Nilifikir ntakua wa kwanza kweny hii makala ila daaah Kuna watu wapo macho zaid yangu naomba hata like bas😂😂❤ ndugu zangu.
@VeronicaMhapa
2 ай бұрын
Taifa kam hili ndio linasifa zote za kuitwa taifa la mungu
@user-zs4qz4wm2n
2 ай бұрын
Sky unatupatia habari safi na makini🎉🎉🎉
@NicasMuiruri
Ай бұрын
Sns the best simulizi platform in Africa
@ngendakumanajeanmarrie7490
2 ай бұрын
Asante hili jengo hakuna lakulifananisha duniani
@MSHUTIMEDIA
2 ай бұрын
Brother sky you're my rolmodel 🔥
@user-cw8zn2dn6m
2 ай бұрын
Ni nzuri sana hii ikulu ya Russia, Moscow Kremlin. Ni pazuri kushinda ikulu zote duniani. Ni dhahabu tupu kule ndani. Ni fahari ya Russia. Ahsante sana!!
@aboudasilver6541
2 ай бұрын
Huyo ndio kiongozi Bora duniani
@toymadebho7048
2 ай бұрын
Jamaa ukovzr saana kaka p1 saana
@FestoSteven
2 ай бұрын
Nomah sana Sky
@yayananajota5838
2 ай бұрын
This is best take👊 sky
@omarysaid8725
2 ай бұрын
Huyu mzee ana miaka 71 lakini bado yoko strong
@R.Dickon
Ай бұрын
Ni kwasababu ni mhitimu wa sanaa za mapigano Karate mwenye kumiliki mkanda wa (black belt)
@aminielkombe66
2 ай бұрын
Kujenga Dodoma ila kuishi Dar
@princekarani7836
2 ай бұрын
Ndo hapo, ndomaana viongozi wa urusi walihamua wapendezeshe mji uho na ikulu iyo ili wakae hapo hapo
@hassanmsangi4149
2 ай бұрын
ona hao wanajeshi wanavyomuangalia PUTIN
@BMFURAHAKWANZA
2 ай бұрын
Naomba like 10 kwa watakao kuja nyuma yangu
@brianbaltazar6198
2 ай бұрын
Hii nzuri sana @ sky
@mohammedmfamau43
2 ай бұрын
Kwa nje ikulu ya marekani ina muonekano mzuri ila kw ndani ya marekani itasubiri sana.
@JohnCage-we6tp
2 ай бұрын
Sky story umeifanya ndogo kwel😢😢😢😢 mm hua natamn mda wote niwe nasikiliza hbr za urusi kwa kiswahili
@cyliruta5021
Ай бұрын
Na mm pia naikubali Russia si mchezo
@hassanmsangi4149
2 ай бұрын
huu mjengo ni hatari sana
@isayambaga6551
2 ай бұрын
Daaa ikululu ya urusi ni hatar
@ShaibuMkullu-ck6sl
2 ай бұрын
Yani sky ukisimulia ishu fulani unakomesha kinoma, eti " cheza hovyo ukione chamtema kuni, ukiwa ndani ya ukumbi huu", 😂😂😂, yote kwa yote unajua sana sky big up.
@ajsmainde5138
2 ай бұрын
back to back mzee wangu, hongera kwa kutokulaza damu.
@user-zs4qz4wm2n
2 ай бұрын
Mimi leo nimekua mtazamaji wa 850😂😂😂watu hamlali
@aisha_mohammed5825
2 ай бұрын
❤
@alphoncejohn6308
2 ай бұрын
Nimekubali
@user-sf8wt4sr4t
Ай бұрын
Mimi najiuliza inawezekana hawa hawaendi hata chooni
@philej
2 ай бұрын
Siku utuonyeshe uyo Frank Ranchman
@yvesgrace_z7152
2 ай бұрын
Wakwanza
@user-ix4fv2nj2v
2 ай бұрын
Asante ❤
@ezekiakiwovele7794
2 ай бұрын
Hatar sana
@TundaJr
Ай бұрын
Nouma sana
@samwelshepa8443
2 ай бұрын
Awesome information!
