Jumuiya ya Umoja wetu yakamilisha zoezi la uchaguzi, viongozi watangazwa na kuanza kazi rasmi.
Kufuatia uchaguzi huo, wadau watoa maoni yao.
Na huko Afrika Mashariki wiki hii mambo kangaja kama kawaida!
Huku zoezi likisuasua huko Mombasa, Kenya, Kunguru wa Zanzibar njiani kuangamizwa rasmi. Kulikoni?
Kwa haya na mengineyo mengi, ungana nasi mwanzo hadi mwisho wa taarifa hii hapa Swahili Voice pekee.
Негізгі бет #Habari
Пікірлер: 2