Hapa Duniani Safari yetu ya Maisha wala siyo ndefu sana.
Tunapopitishwa kwenye Taabu na shida ni kukumbushwa tu kwamba Mungu muumba na muweza wa yote yupo.
Ukibahatika kupata kipande cha mkate siyo chote chako peke yako,
wewe umetumika tu kama njia...
Ukiwa nje ya kwako ndiyo unaweza kugundua kwa nini watu kwenye Dunia wanajivunia na kulinda Nchi zao
Ndugu zangu wa Tanzania
Tanzania ndiyo Nyumbani kwetu,
hatuna na hatutapata sehemu nyingine ya kwenda zaidi ya Tanzania
2023 Ukawe mwaka wa baraka, kupendana, kusaidiana bila kusahau kuipenda na kuilinda Nchi yetu TANZANIA
Nazishukuru Wizara zote na Taasisi zote zilizotuamini 2022 naahidi kufanya kazi nzuri mwaka huu kazi zilizojaa ubunifu wa hali ya juu.
Mimi ni Binadamu siyo mkamilifu inawezekana nimefanya makosa mengi bila kujua, natumia nafasi hii kuomba radhi kwa kila mmoja wetu.
NB: Nimefatilia Top Ten zote Tanzanzania sijaona jina langu popote kama mtu aliyetoa mchango kwenye jamii upande wa Elimu Burudani na Hamasa kwenye jamii,
ila sikati tamaa labda mwakani naweza kuwekwa japo kwenye moja.
TOP TEN hizi zimenipa nguvu ya kufanya kazi zaidi.
TANZANZANIA NDIYO NCHI YANGU NAKUPENDA TANZANZANIA
@samia_suluhu_hassan @kassim_m_majaliwa @dr_philip_isdor_mpango @jenista_mhagama @innocentbash @bashehussein @napennauye @professoradolfmkenda @ummymwalimu @dawasatz @ruwasatanzania @jumaa_aweso @wizarayamajitz @east_west_seed_tanzania @posta_tz @ortamisemi @nyumbanichoo
----------
NAMBA YANGU NI 0712-056748
Emai: mpotogallery@gmail.com
Негізгі бет HAPPY NEW YEAR
Пікірлер: 2