Hapa mond alifail kukuachia wewe jamaa amesaini kituko ameacha mwanamziki ngoma kali
@soundmale
8 ай бұрын
Huenda anakiburi..kwani mond yeye ni kipofu kumuacha hanston na kumsign rango..rango ananidhamu anajituma ukiangalia hata kwenye operation ya maji alikuwa number🖕😁😁
@_duzzle
8 ай бұрын
The only artist that can replace Diamond platnumz in Tanzania is hanstone pin this comment for future use
@999Sport.
8 ай бұрын
True
@Jimmy12692
8 ай бұрын
Yap yap Simbaaa ni king hilo halina ubishi ila huyo dogo ni new 🤴🏾
@aayanmaroba6056
8 ай бұрын
KIJANA ANA KIPAJI KAMA CHA BABA YAKE MZAZI MAREHEMU BANZASTONE
@alextanzania
4 ай бұрын
Ni baba yake mdogo
@kevomaish9579
12 күн бұрын
Baba yake ni nani
@organizertz3109
8 ай бұрын
Mkiamka naombeni Like wa kwanza kuview🥹🥹🥹
@kingwhite5171
8 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@avitmusic7318
7 ай бұрын
Tafta kazi
@organizertz3109
7 ай бұрын
Hii ndo kazi yangu boss kuongeza view na likes kwa wasanii😅😅😅
@amaloy5915
8 ай бұрын
Hanstone umeua sana humu kaka. Naomba niwe moja wapo ya watu kwenye timu yako tupige hatua tafadhali 🙏🙏🙏🙏
@bernadethaagnec164
8 ай бұрын
Siku aipiti bila kuskiza hii nyimbo yan 💖 💖
@shpapygal3
3 ай бұрын
Hii nyimbo kaliii sanaa🔥🔥❤❤❤
@jobizzotv2415
8 ай бұрын
Msapotini Kijana story za kusikia zinaua ndoto nyingi Sana.. welcome back bro ❤❤
@tunzonasty
8 ай бұрын
Hivi ndo ninavyokujua kakangu...huna Baya kabisa ,siku yako IPO Kaka hamna wakuzuia🎉❤
@omarkipotwile9052
8 ай бұрын
Full Package, sasa toa remix muweke Bella au Kiba pale kati kwenye verse ya 2
@saidikalama1828
7 ай бұрын
Kabisa asee
@alextanzania
4 ай бұрын
Tumewaza sawa😅
@user-eu5uy8vm6i
6 ай бұрын
Upo vzur ,kapige goti upate wa kukushika mkono sawasawa.
@Jrmontaiza
3 ай бұрын
Unajua kaka one love
@husseinmkoka4251
4 ай бұрын
🔥 ilove this song more time
@cyrillcage7260
8 ай бұрын
I can't stop listening to this song walai 😭😭.....more love from Kenya Bro keep pushing..bless up..
@Stevekapugi
8 ай бұрын
Ngoma.kali.sanaaaaa
@michaelbwoma2760
8 ай бұрын
Nilichogundua wimbo hauna uhusiano na mapenzi ya kwichi kwichi Bali ni Mapenzi ya Muziki, na Kiki za Ki WCB zikakuzimisha.. Sahau yote wewe unajua sana hawajakukata kichwa andika zaidi ya muimba Singeli wao utarudi tena nasisitiza Abah akurudishe chini ya mbawa zake
@Vetexenterprise
8 ай бұрын
Lets keep pushing mkuu wangu
@Jostany
8 ай бұрын
Kaliiiii sanaaa
@Officalnaph
5 ай бұрын
nyimbo kubwa sana
@tuntufyehenry1331
8 ай бұрын
FOR SURE WEW NDIO MTU ULIYEKUWA UNASTAHILI KUWEPO WCB NA SIO YULE DOGO UWEZO WAKE MDOGO SANA DAH..
