Nini kinaendelea kwenye huba la Mmakonde @harmonize_tz na @poshyqueeen?. Wawili hao ambao juzi tu walisheherehekea Kilele cha Yanga Day Pamoja wamepigana Block kwenye Mtandao wa Instagram yaani si Harmonize wala Poshy aliyemuacha mwenzake Salama
.
Si hivyo tu Harmonize amefuta picha zote za Poshy na Poshy amefanya vivyohivyo kupitia mtandao maarufu wa Instagram
.
Hii si kawaida kwa wapenzi kufanyiana hivi jambo ambalo limezua maswali mengi kwa wafuasi wao juu ya uwepo wa amani kwenye penzi hilo
.
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe KZitem channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Негізгі бет HARMONIZE na POSHY WAMEACHANA?/DJ SEVEN Ndio SABABU?/Wafanya Hili INSTAGRAM
Пікірлер: 16