@@jamilaabdallah3955 angalia kwenye hiyo habari namba zinazopita chini ndo upige
@julianajacksoni4275
3 жыл бұрын
Zahir una roho safi Sana.. Mungu aendelee kukupa maisha marefu.. Huyu kaka akija kuoa.. Akipata mtoto wa kiume ampe jina lako jaman😘😘😘😘😘
@veronicamasanja9809
3 жыл бұрын
Uwe makini ktk kupata mke wengi watakuja kwa maslai yao binafsi ukizingatia umeshaanza kupata msingi
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
Ameen
@hawaheri5833
3 жыл бұрын
@@veronicamasanja9809 walahi anaharaka na wanawake atakuja kulia huyo we muache wanawake hapo wanaesabu pesa tu wnawake wananja tu hao
@teddyoscar6876
3 жыл бұрын
Ushauri wangu wasije wakamdai pesa,weshamweka jela miaka 20 keshalipa kila kitu hapo ni wajuane tu na mwanawe inatosha mana kasota gerezani kwa ajili yake,huyo selemani atafute mke akipata na Mungu awajaalie watoto basi atunze familia yake, huyo witness ameshakua mkubwa, kosa alilifanya shangazi yake huyo mwanamke.
@qwqw1665
3 жыл бұрын
Mm nasema hivi kwamba zahiri naomba huyo kaka asije akaenda pekeyake huko lazima aende. Natuyoyote ndio usia wangu huo 🙏🙏🙏🙏
@emerencesifa6131
3 жыл бұрын
Kweli kabisa😍
@azizahamisi7349
3 жыл бұрын
Iyu ndio sw
@kawtharalbarwani1337
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@amockkalinga1520
3 жыл бұрын
Kaka anajitambua Sana pole kwa yote uliyoyapitia kaka angu
@valenakomba4453
3 жыл бұрын
Huyo binti tayari anamiaka 19, kwa hiyo hahitaji ruhusu ya mama.
@rayasaid3734
3 жыл бұрын
Vizuri sana Suleiman una mtanguliza mungu kwanza kwa kila jambo,Allah atakupa mwenzako mwenye kher na wewe,mchukue mwanao witness umtoe kwenye udhalili,kazi za ndani sio nzuri,anaweza kusomea chochote hapo Dar.
@rokiroki1825
3 жыл бұрын
Zahiri ALLAH akulipe kher haki unaitafuta pepo tena pepo ya fridaus
@aminaally2014
3 жыл бұрын
Mimi nashauri musiwe munatangaza kiwango cha fedha zinazopatikana kwa sababu kuna watu wahuni wanaweza kumumpotezea malengo au kumuibia
@zainabwage4658
3 жыл бұрын
Kwel
@leylahbillah4876
3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@sabrinasab2910
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@azizahamisi7349
3 жыл бұрын
Kweli
@credo7837
3 жыл бұрын
Kwel maan wahuni wamejaa humu
@mwanahamis5487
3 жыл бұрын
Vunja bei Uko Wapi Jamanii ugempa mtaji Huyo Kaka Au ajira
@credo7837
3 жыл бұрын
Heri ya ngamia kupenya katik tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katik ufalme wa mbinguni
@aminakunja277
2 жыл бұрын
Kifo cha uyu kaka suleiman kimenifanya nipitie tena interview zake zote za nyuma dahh nimeumia adi nimelia lkn uyo Kuna namna tu ya kifo chake nasikitika tena kuusu familia Yake ajaiyona Miaka 20 anakuja kuniona familia anakaa kidogo anauawa dahh 😭😭mungu ampunguzie adhabu ya kabri na ampe kauli thabit marehem suleiman ila dahh nilitamani sana aishi aweze kufuraiya maisha Yake lakini mungu pia akupenda Inshalaah mungu ndo muamuzi kamwe kulaumu siwezi🙏😭
@mhjgkgjfjzuzu9545
2 жыл бұрын
Nayaoneka alikuwa mcheshi kweli. Allah ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia
@damariszuckschwert9489
2 жыл бұрын
Ukiangalia kuna vile mambo yamesukwa. Kwa sababu huyo afisa elimu alitumia cheo vibaya tu kumfanyia uonevu. Huyo bint kama alikuwa underage hakutakiwa pia kuwa anafanyishwa kazi za maid alifaa kuwa shule. Siyo ajabu wamegundua atafuatilia haki wakampangia njama auwawe.
