Mnaowaunga mkono wa mama wa chadema gongeni like kwenye comment hii.
@SmilingAnacondaSnake-sp8ct
10 сағат бұрын
Ccm nyinyi ndio mnaosema au kuwapa maagizo police tukiwapoteza msiwatafute sasa mnaenda kwa msajili kufanya nini
@EliaHiluka
10 сағат бұрын
Hao ni makada wa ccm wamejibadilisha sura kwakutovaa sare za chama
@asinahussein2176
9 сағат бұрын
Usilazimishe watu kupenda unachokipenda wewe
@sadickissa1600
6 сағат бұрын
Mbona huongelei wanao tekwa?
@sadickissa1600
6 сағат бұрын
Akina mama mbona watoto wabapotea hamtoi tamko?Akina mama gani?au akina mama wa mvjongo
@JumaKitutu-t4s
4 сағат бұрын
Mumeolewa
@nassorosadick9232
4 сағат бұрын
Wakati mbowe amefungwa kwa kosa la ugaidi mlipiga kelele na kumuomba rais amsamehe, sasa vumilieni coz nyuka yupo ndani kwenu@@sadickissa1600
@mtakamatv
10 сағат бұрын
Eti watu wanakufa wako kimya,wapinzani wanauawa na kutekwa wanafurahi,viongozi wa ccm wakitoa maneno ya viashiria vya mauwaji na utekaji hamsemi,ila wapinzani wakijutokeza kudai haki yao ya kuwa salama tena wanakuwa wavunjifu wa amani,upinzani sio uadui muogopeni mungu enyi machawa wa viongozi,wana ccm muogopeni mungu msidhani mtaishi milele,maisha tunategemeana,mnajitokeza kufanya propaganda kuwaaminisha ujinga masikini wa fikra ambao ndio mtaji wenu,watu wasio na uhuru na upana wa kufikiri,watu walioathirika kisaikolojia na mfumo wa uccm.kama yupo mungu,jueni kuna haki na kweli pia.
@mage5371
9 сағат бұрын
Dah Kua uyaone mengi🏃🏿
@kashiririrkaasongwisye9487
9 сағат бұрын
Hakika!
@2003hintay
8 сағат бұрын
Sasa kama kuuana au kutekana mbona ni wao kwa wao wanatengeneza matukio na wanakuwa WA kwanza kupiga kelele kabla hata familia husika huwasikii, maajabu ni hayo. Wanafamilia hatuwasikii tunawasikia mbowe na wenzake maaskofu wakitokwa na mapovu, hata kuhubiri injili wameacha
@jamesmasome359
7 сағат бұрын
Chadema chama cha kigaidi.
@joojombi2341
6 сағат бұрын
Wacha kupotosha umma dogo Chadema ndo wauwaji mafatani wakubwa kuanzia viongozi wao mpka wafuasi wao. Chadema ni mafatani wakubwa hawana kheiry na Tzd hao
@samsonogunde4508
10 сағат бұрын
Jamani kila Siku Uchawa Unazidi kuongezeka, Tuache Uchawa Tujenge nchi Yetu.
@hashimuuhehwa4252
10 сағат бұрын
Ni muuwaji kweli kwani uongo pumbavu za mama zenu mwambieni arudishe roho za Watanganyika
@aediayumgo8546
9 сағат бұрын
Wewe Mama ako alikuleta duniani Kwa njia ya haja kubwa ndiyo maaana huna Adabu 🌈💯 we
@musa-v3f
9 сағат бұрын
ni muuaji kweli kama si kweli kwanini msikubali chombo cha nje kije kuchunguza tujue ukweli ??? badala yake mnataka mjichunguze nyie wenyewe.. She is Guilty of abduction and killings in Tz.
