu ee mungu tuokowe
@yakoubfaki2026
8 сағат бұрын
Maoni yangu ni vzr mtu mmoja azungumze hadi amalize ndio mwengine anaweza kuogea Ila kwa maoni yangu mukianza kuogea kwa kuingiliana itakuwa Kam mupo maskani cause unaweza kikirusha kitu kizur ambacho mtu anataka kukisema, Ila ni maoni tuu
@hamisisalum6116
Сағат бұрын
Hapana, kwa kupeana nafasi akaongea mwingine inasaidia kukumbuka yale aliyosahau yeye, pia inatoa mwanga kujua uwezo wa waongeaji kulingana na angles
Huyo Naibu karibu mkuu Alisha uwawa labda mmechelewa kutoa tarifa
@aliomarali8890
9 сағат бұрын
wanachofanya ni kuiaminisha tu jamii kua ni vitu visivyowezekana
@AFRICA_D669
4 сағат бұрын
JAMANI SIKUWEPO NIMECHELEWA UWIIIIIIIIIIII 😊😂🙌🙌🙌🙌
@goodluckmwamboneke5591
10 сағат бұрын
Ndefu tamu fupi inakela
@RamadanPaul
9 сағат бұрын
😂😂😂 duuh
@hemedjackson2261
11 сағат бұрын
Israel mamb mengi anashirikian CIA na M16 sio km kil kona wapo
@raymrash
8 сағат бұрын
Usichokijua hata pale Zanzibar Mossad wapo 😂
@raymrash
8 сағат бұрын
Sema tu huipendi Israel 😂
@ibrahimaziz7158
9 сағат бұрын
Halafu smaa kila siku unaumwa ww ndugu yetu pole sana
@mohamedaley5632
12 сағат бұрын
Haliwezi na halitoweza Jeshi lao lilokosa maadil kuipiga Hezbullah biidhnillah mpaka kiama kitasimama
@raymrash
9 сағат бұрын
Ninyi Hezbollah ndio hamna maadili ...kwa sababu mliwachokoza wenyewe...usilete madam zingine hapa
@mohamedaley5632
8 сағат бұрын
@@raymrash Sawa LGBT
@raymrash
8 сағат бұрын
@@mohamedaley5632 wala siko na sihusiani au kuunga mkono LGBT. Niko katika kuitetea nchi yoyote ile katika kujilinda na sio ugaidi kama wa Hezbollah.
@masweto
7 сағат бұрын
Kilio Sasa kwa warabu wa mbangala
@mohamedaley5632
7 сағат бұрын
@@raymrash ugaidi unaujua au ushajazwa?
@MzeeKigogo_
13 сағат бұрын
Myahudi ametoa pigo moja tu magaidi yote yamepoteana. Pole sana DJ SMA myemeni wa mchongo
@salimali-rf9er
13 сағат бұрын
Haya wewe mbamtu, wa ghana tumeshakujuwa
@IssacNtacho
12 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉
@FrenkMushi-i7f
12 сағат бұрын
😂😂😂😂
@donaldmgunda4970
12 сағат бұрын
Myemeniiii😂😂😂
@MzeeKigogo_
12 сағат бұрын
@@salimali-rf9er kipigo kimewachanganya😆😆
@AyoubJha-l5j
6 сағат бұрын
BIG THREE 3 Leo mmechemka sana, kufa kiongozi si tatizo amekufa Mullah omary ,Osama,Alzagawi , Mwisho Taliban bila ya hao wameibuka na ushindi na mataifa hayo yote mnayoyasifia kwa hiyo technology wamekimbia
@suleymuntar3544
6 сағат бұрын
Insha allah hizbullah,hamas ,huthis na wanaharakat wote allah atawapa ushindi kama talibani walivyowasbinda wasoviet na magharibi amin
@WilhelmIbaganisa-bx7zj
8 сағат бұрын
Sky siku moja mkaribishe ibrahim rabhi , huyu nae kabobea kwenye uchambuzi wa haya mambo . Azamtv pia dw na bbc wanamtumia sana
@suleymuntar3544
6 сағат бұрын
Yuh kweli kabisa
@roberttagaya9098
2 сағат бұрын
Ibrahim Ruby yupo ila amebezi sana kima gharibi.