@reginamluviji9405
2 жыл бұрын
kwani kauawaaa
@swadatimmbaga7435
5 ай бұрын
Mwaka gan? Huyu Alfarik 😢😢😢
@SmilingPlanets-yx9rm
5 ай бұрын
Ameuwawa!??
@user-xh7xf2ki3r
3 ай бұрын
Maa Shaa Allah nawapongeza sana wale wote waliojitokeza kumsaidia huyu kaka na imaan ana furaha huko alipo mtangazaji pia hongera sana kwa kazi yako nzuri Allah awabariki sana japo naiona leo hii interview
@hadijaharerimana1687
3 жыл бұрын
Zahir huyo mama aliyemfunga unaweza mpata ili ajue alichotenda sio haki kaka wa watu alifungwa bila hatia maskini wa mungu kuna watu wana roho mbaya hatary huyo mama ataenda chomwa moto kama mbwa....::siku ya kiama
@qwqw1665
3 жыл бұрын
Pole kaka mtangulize mungu utayapita yaloyo magumu🙏🙏🙏🙏🙏
@jumaselemani2720
3 жыл бұрын
Daaah aisee hii stori unaweza ukaitengenezea muvi na ikauzika
@mamanbinwashadrack2257
3 жыл бұрын
Umeona eee
@burundishallsmile1day109
3 жыл бұрын
👍🏾
@wemakalamu3538
3 жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa
@jumaselemani2720
3 жыл бұрын
@@mamanbinwashadrack2257 yaaah
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
Sanaa
@doreenchaula3535
3 жыл бұрын
Kweli huyu Kaka nimtu safii nime mpendaa bure anajua kujieleza na nimkweli sana, Zahirahir we ni Kaka mwenye moyo Safi Mungu aku zidishie
@golder3410
3 жыл бұрын
Huyo mamah anakaa anamaisha magumu japo Kua aliolewa,huyu Jamaa anakaa mpambanaji wangekua mbali Sana kimaisha
@theafricaiknow6615
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@fatumaothman8884
3 жыл бұрын
kaka Zahih naomba hizo pesa zizuie wewe, ili zifikie malengo hata ya kununua pikipiki kwanza, aanze kazi mwenyewe na a save ili apate zaidi ya kununua bajaji, ikiwa atabaki na hela yeye mwenyewe wasiwasi wangu atazitumia iwe tatizo jengine tena, hapo nimemsikia kuhusu kanunua nguo, nguo kama anazo tatu tuu zinaatosha kabisa kwa vile ana malengo yake ya maisha. hana haja ya mahusiano kama hajakaa sawa kimaisha, asubiri kwanza asichanganye madawa. HAYO NI MAWAZO YANGU BINAFSI
@kadejahh4036
3 жыл бұрын
Mawazo mazuri sa fatuma pesa Bwana ukiwa nayo mkononi mie pia niliwaza ni bola ajijenge kwanza
@pendolazaro4686
3 жыл бұрын
Pole sana husband material jaman utapata mwanamke mwingine
@sadamohammed6177
3 жыл бұрын
Dhahiri nakupa tena hongera kwa juudi na upendo na nguvu nyinyinazofanya kusaidia watu wenye matt natamani nikuine siku moja
@namirihamisi3899
3 жыл бұрын
Ila songea asiende kama huyo mtoto ni wake atakuja tu haina haja ya kuwafuwata wao umfuwate yy nani muache akae na huyo mtoto na pili mtoto ameshakuwa mkubwa ana maamuzi yake.
Mashallah hadi raha jamani Zahir barikiwa hki kama sio ww na media yko bac baba huyu asinge mjua mtoto wake angetoka jela maskini akawa na mawazo kibao tu xna
@z.nalnabhani7194
3 жыл бұрын
Jamani maxmam tujiandae na harusi
@katayaloveness5529
3 жыл бұрын
Masha Allah
@kadigatanzaniya4792
3 жыл бұрын
Kaka zahir mm nimeshatuma mchango wangu ila sijampigia cm nilikuwa sina salio
@ukhutymamuu7470
3 жыл бұрын
Allah akuzidishie ulipo punguza In shaa Allah 🙏
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
@@ukhutymamuu7470 Amiina yaa rabby!!!
