Hapa kila mwenye imani ya kristo Yesu ndani yake na anaamin huyu ndugu ni Mutumishi wa Mungu kweli naomba like ili twende pamoja, Ubarikiwe sana Pastor ama kwa hakika nimejifunza kitu.
@vivianboaz8653
Ай бұрын
Oooh my Lord sijawah kuupata huu ufunua..Mungu nakushukuru kwa hili..mtumishi ubarikiwe sana
@AntinHawile-rw9fj
Ай бұрын
najuwa huwu ni ujumbe wangu najua mungu kakutuma kwangu baba nashukuru sana kwa huuu ujumbe nimopekea kwa jina la yesu khristo yesu amen
@user-kv3ho7dl8c
7 ай бұрын
mtumishi unakitu chenye u Mungu halisi ndani yako naomba ufunikwe kwa dam ya Yesu usije igeukia tamaa ukapoteza kusudi la Mungu alilokuwekea.
@Joelhappiness-r6c
12 күн бұрын
Glory to God Kwa utumishi wako Pastor nimejifunza new thing Cha kunikuza kiroho🙏
@alicewangare7653
5 ай бұрын
Hakika wewe uko na neno sio maneno sikujui lakini wewe ni mtumishi wa Mungu utaenda mbali
@ChristinaSanga-pl5jm
6 ай бұрын
Mungu akubariki Mtumwa wake neno hili ni kubwa sana natamani kama ungekuwa na kipindi kwenye vyombo vikubwa vya habari ili kila mtu asikie kweli ya neno kupitia wewe
@bathshebanyaboke7192
Жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN MUNGU nakushukru kwa Mtumishi wako ambaye amenielimisha kuhusu mfungo barikiwa Sana mtumishi
@Hekalueliasofficiel
Жыл бұрын
Amen amen amen baba yangu una towa chakula Mazuri Sana wewe una faaa uko Sisi ni wa Drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@dorothykinya4398
5 ай бұрын
Thanks Lord for meeting a wonderful man of God with search teaching be blessed man of God for blessings of word, umenitoa mbali.
@andelynsanga-ei5td
Жыл бұрын
Ameeen nimekuelewa Mtumishi kwa Somo zuri kuna mahali umeinua kiwango cha Imani yangu
@user-rs6cs3bs4i
5 ай бұрын
I'm so blessed by your gospel, may GOD bless your pastor sure I have get many things from you 🙏🙏🙏🙏
@user-uj8jt2vz9r
Жыл бұрын
Namshukuru MUNGU Kwa ajili yako mtumishi wa MUNGU najifunza nilikua nafunga kidini.sasa nitafunga Kwa malengo Asante YESU Kwa kuniona
@VeronikaJerome
2 ай бұрын
Amen🙏🙏🙏 mtu mishi Wa. Mungu nime barikiwa kwa SoMo Suri sana
@neemaleonce1225
Жыл бұрын
Kiukweli nilikuwa sina huu ufahamu kabisa I know its Holly Spirit na sio kingine. Tunamsujudu yeye na kila mmoja amepata ufahamu. Ubarikiwe baba kwa kutupa haya maarifa
@jordanchisawilo6177
Жыл бұрын
Nipo Dodoma ila Mtumishi najengeka Santa na masomo haya
@paskaziasholla7471
Жыл бұрын
Neema huyu mtumishi kanisa lake liko wapi?
@israelnsekwa3002
Жыл бұрын
@@jordanchisawilo6177 Pastor BWANA YESU asifiwe MUNGU akubariki , jinsi anavyokutumia nimekuwa nikijengwa sana na mafundisho mimi ni mchangaji ila nimeanza kupata matokeo ninavyo endelea kujifunza
@gabriellumole814
Жыл бұрын
Aminamtumishi
@gabriellumole814
Жыл бұрын
Amina mtumishi
@farajafelix9964
2 ай бұрын
Amena!! Nimebarikiwa na kujifunza mengi kumbe nilikuwa naomba omba tu bila kufahamu hapa nimejifunza
@winfridamahali6349
2 жыл бұрын
Nimevushwa sanaaa na hili somo.barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa viwango vya juu 🙏
@msafirishio3012
Жыл бұрын
Amina mtumishi Kwa kunifungua katika kuomba maombi ya mfungo
@WoltaSwai
4 күн бұрын
amen mungu akubarik sana mchungaj wangu
@susannjoroge3204
5 ай бұрын
Mungu hajibu maombi lakini ana lijibu Neno Lake! Very powerful revelation!