@IssacNtacho
12 сағат бұрын
Israel hoyeeeeeeeeee💪💪💪💪
@kassimkhalid1185
7 сағат бұрын
Subiri tuu Wa israel watatu vamia hata sisi waafirka watatuwa kama kama wanafiyo wauwa waarabu huko gaza na lebanoni ni wahodari sana kuwauwa Raiya kina Mama na watoto watachukua Ardhi zetu waafrica.
@OnesmoEphrata
12 сағат бұрын
Israili bhana Yan LEBANON/IRAQ/IRANI/TURKEY/YEMEN/EGYP/ SAUD ARABIA woote wana tzama tuu huyo irani anaye ogopesha wa2 marekani wana mtamani kweeli kweeli kwani marekani ali shindwa kuosmnana nae huhusu nyuklia sasa aki nyenyua mkia tuu F35 haita fanya kazi bhali B52 ita stack hapo kwenye anga ya iran itage hadi imalize nyuklia yooote pabakie kama gaza
@yudanziku6030
3 сағат бұрын
Kweli marekani inamtamani sana inichanganye
@DevidNgosiyo
12 сағат бұрын
Dj smaa mchambuzi wa michongo, hupenda kuwatetea magaidi wenzake na kuichukia Israel kwa sababu yeye Dj smaa ni muislam, na Israel inawakilisha Ukristo, Israel oyeee!!❤
@ce-08
12 сағат бұрын
Israel haiwakilishi ukristo Israel dini Yao kubwa ni Judaism(wayahudi) japo wakristo wapo na waislam wapo kwa uchache ila ukristo unatambua Israel kama moja ya sehem takatifu ambayo imetajwa katika kitabu Chao Cha kiimani(biblia) ndiyo maana wakristo wapo upande wa Israel sababu wanaona kama patachukuliwa kwao itakuwa ngumu kupafikia wakati bible inayataja maeneo mengi takatifu yapo Hilo eneo la Israel
@FrenkMushi-i7f
12 сағат бұрын
Kwelii kabisaaaa
@LeahyMagoso
11 сағат бұрын
😂😂😂
@YamuremyeYarodi
9 сағат бұрын
Israel haimkubali Kristo ata biblia hawaikubali waisramu niwengi kuliko at ukristo ndani ya israel naukristo hawufunzi mawuwaji awo kulipiza apana iy ni kazzi ya MUNGU pekeake aya tunaoyona nikuaribika kwa mwanadamu ila na biblia imeshasema kitambo nyakati zamwisho njo haya matokeo yake.
@nasseralhatmi1762
9 сағат бұрын
@@ce-08Uongooooooo 😂😂😂😂
@mndambokilavo2502
6 сағат бұрын
Mi sidhani Israel ni tishio kiasi hicho anayeogopewa hapo ni mmarekani kama drone za Iran 300 alisaidiwa kuzitungua mpaka na Jordan ilishiriki kutungua na bado zilifika na Iran alitoa taarifa kabla hajashambulia
@razakiissa9127
2 сағат бұрын
ila ulichoongea kam kina mashiko hivi
@razakiissa9127
Сағат бұрын
kuna mchambuzi mmoja alisema kwamba Irani hakutaka kuleta madhara makubwa israel ndio mana alianza kutoa taarifa mapema alijua kwamba nchi nyingi zitakuja kusaidia na kweli nchi za ulaya zilifika najiuliza kam yale mashambulizi yasingetolewa taarifa ingekuwaje
@francomwacha2262
13 минут бұрын
Kwa izrael kinachotisha zaid kwake ni mosad.. kwenye uwezo wa kivita pia yuko vizuri ila kwa udhamini mkubwa wa marekani
@khamsjabdullah691
9 сағат бұрын
Gps ya Leo ni ya hudhuni
@hemedmwipopo780
7 сағат бұрын
Kuuawa kwa Nasrullah ni pigo kwa hisbullah lakini ndiyo mwanzo wa vita vikari na kubwa na vya hatari vinakuja. Kweli jeuri ya Majeshi ya Israel ni ndege za Kivita na vifaru pamoja na Interejensia waliyo nayo lakini pamoja na hayo hakutakuwa na mshindi Katika vita hii.
