@jkizondoswahilibites434 ametupa darasa kubwa sana Leo kuhusu utamaduni wetu waswahili, tamaduni za watu wengine na maisha ya Marekani.
Uislam ambavyo unaheshimiwa nchini Marekani, malezi ya watoto na changamoto zake na jinsi yeye anavyokabiliana nazo.
Ametupatia darasa la ndoa kwa kiasi lakini ni maneno mazuri ya kutia akilini ambapo mwenye akili atayaelewa kwa kina.
Please subscribe to her KZitem channel kujifunza Mapishi na mengi zaidi @jkizondoswahilibites434
Thank you Jimila Kizondo for allowing this to be online.
www.Oda.international
Негізгі бет HAKUNA NDOA ISIYOKUA NA CHANGAMOTO | WATU WAKIFIKA NG’AMBO WANAKATAA KISWAHILI |NYUMBA ZA IBADA USA
Пікірлер: 141