@lucymurugi4743
8 ай бұрын
Thank you soo much man of God,wewe ni wa baraka katika mwili wa kristo
@KeziahKattawa-ed8lc
6 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu umenifundisha kufunga kwa malengo na gharama ya mfungo wangu
@dionisiakarata6824
2 ай бұрын
Asante Kwa somo mtumishi
@naseeralbishi4726
5 ай бұрын
Asante pastor kwa mafunzo mazuri aki nmejua mengi sana kuhusu mpangilio wa maombi
@PeterYohana-n4x
Ай бұрын
Ubarikiwee sana baba mungu wa mbinguni akubariki❤ by jonson matiko ktoka zanzibar
@emilianamtundu3426
6 ай бұрын
Mungu naomba mwanangu aje kutumika hivi
@priscilamroso5827
Жыл бұрын
Asante mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa na hili somo ,nimefunguka macho ,Asante BABA 🙏
@FransiskaJohn-fq1nf
3 ай бұрын
Amen amen ,ubarikiwe Kwa SoMo hili ,Mimi nafungaga tu bila malengo na kufuata utaratibu
@EvelinaMahenge-xi8fp
10 ай бұрын
Asante pasta nimepata maarifa makubwa sana yanisadie kukua kiroho kweli nilikuwa nafunga wakati mwingine nikawa nakosa muda wa kuomba kabisa,ubarikiwe!!
@blandinaleonard405
9 ай бұрын
Asante sana Mungu nakushukiru Kwa ajili ya huyu pastor hakika nimepata kitu
@claricewasore
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa ajili ya mafundisho ya kufunga nashukuru MUNGU kwa ajili ya kesho kwa mfungo wangu KUPITIA haya mafundisho 🙏🙏🙏
@ruthmuchina3963
5 ай бұрын
May God bless you richly mafundisho yenye nguvu za mungu na kuelewa kwa urahisi
@user-mw6mn3xq4p
5 ай бұрын
God bless you sikujua ratiba ya maombi mi hufunga but wee nachanganya Kila kitu Asante mutumishi wa Mungu barikiwa Kwa mafunzo mazuri nimejua Sasa ratiba ya mufungo
@reshinebakery2846
5 ай бұрын
Mimi pia
@jacklinemakali1826
5 ай бұрын
Nafarijika kwa somo la mfungo amen
@allymwanjota3111
8 ай бұрын
Barikiwa sana Baba hakika umenifungua MUNGU akutunze kwaajili yetu pia
@user-rs6cs3bs4i
5 ай бұрын
Injili ya kweli ya mungu inayotakiwa ndyo hiiii mungu akubariki mnooo pastor George
@williethwilson1851
5 ай бұрын
Andika Mungu start with capital later
@user-ur7ek2bc3l
2 ай бұрын
Nashukuru mungu kwa ajili ya mtumishi wako naomba mtunze
@angelamgale3228
5 ай бұрын
Nimependa Mafundisho yàko, sikuwa nimewahi kuyasikiliza. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU.
@AmAm-xt1og
2 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa mungu nahisi kubarikiwa sana
@user-gh4ym7ji8v
10 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu. Mimi ni mmoja wa maelfu wanaoponywa kupitia huduma hii ya utumishi wako mbele za Mungu. Namuomba Mungu anipe neema ya kuyafanyia kazi mafundisho unayotupa na siku Moja nije nitoe ushuhuda mbele za Mungu Kwa jinsi yalivyonivusha. Naendelea kuchuchumilia hadi uzima wa milele. Amen
@halaali25
Жыл бұрын
Amen huwa naskia amani Sana ninaposikiliza mafundisho yako yananibariki na kunifungua pastor George Mungu yupo ndani yako ,natamani siku moja nije kanisani kwako nikuone Tu ,umenifungua vitu vingi Sana Sana , kwenye mafundisho yako.