@michaelthobias9967
3 сағат бұрын
Washinde mara ngapi
@JONATHANKIBIKI
6 сағат бұрын
September 7 ilikuwa jumamosi kwa wayahudi ni sabato hawafanyi kazi siku hiyo ndo mana waliwaacha mpaka sabato ipite
@suleymuntar3544
6 сағат бұрын
Septemba 7 walifanywaje kwan mpaka waache ipite nenda kaangalie tena octoba 7 ilikuwa siku gan
@HalimaRamadhan-r3q
9 сағат бұрын
Maa Shaa Allah pole DJ smaa Allah akupe shifaa
@denniselly7867
Сағат бұрын
Vita ni kama mchezo wa ndondi au boxing. Kuna roundi 12. Round ya kwanza ni wazi Israel imepata pointi nyingi. Lakini haikuwa knockout. Hivi vita ndio vimeanza. Nasrallah kuondolewa ni pigo kubwa lakini kun wengine wapo kujaza nafasi yake. Na jeshi la Hezbollah na makobora yao bado yapo. Kwa sasa wana fanya kazi ya kukusanya nguvu mpya, kujipanga ili waingie round nyingine. Subiri wiki kadhaa alafu baada ya hapo ukweli utajulikana.
@PaulDwahiye-b1e
13 сағат бұрын
Maandiko lazima yatimie. Zekaria 12 :1-14. Kilichotamkwa na Mungu lazima kitimie, tuko kwenye nyakati za hatari sana siku si nyingi Kanisa linanyakuliwa.
@veeJesus
12 сағат бұрын
100 %
@martinisadru9899
11 сағат бұрын
Mmm, zekaria 12;1-14 siyo mchezo! lakini muajemi mshia wa irani,,mturuki,,yemen,, iraq,, Lebanon,,nk,,hapo kapigwa upofu! Jordan, saudi arabia,,kaushtukia mchezo wa MUNGU, hawatashiriki ktk kadhia hiyo.
@hajjiomary2383
11 сағат бұрын
Sawa kanisa linanyanyuka na jambo gani
@PendoMarco-x3u
10 сағат бұрын
Mungu ni Mungu habadiliki
@martinisadru9899
10 сағат бұрын
@@hajjiomary2383 bibilia sio Quran,, wenye hekima na maarifa yo nafsini, wanaielewa, bali wenye kusoma kwa macho ya nyama tu, hupotea (kanisa) C, kama unavozani wewe, ukimpokea YESU KRISTO nafsini mwako huku ukisoma bibilia, utajua mafumbo mengi ya bibilia, ndio maana YESU alifundisha kwa mifano! Ni somo gumu sana la mifano.
@MaurusMpinga
6 сағат бұрын
Kipara ndio msemaji wa ma gaidi duniani kazi nzuri
@AshrafuJuma-sy1up
6 сағат бұрын
Amna Israel wanyama wauaji fuatilia wanafadhili isis na al Qaeda.Israel taifa la mashoga
@sonnyr1899
4 сағат бұрын
Povu la nini sasa?
@alijuma4095
3 сағат бұрын
Ni wao wenyewe warabu: Huu kuzeembea kwao ndio mapunguvu makubwa. Sasa hisabu vituko ngapi vimefanyika tangu Jamal Abdunasir, wao huwa wanatangaza uwezo wao kwa adui kabla kumshambulia. Sasa adui anapata sifa zao na kutangulia kwa upesi shambulizi. Hiyo makosa pia Iran alifanya kutangaza atakacho fanya na adui anaskiza. Na walipoteza kiongozi wao wengi.wakiwemo makamanda majenerali.