We jamaa unajua sana sema sijui kwann ulitoka wasafi
@natasharajabu5165
8 ай бұрын
Noma sanaaaaa🎉🙌🙌🙌
@abdulhatupoi5574
8 ай бұрын
Fundi wewe 🔥🔥🙌
@vonkale8565
8 ай бұрын
Go ninja
@marijanimsola
7 ай бұрын
safiii sanaaa hans
@hemarokcrown.
8 ай бұрын
Brotherman ❤❤❤from kenya
@EdghaMoses-js8lj
8 ай бұрын
Video Kali san
@chuppaboy_
8 ай бұрын
Fundi wangu huyo
@mirajboy-wv9eg
8 ай бұрын
Noma sana blood🔥🔥🔥
@claralema2915
3 ай бұрын
Unajuaa
@dolaly7208
5 ай бұрын
Atariiih million 10
@user-xi9bh1dn4x
8 ай бұрын
Kazi iendele
@shannarsaidSwahili
8 ай бұрын
Goma zuri
@omaryluambano3495
8 ай бұрын
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki hasstone🎧👍
@tangarapper2944
8 ай бұрын
Qalii mwanangu
@JYMMI_YSA
8 ай бұрын
Nomaaaaaa Sana
@Tanae3209
8 ай бұрын
Unajua sana
@nizalmelody966
7 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Reed_tz
8 ай бұрын
Brouh we ni Ginni hufai atakidogo izi aidia zako Atari haizijawahi kutokea
@silvannasilvannaamiry
8 ай бұрын
Sasa je ❤❤❤❤❤❤❤ haya ndo mambo
@abelmbilinyi1262
8 ай бұрын
Uandishi umeenda shule , keep going 🎉❤
@KentdollarThe1st
8 ай бұрын
Nitazoea it's hit 💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥 Kentdollar the 1st from Rwandan 🇷🇼
@paulofficiel2024
7 ай бұрын
Nomaa❤😢
@mauriceotieno7323
8 ай бұрын
Utasimama tena ,,big up,,
@lubangojean-wg3iv
8 ай бұрын
You need to stay in this Sound Bro wherever happens 🙏 that hits song in Town Brooh 🎉
@bmbprocess2362
7 ай бұрын
Wizkidi wa bongo🙌🙌Mozambique
@joachimmanyika3039
8 ай бұрын
Nzuri
@ElieKachuka
6 ай бұрын
Welcome konde gang bro❤️
@judithkantimbo4369
8 ай бұрын
nyieeeeeeeeee❤
@Jimmy12692
8 ай бұрын
Stoneeee bwaaaay my niggga🔥🔥🔥🔥🔥 Young king👑 Asante kwa ngoma kali usipoe Baba Mawe juuu ya maweeeee Mamaeee🔥🙌🏾
@saidizuberiissa7286
8 ай бұрын
Kazi nzur kk
@robertmashauri7525
8 ай бұрын
my favorite song 2024❤
@Dreamkaka
8 ай бұрын
Huyuuuu bwanaaaaa
@najmahussein5281
8 ай бұрын
Aaagaaaaah fundi kabisah ❤❤🔥🔥🔥
@mohamedykhamis8665
8 ай бұрын
Dah mtoto wa nyoka ni nyoka
@Jamalylitinji
7 ай бұрын
ahhhh mbina mkali ivyo ulikua wap muda wote❤
@LovelyCoastline-fr6tz
8 ай бұрын
Ngoma Kali from Korea naskiliza apa
@dulahnoah3744
8 ай бұрын
Ngoma Kali sana sema muuni wangu @hanstone ajawa kosea
@dondizzeh8378
8 ай бұрын
Kenya 🇰🇪🍒🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰
@zumainc7229
4 ай бұрын
🔥🔥🔥
@Pajamwamovie
8 ай бұрын
Kaz nzuri
@maleek11flacko
8 ай бұрын
Nakuombea ufike mbali hanstone Mungu akutangulie bro you will make it bro🎉🇰🇪🇰🇪
@Yusco_Rhynova
8 ай бұрын
Nomaaaa Sana #stoneboe
@RoyIce-qf7jg
8 ай бұрын