@MOHAMEDMBAROUK-tc4ch
9 сағат бұрын
Sasa yule alikuwa akiuwa na kuwatupa kwenye viroba mlikuwa munamidomo ya kuongea na hvi wacheni choyo huyo kiongozi Mola mwenyewe ndio amechagua na ndio kampa hiyo nafasi msitufanye tuwasemee maneno mabaya
@OmarShifao
6 сағат бұрын
Wacha kauli za kibaguzi na ufedhuli Sheria hiko hiyo cio democrasia utoe kauli kinzani bro
Yako mqngapi yamefanywa na ccm maovu dhidi ya chadema ikiwemo mbeya na maeneo mengine mbona hayo hamjamletea msajili acheni uchawa
@SephaniaMsigwa
10 сағат бұрын
Soka na wezake wako wapi
@mtakamatv
10 сағат бұрын
Kwanza msajili ameingia amekasirika,amepaniki,kana kwamba alijiandaa kusema ubabaishaji tu na hao wanawake ni uchawa tu mtunze amani kwani anaeiharibu nani? Na kwa namna gani? Mbona hamsemi
@fatmafatu1128
10 сағат бұрын
Nyinyi wanawake ni wapuuzi kama wapuuzi wengine shenzi zenu machawa kwani uongo kuuwa sio lazima yeye ndie auwe kama anashinwa kukemea mauwaji tusemeje sasa yeye ndie muuwaji wauwaji anawakumbatia
@AnthonyChaula-d8l
7 сағат бұрын
Mataira tz wengi jamani
@MedardLutelemba
9 сағат бұрын
Yaone yalivyokaa mnashindwa kwenda kuandalia waume zenu chakula yanahangaika na muuji nyoko
@vicentmaziku-t8z
10 сағат бұрын
Hiyo skafu ivue
@vicentmaziku-t8z
10 сағат бұрын
Mungu anakuona
@robertphilip385
10 сағат бұрын
Chawa tu hawa
@AyubuChacha-u6u
9 сағат бұрын
Shida kubwa tanzania polis wanalinda ccm tuu na watoto wa viongoz wa serikali wamesahau kuwa kuna watu wengine wakupewa haki yao sasa ccm wao wafulah kutoa matamko kwa mapolis kweli wso tu ndio wamaana tu kuliko wengine watu wxnakufa kama kuku hata kuku anathaman haki maana wanatuzwa ndani.
@YonaRajabu
8 сағат бұрын
Hii tabia yakujipendekeza mbaya sana
@VisentJohn-r3r
7 сағат бұрын
Hujuwi kanye ulale
@nassorosadick9232
4 сағат бұрын
Huna ulijualo ww, kaa kimya ziro ww
@EliaHiluka
10 сағат бұрын
Acha uchochezi wewe ulie vaa skafu ya ccma unamsemea msajili yeye hajui wajibu wake acha uchawa wewe dada
@gangan4618
9 сағат бұрын
Anawashwa anaitaji hogo la msajili. Wana laana ya umalaya hawa eti ni viongozi wa wanawake, hawa ni viongozi wa kuma zao km mitaji kwao.
@abdallahkihanza482
9 сағат бұрын
Kesi ya nyani umpe tumbili, ama kweli uchawa kiboko
@BrotherKaka-j4z
10 сағат бұрын
Njaaa itawauwa
@johnsonzuma4932
9 сағат бұрын
Na hivyo vyama 14 vipo na wana chama wa ngapi?😅😅😅😅😅
@AbuujureyjKhaniy
10 сағат бұрын
IKIWA KIONGOZ ASHINDWA KUTETEA MAUAJI NA WAUWAJI WANAJUILIKANA KITAALAM TUNASEMAJE ACHENI UCHAWA
@EliaHiluka
10 сағат бұрын
Kama unataka Samia wasimseme basi aachane na kofia ya uenyekiti wa ccm taifa abaki na kofia ya uraisi pekee pia umkumbushe msajili juu ya matamko, na vitisho vinavyotolewa na makada wa ccm akiwemo aliyekuwa DC wa longido kuonyesha alihusika kuwashughulikia wapinzani katika misitu mwaka 2020
@RahimMallya-fh9zc
10 сағат бұрын
Watu wanavo potea wanavo uwawa,mko kimya
@MohamedRashid-py7ro
10 сағат бұрын