@hidayahidaya-vd3ze
6 сағат бұрын
Jamanii pelelezenii habari zilizopo hawajafa wakohaii kwamuungu hakuna kubwa
@Pedeshee01
2 сағат бұрын
Wanachomana hawa ni masnich,wakipewa hela wanatoa location.Waarabu siyo wa kuwaamini sana,Israel inasifiwa tu ila haipo vile kwa sana ila anatumia udhaifu wa adui zake,Iran naye mipasho mingi mara tutalipa,wanasayansi wake wanauliwa nani anayewachoma? Ndani ya nchi za kiarabu muisrael kapandikiza majasusi wake kwa iran na nchi nyengine zote.Siri zoote zinatoka nje wakishakiongea ndani.
@hamisikeneth2332
2 сағат бұрын
Uchambuzi went ni mzuri lskini kwenye GPS zilizopita mlisema hizibola wana makombora ya kupiga mojakwamoja ndani ya israel mbona wamerusha yakaingia ndani ya israeli lakini hayajaleta madhara ?
@mamboshodik4418
8 сағат бұрын
Ila awa izrael ni noma kubabake
@ayoubali-x6n
3 сағат бұрын
P1 sana SNS Nikiwa km member wa SNS tunaomba mtuletee ufafanuzi kiundani kbx kuhusu mwana mitindo pddy je ni kwely kinachosemwa au ni vita zidi ya watu weusi ❤
@gracenizigama695
Сағат бұрын
Bible imetabiri kila kitu kitakachotokea siku za mwisho. Tutubu zambi zetu natuwemakini.Mungu nimwenye huruma sikuzote
@maximusalnono6425
Сағат бұрын
Nadhani hata mifumo hii ya voice command imekuwa ikifanya kazi zaid na tunavyofkiria cm zetu zimekuwa zikitusaliti kwa kutoa siri zetu, kuna wakati ukichunguza unaweza ukakitaja kitu na baadae kika pop out kwenye screen ya cm yako ama unaweza ukataja bidhaa na baadae ukipitishiwa tangazo la bidhaa uloitaja tu😂
@saidmatola8015
6 сағат бұрын
Ni rahisi sana, Israel Mosad wanafanya kazi na CIA na FBI. Israel na Marekani wanashare Intelligence, the whole Labanon and Gaza iko chini ya satellite zao. Lebanon hawana satellite, bado wachanga. Ila Irani imeshaweka satellite yao ya kijeshi so its a military power....
@ramadhanngwilili6261
40 минут бұрын
Hizbullah na Iran kamwe haitakuja kuishambulia Israel kwasabab ni Iran haiwdz kufanya kitu bila idhini ya Marekani
@joycemalundo1055
12 сағат бұрын
Bro,.sky, matusi yamezidi umundani skuizi, kila mtu ashabikie anachokiamini bila kumtusi mwingine mbona safi tu. Wanakwaza sana inakuwa kama issue za kidini, sio sawa waambie waache hio tabia , naamini unasoma comment zetu.
@IssacNtacho
11 сағат бұрын
Hahahaaa,,nikweli ,,Mimi ni shabiki wa Israel ,hata kwa gharama ya kifo
@masweto
8 сағат бұрын
❤ Israel
@georgedomician5964
5 сағат бұрын
Safi kbc
@SamweliJacob-bm2ij
4 сағат бұрын
Af m nashangaa mtu anasema ye nishabik wa izarael wakat analala njiaa tanzania
@AFRICA_D669
4 сағат бұрын
@@IssacNtacho uko wapi
@francomwacha2262
21 минут бұрын
Aisee mosad ni habari nyingine.. Hawa jamaa wanatumia maesabu ya kiwango cha juu mnoo!
@Shafikimanga7
6 сағат бұрын
Misaada mingi wanayotoa Wana malengo yao. Na ikionekana watachelewa kufanikisha hutumia kampeni kabisa. Tumechelewa sana kujua mambo mengi. Hebu vitabu vya dini view dira yetu.
