BONYEZA HAPA👉👉bit.ly/3lgLrvF
Soko la Dhamana za Serikali za Muda Mfupi
👉👉 za muda mfupi ni dhamana za serikali za muda mfupi ambazo hutolewa na kuiva chini ya mwaka mmoja. Hatifungani za muda mfupi zinatumika kama zana za muda mfupi kupata fedha kwa ajili ya kuziba mapungufu katika bajeti na kusawazisha ujazi wa fedha katika soko. Kwa sasa, Benki Kuu hunadi hatifungani za muda mfupi kwa niaba ya Serikali ya Tanzania, hatifungani za muda mfupi ziko za aina nne - zinazoiva katika kipindi cha siku 35, siku 91, siku 182 na siku 364. Kiwango cha chini cha uwekezaji katika dhamana za muda mfupi ni shilingi 500,000 (Shilingi Laki Tano katika mafungu ya shilingi 10,000).
Soko la Dhamana za Serikali za Muda Mrefu
👉👉 za muda mrefu ni zile ambazo zinaiva katika kipindi zaidi ya mwaka mmoja na kulipa riba kila nusu mwaka. Hatifungani za muda mrefu zinazotolewa na Benki Kuu ya Tanzania huiva katika kipindi cha miaka 2, miaka 5, 7, 10, 15 na miaka 20. Zinatolewa kwa riba iliyopangwa (kuponi). Kiwango cha chini cha uwekezaji katika hatifungani za muda mrefu ni shilingi 1,000,000 (Shilingi milioni moja) katika mafungu ya shilingi 100,000. Wawekezaji hutaja bei ya juu, inayofanana na kiwango kinachotolewa au ya chini (quoted at either Premium, Par or Discount). Kama fursa za uwekezaji, Hatifungani za Muda Mrefu na za Muda Mfupi zina faida zifuatazo:
Ni njia salama na rahisi ya umilikaji wa dhamana hizi ukilinganisha na mfumo wa umiliki kwa kutumia hati.
Zinaweza kubadilishwa umiliki.
Zinaweza kutumika kama dhamana.
Kipato chake ni kizuri.
👉👉📲WHATSAPP/CALL/TELEGRAM +255 657 038 804
👉KARIBU UJIFUNZE JINSI YA KUWEKEZA KWENYE HATIFUNGANI ZA SERIKALI NA KUJIPATIA FAIDA NZURI KWENYE UWEKEZAJI WAKO.
👉👉USIJENGE NYUMBA ZA KUPANGISHA, BADALA YAKE NJOO UWEKEZE HUKU KWENYE HATIFUNGANI ZA SERIKALI.
🔆🔆✅COURSE YA NEW MONEY (CRYPTO CURRENCY)🔆🔆
💰UKIHITAJI KUJIFUNZA CRYPTOCURRENCY
👉👉WHATSAPP/CALL/TELEGRAM +255 657 038 804
💰KWA VIJANA WOTE WANAOHITAJI KUJIFUNZA NA KUJUA NI KWA JINSI GANI UWEKEZAJI WA PESA ZA MTANDAONI ZINAFANYA KAZI, HUU NI USHAURI KWAO.
💰PATA ELIMU ILI UJIEPUSHE NA UTAPELI, CRYPTO UNAFANYA WEWE MWENYEWE NA SIYO UMPE PESA MTU MWINGINE AKUCHEZEE.
KARIBUNI TUJIFUNZE.
👉👉WHATSAPP/CALL +255 657 038 804
au kwa mafunzo binafsi unaweza kunicheki hapa Whatsapp +255 657 038 804
📞KWA MAWASILIANO PIGA/WHATSAPP/TELEGRAM/+255 657 038 804
🔆🔆✅COURSE YA OLD MONEY [UTT AMIS/SHARES/STOCKS/BONDS/T-BILLS/LAND MANAGEMENT/REAL ESTATE]🔆🔆
🔆WEKEZA NA UTT AMIS KWA USALAMA WA PESA ZAKO, INGIA KWENYE HII WEBSITE KUJIFUNZA 👉👉 wekezauttamis.o...
✅ COURSE YA KUWEKEZA NA UTT-AMIS IPO TAYARI.
✅ FURSA YA UWEKEZAJI USIO NA STRESS.
✅ JUA NAMNA YA KUWA MUWEKEZAJI BORA.
✅ELIMU HII UTAIPATA KWA NJIA YA VIDEO KWA MALIPO KIDOGO SANA,
✅KUWA MJANJA.
💰💰GUSA HII LINK HAPA 👉👉 wekezauttamis.o...
Негізгі бет HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA MRADI WA VIWANJA KWALA
Пікірлер: 1