Kindly support his channel kzitem.info/news/bejne/0mqflnyOboKJinYfeature=shared
@danielkhim7416
Ай бұрын
Wueee pluto,,huyo sasa tz n upcoming...mwambie aamie Kenya awe kwa top 10😂😂
@khadijasolle8630
Ай бұрын
@@danielkhim7416 😂😂😂
@leeminho3653
Ай бұрын
I do support u guys much than everything plz show ur presenc too Pluto plz 😢👏🏻👏🏻💫🔥
@ConfusedGlaciers-vp2vp
29 күн бұрын
Pluto ukiuliza wa tz uliza hivi nyinyi ni wapenzi!??????? Halafu after hapo uliza hivi mna. Mda gani kwenye mahusiano na siyo mlianza kuchumbiana lini au toka mmea za kuchumbiana mna gani 😂😂😂😂😂😂😂😂
@hezrajotieno680
29 күн бұрын
Hadija kamfanyia ile kitu ...
@HomeTv-xr9kn
Ай бұрын
This Was Painful. Let’s Support This Guy In His Music Career, He’s Talented!
@HomeTv-xr9kn
Ай бұрын
*PLUTO GIVE THIS GUY A COLLABO WITH PETER PEACE.* It’s gonna bang harder than Johnny Sins.
@dorcaskawiria8161
29 күн бұрын
Was Johnny sins necessary?
@Wangoi5
28 күн бұрын
@@dorcaskawiria8161😂😂😂
@mowawajowangu8216
Ай бұрын
Kama umeshaa subscribe to our brother pita na like ❤
@calorinegachoka3651
28 күн бұрын
Anaitwa nani
@user-qd9qn2cd3n
Ай бұрын
Ni mm nimecomment wakwanza wapi likes zangu tukisonga Pluto ufike adi uganda your doing a good job❤ big up bro tunakupenda sana
@zamanineema3057
17 күн бұрын
Hko ngumi mkononi watamjeruhiiii
@esthermutuga7729
Ай бұрын
Wa kwanza kufika 🔥🔥🔥🔥team Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@User_mcstabbah
Ай бұрын
Nipitie
@MaximillanMatuli
Ай бұрын
Nipitie nikupitie ❤
@BigMan-f1v
25 күн бұрын
Nimekuja Kutokea kwa kiredio baada ya pluto kuja tz nlikuw simjui
@LovenessMwaipaja-cx6oh
22 күн бұрын
Tumeongozana kumbe 😂
@charleslyimo9874
13 күн бұрын
Tupo wengi😂😂
@Zaza-bt1hx
Ай бұрын
The guy is too calm. Kenyan guys wange mchapa vibaya sana
@amosngetich2392
Ай бұрын
Ingekua Kenya watu wangekuwa wamefanya vita kali sana ,watanzania wako vipi jamani!! yaani ako na mauchungu lakini ametulia to🤣🤣🤣
@user-by4xk2vx5w
Ай бұрын
Watanzania ni wapole sana,hawajui vurugu.
@Juniorjacob-le1rr
Ай бұрын
Watanzania kumbuka Kenyatta akisema ni kama maiti ambaye awezi fufuka kivyovyote
@Brunn-mh2bq
Ай бұрын
T@Juniorjacob-le1rr this is a very annoying observation. Dharau kama hizi zitatufikisha pabaya believe me. Msiwachezee waTz nyan'gau nyie. You get us against the wall we come our swinging in ways you can never imagine. Ask Idd Amin.