@EnthusiasticAtv-gn6pb
11 сағат бұрын
Tatizo la Israeli anataka kuivuta Iran ili ampambanishe na Marekani
@emmadora7848
10 сағат бұрын
Irani anahusika vipi huko kama sio kiherehere chake tu acha wapigwe
@Muba-Gucci-TV
Сағат бұрын
All on all israel kutoka na walivyo na ukubwa kwenye iyi dunia ni mataifa mawili yenye kuweza kupigan nayo urusi na china basi maana akuna israel bila America na akuna America bila Israeli dunia sio sehemu salama ata kidog
@paulvimbamvula9508
12 сағат бұрын
Hizbollah hana uwezo wa Vita na zote inchi za u Arab hawezi kupigana na Israel....na wale ata tueeke mungu pembeni.....israel kama inchi yoyote wala wa Yahudi wana Ujuzi wa Hali ya juu sana
@KassimAlly-xp4dz
11 сағат бұрын
Alokwambia nani kama Israil ana uwezo wa kuipija Hesbullah kwann mpaka leo ameshindwa kuimaliza Hamas na kurejesha mateka wao kijana acheni kupotoshwa
@YamuremyeYarodi
9 сағат бұрын
Ila uy Mungu mnaeshirikisha katika uwovu wabinadamu niyupi?😂tuwe tunafkiriya kwanza kutaja ilo jina katika mambo ya siasa naukatili wabinadamu Mungu anapiganiwa kwel?anaitaji ma bomu anaitaji ndege anaitaji ulinzi waanga anaitaji ujasusi😂😂eeeh MUNGU turehemu
@edsonanthony-z1s
Сағат бұрын
America na nchi za ulaya waliwaomba iran wasi retaliat kifo cha haniye kwa mabidilishano ya kusitisha vita vya gaza na so kwamba iran halishindwa kumshona myahudi
@samwelmushi6162
2 сағат бұрын
Wazee wa yerusalem magharibi,mmeaza kunywea kama ukishindwa na mwenye nguvu ungana nae kama walivyofanya misri,na jordani,hao waisrael mnaoshinda nao hamtawaweza milele, fanyeni kazi nyingine yenye manufaa
@hamisisalum6116
Сағат бұрын
Hakuna kisichowezekana hapa duniani. Mbona walipigwa sana hadi wakambaratishwa na kusambaa duniani kote. Hapo walipo ndo kwanza wana miaka 70 tangu wawekwe hapo na mataifa yenye nguvu, kabla yake walikuwa kama yatima. Sema ni muda wao na Mungu anawaangalia watafanya nini kisha watawezekana zena, ni Mungu ndiye mjuzi wa yote, siyo wao.
@YohanaMsekefu
10 минут бұрын
Kasome bibilia utajua njia zote anazopiti islaeli zimetabiliwa islaeli ni taifa la MUNGU alipotokea mkombozi wa ulimwengu YESU klisto na bibilia imeshasema na alaaniwe Kila ailaaniye islaeli na abalikiwe kilaabaibarikie islaeli nakusaidia ndugu yangu ukitaka uchambuzi yakinifu soma bibilia kitabu Cha Daniel na ufunuo@@hamisisalum6116
@SAMA-jw4fr
11 сағат бұрын
Hawa Iran nimeanza kupata wasiwasi maneno mengi vitendo hamna so nishaanza kutokuwakubali
@RamadanPaul
9 сағат бұрын
Hata mimi🫲
@raymrash
8 сағат бұрын
Acheni chuki na Israel, msiwachokoze, jengeni nchi zenu na kutakuwa na amani kwenu na Duniani.
@RamadanPaul
7 сағат бұрын
@@raymrash wewe si unaona ramani ya netanyau?. Ardhi yote ya middle East wanataka kuichukua, sasa unataka wafanye nini sasa hao wenye ardhi yao?
@raymrash
6 сағат бұрын
@@RamadanPaul kama hiyo ramani ni hoja mbona Saudi Arabia, Jordan wametulia na hawashiriki hii vita!!!? Kaka katika swala zima la vita vya Israel na maadui zake Kuna upotoshaji mkubwa sana. Wayahudi na taifa lao Israel wamekuwa wakichukiwa na kuuawa tangu zamani. Na mbaya zaidi ziko dini zinahalalisha chuki hiyo kidini na kiitikadi kwa kigezo kwamba wamelaaniwa au wengine kusema ni mashoga...ifike hatua ulimwengu utambue kuwa kuwachukia wayahudi au watu wa aina yoyote sio maagizo ya Mungu wa kweli. Waarabu Wana nchi zaidi ya 48 kote wamejaa wao tu kale kanchi ka Israel ni kadogo na Bado wanakataka... sioni kuwa ni busara kuwachokoza waIsrael muwaache ilinkuwe na amani.
