Aliyekuja hapa baada ya kusikia H.MBIZO amefariki likes tafadhari
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
Tuliokuja hapa baada ya kifo chake tujuane hapa 😭😭😭😭
@AbdulKarim-vl7tx
5 жыл бұрын
Ebhan naicheki 2019 apa from mbagala gonga like twende sawaa
@misosomabula2799
3 жыл бұрын
Ni kwel maan iz nyimbo zinagusa hsia
@jameskamoliurukundotanzani6153
5 жыл бұрын
Dah ! Natamani sana dunia ya kipindi kile ilikuwa brudani mazee,
@achi_raymond
3 жыл бұрын
kweli yaani lakini ndio haiwezi rudi mi naona ilikuwa ndio raha kuliko sasa kero tu
@omaryidrisa3280
Жыл бұрын
@@achi_raymond sana brooo ila mwamba R.i.p
@AminaIssa-ee6kl
2 ай бұрын
Mm leo ndio kujua kafa baada ya kuangalia mastaa 40 wa kitanzania walio fariki...Inna lillah waaina aleyhi rajioon...😢
@shollodegeorge9056
3 жыл бұрын
2021 twende sawa wale wa kufukua makaburi
@naifathassan1063
3 жыл бұрын
Enzii izo nilikuwa kadogo sanaa 😊 ila natamanii ningekuwa kipindi iko...❤️😘
@ServantofAllahtv
4 жыл бұрын
Dah mziki zaman bwn c sasa 😍 who is watching 2020..?
@latifamkeyenge6977
3 жыл бұрын
kama unaangalia 2020 hii ngoma ..💝💝gonga like
@paulmkoma406
3 жыл бұрын
Nyie jamani hivi kumbe tumezeeka aisee!!!? Maana nyimbo hii ni karibu twenty years sasa enzi tuko sec school mabisho kipindi hicho dah Mungu wangu. 🥺🥺🥺😢😢🙌🙌
@swaumually4359
4 жыл бұрын
Tunaoicheki hii ngoma 2020 tujuane Kwa like
@samirbombey6619
4 жыл бұрын
Longa!!!!
@stephanomnyakiju6798
Жыл бұрын
Kama umeangalia 2023 gonga like hapa🤣🤣🤣
@jafaripaje5366
3 жыл бұрын
Reminds me of my sweet early 2000. Am suprised how time flies.
@charlespiano1110
4 жыл бұрын
Nimetafuta huu wimbo for long..asante sana...
@dulliy654cyptrocurrency3
Жыл бұрын
Kama umekuja baada ya wimbo wa barnaba ft mondi "hadithi' gonga like hapo
@charlesmushi5350
Жыл бұрын
Rest easy brother till we meet again 😭😭😭😭
@mohammedsalum3502
Жыл бұрын
Dah inauma
@shedrackally9739
4 жыл бұрын
Bonge la wimbo H hata usipo imba hii inakuwakilisha pamoja sana enzi hizoo tunachunga viijijiniii
@alfredbunzali3161
4 жыл бұрын
2020 hii ngoma ni balaa mpk kesho naikubali kinoma
@kapituomary2344
3 жыл бұрын
Jamae naomba mtuwekee na ile ya zuzu zuzu
@user-dk7rl3np3x
8 ай бұрын
Nomaaaa sanaaaa
@lupandesimukindje8170
2 жыл бұрын
2021 mpo ? Huu wimbo niliumiss sana nimeshukuru kuuona tena
@mswadikukajaja3540
3 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka iyo haiwezi ludi tena
@NassoroJohn-qw9pv
3 ай бұрын
kamakawa ngomahii nimwisho
@mhinasemwambi1957
3 жыл бұрын
kama unasikilaza 2020 gonga like
@mswadikukajaja3540
3 жыл бұрын
Nakumbuka myaka iyo haitojiludia kamwe
@wadawakiseo9845
4 жыл бұрын
Vina na mizani nje nje
@kibasamohamedi8029
Жыл бұрын
Dah rip mwamba
@eysherqdout8361
4 жыл бұрын
Missing those days 😔☹️☹️2020 now
@jeffersonmwabuponde1509
4 жыл бұрын
2020 ngoma bado inaishi H mbizo dunia rudi nyuma basi
@cuteniluu6612
3 жыл бұрын
Waliokuja kwa sababu ya mzee wa ngenga
@piterasifa3757
4 жыл бұрын
2006 Hii duu bac kipindi hicho wa mikoani tunatamn kufika dsm
@epitomeapex