@jeffkinyua7878
Ай бұрын
Napenda vile waTZ ni wapole
@Chakol123-k7s
Ай бұрын
Kiswahili chetu kinafanya tunatulia nyie na english ndo mlivyo
@nasonchisota6241
Ай бұрын
Ukiwa unamtambulisha unasema "Mke wangu" au huyu ni mke Wake... Kusema Wa kwangu, kama hayupo hapo
@Humblejoker254
Ай бұрын
Dem ako na nose ring toka mbio😂😂😂😂😂😂 in kibes voice😅😅😅
@TulysterJofrey
21 күн бұрын
😂😂😂😂
@lucynyansarora5846
5 күн бұрын
Kwanza ana dharau sana
@gladyskingora2656
Ай бұрын
Wali hatuli Sasa🥲..hii drama ya tz iko Na upole mwingi..keep up Pluto
@Kavenzi
Ай бұрын
Ukilinganisha na ule mwingine wa kupiga magoti huyu ni wire kwa kuimba ❤
@Asha-yn4bu
Ай бұрын
Wallahi malaya ana dharau sana brother mungu amekuokea b4 harusi.mkimbie usijitafutie maradhi
@ywydhhd7941
24 күн бұрын
alafu huyu kaka anampenda san huyu demu ,na kweli hapigi mwnamke ni mstarabu hadi anaboa , nikimpta huyu
@ywydhhd7941
24 күн бұрын
alafu huyu kaka anampenda san huyu demu ,na kweli hapigi mwnamke ni mstarabu hadi anaboa , nikimpta huyu
@itsmimi4135
Ай бұрын
Pluto Umeboeka Sana, Kwani tanzanians hawana enough drama
@Lucymike-b3i
20 күн бұрын
They don't fight 😂😂😂
@olieberry8905
29 күн бұрын
Ningeomba watanzania tusitumie kizungu kwenye kujitetea😂😂😂nasikia aibu mimi uku 😂😂💔
@othmantv2654
28 күн бұрын
Yan wanakera kinoma kuna haja gani ya kuongea kingereza
@TausiLazaro-wm9cq
25 күн бұрын
😂
@HassanMugire
25 күн бұрын
Acha unafiki ww hukuona kilichomkuta Ruto USA
@jackrinedugange2888
24 күн бұрын
🤣🤣anaidharirisha bendera kabisa bora aongee kiswahili fasaha ty
@SarahShabani-x7z
24 күн бұрын
Hata Mimi huku kweli ujue😢😂😂😂😂
@rosemahenge9071
22 күн бұрын
Mwenzenu nipo single naenjoy😂😂😂AKINIPENDA MAMA INATOSHA AEEEH🧚
@user-vg3ph9bw4y
2 күн бұрын
Huyu dem n yule wa mikorogo
@janeleennjeri7851
Ай бұрын
Tuitiwe pilau but it's about to go down sioni tukila pilau yenyewe😂😂
@Irene1048-z6e
22 күн бұрын
Same here😂😂
@clintonngugi7692
Ай бұрын
Support this KZitem ya huyu jamaa juu amejaribu Hana vita
@miguelmuthuri2521
Ай бұрын
Tungoje heartbreak song from this guy 😂
@simonthuo12
Ай бұрын
Title: nilipigwa matukio😂😂
@rebeccawambui9098
Ай бұрын
@@simonthuo12🤣🤣🤣...eti matukio 🙌
@maureenndinda3001
27 күн бұрын
🤣🤣🤣
@Lucymike-b3i
20 күн бұрын
😂😂😂😂wwe mbinguni hufiki 😢@@simonthuo12
@SurprisedBaseball-hp8qj
17 күн бұрын
Walai hufiki mbinguni😂😂😂😂😂
@EstherKamau-zr2cq
Ай бұрын
Huyo jamaa sauti nayo iko mwaaaah ❤❤
@Jumahashim514
Ай бұрын
Camera man zooming and unzooming the girl... camera man why😂😂😂😂😂😂😂
@user-ue9zb9yt7o
29 күн бұрын
uyu Binti ni milayas😂tu kazi ni kusomwa katiba tu na Ex wake ilhali anayempenda amemtolea hadi mahali (dowry) it's very painful😢 heart break 💔Pluto your work is good 👍💯 because better a broken relationship than a broken marriage
@LilianGathuri
26 күн бұрын
Very true
@allymaganga6084
19 күн бұрын
anatolea mahari mwanamke mwenye vipini viwili daaa nimelia sana😂
@Zaza-bt1hx
Ай бұрын
Camera man zooming for nyash but couldn't see it 😂😂😂😂😂
@JaneLeah-xu7ss
Ай бұрын
No where to be found😂
@Irene1048-z6e
22 күн бұрын
Mtapigwa na radi nynyi😂😂
@CentrineKadogo-kv6io
Ай бұрын
Tanzania wanaume ndio wanao lia😢😢kuja Kenya😂😂😂🖐️🖐️
@masoudkatiba1484
28 күн бұрын
Acha porojo malaya wapo kote Kenya na Tanzania na Cha msingi ni kuacha Malaya aende basi
@lornasheila
28 күн бұрын
@@masoudkatiba1484Kwani unapigana na nani
@BeatriceRewinah
22 күн бұрын
Huku ni magaidi😅😅
@emily9744
16 күн бұрын
Mm mwenyewe n dem na siezi Lia kisa mtu😂😂😂wee