@JonasiSebastiani
9 сағат бұрын
Yalitabiliwa katika Ezekiel 38yote ndo ujue,pia soma ufunuo 16.
@edsonanthony-z1s
Сағат бұрын
Kikao kilkua kinahusu jinsi ya ku ceasefire ghaza ,rais wa finland na rais wa iran wamethibisha ilo
@hemedjackson2261
9 сағат бұрын
Israel hafny kaz peke yake bila ya CIA na M16 bwana
@zuricakes6817
7 сағат бұрын
Hii habari umeipata wapi? Tuambie na sisi tukaisome. Au una mawasilano ya moja kwa moja nao?😅
@IbrahimOthman-t4e
4 сағат бұрын
Kujua vizuri kinachoendelea saivi nashauri tukapitie historia ya viumbe yajuja wamajuja au gog and magog
@msuyamsuya9337
5 сағат бұрын
Mumehama mada mulikuwa munasema Israel atapigwa
@evodiusbahegwa6557
2 сағат бұрын
Sma huyo!
@Tanganyika-w5p
4 сағат бұрын
Asante sana Wachambuzii... Mnajua sana aiseee. Swala La International Relations mnajua aiseee
@juliusdominic-uk4bu
3 сағат бұрын
Hoja za Smaa naziunga mkono haiwezekani eslael anawashambulia harafu USA anawaletea chakula na madawa mnatumia ni ujinga ulio pitiliza
@evodiusbahegwa6557
2 сағат бұрын
Sma alisemaga Hesbollah wako advanced,leo atuthibitishie
@michaelthobias9967
3 сағат бұрын
Nilicho gundua jpo kina dj smaaa hawawapendi wayahudi ila ndio ukweli kuwa wayahudi ndio wababe wa mashariki ya kati ndugu zenu ktk imani wanakula fimbo huko
@Broxnick
12 сағат бұрын
inakuaje hamas anafanikiwa kuwaficha mateka all this time🤷 bila kujulikana wapo wapi but wanashidwa kuficha viongozi wao wakubwa it’s confusing
@zuberympulo6564
12 сағат бұрын
Apo umenena Mani ❤
@MohamedAhmada-ie7ke
12 сағат бұрын
Viongozi sio waoga kwamba ndio wajifiche sana
@FrenkMushi-i7f
12 сағат бұрын
Iloo neno ao viongozi wanauzana wenyewe
@emmadora7848
10 сағат бұрын
@@MohamedAhmada-ie7kesio waoga 😂😂😂 wangejificha kwenye eneo la makazi ya watu ? Si watoke tu hadharani tuwaone vzr
@Broxnick
8 сағат бұрын
@@FrenkMushi-i7f labda bro maana ina confuse
@merrymwakunje4108
13 сағат бұрын
Ansante sana sky nimesubir Kwa hamu
@IssacNtacho
11 сағат бұрын
Mnajadiri vema,,mnaustarabu,mnapokezana ,wakat mmoja anaongea mwingine anasikiliza na kutafakari ,good job,,
@AbdulRaheemKhamis
11 сағат бұрын
Leo GPS mume nifurahisha Yan wiki nzima nilikua natamani GPS watoe uchambuzi kwa yanayoendelea
@hikupskikons8914
10 сағат бұрын
MOSADI HATARI SANA. IFIKE KIPINDI HAWA MAGAIDI WAOMBE YAISHI TU NA ISRAEL
@nasseralhatmi1762
9 сағат бұрын
MOSSAD ni Mashoga Wakubwa kama wewe KAFIRI JEUSIIIIII unaishi na Nyani jeusiiiiii Tanzania Pumbavuu 😂😂😂😂
@hikupskikons8914
8 сағат бұрын
@@nasseralhatmi1762 sawa, kama mnauwezo acha muendelee kulamba dawa
@paulvimbamvula9508
8 сағат бұрын
Uchambuzi mzuri sama...Iran basi wa yache sana kwendereya kulusha makombola ndani ya Israel
@paulvimbamvula9508
8 сағат бұрын
Israel.waiyachetu kuyichokoza.. Na huyo jamaa wamakamu naibu ashampiga pia amewuwawa
