Huu ni upuuzi sn, Mwkt na waziri hamko serious mbona mnafanya utani, Mmekera sn!!!
@husseinmanyanga1587
3 ай бұрын
Acheni utani bungeni munakula kodi zetu kwa kwenda kuigiza bungeni hamtufai kabisa nyinyi
@matelekafedrick6935
3 ай бұрын
Watu wapo seriously af yy anaigiza 😢😢😢😢😢
@amanihenry9392
3 ай бұрын
viongozi ndiyo kioo na wana power ya kukemea hili jambo .......na sio maigizo ya huyu mama
@janifajani8875
3 ай бұрын
Huyu waziri gwajima ni mama washoka anayo yafanya mtaani anaairahili pongezi ss wana Nchi ndotunaona sass huyu baba alitaka afanye maigizo bungeni huy mama ana fanya vitendo mtaani mumuache❤❤❤❤
@paschalpaschal9261
3 ай бұрын
Hata m/kiti amezingua
@PartySekemi
3 ай бұрын
Hakuna lingine naweza kusema suhura afanye ile kazi yake ya saa nane usiku mama samia kweli kama yuko serios kuhudumia watanzania huyu mama atumbuliwe mara moja haiwezekani jambo kama hili asimame kuigiza hatuna imani nae 😢 anakua kama sio mzazi???????
@peterpaschal4522
3 ай бұрын
Waziri hana tatizo sema Sheria ndyo haimpi nguvu na serikali yetu inaogopa kupitisha Sheria kukomesha ushoga maana watanyimwa mikopo
@moreenonesmo-jz2ws
10 күн бұрын
Usiiachie shilingi mama
@juliethkatabwa5306
3 ай бұрын
Yupo Mungu mtajibu tu
@Laizer3
3 ай бұрын
Waafrika ni ngumu kujiamulia ndo maana wanaamuliwa na wazunguuu maisha ya kuishi
@user-hp2ix5wp6i
3 ай бұрын
Huyo waziri ajiuzulu
@JacksonSimbeye-qz1zp
3 ай бұрын
Siasa mchezo
@ilynpayne7491
3 ай бұрын
Sasa ndo nini😢😢
@MenelusCzar
3 ай бұрын
MIMI NAJUA MAPAMBANO YA GWAJIMA, NAENDELEA KUKUOMBEA MUNGU MH WAZIRI🙏
@dorothygwajima9473
3 ай бұрын
Tuendelee kupambana, nashukuru sasa elimu imeenda kwenye jamii, sasa Kila ngazi inaongea ajenda ile ambayo, tofauti na awali kabla ya wizara hii, ilikuwa hata haisikiki. Kusemwa na wengi ni ishara kuwa, kazi ya elimu iliyofanyika miaka miwili iliyopita siyo ndogo. Sasa wapiganaji tumeongezeka, vita ni mtaa kwa mtaa, Kijiji kwa Kijiji, kata kwa kata hadi kwenye baraza la madiwani. Tutashinda.
@PartySekemi
3 ай бұрын
Acha unafiki labda ni ndugu yako lakini hauwezi kusimama mbele ya kioo ya watanzania walio serious na swala kama hili halafu uje uigize😢😢😢😢
@rehemamejja8342
3 ай бұрын
Huyu waziri au shida tu .hayuko sirasi....hafaiii
@paschalpaschal9261
3 ай бұрын
Utani apeleke kwa sheji yake Gwajima sio mbungeni KWENDA KABISSA
@user-qx5mq6un7e
3 ай бұрын
Bunge limekuwa futuhi
@user-tg7vq3ty8p
3 ай бұрын
Yaani hela zetu ndivyo zinavyoliwa hivi?
@tibbsminja2575
3 ай бұрын
Hivi ninyi wabunge mko serious na wananchi hawa wanaohitaji maendeleo.
@madukaj.j.6999
3 ай бұрын
Hakuna kitu kinaudhi kama hiki amambo anakifanya Mhe. Waziri katika hili
@moreenonesmo-jz2ws
3 ай бұрын
Mama Poleee
@RmoShamte-h9f
3 ай бұрын
Ndio waziri kazingua
@valentinoswenya748
3 ай бұрын
Vitu kama ivyo mirad ayo awezi post
@jenadiusnicholaus3238
3 ай бұрын
Hii nini sasa?