@Dolphinebosibori-um7gi
Ай бұрын
Wow so amazing voice 👌🔥🔥ila pilau hamna Kwa sasa hivi 🥲..huyu dem n gaidi ajali lolote cool bro
@ESUVATSAKARA
Ай бұрын
Here we go, 😂💔 let's keep moving cheif sanitizer
@fatumasalum7973
29 күн бұрын
Ooh kumbe upo mtaani kwangu Mimi nipo hapa mnadan masai kitunda yes karibu Sana the Pluto
@Tetyo-M
21 күн бұрын
Pain kali sana brooo😢😢 I'm telling you the traaath😂 I felt it to the bone‼️‼️
@princessvalllifestyle6491
Ай бұрын
Sorry brother my God bless you with faithful women 🙏
@suleimankipyego5143
Ай бұрын
Waiting heart break 😅😅😅😅😅from Kenya 🇰🇪 Anguka nayo😅😅
@user-ju9mi1ft4v
Ай бұрын
😂😂😂
@carlpsonmunisi7315
26 күн бұрын
Mwamba kama uendelee kubaki bongo hivi Pluto umetisha kama Kireo from our land 255❤
@ZekaniS
22 күн бұрын
Bongo mwanaume anachiti na mwanamke anachepuka wote wakiwa na mpango wakando awezi kuwa na hasira ktk izo drama pole brother pluto bongo roho zetu zakulipiza kisasi kimyakimya hahaha😂😂😂😂😂
@ebyanmohamed198
Ай бұрын
Wa tz wote ni artist😂
@EstherMuchiri-g7r
29 күн бұрын
Tanzania men are so cool kuja Kenya huyo Dem angekuwa amepamepigwa sana
@AthumaniSeleimani
Ай бұрын
Yani hivi vijidem vya uswahili vivaa madera huku tz nivimalaya vinatobwa hovyo hovyo sio vyakuowa kula unaachana nacho
@JamesNgala-g3c
28 күн бұрын
Kweli kabisa, wanadanga sana sababu ya vichips kuku wanavyo danganywa navyo.
@AthumaniSeleimani
28 күн бұрын
@@JamesNgala-g3c nakupewa lifiti na bodaboda yani hata uvipe nn havieleweki kabisa wala usivipe matumaini ya kuishi navyo
@JamesNgala-g3c
28 күн бұрын
@@AthumaniSeleimani, vina balaa hivi videmu. Havina matumaini na malengo ya maisha kabisa. Maisha Yao ni madela, mkorogo na kudanga tu.
@halimaKaniki-g6i
27 күн бұрын
Vinaitw vielf2
@rosemahenge9071
22 күн бұрын
Vilishazoea kwenda kujibinua kwenye vigodoro😂😂kuoa mwanamke wa hivyo ni sawa na kuweka jiko la gasi pamoja na petrol
@alinzimo6757
Ай бұрын
Mambo yanazoza namna gan😂😂😂
@OptimisticGreyCat-kg9wi
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤am in love with this show aky❤❤❤❤much love to pluto and felicity
@ElizabethMaina-qi5zd
29 күн бұрын
Mm nko hapa nasoma comenti na asenti ya kitanzania, mkikuyu maarufu mie 😂😂
@EmpressKiki-n7w
23 күн бұрын
😂😂😂
@essyesther295
21 күн бұрын
😂😂😂aah
@elizabethkisuu5133
13 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@danielkipruto5167
Ай бұрын
Kwani tz kila mwanaume ni msanii,,,anyway mnipee like moja ,nimejaribu leo Niko top 200 🤓🤓🤓
@UmmuAbdalla-n9q
29 күн бұрын
Sini macuzo wa kina diamond 😂😂😂😂
@lornasheila
28 күн бұрын
Ndio nashangaa
@justnameeta
27 күн бұрын
Reply hutaki😂😂
@aimeclaudeharagakiza5540
25 күн бұрын
😂😂😂😂mbona Ivo lkn amtaki kuhurumia mbavu zangu??😂😂
@magrethdaniel8441
22 күн бұрын
Ndipo ilipozaliwa vipaji vingi
@kevy254
14 күн бұрын
Pastor mtenganishi kwn umerudi kw ground Pluto 😂. By then umekua wapi sanitizer wa grao😂😂😂
@primediscoveriesintl
Ай бұрын
Bro mwache ...hata kama ngumu utapata mwingine Inshallah usimpee chance enda cancel hio posta . mwacheeeee kabisaaaaa
@MinahMjeni
Ай бұрын
Aki uchungu jamani 😢pole kaka mungu akupe ubavu wako,ila hawa tz wapole jamani😂😂
@NaomiMaingi-pp9mp
Ай бұрын
Tanzanian's are polite aki,,walai ingekuwa kenya😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@ZephaniahSekwa-fl2go
25 күн бұрын
Huna mke Hapo 😂😂😂 Kama anamsaidia shemeji yake kufua tena kwake . Don't hesitate to move brother. Its just an advice