@tanialucas4579
3 жыл бұрын
Mungu akusaide
@user-vn2ni9vm4b
3 жыл бұрын
Mashaalla
@salmasalim6055
3 жыл бұрын
Wow haya wale waso na waume mume huyo mashallah mujitahidi fursa ndoo hiyo
@Shuu.A
3 жыл бұрын
Zahir asimuamini huyo mama mana shetani akienda pekeake anaweza kumsingizia ubaya wowote amtafutie matatizo mapya kama aliweza kumfanyia ya mwanzo hashindwi na sahivi yeye na watu wake sio watu wazuri wamenharibia maisha huyu kaka
@neemageoffrey3586
3 жыл бұрын
Kwa kweli ni shetani, hata mwenzie alipofugwa hakuwahi kumtembelea huko gerezani kwa miaka yote hiyo
@irenewile
3 жыл бұрын
Zahir anamuonea huruma mwanaume mwenzake kuwa hajafanya mapenzi miaka daahaa,,huo ni Upendo wa Agabe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mwanaherhussani7425
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@graceshayo8465
3 жыл бұрын
Mtoto kaliswa sumu na mama yke lkn huy kak anampend mwanae jmn wngne tunataman hta wakina baba wa kusingiziwa jmn Dunia hiiii
@judithmelvinealuchio8968
3 жыл бұрын
kumbe tuko wengi jamani wenye wajawai ona baba zao🇰🇪🇪🇺🙏
@charlesmatesorehani5012
3 жыл бұрын
Zaili wewe Mungu akurinde sana kwa kazi nzuri kaka 🙏
@swaumujuma6333
3 жыл бұрын
Mashallah litaisha kwa uwezo wa Allah inshallah 🤲🤲🤲mungu awabaliki maxmam tv🤲🤲
@loner_wolf
3 жыл бұрын
Huyo bint kidogo hajasikiliza toka mwanzo... Maswali yke kama mtu ambaye ndio kazaliwa right now.
@agneskighenda3795
3 жыл бұрын
Anatabia za kichuga…
@minakhamiskhamisi6193
3 жыл бұрын
Yani hv ngoj niwalimishe kdg au niwape story yg kwasbb ht mm story yg n huyo bint zinafann yn inakuja hv huyo unae msikilza yote anayo uliza anauliz tuu lkn hat ule Upendo haupo kabc kwa baba yake ht ndio maaan Takia alivo aza kuongea n zahari yn yey anachukulia jambo l kawaida tuu n sio kwamb haelew anaelewa vzr hilo tatz linakuj hv n kwasbb hajakaa n huyo baba karibu n hajalelewa n yeye ndio maaan ht kweny kuongea kwake ndio maaan anaongea km mtu ambae hayupo sirious n kitu sijui una nielew vzr mimi hpa nimelelewa n bibi yangu mam yg walitengena n baba yg Kitmbo takia nikiwa mdg hata mwak sijafikish bd na mama aliodk akaniach kwa bibi yg nikiwa ht maziwa sijamalz kunyony kwaiyo mim mpk nikafik daras l 4 ndio nikaja kujua mam yg baba yg mpk Leo simjui n Wala hat pich sijawah kuona huyo mama mwenyw kaolewa huko hana ht habar n mimi mpk namaliza shule mam yg ht ile nguo tuu alikuwa hajui kwaiyo ninavo ongea hap mam yg baba yg ule upend unao uzania wewe kwa wazazi haupo hat mdaa mwgn anasem anaumw sijui mim naon kawaida tuu n Wala sione ajabu wala ile huruma haipo mtu nilie mzoea n bibi yg bc ht akisem naumwa Niko radhi naacha ht km n kazi naenda kumtizam au nampaa hela y hospital yani yale mapenz y wazazi hayapo kbc kweny kichwa Changu ninae mjali n moj tuu ambae n bib yg kwaiyo ht huyo binti Han mapenz kwa wazazi wake kwasbb hajakaa Nao inamaan akil yake ipo kwingn ndio maaan unaon anaongea tuu hana ile furah au shauku y kusem mbn n bab yg niwahi nikamuone bab yg lbd awe n furh yn yule ht ile kusem uje umtizame bab yko n km analazimishwa lkn ht ile mdii yn akil yake haipo kbc kuhus sual l baba hayupo kbc maongez yake unajua kwamb huyu mtu hayupo sirious kbc yn hiyo mdaa mwgn unawez ukalia ukawa n mawazo unawz ukajikut sehmu mbay San mim mdaa mwgn naumia lkn ndio hv kwaiyo wwee mchukulie kawaida tuu sio kwamb huyo bint ndio Anamakos hpn yn sijui nikwambie vip ndg yg ndio unielew
@manasadunia3458
3 жыл бұрын
Masha allah Zahir unaupendo sanaa Allah azidi kukusimamia katika kazi yako 🤲
@lucasmlowezi9214
3 жыл бұрын
Story inafurahisha na kuhudhunisha pia. Hongera sana mtangazaji, kazi nzuri sana
@rayasaid3734
3 жыл бұрын
Hata mimi naunga,wazo lako kazi za ndani huko tumuondoe
@superwomankulwa620
3 жыл бұрын
Mashallaa ongera sana kaka zairi mungu awabariki
@frolawihenge2078
3 жыл бұрын
Zahir kazi uloifanya ni kubwa sana Mungu azidi kukutunza na.kukupa maisha marefu na wengine waje kusaidiwa kama ulivomsaidia huyu jamaaa.
