Hii ilikua kwenye Ziara ya Vyombo vya Habari Kuelekea Mkutano Mkuu wa Mwaka JALSA SALANA mwaka 2024 ambapo Viongozi wa Jamaat Ahmadiyya waliotembelea Channel 10 kwenye Kipindi cha Baragumu,
Jamaat Ahmadiyya Iliwakilishwa na Naib Amir Sheikh Abdul Rahman Mohamed Ame na Naib Sadr Khuddam Tanzania Sheikh Shabani Shunda sahib.
Jumuiya ya Waislamu wa ahmadiyya ni Taasisi ya kiislam inayopatikana Mikoa yote Tanzania na karibia wilaya zote za Tanzania, Pia inapatikana Duniani kote ambapo ipo katika zaidi ya nchi 200.
Jumuiya ya waislamu wa ahmadiyya ina Kiongozi wake mkuu mwenye cheo KHALIFA ambaye sasa niwa tano toka kuanzishwa kwake. Ukhalifa wa kiahmadiyya umepatikana katika misingi ya kinabii.
Unaweza kujifunza zaidi kuhusu Ahmadiyya na Uislam kwa ujumla kupitia tovuti ya www.alislam.org/ au kwa kiswahili kupitia tovuti ya ahmadiyyatz.net/
pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii kupitia Viunganishi (links) vifuatavyo Instagram bonyeza link hii
instagram.com/...
Facebook bonyeza Link hii hapa Chini
www.facebook.c...
Pia Twitter
twitter.com/Ja...
UPENDO KWA WOTE CHUKI SI KWA YEYOTE
LOVE ROF ALL HATRED FOR NONE
Негізгі бет Hamasa ya Mwisho Jalsa Salana 2024: Sheikh Ame na Sheikh Shunda Channel 10 Kipindi cha BARAGUMU
Пікірлер: 1