Wewe ni mzima unapo toa maoni ujifikilia au unakuwa unakunya
@fatmafatu1128
10 сағат бұрын
Ko wewe inavyo kunya kunya hovyo unadhani kila mtu kama wewe
@EliaHiluka
9 сағат бұрын
Acha uchochezi
@FarhanFarhan-js1ei
9 сағат бұрын
Mshaurini huyo mutungi afaute vyama vingi kibaki ccm tu ili maisha mengine yaendelee
@TonnyMamkwe
5 сағат бұрын
Mtafiwa nyie na watoto wenu na waume zenu ndiyo mjue kila mpandacho mtavuna
@RizwanAbdallah
8 сағат бұрын
Sakeni watekaji unajua drama zenu tumezichoka
@VailethShirima-n5m
6 сағат бұрын
😂😂😂😂chears
@mussaelias3535
8 сағат бұрын
Acheni watoe hisia zao mbona mnapenda kukosoa hisia za watu wengine
@MedardLutelemba
9 сағат бұрын
Muuji ndio nyoko nyie akina mama mnayehangaika kutetea huyo mama yenu
@ChugaYechu
6 сағат бұрын
Mnajidharirisha tu inamana tanzania hakuna jeshi la polisi
@RahimMallya-fh9zc
10 сағат бұрын
Nchi inavituko hii, mmetumwa na nani
@AbdallahMnyiwe-he2zu
10 сағат бұрын
Huyu ni CCM wakati ndio wanasimamia mauaji nchini
@ShebyPaschal
8 сағат бұрын
Hata wewe uchukuliwe hatua make umeimba mwenyewe. Mm nilikuwa siujui huo wimbo asante kwa kunijuza,,,ukamatwe kwanza wewe ndo na sisi tufikiliwe,,,
@williamkavishe397
6 сағат бұрын
Kwanza Mimi nashangaa mpaka Leo Hawa vichaa wa chadema Hawa Malaya waliosema Samia Ni muhuwaji mpaka Leo hawajakamatwa kwanini?kwanini wanamwita mtu ndiye muwaji Raisi anatoka ikulu kwenda kuwa watu Hawa Malaya wanatakiwa kukamatwa mara moja mtu mwenye akili huwezi kusema Raisi Ni muhuwaji Hawa shenzi kabisa wanakera kweli yani
@rajabusaimon7662
10 сағат бұрын
Hebu fikeni mahala tuiache nchi itulie tumechoka na hiv vituko likiisha hili mnaazisha lingine
@meshacknyandongo577
7 сағат бұрын
Kwani mambo ya wanawake umeyasahau Toka nyumbani, mtaani, ligi zao haziishi mwanamke akiwa juu ya mwanamme utawala wake ni mbovu sana
@RahimMallya-fh9zc
10 сағат бұрын
Nendeni mahakamani.
@NuruJuma-zv3yz
10 сағат бұрын
❤Tanzania, tazania❤
@wadeelegbogun3015
3 сағат бұрын
CCM YA SASA SIYO YA NYERERE, KWA SASA TUNA CCM feki genge la wahuni, majizi, wauwaji, mafisadi, watekaji #NONSENSE
@wadeelegbogun3015
3 сағат бұрын
CCM FEKI GENGE LA WAHUNI ndo wauwaji na watekaji na wanatumia jeshi la police. PERIOD. Huo ndo ukweli
@jerusalemsuccess4562
Сағат бұрын
Mnaipenda kweli Tanzania au mnaoenda natumbo yenum na jujipendekeza mteuliwe? Yupo Mungu mwenye haki ambaye ameona damu ya watu inayomwagika Tanzania Atajibu ntashangaa. Mbona hamlaani uuaji na utekaji watu unaoendelea Tanzania? Nanyi mnashiriki adhabu ya watejaji na wauaji damu yao itadaiwa kwenu na vizazi vyenu vya tatu na vya nne. Damu damu, hofu hofu hofu Tanzania
@fredyjeremia7074
16 минут бұрын
WANAWAKE WA VYAMA VYA SIASA,🤔🤔🤔,,kila mmoja aseme ni wa chama gani apo,
@musa-v3f
9 сағат бұрын
ni muuaji kweli kama si kweli kwanini msikubali chombo cha nje kije kuchunguza tujue ukweli ??? badala yake mnataka mjichunguze nyie wenyewe.. She is Guilty of abduction and killings in Tz.