@paschalpaschal9261
3 ай бұрын
Huyu waziri anatakiwa atumbuliwe
@angelabanzi8253
3 ай бұрын
Mmmh
@Mwanah27
3 ай бұрын
Mbona wabunge wachache
@elizabethmassi7327
3 ай бұрын
Waziri huyu ni mpambanaji kwenye wizara yake kuliko mawaziri wengine wote basi tu hii ni jinsi mwenyekiti alivyoufikisha kwake ,na huwa anapendaga utani utani lakini ni chapakazi sana mfuatiliaji sana,hapo asibebeshwe lawama pekee yake hiyo wizara haiwezi kujiendesha yenyewe bila wizara zifuatazo kushirikiano nayo:mambo ya ndani,Tamisemi,habari na mawasiliano,michezo na sanaa katiba na sheria bila kuwa kitu kimoja hii wizara haitaweza pekee yake bila hao kufanyia kazi yanayohusiana na hayo wanayolalamika wabunge
@khatibabass3106
3 ай бұрын
Huyu sio mshenzi huyu
@eliaichraymond1215
3 ай бұрын
😳😳😳
@GodloveMtewele
3 ай бұрын
Tupo mwisho wa wakati hayana budi kuwepo yesu yumlangoni
@richardjafu7404
3 ай бұрын
Hawa comedians wanafanya Nini bungeni? Nitashangaa kama ataachwa kuwa waziri!
@josephmallya5525
3 ай бұрын
Aibu naona mimi
@chandalamasana-sb7rm
3 ай бұрын
Hakuna wazr hapa
@elikanaernesti8440
3 ай бұрын
Kama mnasapoti wekeni wazi maana mnacheka kweny jambo la msingi Kama hili
@sk-wj9or
3 ай бұрын
Huyo mwenyekiti achunguzwe juu ya vitendo hivyo.
@verinicamartin6420
3 ай бұрын
Pole mama mpaka umenitia huruma mama
@SharifaOman-bf1bn
3 ай бұрын
Sasa. Haya maagizo au
@user-ce5mi6zc9t
3 ай бұрын
Haya ni maigizo tu, ngoja alawitiwe mwanae ndo alie kweli kweli
@prof.abusakelsaleh3524
3 ай бұрын
Bunge la CCM
@yukundapeter8200
3 ай бұрын
Mwenxio ulovaa nae sare kavaa shungi,kakushangaa kinafki eti anaimamisha kichwa ulivolia,maji2 mengine hayana uchungu na wanaolawitiwa na kubakwa.
@washingtonngullo1988
3 ай бұрын
Anaigiza huyo
@erickmassanja4201
3 ай бұрын
Utani kwenye jambo Muhimu kama hilo kweli!!!!!!
@magesadani9058
3 ай бұрын
Itungwe sheria sio maneno matupu
@athanaskallega4824
3 ай бұрын
mwenyekiti aweke kwenye paper yake ya ya bajeti. Kwakweli huyo waziri analeta UTANI
@EdibiliSalum
3 ай бұрын
Sasa kwann msiweke sheria mashoga wanyongwe tuu reo mnatuletea usenge usenge
@dinakyoma5977
3 ай бұрын
Songa mbele mweshimiwa waziri, tulioko nje ya uwanja tumeona juhudi zako na tunakuombea hakika!
@ElizabethDaud-z7j
3 ай бұрын
Waziri jau kwel huyu😅😅😅😅
@cheiknamouna2058
3 ай бұрын
Ndivyo alivyo sasa inafaa mumzoee lakini kiukweli anachapa kazi huyo mamaacheni unafiki
@dorothygwajima9473
3 ай бұрын
Habari za asubuhi ndugu yangu. Sijitetei wala kujisifia ila maoni yao ya mishale napokea huku nikijiuliza, hivi Ishara ya kutoa simu yangu binafsi kwa jamii, kuanzisha kituo cha simu cha wizara na kujiunga na mitandao yote kwa akaunti za majina yangu mwenyewe, na kupokea hoja za wananchi moja kwa moja, siyo kielelezo cha uwajibikaji? Kuinyanyua ajenda ya ukatili hadi imefikia mahali wote tunazungumza tofauti na kabla ya wizara hii nayo nilidhani ni hatua! . Anyway, acha tupokee, tusivunjike moyo, acha kazi iendelee na maoni tupokee. 🙏🏽
@fidelfidel-jz4iw
3 ай бұрын
Mapambano sio kwa waziri peke yake ni kila mwananchi tubadilike ktk mtazamo wenzetu nchi nyingine kila mtu ni askali wa mwenzie
Пікірлер: 66