@rachaeljames9364
6 ай бұрын
Nasikia aman sana nikisikiliza neno lako
@elishamcosta8034
10 күн бұрын
Amen, MUNGU anipe neema ya kuyafanyia kazi. Barikiwa 🙏🏼
@ericaedenthomas8710
5 ай бұрын
1. Nini lengo la kufunga Mithali 28:19 mfano wa malengo : shukurani ; kuhuishwa kiroho; nataka maongozi kutafuta mkakati; ruhusa...uponyaji wa uchumi; mwili; kupata neema kutatua tatizo 2. Kujitoa/ commitment -gharama inategemea na hitaji mzigo haraka.. 3. Jiandae kiroho ( jiweke sawa na Mungu- toba; tafuta maandiko ya kusimamia- Mungu hujibu neno lake ktk maombi Yer 1:12 4. Jiwekee ratiba 1kor 14:40. 5. Tarajia shukurani kwa shukurani- jenga jukwaa ..
@vickynziku6790
Ай бұрын
Huwa naomba lakin kwa makosa mengi. Hapa nimejifunza kwakweli
@ImmaculateMweteni
2 күн бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa kutupa huyu mchungaji. Pia kuongea kwa utulivu kunafanya uelewe vzr zaidi
@JaneKatoto
6 күн бұрын
Mung akubariki mtumish wa mungu
@pendoMwanji
5 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.
@beataselestine586
2 жыл бұрын
Kuna hatua naenda katika maombi.. Mungu akubariki pastor George hakika ww ni baraka katika kizazi hiki.
@esthershigongo8571
6 ай бұрын
Asante sana Mungu kwa kunifundisha namna ya kufunga asante mch nimekuelews ubarikiwe sana
@godfreyngichabe2777
3 ай бұрын
Asante pastor kwa neno la mungu
@WorshippersofGodarmy-ot1mk
9 ай бұрын
Ubarikiwe sana mafundisho yako nayapata nikiwa Zambia, Mimi ni mchungaji, Niko Zambia, naimarika sana mafundisho yako yananiletea mafunuo mengi, kweli yananisogeza sana
@naikeminja
4 ай бұрын
Nimejifunza kiasi kikubwa. Sikuwa najua jinsi hii. Hakika nimebadilika sasa . Barikiwa sana Mtumishi.
@FridahFridahcent-qk8hw
10 ай бұрын
Amina, asante sana mtumishi wa MUNGU umenizaidia kabsa
@alfredalmhejr5551
3 ай бұрын
Amen mtumishi 🙏🏿
@NeemaaliceK2546
4 ай бұрын
Nashukuru sana kwa mwongozo huu nitaufanyia kazi ,ubarikie sana mtumishi wa Mungu
@user-ps2rv2bj2d
5 ай бұрын
Amen Mimi hapa ulikua unanishambulia Mimi Tu wala sio MTU mwengine Yani umenitoa uchafu wote na mungu aniongoze Kwa Kila kitu ubarikiwe 🙏
@TEDYMAKAVISHE
6 ай бұрын
Leo umenifungua masikio kumbe ndio maana tunaunga na hatupokei asante mtumishi Mungu alitumia zaidi na zaid
@RACHELELIAS-s3f
9 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe mtumishi naomba kuuliza ule mfungo wa Yesu wa siku arobaini ulikuwa kavu ama lah,maana umesema kibiblia mifungo mikavu mwisho ni siku tatu ,naomba unielekeze
@felsonsanga8502
8 ай бұрын
Mchungaji ni mvivu kusoma comment za Washirika so angalia namna nyingine ya kumpata
@256Angel-
Жыл бұрын
Wow sikuwa na ufahamu bt now am delivered thank you man of God More Grace upon u🙏
@gracekunambi7438
Жыл бұрын
Amen Ameeeen. Nimejifunza kitu apa, sijatoka bure kupitia hili fundisho.. Asante roho mtakatifu kunipitisha hapa. Barikiwa pastor George.. 🙏
@user-tv4fm7rf1p
7 ай бұрын
Asante Mtumishi wa Mungu, Mafudisho yamekuja kwa wakati.