Salute my brother unajua utafika kileleni unajua
@JennipherKimaro
8 ай бұрын
Umewezaaa bhn🔥🔥🔥🔥
@dinyoabeli9028
8 ай бұрын
Unyamaaa mwanangu
@depsmilindi8424
7 ай бұрын
Good melody for really. Hongera sana kwa burudani nzuri
@happysunsimina4971
8 ай бұрын
i still have lot of trust on you hanston
@Shokolokobango9385
8 ай бұрын
Hastone anakipaj kikubwa kuliko d voice anaebisha atoe hoja
@omarkipotwile9052
8 ай бұрын
@@Shokolokobango9385akija hata mmoja nishtue
@Jimmy12692
8 ай бұрын
Talented boy king wa new generation ‼️
@happysunsimina4971
8 ай бұрын
anakipaji kukubwa ata toboa tena kwasana, azidi kuachia video,anakipaji kuzidi ata mario ndio sababu wasafi walimuchukua, wala haikuwa kwaku msaidia ila aliwa anaogopewa na diamond sababu ya ushindani wake walio taka kuanzisha na mario, mond akaona awa madogo watazima ushindani wawo na kiba, kuusu d voice usi mshindanise na stone boy sababu dogo alimkuta uyu jamaa kwenye indutry naalikuwa alisha toboa bila record label yenye jina, roo mbaya za wakubwatu. @@Shokolokobango9385
@Djmkongwe
7 ай бұрын
Banza stone mwana masanja Hanstone
@kismarttz3864
8 ай бұрын
Blood ✌️
@malindianking3271
8 ай бұрын
Shot boi🎉🎉🎉🎉my brother... Nice song hanstone ❤
@abdifatahhassanhamoud5028
8 ай бұрын
Talente Artiste
@brianstoneboy8723
8 ай бұрын
Ur number 1 fan is here as number 1 to comment🎉❤
@g-mystic_ke
8 ай бұрын
That's how you just gotta another new subscriber. Ngoma kalii hii
@omidopatrick9029
7 ай бұрын
wasanii kama hawa wanafaa tajiriba kubwa sana kwenye mziki ,unaweza kaka
@isayajames6874
8 ай бұрын
Chapa na lingoma la kuruka kuwavuluga kabisa
@rodriguesamuel3821
8 ай бұрын
❤❤Nice 🇸🇪🇸🇪🇸🇪🥰
@Emmy20233
8 ай бұрын
WCB bora wangekusign ww❤❤wamekasign kale kasungura tope😅😅😅
@Rilvin1
8 ай бұрын
Skororaaaaaaa Baba Nla 🖤🦅🎊
@nafiimohammed8225
8 ай бұрын
Miondoko kama ya mboso iviii
@nundamalickofficial9538
8 ай бұрын
H.I.T respect from coast 254KILIFI
@Hanstonemusic
8 ай бұрын
Tupo trending 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@remigiusrwechungula7047
8 ай бұрын
Pure talent💪💪💪💪
@gthricer
8 ай бұрын
Really song
@Jacob_Wasaf_Tz
8 ай бұрын
Umetisha
@LungwechanashonOtieno-zb4zj
8 ай бұрын
Big up naomben like namm jamn
@jeremiahevodius925
8 ай бұрын
Itoshe kusema unajuwa
@official_kingnabiryOg
5 ай бұрын
Brother muombe sana Allah maana kama kipaji wewe tiyar unacho pia I like it song 🎉🎉🎉🎉 🔥🔥🔥🔥
@Tanae3209
8 ай бұрын
PWD
@vkmalove1307
8 ай бұрын
Kipaji kupaji
@Only1pabo
8 ай бұрын
Go Brodaaaaaa🎉
@KingTone-u5c
8 ай бұрын
Kazi mzuli brother me ni shabiki Yako napenda sana kazi zako
Пікірлер: 383