Shemeji yangu kweli ana gubu! Lakini naomba uvumilie! Asante vijana jazz kwa burudani murua
@henrychaula1174
4 жыл бұрын
Wanaume msiwe na gubu, mnawakondesha wake zenu, msikilizeni marehemu Hemed "Chiriku" Maneti akishirikiana na komandoo Hamza Kalala, enzi hizo posta ilikuwa nguvu mno,
@mwanaidindauka310
4 жыл бұрын
Hadi anafariki Maneti cjazaliwa lkn nyimbo zake zinanitoa machozi sana, Alikuwa anasauti ya huzuni sana.
@waziriselemani5773
7 жыл бұрын
nguzo nitafutie nyimbo hizi hapa za juwata jazz,sauda,salima,don't cry Jane,moza ninakuita,kifo cha baba ,shangazi ,wazazi wake Jane,
@jumakisailo1066
4 жыл бұрын
Gubu la mume ni winbo ambao naupenda sana
@pacificusrwiza4366
2 жыл бұрын
Tunzi za akili sana
@carlsonndossi9271
7 жыл бұрын
Thnks Power Nguzo.. Hii ngoma ilibamba sana..
@henrychaula1174
4 жыл бұрын
Kama bado unalikubali hilo solo la Hamza Kalala gonga like nyinginyingi
@lucasmallugu9904
Жыл бұрын
Saxiphone, matarumbeta,keyboard, na vikorombwezo vingi, we acha tu
Пікірлер: 21