@JudyNjoki-u6c
Ай бұрын
Mama zoey in the house❤😊
@user-xp8ye3bk2m
9 күн бұрын
Waaaaa sijuwe wana wake wengine wako Vipi ni mungu tu asaidiye amefanya vibaya
@Ashleyken254
27 күн бұрын
Design camera man anateseka huku tz akijaribu kuzoom dera nyash hazionekani😂😂😂nipeeni likes za kenya🇰🇪🇰🇪
@Wyldercee
24 күн бұрын
Ila tungoje nyimbo mpya kitoka kwa huyo mkaka ya kupigwa matukio (heartbreak 💔)😂😂😂
@andechakimasso7841
4 күн бұрын
Sema jamaa anaigizs sana hawi original kuanzia taking style na kila kitu
@mosktear_tz5576
22 күн бұрын
simhukumu dem kwa kucheat, ila apa sidhani kama mwanamke alikua anaitaka ndoa cz hata hajali yani kwake ni kama anaona fresh tu liwalo na liwe 😅😅
@User_mcstabbah
Ай бұрын
Pluto nipin mm hukuwa fao kadeila
@periss-ly9hx
Ай бұрын
Daah!! Ndugu zangu wa tz Wapole mno..cpendi hivi jameni😂😂
@joyfaustine
17 күн бұрын
Dada anathema et
@Zaza-bt1hx
Ай бұрын
This wicked girl is poison
@Davii-denduchez
Ай бұрын
Namiss Kenyan dramas...hii ya tz imemboeka
@linandanu2511
Ай бұрын
Guest hausi kalipwa tayari 😂😂😂😂Khadija kaharibu marriage 😂😂😂
@user-fy9pw2zr8l
Ай бұрын
noma sana😅😅😅😅😅
@billyngatia9364
28 күн бұрын
Madem wa Tz hawachapangwi alfu uoe MTz umchape waaah makosaa Inakaa Bongo Movie aki
@modestajamada3496
23 күн бұрын
😅😅😅
@alexnzau8166
Ай бұрын
Kuchitiana is countrywide😂😂😂😂
@saudatoto3010
26 күн бұрын
Pole bro shukur umejua mapema huyo hakufai
@tyivbra
27 күн бұрын
Daaaah huyo sio mke wakuoa haise anaonekana anamdhalau sana jamaa Hapo hamba mke bro kajila
@salehkhamis3000
24 күн бұрын
Warning warning warning,,,,Wakenya mkija Tz ukiona wanawake wanaovaa hivyo vikofia kichwani na hayo Madera kimbia mbio nying sana na wengine wanakuwaga na vipini puani
@raphaelrange936
26 күн бұрын
Jamaa yuko peace sana, mapenzi ya kweli yapo usijikatie tamaa bro utapata mwenye upendo wa dhati
@daydaypapaa7709
24 күн бұрын
Daah, kaka mpole huyu 😂😂😂 ingekuwa huyu kichaa wangu mda huo ningekuwa sina ata meno
@jaminkona2358
Ай бұрын
Cameraman naye kwenye kuzoom matako ya watu tu🙌😂
@itsmimi4135
Ай бұрын
Tushamzoea, huangaaa very bad😂😂
@kenkits7
29 күн бұрын
😂😂
@MinahMjeni
Ай бұрын
Sasa pluto nae afikiria nini😂😂😂😂nikama akili ziko kwengine😂😂😂😂😂😂
@happynkya9770
26 күн бұрын
Wanawake waliotoboa pua na wavaa videra kwa huku tz ni malaya kweli kweli
@fatmahaji7661
19 күн бұрын
Dahhhh tumewakosea nn😢
@alexyaleckymlolomwenye4852
28 күн бұрын
Haahah aki. Wewe Pluto umeamua tz wasikae na amani
@CarolineWesa-d6w
26 күн бұрын
Pluto hebu ambia hawa watanzania wapigane juu na miss sana
@modestajamada3496
23 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 akuna kupigana uku Sisi wapole 🇹🇿
@SarahTeejay
Ай бұрын
It's our beautiful girl Felicity ❤❤❤
@erickimla8222
Ай бұрын
😊😊💗💗
@timotheoosward2256
29 күн бұрын
Ukisikia manzi anaitwa Khadija huyo ni moto wa kuotea mbali
@Khadiga-qz6qv
Ай бұрын
Watatubu waache kucheat ama waendelee😂😂😂😂dida frou 🇴🇲 omani
@andechakimasso7841
4 күн бұрын
Tatizo madem wa kitunda wengi wanajiuza hapo banana huyo danga kabisa wa banana umepigwa bro hamna mke hapo hata ongea yake tu
@Nasbu-tb6cs
13 күн бұрын
Kiredio njooo uone namna shighuli inavofanywaga huku na mkal wa izi kazii😂😂
@KensonyJulius
20 күн бұрын
Barakaaaaa Mr champion kensaroo hapa Nakusomaa
@suzanassenga2068
17 күн бұрын
Anajua jamani msapotini❤
@judyonyiego8284
Ай бұрын
Huyo hakupendi kaka
@solomondanny-1507
25 күн бұрын
Jamaa kaumia sana hlf ni mstaarabu sana.
