Guys, confidence is something else! huyu jamaa ana confidence level ya juu sana.
@muttae2
2 жыл бұрын
Jamaa kaimimprove sana aise. Hata salamu hakuwa akijua. Big up Harmorapa.
@ephraimndelwa4073
2 жыл бұрын
😂😂mtangazaji mwenyewe hajui kiingereza
@akhrazjunior4089
2 жыл бұрын
I mean uko fresh kimombo mzee umeiva Buda
@dismaspascal6198
2 жыл бұрын
uko vizuri harmorapa..safi sna,keep goin
@sherletmoses9033
Жыл бұрын
Noma Sana iyo kizungu tz jamani wacheni aibu
@fatmareshed9975
2 жыл бұрын
Sijampenda kama hazimo
@demolenebooysen2085
10 ай бұрын
Namkubali sana this Niga he don't give damn Sh*t😂😂😂 Fly high my G
@fadhiliirunde318
2 жыл бұрын
Are you catching me ..duuh huyu mwamba atakuja kutukana
@godfreymlay4813
2 жыл бұрын
Masai kaingia disco mapema mno sasa kazi kwa dj
@beatricepallangyo2821
2 жыл бұрын
Wanaomsema Harmorapa kwamba hajui Kiingereza au kwamba au anatia aibu wametawaliwa kifikra.., Harmorapa ni Mtanzania na Tanzania Kiingereza ni lugha ya tatu (kwa walio wwngi) au ya pili Sasa akijue chote kwa ajili gani? Mbona wazungu au wasio Watanzania wakikosea hatuwacheki? Big up Harmorapa ipo siku utatoboa kidhungu tu!!!!
@shadrackkassale2968
Жыл бұрын
Niwapumbavu tu watanzania usipokua kingereza nikama mshamba flan ila mzuri akiongea kiswahili Kwa kuboronga wanasema anajitahidi wanasahau amor n mtz sio mzungu
@jonasjaphetthomas6434
2 жыл бұрын
Hahahaaaa! Dada when iam going me in zimbabwa! Iam for sure, inord me to for sure, iam hensam boy! Hahahahahaaaa.Harmorapa bhanaa, ameniacha hoi jaman!
@hamadibakari3635
2 жыл бұрын
Uyu na simple boy Kenya hope ni ma brothers😊
@mahraynally4711
2 жыл бұрын
Hhhhhhh kwel
@Yu-jr9uf
2 жыл бұрын
Mtangazaji kakaziwa inawezekana bora harmo kwny english
@msafirisaidi7465
2 жыл бұрын
mama na mtoto wakikosa hits songs wanakimbilia gym lakini baba akikosa hit songs anawambia ninajambo Lengine la zihada kufanya show performance Ethiopia and Switzerland in Portugal
@vetbilly8528
2 жыл бұрын
Hamorapa very soon you will be ok. Keep learning man. With time you will be able to speak fluent English. Uko sawa
@msimbatiboy7517
2 жыл бұрын
Uko vizuri brow🤣🤣 tudo mafia
@amanimlengwa9202
2 жыл бұрын
The guy is my best artist... Ananifurahishaga kinyama na comedy zake.
@thobiasluanda224
2 жыл бұрын
Aliyesikia are kiingereza kilichokomaa cha huyu mwanaume agonge like
@kambiokabaissa7145
2 жыл бұрын
Hahahaaaa napta2 😁 make duuh
@libetztanzania-kiswahilina2845
2 жыл бұрын
Acha bangi Harmorapa unaumwa, FANYA ENGLISH COURSE KWANZA
Anayehoji kaingiliwa na harmorpa,, unachez na ngeli
@bornifacecharles2
Жыл бұрын
hahahahaha hommo
@amonibalole
Жыл бұрын
Nakuli sana
@mkwajumfupidalo6512
2 жыл бұрын
We kama hutaki ni fleshi tu🤣🤣🤣 kisa ameambiwa aongee kizungu. Watizedi na kizungu mulijikosea wapi jamani
@joleenmasha
2 жыл бұрын
Handsome boy 😂😂😂chotara 😂😂😂😂jamani mbavu zangu 😂😂😂😂
@Yu-jr9uf
2 жыл бұрын
Yeeye
@maselejonathan8452
2 жыл бұрын
Huyu jamaa mbna kama mgonjwa kama mzima hivii duuh ila Mungu amsaidie
@christianlalika9169
2 жыл бұрын
Harmorapa:"me go when in zimbabwe"
@christianlalika9169
2 жыл бұрын
Audience:its about to go down
@Nikita_8017
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@rachelkahimbi4316
2 жыл бұрын
🙀🙀😹😹😹
@matildafelix1377
Жыл бұрын
Kazeeka kidogo lakin
@shushu8105
2 жыл бұрын
Eti sura ya mauzo
@fatumanasoro5057
2 жыл бұрын
Nilikua nachukia kweli ila leo nimempenda sana
@Lucifer-re2hb
2 жыл бұрын
Bangi mbaya
@ibrahimluhaya9298
2 жыл бұрын
wembaya
@azizymachadeson3577
2 жыл бұрын
Mbona Shishi akiongeaga mnafurahi ila Harmo mnaponda kila mtu afe na Lugha yake kikubwa Pesa wewe unaotaka English utakula iyo English yako kazana na English Mwenzio anakula pesa 🤣🤣 Wabongo sisi bana Harmo we tupe Engilishi bhana c hatutaki English
@DWAYNEKI
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Maake kwanza ncheke😂😂😂
@fransismwanawesa7845
2 жыл бұрын
Daaaa !! Ila sema nn nakukubali sana kiboko ya mabishoooooooo
@venitarugemalila9290
2 жыл бұрын
Hahaaaaa unataka English jmn jitaidi utakijua tu Mungu akujalie kinge hiki noooma
@vannydohtz7791
2 жыл бұрын
Noma
@Mercie579
Жыл бұрын
Wah hamorapa ng'eng'ena na kizungu bana ww ni mzungu hamorapa
@devissaus1888
2 жыл бұрын
Kingereza noma
@bennamush4616
Жыл бұрын
Hiki kingereza jamani Mimi hoi 🤣🤣🤣
@zackyisaacs7386
2 жыл бұрын
Huyu tejaa kwelii homorap
@jamesluckson2367
2 ай бұрын
Confidence tu inanipa motivation 😂😂😂
@jcwformedia5032
2 жыл бұрын
Diamond espelho do África
@lodrickmwambene133
2 жыл бұрын
Hamorapa huo mto ni kwajili kusaidia shingo ukiwa unasafiri 😂😂😂😂
@ntiranyibagirajoel8735
2 жыл бұрын
Amurapa safibro
@timonasam8518
2 жыл бұрын
Natoka Kenya lakini apo kwa kiingereeZa hapa Kenya tunasema amechoma
@emmanuelmasanja6040
2 жыл бұрын
Kweli huyu amechoma mahindi
@aubreychuma5449
Жыл бұрын
Diamond no:1
@pascalcheka546
2 жыл бұрын
Nimecheka sana
@samwelipaul1462
2 жыл бұрын
Haka kajamaa bana noma Sana
@richardmfungo1208
2 жыл бұрын
Hamoooo 🔥
@ngoibaba3154
2 жыл бұрын
Hhhhhhhhhh hiki kituko akijawah kutokea Tanzania 🇹🇿 ♥ ❤
Пікірлер: 253