@user-nr1bf7iu8z
3 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah. mungu nimkubwa
@mwanahawaomarimashaka197
3 жыл бұрын
Wapili.. Alhamdulillah
@sweetluc2660
3 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana kaka zahir
@loner_wolf
3 жыл бұрын
Mungu atakusaidia bro, hongera kwa busara zako za kutaka kumjua mwanao.
@ramlajuma1598
3 жыл бұрын
Mashaallah 😊😍😍
@binaljabirmshihirzanzibar8369
3 жыл бұрын
Tabaraqaallah 😍😍
@arafamussa840
3 жыл бұрын
Pole kaka allah akufanyie wepec na ufanikiwa ktk maisha yako pia allah akujaarie mke mwema atakae mama bora
@SihabaAbdallah-li6dx
4 ай бұрын
Aminn
@apichitseso3073
3 жыл бұрын
Minamuombea🙏🙏🙏 maisha mema upate mke muwe na maelewano
@estertiffathomas5651
3 жыл бұрын
Hongeraaa zahir jmniiii kz nzuri
@catherinekatuu423
3 жыл бұрын
Mungu ni wa ajabu kiukweli na atakufungulia mlango na kuchapa job😍😘💝💞🌞🙏.
@linnahndelwa6351
3 жыл бұрын
Nakupenda sana zahir mungu akutunze naendelea na huo moyo kaka
Kaka zahri huyu kaka asiende pekeake na pia. Lazima afike kituo cha polisi apate kampani ya usalama kabsaa 🙏🙏🙏Ahsate wote Alhamdullah
@muzafarsharif9465
3 жыл бұрын
Yap waeza mpoteza tena ..wazo lako zurii
@mamajd269
3 жыл бұрын
Wow . 😭 Mungu awabariki MaximumTv
@aishahemedi7869
3 жыл бұрын
Mashaallah 🙏😘
@empresssonia1937
3 жыл бұрын
ZAHIR YOU'RE BLESSED TO MANY,MAY YOU NEVER LUCK
@Randm-
3 жыл бұрын
Zahir unakosea yule sie mke wake... yule mama ameshaolewa.. Mumewe akisikiliza hii interview unamtafutia shida mama wa watu
@joymadambby3290
3 жыл бұрын
Kwani amesema anamtaka yy anatk mtt wake
@Randm-
3 жыл бұрын
@@joymadambby3290 najua sana anataka mtoto wake. Sikiliza zahir anavyoingea then uje hapa uko commet utopoli
@shamimushittindi1418
3 жыл бұрын
Mzazi mwenzie haifutiki
@zainakuzenza759
3 жыл бұрын
Hongera baba wit kwa kuwa mkweli umekusaidia na utakusaidia maishani
@fariarizaq7528
3 жыл бұрын
Mashaallah huyu baba anawogea ukweli kabisa Allah akubariki sana inshaallah
@razikimustapha4731
3 жыл бұрын
MA SHAA ALLAH ALHAMDULILLAH
@mussamivache4986
3 жыл бұрын
Baba anaupendo sana na mtoto wake😍 natamani ningepata baba kama huyu naumia sn nimetelekezwa mimi pamoja na wadogozangu baba ajali chochote kuhusu sisi wakati anajua mama alisha faliki😭😭😭
@liliankemuma9475
3 жыл бұрын
Pole Sana, Mungu ndiye Baba wa wote
@sidratybinkhamis2837
3 жыл бұрын
Polen sana mungu atawalipa zaid
@aminaally2014
3 жыл бұрын
MAASHAALLAH
@maryamabdullah9169
3 жыл бұрын
Mashaaallah furaha ilioje
@rehemaathhmani357
2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah hongera maxmamu tv
@MohammedAli-rh5si
3 жыл бұрын
Thulma imetumika imesababisha kuharibu maisha ya bint na baba yake asingefungwa angekua tofauti mtt wake masikini Allah akusimamie
@sabrinasab2910
3 жыл бұрын
Hongera kaka seleman
@chabakakilumanga2206
3 жыл бұрын
Nakipenda sana hiki kipindi. Hongera sana Maximum TV
@khalossalim3723
3 жыл бұрын
Vigezo na masharti vizingatiwe kwa wifi yetu 😂😂😂
@mwanaherhussani7425
Жыл бұрын
😂😂😂mchujoo
@aishaamwalimu2887
3 жыл бұрын
Hongera Sana kaka, wewe ni mwanaume mwenye hofu ya mungu.