Жыл бұрын
Producer SAID COMORIEN kwa hili pini aliua sana Kwa Vinanda na Beat kali Lilotulizana🙌🙌🙌🙌Tatzo saiv kesharud kwao Comoro ( Visiwa Vya Komoro)
@abasilihundu200
3 ай бұрын
Jamaa alikuwa bonge la producer
@drewsondeniss709
Жыл бұрын
Rip😢
@maulidkarim1055
4 жыл бұрын
Rcpct H 2liwakamata sana kwa ngoma hii kila alieruka enz zile gonga like 2juane hahahaha
@maulidkarim1055
4 жыл бұрын
2020 Hapa
@mashakaponera4116
Жыл бұрын
Ngoma kali
@chaleboymusician528
Жыл бұрын
Jamaa yuko wapi huyu
@mohamedhamisi3722
4 жыл бұрын
Hadi leoo 2020
@achi_raymond
3 жыл бұрын
NILIKUW DARASA LA TATU 2005 HII SONG NYUMBANI TV HAKUNA NAENDA KWA JIRANI MWALIMU MGULO TUNACHUNGULIA DIRISHANI YANI NA SWAG ZA KIMTAA ENZI HIZO DAH
@rashidsaad7948
2 жыл бұрын
Dah hatar sana cyo miziki ya siku izi yan gubugubugubugubugubugubugubu yan hakuna kinacho eleweka
@namugerwajosephine9694
2 жыл бұрын
kazi ya mungu aina makosa ck nazo zinaumiza zikilita 2000
@benjaminwatosha7712
3 жыл бұрын
imenikumbusha mbali Niko f2
@nisilesanga3602
4 жыл бұрын
Mulikuwa wazurbkimashair wazeee
@felixsawema6921
5 жыл бұрын
Aisee huyu Jamaa nimewahi kupanga kwenye nyumba yao pale magomeni, duuh siku hazifanani siku hizi game limemtupa br..ila kwa wakati wao walivuma
@jameskamoliurukundotanzani6153
5 жыл бұрын
Naitamani dunia ya kipindi kile
@jafaripaje5366
3 жыл бұрын
Ndio maisha yalivyo
@fabianhura9714
3 жыл бұрын
Kumbe tulikuwaga majiran
@MichaelJohn-xh4kf
Жыл бұрын
R.i.p
@khadijamohammed9074
Жыл бұрын
Nimeskia amefariki..nikafika kama risasi..maana nilikuwa simjui.. yaaani kipaji sauti yake..inakosha..rest easy.. from Kenya
@hawasuleiman5243
5 жыл бұрын
Niliiandika kwenye daftari hii
@shafihemedi6057
4 жыл бұрын
Hi
@michaeldoroleo4864
Жыл бұрын
Sawa legend,ila kwa uimbaji huu hata mimi ningekuwa msanii kipindi kile😂😂😂
@7evenlyrics154
Жыл бұрын
Ooh sad RIP LEGEND kenya 🇰🇪 we send Roses 🌹 😢
@hamishamis9905
4 жыл бұрын
Who is 2020
@mussamisanana8806
3 жыл бұрын
Hawa ndo mafundi wakuimba
@CoachHafidh
2 жыл бұрын
Pure quality melody💥🔥🔥🔥💯
@mr.romancer9160
Жыл бұрын
R.I.P😪🙏
@liyou8110
Жыл бұрын
Mi imenibamba
@charlesmuhagama2358
4 жыл бұрын
Inanikumbusha mbar sana
@Lachasaid
7 ай бұрын
Pole sana yote allah anapanga sote njia moja
@florabuzoya3948
Жыл бұрын
RIP jamani dah nice song ever
@jumahkipingu7339
2 жыл бұрын
2021 daaah H mwenye mbizo zake akiwa na ya kameta studio...
@namugerwajosephine9694
2 жыл бұрын
yaaaan we acha hapo bukoba mjini, kitu kipigwa ccm, na pamba disko, mungu mkubwa
@fedrickandengenie7156
4 жыл бұрын
2020
@abdallahyasin6829
2 жыл бұрын
Huu wimbo umenikumbusha mbali sana mpaka machozi yamenitoka.
@mahembajulius7036
3 жыл бұрын
Tunaocheki 2021
@goodlife6725
2 жыл бұрын
Jaman cc wazamani ndo tulifaidi muziki mzuri co poa
@bahatishabani1392
Жыл бұрын
Ulituburudisha!! Rest well!!
@user-nq2nu7wt8z
5 ай бұрын
R IP
@hadeeegahalmawali504
Жыл бұрын
😭😭
@iHeizar
2 жыл бұрын
2023 Bado hit song
@lipymuscat4779
5 жыл бұрын
Mwenye kuamini km hii beat imepigwa ktk wimbo wa mbosso maajab
Пікірлер: 105