@MiriamAbdallah
2 ай бұрын
🇷🇺💪👍
@rogerslwitiko3915
2 ай бұрын
SnS🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@rogerslwitiko3915
2 ай бұрын
🇹🇿🤝🇷🇺
@bogoheidaso2628
2 ай бұрын
Ikuru ya urusi ni nzuri tangu mwaka 1022
@mariam-pu4kg
2 ай бұрын
Wow,thanx alot bro kwa news 📰
@dominickchristopher1669
2 ай бұрын
Sky tunamba utembelee mosko ili uje utusimulie mna sasa umewachoka wamarikani
@ndiiyolazaro1125
2 ай бұрын
Noma sana 💪💪💰💰💰👊👊💪
@mocomoja4229
2 ай бұрын
Hakika IPO vizur
@piterasifa3757
2 ай бұрын
71 Yuko fiti hivo
@rogerslwitiko3915
2 ай бұрын
Uraaaaaaaaaaaa
@Gulfnas1
2 ай бұрын
Habari za urusi huwa hazichoshi, unataman kusikia muda wote!! Nachaoipenda Russia si watu wa sifa au kuanika vitu vyao...
@ayoubmwamwaja
2 ай бұрын
Inapendeza kama anaenda kanisani kusari🙏🙏 Mimi siyo muhumini wa proud to nyokonyoko😂😂 mwamba Yuko siruas sana na uhakika kunadini moja2 urusi ndo maana Amna ugaidi kabsa💪
@mussaabobakar7537
2 ай бұрын
Hakuna sehem hakuna waislam kwass dunian urusi mbona waislam wapo na hakuna sehem dunian kwass hakuna msikit fatilia vzr broo ila wanakuwa waislam kidogo tu
@ayoubmwamwaja
2 ай бұрын
@@mussaabobakar7537 Sasa wakishakuwa kidogo wana kuwa hawazingatiwi kabsa🤔🤔 kiufupi wana kuwa hawana sauti, serikali Ina wachukulia kama taasisi ndogondogo🦴💀 wazungu 90% duniani kote huwa hawa hawaikubali dini ya uislam coz wanajua wakisha kuwa weng hawachelewi kuibadirisha nch kuwa kama dini🥱🥱baada ya hapo mnakuwa under contro chini ya waarabu k2 ambacho putini Kim jong UN,Xl jinping Biden nawababe wengine duniani kote huona ni upuuzi kabsa 🖤🔥ni amini Mimi nch za wazungu hiyo dini haiji kuota mizizi kabsa itaendelea kuendeshwa kama taasisi changa🙏🙏labda huku afrika kwenyewe watachipua wawezavyo coz m Africa yeye yeyote atakaye mpa chakula huyo atamtii🧷💀
@Gerardirankunda2885
2 ай бұрын
Putin 🙏🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤
@Visionofeagle9689
2 ай бұрын
Kifahari inje na ndani.
@AlexmayaniMayani
2 ай бұрын
❤❤
@danielmkama24
2 ай бұрын
Huyu Frank Rachman ni nan aisee..?? na anausika na nn kngne hapa SNS?
@zclassicfashionz1573
2 ай бұрын
Iyo sauti tu ndo unifanya niwe makini kukusikiliza kaka #SKY
@leeyjr1446
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@matukiotvonline6366
2 ай бұрын
Neti imerudu mubashara
@alcadoathumani9957
2 ай бұрын
Mwambaaa putin
@Zillionking627
2 ай бұрын
Sasa ngoja tuendelee kushangaa😮😮😮
@ngendakumanajeanmarrie7490
2 ай бұрын
Nipazuri kabisa
@isayambaga6551
2 ай бұрын
Namuomba Mungu amlinde sana Puti amjaze nguvu nyingi sana natamani aya mahgaribi yafe yote, mafiraji,aya
@naftaliiddi4780
Ай бұрын
Nakusikia kaka sky vile unavyotamka majina ya miji hiyo 👏👏👏🤣🤣🤣🤣
@VeronicaMhapa
2 ай бұрын
Viva Russia 🙏🙏
@eugenejr.8844
2 ай бұрын
Makala ziwe kila week. Umekua unapotea Kaka.
