Shetan ashindwe kwa jina la Yesu christo. Kwa wasioelewa hawajui maana yake! Nasi tunaifunika kwa damu ya Yesu kristo ili kubatilisha umiliki wa shetani kwenye chombo hicho Amen!
@festokemibala5832
2 ай бұрын
@@AbelnegoPhilimon Yaani tunajitoa ufahamu badala ya kumwamini Mungu muumba tunaamini miungu wa baali eti watusaidie kuweka ulinzi ktk maeneo reli inamopita!! Tunafunika marneo yote walimopitisha vibweka vyao kwa damu ya Yesu. Adui asipate nafasi na hiyo mikafara yao na ufalme wao wa kuzimu tunaubatilisha kwa jina lipitayo majina yote. Amin
@marwawilliam3648
2 ай бұрын
Usiichafue bana
@petermogha7025
2 ай бұрын
Machief hoyeee nimpenda hiyo
@wilhardtarimo386
2 ай бұрын
😂😂😂hapo kwa lift
@bongo39
2 ай бұрын
Kadogosa wawaeleze wahudumu wako wa shirika la reli wawe na tabasamu wanapotoa huduma wanakuwa wamekaza sura zao mpaka unaogopa hata kuomba maji wasituchafulie sgr yetu na jengine ni usafi kila baada ya mda fulani muwe munafanya famigation katika mabehewa yote kuepukana na kungunu ,chawa,mende,nge mijusi na kadhalika
@festokemibala5832
2 ай бұрын
Hii haijakaa vizuri, hakuna uchifu nchi hii hayo ni mapepo mmeyategesha kwenye miundombinu yetu. Yashindwe kwa jina la Yesu
@amanijampion3045
2 ай бұрын
Yesu mwenyewe ni chifu
@aryanamendes8700
2 ай бұрын
😂😂😂jamani
@MussaJabiri-l5y
2 ай бұрын
Chiefs God love
@mazaramatucha
2 ай бұрын
Bado kuna uchifu na hatuambiani?
@Ranaimuye
2 ай бұрын
Muhimu zaidi si trend kufika Dodoma bali shughuli gani zinaendelea pembezoni mwa hii reli. Hizi shughuli ndizo zitafanikisha ujenzi wake. Kamwe reli yenyewe hailpi. Reli ni kama msingi wa jengo. Shughuli ndani ya jengo ndizo zinazo lipa gharama ya ujenzi wa jengo. TUPO?
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl
2 ай бұрын
Hivi kweli kusafisha mabehewa ya SGR YANAHALIMU MILONI 4.8 KILA SIKU? HUU SIO UPIGAJI?
@MossesMshubi
2 ай бұрын
Nikitu kizuri ila mngekabidhi muwekezaji kama mkorea Kwa wabngo zitakua kama mwendo kasi
@aryanamendes8700
2 ай бұрын
Nimepita kwa comenti watanzania tufunguliwe ubongo maana wengi wetu wanadharau asili ya haapa kwetu na kuabudu asili isojjulikana
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
2 ай бұрын
Uchifu ni kuendekeza uchawi tu.
@mosesnyelo1380
2 ай бұрын
Pole sana
@neemayassin6509
2 ай бұрын
Kwenye kukata tiketi online ukishaingia kwenye malipo ya serikali kumbukumbu no ni ipi toeni maelezo vzuri
@selemankishema5780
2 ай бұрын
Machifu wa nini?
@SalminTenga-fx6wi
2 ай бұрын
So machfu wamekuja kwa LP hapo au wamesaidia nn mbona Kama mh
@SmilingApron-zw6ne
2 ай бұрын
JAMANI NAOMBA MNISAIDIE KUELEWA, MACHIFU NI AKINA NANI? NI WAFALME WA MIKOA LAMA MKWAWA WA IRINGA NA MAZENGO WA DODOMA? AU NI WAGANGA WA KIENYEJI AU NI WALINZI LAMA MGAMBO? AU?
@MgasaEmanoeli
2 ай бұрын
Machifu hawana maana kabsa
@edwinalexander1170
2 ай бұрын
Hao machifu wanasaidiaje kulinda Miundo mbinu ya Reli?
@zubeiramlanzi2480
2 ай бұрын
Magenge ndo ilikua sawa sio machifu
@Kabwela776
2 ай бұрын
Jamani mbona mkuniambia chifu kabwela suti viraka na mimi nije uko au mnataka kunipindua madaraka yangu 😢
@denisipaulo7785
2 ай бұрын
Yani waganga wanatangulia kusafisha njia kabula ya wachungaji na mashe.nchi imekwisha
@princekagame8203
2 ай бұрын
Acheni upumbavu tren hii kama ilivyokuwa mwendokasi itakuja kufa tafuteni muwekezaji ninyi hamna kitu uwezi kama serekali kuongoza chchte na c ninyi 2 ni zote Dunia binafisishan kwakwel nasktika sana ,😢😢😢😢
@mathiasrobert9025
2 ай бұрын
Acha akili mgando, lini wao watajenga uwezo wa kusimamia wasipojifunza sasa hivi! Hadi lini tuendelee kuwa tegemezi kwa wengine! Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe, na siyo watu wa nje, wao wakija maslahi yao ni mbele! Tuache ufinyu wa fikra
@RoseMichael-oz7cy
2 ай бұрын
@@mathiasrobert9025 na ww fungua akil yko bas mwekezaji c lazma atoke ulaya bro hta hapa bongo kuna mazimba kibao wanaweza simamia hyo shoo
@princekagame8203
2 ай бұрын
Nenda ufaransa nenda kokote akuna kitu kama icho serekal ni shamba la bibi
@ikulunimahalipatakatifu7642
2 ай бұрын
UTALIIII WA KUTOSHA
@RichWise671
2 ай бұрын
Uchawi machifu kwenda kwa Mungu ahaa!😂😂😂
@billysisty2871
2 ай бұрын
First one😅🙌🏽
@yustomwaisomania2587
2 ай бұрын
Hii nchi basi an mpaka Machifu n Machawa😂😂😂
@tanzcanmediatv4473
2 ай бұрын
Hixo lift wafundishen 😅😅😅😅😅😅
@adamseleman5836
2 ай бұрын
haija kaa vzr hiyo mungeita hata watumishi na mashehe ndio ingekaa sw maana hao ni hawaabudigi miungu
@elinamilyatuu7337
2 ай бұрын
Walishapanda
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Walisha pewa zam yao
@oscarfilimbi3282
2 ай бұрын
Kuwa karibu na vyombo vya habari,siyo kila kitu kuponda tu,viongozi wa madhehebu ya dini ndiyo walikuwa wa jwanza kabisa,kizazi cha elfu mbili mbili huku hamuwezi kujua watu hao ni akina nani,ni viongozi wa kimila ambao walikuwa na nguvu kubwa sana ktk kuongoza Jamii zao,maagizo yao yalipokelewa kwa uzito wake na kuzingatiwa,so kwa hili sioni tatizo ktk kuwashirikisha.
Пікірлер: 40