@InnocentCharles-hm3ff
6 сағат бұрын
Mmmh! Mapambio,maandamano yalikuja baada ya matukio ya kutisha ndani ya nchi....nan anayeteka,kutesa na kuuwa raia ndio hoja....ukiwa hujapatwa na msiba hujui uchungu wa aliyepotelewa ndugu ama kufiwa....
@designdesign4426
3 сағат бұрын
Ushauri wangu kwenu nyie wamama wa ccm fatilieni coment za wananch je wanampenda mama? ndo mtapata kipimo..mi nafikili mngeanza na yule wa ccm aliesema tukiwapoteza msiwatafute mbn nyie hamkemei?ata uyo mnaemtetea apo hakemei kama sio kweli madai ya wanachadema yaposawa
@BarakaSimon-xy9mp
6 сағат бұрын
Mbona mnajipa vyeo msivyo stahili.. 😂😂😂Ety ninyi ndio walezi wa taifa ketu😂😂😂 kama kweli ninyi ni walezi wa taifa hili basi ni haki Nchi kulea majambazi
@TwahirBurhan
5 сағат бұрын
MADARAKA YA NCHI HAYAPATIKANI KWA UHUNI HUO MNAOFANYA NYIE CHADEMA ak.a Saccos ya Mbowe
@johnsonzuma4932
10 сағат бұрын
Wewe msajili hupo mjinga kweli kwani yeye Samia hana weza kurudisha roho za watu zilizo toweka?hacha kabisa...kwani Samia simuwaji tu...
@RichardbituroMakole
9 сағат бұрын
Ccm ni chama mkombozi,hawa wanasema hakuna ,hawajasema kuna,kwa nini kujisumbuwa na wahuni? Achaneni nao hao huu ni muda wa uchaguzi, Kwani wakisema ameua ,mama anajitambuwa wala mzee mtungi isisumbuke na hilo hakuna bustani isiyo na minyoo. Pale polisi inaponyamaza liacheni.hizo ndizo kwao sera sasa unataka uwabadili
@InnocentJohn-l5y
3 сағат бұрын
Machawa ya ccm watu wanateseka yenyewe yanaleta kujipendekeza sizani kama mnawatoto mngekuwa mmezaa mngemuhulumia hata mama yake soka ila nyie nahisi hamjapita leba
@mchungajimpigauzitv5703
7 сағат бұрын
Hakika wachungaji na Maaskofu na Mashehe iweni macho maana Sasa kiongozi wa nchi wako kumchanganya ili baadae kiongoz wa nchi alaumiwe na badaye wamuache peke yake ili malengo yao yatimiye Maana mbele kuna uchaguz Bado nchi iko kwenye changamoto mbalimbali
@JovinusJoel
5 сағат бұрын
Vua sikafu hiyo hayo maigizo hayo sisi tunawasubili mtashaaga .kama kweli nyinyi ni wazalendo kwanini hajakemea vitendo vya watu kutekwa
@davisnyandindi4917
2 сағат бұрын
Ingependeza kama mngetaja vyama ambavyo mmeungana kupeleke hyo kes ili watu wajuwe umoja wenu
@bakarimmbaga2344
4 сағат бұрын
Aaaah! Si mngejivisha bendera za chama chenu badala kujificha kwenye kivuli cha umoja ambao haupo nchini
@MasalenifamilyRecord
4 сағат бұрын
Wewe ni ccm unatetea chama chako aya basi mkamateni na nay wa mitego kwanini hii nchi watu awapendi ukweli lakini shida ni nini yani kwaiyo nyie yanayoendelea manafuairaia nyie ndio mnasababisha raisi kuchafuliwa zaidi
@RastaSuma
3 сағат бұрын
Wanaccm mbona mnavyosema wazi wazi mtapoteza watu na mkawambia police msiwatafute hilo hamsemi ?