@user-gu9jq5rq4v
2 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤❤
@hamidamussa-sy4fm
2 ай бұрын
Wewe razima uikosoe marekani nina wasiwasi unaupendeleo wote wana nguvu marekani urusi na china na nguvu zao zinashamili zinafanana
@SalmaKhamis-io4ei
Ай бұрын
Unaelezea vizuri kwakweli
@Brunotarimo10
2 ай бұрын
From Nairobi . Sky tunatamani Sana Uwe mtangazaji Wa crown media
@allymatilda7519
Ай бұрын
Yani atoke kwenye media yake akaajiriwe ha mtu kweli jmn 😱
@Brunotarimo10
Ай бұрын
@@allymatilda7519 millad ayo ana media . Mbona kaajiriwa clouds media . Jiongese
@user-cb7jq9ti7p
2 ай бұрын
Laki na sisi tungeijenga dodoma kama nia ya mkuu ilivyo kuwag
@samuelurio1519
2 ай бұрын
Tulimis makala 360😊
@BMFURAHAKWANZA
2 ай бұрын
Mimi ni wa 12784
@samuelurio1519
2 ай бұрын
Tulimis makala 360
@titus_maridhia
2 ай бұрын
Hapo kwenye vloloskai.. 😂 sky ngoja tukuchunguze
@morama3935
Ай бұрын
nikimuonaga uyu mzee najiskia uraaa yani najua magu yupo ikubwa zaid 👊uchumi 💪 ss uku bongo paka wanafki wafe nasio leo miaka miamia 😢adui wa africa nimufrica mweyenyeww
@King_Of_Everything
2 ай бұрын
👊👍✌️。
@Gody360
2 ай бұрын
Russia 🇷🇺 🔥🔥
@salehkhalfan7345
2 ай бұрын
Angalau wao wamefanya huo Uchaguzi lkn Ukrain-Zelensky muda wke wa Urais unaishia 21/05/024 na tyr wameghairisha uchaguz huo
@ramadhanidaudihaji2174
2 ай бұрын
🤌🤌🤌
@NdovuDentalClinic_
Ай бұрын
Viumbe adimu duniani #Putin
@emanuelidamiani2943
2 ай бұрын
Hapo nadhani hakuna hata inzi😅
@mathiaslaurent756
2 ай бұрын
Mbona ilishambuliwa na drone
@athumaniamani9905
2 ай бұрын
Kashambulie na leo
@allymatilda7519
Ай бұрын
Viva Putin
@lameckraphael3743
2 ай бұрын
Sasa ilikuwaje kale kadrone ka Ukraine kakaipiga Kremlin
@uwimana6533
2 ай бұрын
Fata dunia inapoelekea ujifunze kitu kupitia urkain wenye akili kama zako leo wanajutia nafsizao wamekua wakimbizi wanaenyanyasika kwasasa akili zakuambiwa changanya nazako 😂😂😂😂
@user-cw8zn2dn6m
2 ай бұрын
Iliachiwa makusudi ili waone je kale ka drone kama itafikia jengo la Kremlin. Haikugonga jengo, ilisambaratishwa na ulinzi wa jengo hilo. Upo.
@lameckraphael3743
2 ай бұрын
Nipo nyonyo
@user-cw8zn2dn6m
2 ай бұрын
@@lameckraphael3743 hahahahaha acha dharau bana
@lameckraphael3743
2 ай бұрын
@@user-cw8zn2dn6m 🤣🤣 nisameh
@kdloon2030
2 ай бұрын
Ukraine watashindwaje kumtambua Putin, kua ndiye rais wa Russia na kwa sasa ni miaka miwili anae wakosesha amani?
@AminaAbdullah-ws3wy
2 ай бұрын
White House looks amazing,, I love it
@davidwalalason7630
Ай бұрын
Joe biden could not walk for that long distance by himself like putin
@amsiabbas3809
2 ай бұрын
Sisi Binaadamu.wa Afrika tumechoka na Ubabe wa Taifa La Marekani tunaitaji Mbabe Mwingine nae tuangalie atatupeleka wapi Maana Marekani imetupeleka kwenye Ushoga na Usagaji tu
@awadhally1052
2 ай бұрын
Kwel kabisa
@ramamtangi7776
2 ай бұрын
Hakuna drone ilishapigaga clemlin ilipanguliwa umbali mrefu hapo hata sindano haipenyi
@Soon815
2 ай бұрын
Hicho kijengo ni cha kawaida acha story mtu akitaka kupiga anapiga
@chibudangote0126
2 ай бұрын
MTIGA ABDALLAH YUKO WAPI?? NA ANAFANYA NINI??
@saidalhinai1131
2 ай бұрын
Wasiomtambua wote watakuwa mashoga
@Ibrahim-ne3in
2 ай бұрын
Sky ikulu ya Dodoma ndio ina balaa n ya kifahari kweli kweli 😂😂😂ina kumbi sita za kifahar...Magufuli hall, Jk hall,Mwinyi hall, Nyerere hall, Kizimkazi hall
Пікірлер: 109