@user-nb4ms2vw8c
9 ай бұрын
l love this man of God😊...his teachings are bomb💪
@maureenmgeni
Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu! Jina la BWANA lihimidiwe Milele
@magdalenandwete-zq9be
10 ай бұрын
Amen mtumishi Kuna kitu nimegain thanks a lot glory to God
@ppcltdppc3402
Жыл бұрын
Na hii ndio Injili isiyogoshiwa nimekula kitu kilichokuwa kinanisumbua muda mrefu sana Mungu akubariki sana mtumishi
@paskaziasholla7471
Жыл бұрын
Anakuwa sehemu gani jamani
@doreen9516
Жыл бұрын
Very insightful! Asante Mtumishi, God bless you!
@Eunice-rs7eo
10 күн бұрын
Sante mtumishi umeniinua sana
@neemashuma4302
Жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki kwa somo zuri, na Mungu atusaidie sana kuweza kufwata ipasavyo, injili yako hii ya kweli isiyotuwa magumashi
@user-uu5fi2zz7h
5 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastar kwa kutufundisha, tunakushukuru sana
God i thank you for this Pastor, am so blessed.. thanks Jesus
@saashishamafuwe
17 күн бұрын
Somo Zuri sana Hili, Asante.
@monicahjames7308
2 ай бұрын
AMEEN SO INSIGHTFUL
@salimammengawammbumba279
12 күн бұрын
Asante sana nimejifunza mengi. Ni mda sasa wakufanya kazi ya bwana.
@ROSEMARYTARIMO
Ай бұрын
Amen
@rosekenya9401
Жыл бұрын
Amen,umenisaidia sana ubarikiwe pastor
@BenathaPaschal-w8r
11 ай бұрын
Asante sana nimlishwa neno hili hakika mungu anisaidie nikaliishi balikiwa sana mtumishi wa mngu
@josephatombati6303
Жыл бұрын
Mungu azidi kufungua mipaka yako mchungaji,nimesikia na kusonga hatua nyingine tena ningependa kukushukuru sana
@gloriamahuna6803
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji nliwahi kupita tu you tube nikasikiliza neno moja basi nimeanza kuwa nakusikiliza sana Kuna kitu Mungu ameweka ndani yako kuna namna unafundisha mtu anaweza kusikiliza bila kuchoka Asante sana na Mungu azidishe mafuta
@davidmaziku5611
Күн бұрын
Mungu akubariki sana
@IsaacEtir-p6x
Ай бұрын
Asante sana mtumishi kwa mafunzo nmejifunza mengi sikua najua kufunga wala hindi ya kufunga asante sana MUNGU akubariki
@calvinmgalula1812
8 ай бұрын
This is true gospel of Christ, I have been so much blessed!
@linahliz2130
Жыл бұрын
Umenifungua macho, nilikuwa sijui chochote,be blessed Man of God
@user-jl2er1nb2p
9 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe sana..sijatoka bure mungu anipe hiyo roho ya mfuno kwa jina la yesu
@josephinajosephu6859
Жыл бұрын
❤❤mungu akutunze pastor hakika nimepiga hatua kiroho nakufurahia sana
@user-vk6tv7hh8o
3 ай бұрын
Mafunzo ya ajabu mungu akuzidishie hekima
@sekelamwangobola1674
6 ай бұрын
Amen Mtumishi, hakika umenifungua, nashukuru sana na Mungu akubariki.
@benjaminlijongwa3715
3 жыл бұрын
Wewe Ni mchungaji na mtumishi qa Mungu halisi. Injili yako haina tashwishwi
@catherineonyango6751
5 ай бұрын
Amen am blessed Man of God,may God bless you
@farajamoses9085
9 ай бұрын
Asante Kwa kunifundisha vitu ambavyo sijawahi kuvijua Mungu akubariki sana.
@LinetyNdenge
4 ай бұрын
Amen mtumishi. Wa mungu
@user-ne6cr5ku9l
9 ай бұрын
Mtumishi asante sana jee ukiwa na mtt mdogo nanyonyesha nitawezaje
Пікірлер: 376