Nawaakikishia wananzego Nitakuwa nanyi bega kwa bega mpaka Mahakamani.
Diwani wa Kashai Manispaa ya Bukoba Mhe Ramadhani Kambuga hawakikishia wananchi wa Mtaa wa Matopeni Kata ya Kashai Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera kuwa atakuwa nao bega kwa bega kuwafikisha mahakamani watu waliokula hela ya zengo
Hayo yamekuja baada ya wananchi wa mtaa huo kuomba mkutano wa hazara wakitaka kujua hatima ya watu waliowashitaki kuwa walikula hela yao ya nzengo milioni 12 swala hilo la kuwafikisha Mahakamani limekia wapi.
wananchi hao walianza kutoa maoni yao nakusema wapo tayari kuchangia kama ni pesa ya kumlipa mwana sheria ilimradi watu wanaohusika kula hela yao wafikishwe mahakamani wapate kila mwana nzengo apate haki yake
Nae Mhe Diwani Ramadhani Kambuga Ambae ni Diwani wakata hiyo amesimama na kuwaambia wananchi yupo pamoja nao kuakikisha wanaotuhumiwa kula hela ya wananzengo ambao ni wananchi wake Atorudi nyuma hatahakikisha haki inapatikana.
Негізгі бет Hacha twende mahakamani tushindwe uko uko mahakamani
Пікірлер