@fahadrashid9754
22 күн бұрын
Sure
@faithkaganda-k3s
23 күн бұрын
Pluto ulkuja Tz kuvunja ndoa je🤷♀️😂😂
@user-xs3oy4ud3k
Ай бұрын
Otile Brown 💙💙💙
@emily9744
16 күн бұрын
Yani 2 years n umetolewa posa harusi next month bado unaliwa inje ona umetukosesha pilau sio poa,,huyu ata ukisema wamuonabado kz itakua hiyo y kuliwa inje
@RiyazimanaHalima
6 сағат бұрын
JMN si jui wana wake wa pewe nini ili wa tulie na mtu umoja
@samafricana5703
Ай бұрын
I felt lik am watchin a bongo movie, really, Tanzanians wat's this
@edinahimali
28 күн бұрын
😊😊😊😊😊
@LilianGathuri
26 күн бұрын
😂😂😂😂
@Asha-yn4bu
Ай бұрын
Binti hadija shangingi 💯 brother mkimbie
@franciskiswili1977
27 күн бұрын
heart break song loading 😂
@VERONICA-o7n
24 күн бұрын
😂
@alvoo133
20 күн бұрын
Kamera Nyash 😂😂 imejificho hilo 😂💔
@JackilineShayo-b1v
26 күн бұрын
Yani pluto umefika adi home naona uko uwanjan8 kitunda❤❤
@paulinafaustine
18 күн бұрын
Bro atakuua huyo ukitia ndani hana hata aibu😢😢,, anaroho ya kigaidi leave her 😮
@paulmutailuka2417
26 күн бұрын
Ongopa mwanamke mwenye kaekaa kipini kwa pua. It's a RED FLAG.🤣🤣🤣
@eggysulle7988
23 күн бұрын
Kaka mpole uyo mwengne angekua anatoka dam😂😂dada kina dharau😂kidada kipunguan
@lillylein8871
29 күн бұрын
Pluto rudi kenya tuna kumis tumezoea drama za Gen Z😂😂
@paulinef.millanzinana8279
24 күн бұрын
Uko vizuri sana kaka Karibu Tena Tanzania 🇹🇿 kwa challenge
@chusitv
Ай бұрын
Ila haya naona kama ni maigizo au mimi ndio sielewi?
@itsmimi4135
Ай бұрын
Kaka huerewiiiii 😂
@MariamShaban-n6o
Ай бұрын
Pluto alovyokaa kimya anasikiliza kingereza chetu wabongo kama tunapatia vile kumbe tunajichoresha🤣🤣 aibu naona Mimi ai hopu yuu undasitendi azi Pluto🤣🤣🤣
@lulugama1547
24 күн бұрын
mbona wao hawaoni aibu kwa kiswahili kibovu?huwezi ku master lugha zote we sio juha
@naserianpere6235
27 күн бұрын
Mimi hii isiwai nipata juu zile mambo zitapatikana naeza uliwa hapo mbele yenu
@frolamasala345
10 күн бұрын
Halafu demu anadharau kiukwwli napenda sana mtu anaikili kama amekosea na anaomba msamaha
@winnienjeri6128
Ай бұрын
Pluto rudi Kenya ss😂..this is too much
@ManyasiJoseph
Ай бұрын
Upole=Tanzania😊
@JohanesJunnior-cp9ho
13 күн бұрын
Demu ana dharau yaan dhairi shahiri inaonyesha ampendi mshikaji
@Shishjosam07
11 күн бұрын
Pluto utaweza hizi viswahili😂😂😂😂
@Rozak-z9g
10 күн бұрын
Pluto no heaven for u sambaratisha ndoa kabsa ku cheat mara moja nikitu ya kus topisha ndoa sasa😂😂😂😂😂😂
Пікірлер: 474