Hasara za kulazimisha akili kufanya kazi ikiwa imechoka bila kupumzika
Akili ya binadamu inapaswa kupumzika masaa mangapi Kwa siku?
Kwa kawaida, wakati wa usingizi ubongo unapata fursa ya kujiunda upya kuchakata maarifa na kuboresha kumbukumbu.Hii ni muhimu Kwa sababu kukosa usingizi kunaweza kuathiri uwezo wa kufikiri kujifunza na kufanya maamuzi.
Muda wa unaipendekezwa kulala kulingana na tafiti mbalimbali, watu wazima wanashauriwa kulala masaa7-9 ili kuhakikisha kuwa akili zao zinapata mapumziko yanayohitajika, vilevile watoto na vijana eanahitaji muda zaidi wa kulala ambapo watoto wachanga wanaweza kuhitaji hadj masaa 17 ya usingizi .
Je ni sababu zipi zinazoweza mfanya mtu akakosa usingizi?
Негізгі бет HASARA za kulazimisha AKILI kufanya KAZI ikiwa IMECHOKA bila KUPUMZIKA
Пікірлер: 3