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
Kabisa
@rosemzava5149
3 жыл бұрын
Baba kama ww mpo wachache sana mungu akupe maisha marefu baba mwenye busara na hekima🥰
@thumnathumna5946
3 жыл бұрын
Masha allah.
@hafsaali7976
3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@aminaismail4221
3 жыл бұрын
Alhamdulillah
@hadijaharerimana1687
3 жыл бұрын
Aisee safi sana ..
@ashakufakunoga4904
3 жыл бұрын
Yaan nimetokwa na machozi jamani😭😭
@paschalsafari9747
4 ай бұрын
😭😭😭😭😭
@kamikazisalma5209
3 жыл бұрын
Manshallah tabarakallah 🙏
@semenirudovick1989
3 жыл бұрын
Nampendaga fabi Yuko smart
@user-nn5sq8ol4g
3 жыл бұрын
Mashallah
@salama1113
3 жыл бұрын
Masha allah ww mstarabu
@samsungj7pro64gb5
3 жыл бұрын
MashaAllah walhadulilah jamnj kka furaha km zote❤
@mauamnobwa7412
3 жыл бұрын
Hongera bro umechangamka
@zuleikhaomar4657
3 жыл бұрын
MashaAllah kapata kuongea na mwanawe na mtoto kajua ukweli
@semenimohamed8156
3 жыл бұрын
Nimewah mlike na mkoment
@kiri5807
3 жыл бұрын
Haijapotea hiyo haki yako utakuwa umeweka bank isiyo riba Allah atakulipa tu kwa njia yeyote .
@salamanauthartanzania6301
3 жыл бұрын
Mashaallah kaka Zahir ALLAH Atakulipa inshaallah
@sharifaabdullah6825
3 жыл бұрын
Mungu mkubwa alhamdulilah😘😘
@radhiasalum7156
3 жыл бұрын
Zahri ongera kwa kazi nzuri
@zuenajohn8325
3 жыл бұрын
Machozi ya menitoka
@mdomaniomanmbonamnarudiasi8637
3 жыл бұрын
Safi San kaka zahiri kwakazi zuri mungu akubariki uwe namoyo huohuo kaka
@khadejarajab8007
3 жыл бұрын
Baba anajua kujieleza hapindishi hata moja hongera sana
@thadeusmarkiminja9653
3 жыл бұрын
Usichoke Zahir habari hii inasisimua,hongera sana iko siku nataka nikuone live.
@hadijaharerimana1687
3 жыл бұрын
Zahir waweza mtafuta huyo mama ... aliyemfunga ili ajue alichokifanya sio fair
@zainabwage4658
3 жыл бұрын
Ingependa nae tumuone
@aminanamoyo83
3 жыл бұрын
Mungu akuweke Zahir I wish ningekuwepo Tanzania nami unisaidie kutafuta familia ya rafiki yangu mpendwa maana kwasasa hatunae tena na sijui wazazi wake walipo ili niwajuze,huku niliko ni gharama sana 😔😪❤🇨🇭🇹🇿
Пікірлер: 617