@ManusuraWalumona
12 сағат бұрын
Huyo ndugu yetu Nasrallah ilikua ni lazima auae kutokana na hali iliopo kule Israël marekani na nchi zote za magharibi ikiwemo ujerumani na uingereza zinaona kua hilo ndio suluhisho la kuinusuru Israël kwa hiyo hiyo ilikua mission yao na target yao muhim😢😢
@BoboManya
10 сағат бұрын
Maarabu baesilamu mweye amuwezi waza mbali lakini majini muko nayoo amuwezi waza israeli nitaifa teule ya mungu akuna ishi inaweza kuipinga ya kiarabu mpaka gisi dunia itaishaka ba christo tuko pamoya Na Israël tuuwe mpaka kizazi ya mwisho ya kiesilamu Ama kiarabu
@EnthusiasticAtv-gn6pb
12 сағат бұрын
Wamagaribi na Israeli ni rahisi sana kuwa na makachero kwa sababu wao hawana limit ya masuala ya haramu au halali. Wao vyote ni sawa tu. Ni tofauti na Waislamu ambao wanazingatia sana na kutilia umuhimu wakulinda nafsi dhidi ya vitu haramu. Hivyo, si rahisi sana kuwa na makachero wengi katika mazingira hayo kutokana na kulinda Imani.
@InnocentZamkulu
10 сағат бұрын
Je unaelewa unachokiongea? Ivi Kuna uharamu zaidi ya ugaidi.
@emmadora7848
10 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 we mwenyewe hapo ulipo ni haramu ,kwenda zako
@ShawnBeatz
12 сағат бұрын
sma kama anataka kulia hivi...chambua kwa facts zilizopo sio mahaba yoyote, and thats what will set a bar as a prominent analyst!
@RonnieBertin
2 сағат бұрын
Sns mnakosea msiseme msiite Israel semeni au iteni watoa roho🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nahayohamza7090
10 сағат бұрын
Ila nimegunduwaa na nyinyi haumfai fujo nyingi tuuu kwanini mnaogopa kusema ukweli iyo mosssad lilikuwa kundi lamagaidi ila mnaka kuleta leta fujo nyingi sanaaa tuuu kwani bila inchi za magaribi Israel inauwezo gani?
@yahayaannu3663
6 сағат бұрын
Rais wa Turkey Erdogan ndo alisema UN wamefeki na wanadauble standard
@saidinyoni2463
13 сағат бұрын
Nyinyi mabom hisbulla waki yarusha hoo yamelipuka yenyewe juu hayaja ua mtu lakini wao Israeli Ata wakirusha njiti yakibiriti wame ua watu Mia tano acheni kutu tangazia taalifa zamaghalibi acheni bwana
@RonnieBertin
Сағат бұрын
Mungu wa wahindi ana mikono mia. Mungu wa Israel ana mikono mingapi
@yudanziku6030
4 сағат бұрын
Hongera mnachambua vizuri sana kwakweli
@ZahraZahra-wy6gc
10 сағат бұрын
Dj smaaa chukua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@Muba-Gucci-TV
29 минут бұрын
Naomba jina la Ally masubi la insta naimana tutapata faida ya maswali
@asmaalghafri449
8 сағат бұрын
Mkubali msikubali izrael inamisaada ndio maana hawawezi kusimamisha vita na nchi zote za nato zinamsaidia ajaribu aoigane peke yake ndio mumsifu hata fisi zikichangilia zinamuua simba
@valentinernestkavishe7297
4 сағат бұрын
Tatizo la j smaa amekumbatia sana dini, kuumwa inatokana na uzembe kusafiri bila kukaribishwa na wazee wa eneo husika
Пікірлер: 515