@PartySekemi
9 сағат бұрын
Tunatumika vibaya ndugu zangu lakini kwa kuwa waliotuletea mambo haya ya demokrasia na wao wenyewe hawa hawafuati sisi tunajifanya tunajua sana ili tudhihirishe kwamba Uhuru wetu ni wa bendera tu kwani kwa mujibu wa vitabu vyote vya dini walizotuletea vinasema mwanamke ni mtu wa kuelekezwa kwaiyo hata dini hizi ni namna ya kututawala kifikra
@lekishonmolele1859
4 сағат бұрын
Kweli watz wanaoshiba hawasumbui hata kidogo hata ndugu yake akiona anakatwa shingo anapiga kimya lakini hujue ukina mwenzako ananyolewa sako tia maji
@lilianlaizer857
8 сағат бұрын
Mbona wasilete clipu ya spika wa bunge Tulia Aksoni na wengine waliosema tutashughulija nao polisi tuachieni ? Acheni uchawaaa
@meshacknyandongo577
7 сағат бұрын
Wanawake wanapenda ngonjera kweli yani mnamalalamishi kwanzia nyumbani mpaka serikalini yani wanawake hamfai kuongoza nchi kwa nafasi ya uongozi wa raisi nyie mnatakiwa kuongozwa tu nyie ni mama zetu tunawapenda sana ila uongozi wenu unaboa sana
@fredyjeremia7074
11 минут бұрын
Inatia moyo kuwa na mamama jasiri kwa taifa,mungu awaongoze kwa mema tu
@martinisadru9899
9 сағат бұрын
Mliwatambua kwa mavazi ya chadema! Mtu yeyote anaweza vaa mavazi ya chadema na kutoka hadharani huku akimkashifu mh/rais, haimanishi ni mwana chadema.
@joojombi2341
6 сағат бұрын
Dunia nzima yajulikana Chadema ni chama cha ufatani na waongo wakubwa hawana hoja but fujo tu kuanzia viongozi wao na wafuasi wao. Mafatani wakubwa hao Chadema
@jedidahbintidaudi8241
6 сағат бұрын
Hii inaumiza sana. kipindi cha utawala huu ambae Rais wetu ni Mama yetu Samia itafanya huko mbele ataegombea ikawa ni mwanamama watampita maana watakumbuka...
@glorymiko6830
51 минут бұрын
Samia ni muuaji. Kwanza ni haramia. Wanawake wa chadema hoyyeee.
@SalomeJackson-c1y
5 сағат бұрын
Wame mtoa mzee wa watu nyumbani kwake kwaajili ya hawa wapumbavu wasiasa sasa si muende mpeleke hoja zenu police
@ommymsangi9182
5 сағат бұрын
Vijimama wa ccm wamevua vitenge vyao vya chama wanajitia eti wa mama wa vyama mbalimbali vya siasa bila kuvitaja vyama hivyo.Uchawa utaumiza sana nchi hii.
@shemsewando1444
7 сағат бұрын
NA TUKUMBUKE KUNA REFA MKUU AMBAYE NI MUNGU, anajua unafiki wa wanadamu.
@HdhdhdhdhJdhdhd-o6c
4 сағат бұрын
chadema pia watareta barua ya matamko ya ccm kuongea kuhusu kupoteza watu kuweni makini pia ushauri
@lekishonmolele1859
4 сағат бұрын
Wana ccm msithani mnaofanya kwa sasa msione kama hatakua na malipo kaeni mkijua malipo ni hapa Duniani lasima siku moja kisasi kitalipishwa
@ElizabethMvande-fd8mw
9 сағат бұрын
Baba naomba usajili kwa heshima yako na busala yako nalia naliombea Taifa usiku na mchana nakuomba baba bila maombi hatuendi kumbe baba unabusala hivyo Mungu akulinde msajili wetu nakuombea
@ChugaYechu
6 сағат бұрын
Hivyo vyama vyote vilivyopo hapo ni vyamichongo,vinatumiwa na ccm,lakin pia huyo mama anatafuta cheo hana jipy
@MichaelMihale-qz7cr
8 сағат бұрын
Mbona watekaji humkupereka mahakamani walamaombi hamkuitisha kama mjomba magu iv ninani alie kamatwa kwahiyo hautekaji kwali imeshindikana kukanatwa
Пікірлер: 192